UAE yaonya Israel kuwa kutwaa Ukingo wa Magharibi ni ‘kuvuka mpaka’
Chanzo cha picha, Reuters Umoja wa Falme za Kiarabu umeionya Israel kwamba kutwaa Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu ” kutavuka mpaka” na kudhoofisha ari ya Mkataba wa Abraham ambao…
Idadi ya wakimbizi wanaokimbilia Mali kutoka Burkina Faso yaongezeka
Shirika la umoja wa Mataifa linalohudumia wakimbizi, linasema wimbi la wakimbizi wanaokimbia kutoka Burkina Faso na kuingia Mali, linaongeza hali ya dharura ya kibinadamu, UNHCR sasa ikitaka misaada zaidi kutolewa…
UAE yaonya juu ya hatua ya Israel kuteka Ukingo wa Magharibi
Umoja wa Falme za Kiarabu umeonya kwamba hatua yoyote ya Israel ya kuunyakuwa Ukingo wa Magharibi itakuwa sawa na kuuvuka “mstari mwekundu,” pasipo kufafanua zaidi athari zake na hasa kwa…
UAE yaonya dhidi Israel kutaka kuuteka Ukingo wa Magharibi
Umoja wa Falme za Kiarabu umeonya kwamba hatua yoyote ya Israel ya kuunyakuwa Ukingo wa Magharibi itakuwa sawa na kuuvuka “mstari mwekundu,” pasipo kufafanua zaidi athari zake na hasa kwa…
Kikao cha kufuatilia utekelezwaji wa makubaliano kati ya DRC na Rwanda chafanyika
Nchi za Qatar, Marekani na wawakilishi kutoka Umoja wa Afrika walikutana Jumatano hii kwa kikao cha pamoja kufuatilia utekelezwaji wa makubaliano ya amani kati ya DRC na Rwanda. Imechapishwa: 04/09/2025…
Hamas yasema iko tayari kwa makubaliano ya amani
Taarifa yake hiyo ya jana jioni inasema kundi hilo bado linasubiri majibu kutoka kwa Israel kuhusu pendekezo la hivi karibuni la wapatanishi wa kimataifa kuhusu kusitisha mapigano.Kwa mujibu wa Waziri…
04.09.2025
SK2 / S02S04.09.20254 Septemba 2025 Viongozi wa mataifa ya Magharibi ambayo ni washirika wa Ukraine katika mzozo wake na Urusi, wanakutana leo Alhamisi mjini Paris+++Serikali ya Kenya imechukua uamuzi wa…
04.09.2025 Matangazo ya Asubuhi
DIRA.BZ04.09.20254 Septemba 2025 Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Kundi la Hamas Hamas, limesema liko “tayari kwa makubaliano ya kina” na Israel kuhusu kusitisha vita vya Gaza / Tume ya Uchaguzi…
Kiev yakataa wazo la Putin, Zelensky kwenda Moscow
Putin amesema kuwa alikuwa amejadili suala hilo na Rais wa Marekani, Donald Trump. Akizungumza na waandishi wa habari kwa mara ya kwanza tangu afanye mkutano wake wa kilele na Trump…
Trump; Marekani huenda ikafuta makubaliano na Ulaya
Akizungumza na waandishi wa habari mwanzoni mwa mkutano na Rais wa Poland, Karol Nawrocki, alisema kuwa serikali yake inaomba Mahakama ya Juu ibatilishe uamuzi wa mahakama ya rufaa ya Marekani…
IAEA: Iran iliongeza akiba yake ya urani kwa kuunda bomu
Hatua ambayo ilikaribia kiwango cha kutengeneza silaha kabla ya Israel kuanzisha shambulio lake la kijeshi mnamo Juni 13. Ripoti ya Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki lenye makao yake…
Mashirika yataka misaada zaidi ya kiutu kwa Afghanistan
Mashirika ya misaada yataka jamii ya kimataifa kuongeza ufadhili kwa Afghanistan baada ya tetemeko kubwa la ardhi lenye ukubwa wa kipimo cha richter 6.0 kuua angalau watu 1,400 na kuwajeruhi…
China yaandaa onesho kubwa la gwaride la kijeshi jijini Beijing
China imekuwa na onesho kubwa la gwaride la kijeshi jijini Beijing, kuadhimisha miaka 80 baada ya kumalizika kwa vita vya pili vya dunia.
