Hakuna ushahidi kuhusu vifo vya wagombea wa AfD Ujerumani
Kiongozi wa kanda wa chama cha mrengo wa kulia cha Alternative for Germany (AfD) amesema leo kwamba chama hicho hakina ushahidi kuhusu vifo visivyo vya kawaida baada ya baadhi ya…
Wanamgambo 15 wauwawa katika msitu wa Sambisa Nigeria
Jeshi la anga la Nigeria limewaua wanamgambo zaidi ya 15 wenye msimamo mkali wa kidini katika shambulzi la kutokea angani lililolenga maficho yao kwenye msitu wa Sambisa katika jimbo la…
Vifo vya wagombea 17 nchini Ujerumani vyazua minong’ono
Hivi leo kiongozi wa chama mbadala kwa Ujerumani cha AfD katika jimbo la North Rhine Westphalia amesema chama chake hakina ushahidi kwamba vifo vya wagombea wake vimesababishwa na hali isiyokuwa…
Jean-Pierre Lacroix anatarajiwa mashariki mwa DRC kuzindua upya juhudi za MONUSCO
Jean-Pierre Lacroix, Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Operesheni za Ulinzi wa Amani, almewasili Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) Jumatano, Septemba 3, kwa ziara ya siku nyingi.…
Togo inakuwa nchi ya kwanza barani Afrika kutoa chanjo ya malaria ya R21 kote nchini
Togo imefikia hatua ya kihistoria kwa kuwa nchi ya 22 barani Afrika kuanzisha chanjo ya malaria ya R21/Matrix-M, kuanzia Septemba 1, 2025. Nchi hiyo ni ya kwanza barani humo kufanya…
Ufaransa: Viongozi wa Ulaya wamfikia Trump baada ya mkutano
Viongozi wa Ulaya wamezungumza na rais wa Marekani Donald Trump baada ya mkutano wao wa kilele na rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky kuhusu dhamana za usalama kwa Kiev endapo kutakuwa…
UN yalaani hatua ya uongozi wa kijeshi nchini Mali kuahirisha uchaguzi
Volker Turk, Mkuu wa Tume ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia Haki za Binadamu, amelaani hatua ya uongozi wa kijeshi nchini Mali, kuahirisha uchaguzi na kuendelea kuwakamata wapinzani na viongozi wa…
Nigeria: Zaidi ya watu 30 wafariki katika ajali ya boti kwenye Mto Malale
Watu zaidi ya 30 wamepoteza maisha katika jimbo la Niger, nchini Nigeria, baada ya boti waliyokuwa wanasafiria kuzama kwenye mto Malale. Imechapishwa: 04/09/2025 – 16:35 Dakika 1 Wakati wa kusoma…
Serikali yakanusha wanajeshi wa Jubaland kuingia Kenya
Akizungumza jimboni Busia Magharibi ya Kenya siku ya Jumatano, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Kenya Kipchumba Murkomen amenukuliwa na vyombo vya habari akieleza kuwa, kauli za uwepo wa majeshi…
Mazungumzo kati ya serikali ya DRC na waasi wa AFC/M23 hayajapiga hatua
Ujumbe wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na ule wa waasi wa AFC/M23, umekuwa jijini Doha kwa wiki tatu sasa kwa ajili ya mazungumzo ya amani, lakini hatua…
Uganda: Teluthi Moja ya watumishi wa umma walitoa rushwa ya fedha kupata ajira
Nchini Uganda, ripoti ya serikali inaonesha kuwa thuluthi moja ya watumishi wa umma, walitoa rushwa ya fedha ili kupata kazi walizonazo. Imechapishwa: 04/09/2025 – 16:12Imehaririwa: 04/09/2025 – 16:53 Dakika 1…
Matumaini na chuki: Jinsi uhamiaji ulivyoibadili Ujerumani