Kongamano la kujadili hali ya usalama mashariki ya DRC laanza Johannesburg
Kongamano la siku tatu, kujadili hali ya amani Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia Congo, linaloandaliwa na wakfu wa rais wa zamani wa Afrika Kusini Thambo Mbeki, limeanza jijini Johannesburg bila…
Masomo ya watoto Miloni sita kuathirika na kukatwa kwa ufadhili
Watoto milioni sita wapo kwenye hatari ya kutoenda shuleni mwaka ujao, kufuatia kukatwa kwa fedha za msaada kwa mujibu wa Shirika la Umoja wa Mataifa UNICEF. Imechapishwa: 03/09/2025 – 18:23…
Africa : Vyakula asili ndio tiba kwa magonjwa siokuwa na tiba
Dakar Senegal – Wataalamu wa afya wameonya kuhusu magonjwa yasiokuwa na tiba kuendelea kusababisha maafa, iwapo raia hapa Africa hawatabadilisha mitindo wa maisha. Prof Mary Abukutsa, mtafiti wa vyakula asili…
Putin: Niko tayari kukutana na Zelensky mjini Moscow
Pia Putin ameapa kuendelea kupigana na Ukraine kama makubaliano ya amani hayatofikiwa. Ameyasema hayo Jumatano 03.09.2025 mwishoni mwa ziara yake nchini China wakati Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyakisema ana matumaini…
Vita Ukanda wa Gaza vimesababisha ulemavu kwa watoto 21,000
Hayo ni kwa mujibu wa Kamati ya haki za watu wenye ulemavu ya Umoja wa Mataifa. Kamati hiyo imesema watoto wasiopungua 40,500 wamepata majeraha yanayotokana na vita na nusu ya…
Miili 100 yapatikana eneo la maporomoko ya ardhi Sudan
Msemaji wa waasi wanaoliongoza eneo hilo Mohamed Abdelrahman al-Nair amesema juhudi za kuwatafuta manusura bado zinaendelea licha ya uhaba wa rasilimali. Picha za video zilizotolewa Jumatano zimewaonesha waokoaji wa kujitolea…
Waziri wa zamani wa Kongo ahukumiwa miaka 3 ya kazi ngumu
Mutamba alikuwa akikabiliwa na mashtaka ya ubadhirifu wa fedha za umma zikiwemo za fidia kwa waathiriwa wa vita. Hukumu hiyo imetolewa baada ya Waziri huyo wa sheria wa zamani kukutwa…
Baada ya gwaride la China, Taiwan yasisitiza amani
Ching te ameyasema hayo muda mfupi baada ya China kufanya gwaride kubwa la maadhimisho ya miaka 80 tangu Japan iliposalimu amri mwishoni mwa vita vya pili vya dunia. Kwa upande…
Serikali Ujerumani yaunga mkono kushushwa bei ya umeme
Waziri wa Uchumi Katherina Reiche amesema uamuzi huo wa baraza la mawaziri – ambao bado unahitaji idhini ya bunge – ni habari njema kwa watumiaji umeme Ujerumani. “Tunaurahisisha mzigo wa…
11 wafungwa Georgia kwa kuandamana
Haya ni kwa mujibu wa shirika moja la habari nchini humo. Shirika la habari la Interpress nchini humo limeripoti kuwa mahakama moja mjini Tbilisi imewakuta na hatia waandamanaji 11 akiwemo…
Urusi yakosoa kauli ya Merz iliyomtaja Putin kuwa mhalifu
Ikulu ya Urusi Kremlin imesema hivi leo kuwa mapendekezo yote ya Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz kuhusu mchakato wa amani katika mzozo wa Ukraine , yanapaswa kupuuzwa baada ya Moscow…
Africa inaweza kilisha yenyewe sio kwa msaada
Dakar Senegal – Mkutano wa Mifumo ya Chakula Afrika unafanyika Dakar, Senegal, ukitoa wito wa hatua za haraka kuhakikisha bara linaweza kujilisha lenyewe. Imechapishwa: 03/09/2025 – 15:00Imehaririwa: 03/09/2025 – 17:23…