Katika mitaa ya Sonnenallee jijini Berlin, wanaume hukaa nje ya baa za shisha na wanawake waliovalia hijab wakisukuma mikokoteni ya watoto wakipita mbele ya mikahawa na maduka ya vyakula vya…
Mgodi mkubwa wa almasi Lesotho wapunguza asilimia 20 ya wafanyakazi wake
Mgodi mkubwa zaidi wa almasi nchini Lesotho, Letšeng, umewafuta kazi wafanyakazi 240, ikiwa ni sawa na asilimia 20 ya wafanyakazi wake, huku ukipambana na bei ya chini ya vito kutokana…
CHAUMMA wajinadi na sera ya mabadiliko
Chama Cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) nchini Tanzania kimewaomba Watanzania kukipa ridhaa ya kuiongoza nchi hiyo, kwa ahadi ya kusukuma mbele vuguvugu la mabadiliko katika nchi hiyo. Akizungumza mjini Morogoro,…
Kenya yasimamisha zoezi la kufukua miili huko Binzaro
Daktari wa serikali ya Kenya Richard Njoroge amesema zoezi la kitaalamu la kukusanya vijinasaba kwa miili hiyo litaanza mara baada ya kukamilika kwa vipimo vya mionzi vya X-ray kwenye miili…
Uturuki kuendelea kuongoza jitihada za amani kumaliza vita kati ya Urusi na Ukraine
Uturuki kuendelea kuongoza jitihada za amani kumaliza vita kati ya Urusi na Ukraine “Diplomasia na mazungumzo kati ya pande zinazohusika yanapaswa kupewa kipaumbele,” alisema Makamu wa Rais wa Uturuki baada…
Mgawanyiko Sudan: Kwa nini serikali pinzani ni mbaya zaidi kuliko nchi iliyo kwenye vita
Eneo la Nyala la Sudan ndiko kulikofanyika sherehe Agosti 31 ambayo itabadilisha muelekeo wa taifa lililokumbwa na mapigano, yaliyochochewa na mfarakano wa kisiasa kuwahi kutokeo tangu kujiondoa kwa Sudan Kusini.…
Uganda yasisitiza itapokea wahamiaji wa Marekani
Mwanasheria Mkuu wa Uganda anasisitiza kuwa nchi hiyo imejitolea kwa makubaliano na Marekani kupokea watu waliofukuzwa kutoka nchi hiyo. Hayo yamethibitishwa Agosti, 2025.Hata hivyo, Uganda inasema makubaliano hayo yana masharti.…
Wingi wa wanawake na nyota njema kwenye uongozi, Zanzibar
Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imethibitisha kuwa wanawake watatu kutoka vyama tofauti vya siasa wamechukua fomu za uteuzi kwa kiti cha urais wa Zanzibar. Hali hii inatoa picha mpya…
Papa Leo XIV atoa wito wa kusitishwa kwa ‘janga la kibinadamu’ Sudan
Pia aliwaombea wahanga wa maporomoko ya ardhi ya hivi majuzi na kuongeza kuwa kuenea kwa kipindupindu kunatishia maisha ya maelfu ya watu ambao “tayari wamechoka.” Zaidi ya watu 1,000 walipoteza…
Wasiwasi wazidi kuongezeka katika mji wa Uvira, DRC
Mashuhuda wanasema kwa siku tatu mfululizo hakuna shughuli zozote zinazofanyika. Masoko, maduka, ofisi zimefungwa, na hata usafiri wa barabarani hakuna. Asasi za kiraia zimeshirikiana na kundi la wapiganaji wanaoitwa Wazalendo…
Afghanistan: Matumaini ya kuwapata manusura hai yanapungua
Msemaji wa serikali ya Taliban, Hamdullah Fitrat amesema miili zaidi bado ipo chini ya vifusi, hivyo huenda idadi ya vifo ikaongezeka. Tetemeko hilo la ukubwa wa 6.0 lilitokea Jumapili usiku…
Ugiriki yaimarisha sheria kwa waomba hifadhi waliokataliwa
Hatua hiyo inadhihirisha msimamo mkali zaidi wa nchi hiyo dhidi ya wahamiaji, kufuatia ongezeko la wakimbizi waliowasili eneo la mipakani kusini mwa nchi hiyo mwaka huu. Nchi hiyo ya bahari…