Urusi, Ukraine zaendelea kushambuliana
Jeshi la anga la Ukraine limesema limezidungua droni 430 kati ya 502 na makombora 21 kati ya 24 yaliyotua kwenye maeneo kadhaa. Limeongeza kuwa makombora matatu na droni 69 zilitua…
Sudan yaomba kusaidiwa kukabiliana na athari za maporomoko
Kiongozi wa kundi la waasi wa Jeshi la Ukombozi la Sudan Abdel-Wahid Nour vinavyolidhibiti eneo hilo, amesema ukubwa wa janga hilo hauelezeki na ameutaka Umoja wa Mataifa na mashirika mengine…
Matumaini ya kuwapata manusura Afghanistan yafifia
Shirika la Kimataifa la Save the Children limesema moja ya timu zake za uokoaji imelazimika kutembea umbali wa kilometa 20 kuvifikia vijiji vilivyopoteza mawasiliano kutokana na miamba iliyoanguka, wakiwa wamebeba…
Wafanyakazi 19 wa UN wanashikiliwa na waasi wa Kihouthi
Kulingana na msemaji wa Umoja wa Mataifa Stephen Dujarric wafanyakazi 18 kati ya hao ni wa Yemen na mmoja ni wa Kimataifa. Dujarric amewasilisha wito wa Umoja wa Mataifa unawotaka…
Jeshi la Israel laingia ndani zaidi ya Gaza, watu 24 wauawa
Katika wiki za karibuni vikosi vya jeshi la Israel vimeingia katika viunga vya nje ya Gaza City na hivi sasa viko umbali wa kilomita chache tu kutoka katikati mwa mji…
Gwaride kubwa la kijeshi lafanyika China
Kando ya Xi, maadhimisho hayo yameshuhudiwa pia na Rais wa Urusi Vladimir Putin na mwenzake wa Korea Kaskazini Kim Jong Un. Katika sehemu ya hotuba yake mbele ya gwaride hilo…
IFAD: Africa yazindua mbinu mpya kupunguza uagizaji wa chakula na kuimarisha kilimo endelevu
Serikali za Afrika zinashirikiana na Shirika la Kimataifa la Kufadhili Maendeleo ya Kilimo (IFAD) ili kusaidia mataifa ya bara hili kupunguza uagizaji wa vyakula kutoka nje na kufanikisha usalama wa…
Polisi waliofunzwa na M23 warudi Bukavu
Gavana wa Kivu Kusini chini ya AFC/M23 amesema mafunzo hayo yalichukuwa miezi sita katika jimbo jirani la Kivu ya kaskazini na ameahidi kwamba watahakikisha usalama wa raia na mali zao.…
Mvua kubwa zaikumba India Kaskazini
Inaripotiwa kwamba mvua zaidi inatarajiwa na vyombo vya habari nchini humo vinaripoti kuwa watu 10,000 wameondolewakutoka kwenye kingo za mito na kupelekwa sehemu salama katika Mji Mkuu wa New Delhi.…
Dunia inakabiliwa na chaguo la amani ama vita
Gwaride la kijeshi lilipita mbele ya umati wa watu zaidi ya 50,000 katika Uwanja wa Tiananmen kuadhimisha miaka 80 tangu kumalizika kwa Vita vya Pili vya Dunia, ambavyo kwa upande…
Dira Ya Dunia
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki Source link
‘Walinipiga risasi na kunitelekeza wakidhani nimekufa’ – mmoja wa mateka Tanzania aeleza kilichomkuta
Maelezo ya picha, Edgar Mwakabela alitekwa mwaka jana na kutelekezwa masituni baada ya kupigwa risasi ya kichwa Maelezo kuhusu taarifa Author, Alfred Lasteck Nafasi, BBC, Mbeya Saa 4 zilizopita Tahadhari:…
Amka Na BBC
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki Source link
Tetesi za soka Ulaya Jumatano: Marc Guehi akasarishwa na Crystal Palace – Kunani?
Beki wa Crystal Palace Marc Guehi hana nia ya kusaini mkataba mpya baada ya uhamisho wake kwenda Liverpool kuporomoka, Manchester United bado iko tayari kumuuza kipa Andre Onana, Tottenham wanatumai…
Marekani: Trump ataka kupeleka Walinzi wa taifa Chicago, gavana wa Illinois amjia juu
Baada ya Los Angeles na Washington, Donald Trump analenga ngome nyingine ya chama cha Democratic: Chicago, mji mkuu wa Illinois. “Tutaingilia kati” katika mji huo, Rais wa Marekani Donald Trump…
‘Watoto wangu waliungua hadi kufa nikiwaona’
Maelezo kuhusu taarifa Author, Asha Juma Nafasi, BBC, Nairobi Akiripoti kutoka Nairobi Saa 1 iliyopita Florence Amunga ni mama wa makamo ambaye leo anatupambia Waridi wa BBC. Simulizi ya Amunga…
Maelfu ya askari wa akiba wa Israel wanaripoti kazini kabla ya mashambulizi ya Gaza
Maelfu ya askari wa akiba wameanza kuripoti kazini huku jeshi la Israel likiendelea na mashambulizi ya kuiteka Gaza. Mji huo pia uko chini ya mashambulizi makali ya anga na mizinga…
Amka Na BBC
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki Source link
Xi apongeza ‘China isioweza kuzuilika’ na kuzindua silaha mpya kuonyesha nguvu yake
Chanzo cha picha, Getty Images Rais wa China Xi Jinping ameonya kwamba ulimwengu unakabiliwa na chaguo kati ya amani au vita wakati akifanya gwaride kubwa zaidi la kijeshi nchini mwake…
Israel yahamasisha askari wa akiba 60,000 kwa vita Gaza
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu kupitia ujumbe kwa njia ya video kwa askari hao wa akiba, amesema ni lazima wamalize kile walichokianza katika ukanda wa Gaza, akieleza kuwa jukumu…
China yaadhimisha miaka 80 ya ushindi kwa gwaride la kijeshi
Gwaride hilo limetasfiriwa na wachambuzi kama ishara ya mabadiliko ya nguvu za kisiasa, kiuchumi na kijeshi duniani ambapo China – chini ya uongozi wa Rais Xi Jinping – inajitokeza kama…
Mamlaka Sudan yashughulikia athari za maporomoko ya ardhi
Mamlaka za ndani nchini Sudan, Umoja wa Mataifa na mashirika ya misaada ya kibinadamu yanaendelea kushughulikia athari za maporomoko ya ardhi yaliyotokea katika eneo la milima ya Jebel Marra jimbo…
Juhudi za kutafuta manusura zaidi Afghanistan zinaendelea
Kwa mujibu wa msemaji wa serikali ya Taliban, Zabihullah Mujahid, takwimu hizo zinahusu jimbo la Kunar pekee. Tetemeko hilo, lenye ukubwa wa 6.0 katika kipimo cha Richter, lilitokea usiku wa…
Mapigano mapya Sudan Kusini yasababisha vifo vya watu 14
Msemaji wa jeshi la Sudan Kusini Garang Ateny amesema kuwa wapiganaji kutoka kikosi cha White Army, wanamgambo ambao wapinzani wa Machar wanadai wana uhusiano na chama cha SPLM-IO anachoongoza, walishambulia…
China yaadhimisha miaka 80 tangu kumalizika kwa vita kuu ya pili ya dunia
Rais wa Urusi, Vladmir Putin na mwenzake wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un, hivi leo walikuwa wageni waheshima katika sherehe za gwaride kubwa la kijeshi lililoandaliwa na Uchina kwenye mji…