Zelensky kukutana na viongozi wa Ulaya mjini Paris
Viongozi wa Ulaya na rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky wanakutana leo mjini Paris katika jitihada mpya za kuongeza shinikizo kwa rais wa Urusi Vladimir Putin baada ya kiongozi huyo kuapa…
Hamas yasema iko tayari kwa makubaliano
Hamas imesema bado inasubiri majibu kutoka Tel Aviv juu ya pendekezo la hivi punde zaidi lililowasilishwa na wapatanishi wa kimataifa. Israel imeendelea kusisitiza masharti yake kuwa makubaliano yoyote ya kusitisha…
Jeshi la Israel latambua kombora lililorushwa kutokea Yemen
Jeshi la Israel limesema kombora lilivurumishwa kutokea nchini Yemen kuelekea Israel lilianguka katika eneo lililo wazi nje ya himaya ya Israel na hakuna ving’ora vilivyowashwa. Waziri wa ulinzi wa Israel…
Xi Jinping kukutana na Kim Jong Un mjini Beijing
Rais wa China Xi Jinping na kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un watakutana kwa mazungumzo mjini Beijing. Hayo yamesemwa leo na serikali ya mjini Beijing wakati kiongozi huyo wa…
Zelensky na Ulaya wakutana kusaka dhamana za usalama
Viongozi wa mataifa ya Magharibi ambayo ni washirika wa Ukraine katika mzozo wake na Urusi, wanakutana Alhamisi mjini Paris Ufaransa na rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky, kutafuta mpango wa jinsi…
Watu 60 wafa katika ajali ya boti nchini Nigeria
Watu wapatao 60 wamekufa baada ya boti iliyokuwa imewabeba abiria zaidi ya 100 kupinduka katika jimbo la Niger nchini Nigeria. Maafisa wa wilaya ya Malale wamesema, chombo hicho kiliondoka pwani…
Ureno yaomboleza kufuatia ajali iliyoua watu 15 mjini Lisbon
Ureno inafanya maombolezo ya kitaifa ya siku moja hivi leo, baada ya ajali kutokea jana katika mji mkuu Lisbon iliyosababisha vifo vya watu 15. Mamlaka haijatoa taarifa kuhusu watu waliokufa…
Horizon 19: Satelite mpya ya kijasusi ya Israel yenye uwezo wa kipekee duniani
Chanzo cha picha, Israel Foreign Ministry X Maelezo ya picha, Kwa mujibu wa Wizara ya Ulinzi ya Israel, satelaiti ya kijasusi ya “Horizon 19” ilirushwa angani kutoka kituo cha anga…
Tunajua nini kuhusu binti wa Kim Jong Un – mrithi wake mtarajiwa?
Chanzo cha picha, KCNA Maelezo ya picha, Kim Ju Ae (anayeonekana hapa 2023) amekuwa mtu wa kawaida katika gwaride la kijeshi huko Korea Kaskazini katika miaka michache iliyopita. 3 Septemba…
Je, ni kweli majeshi ya Jubaland yako ndani ya Kenya
Raia wa Kenya wanaoishi karibu na mpaka na Somalia wanaishi kwa hali ya wasiwasi, kufuatia kumiminika kwa wingi kwa wapiganaji wenye silaha kutoka Somalia, wanaokimbia makabiliano baina yao na serikali…
Uturuki kamwe haitakaa kimya juu ya ukandamizaji wa Netanyahu dhidi ya Palestina: Erdogan
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amesisitiza kuwa Uturuki haitakaa kimya wakati Wapalestina wakiteseka chini ya mashambulizi ya Israel, akimsuta Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu. “Hatuwezi kukaa kimya kama…
Musa al Sadr: Mwili ulioonekana katika mochwari ya siri ya Libya unaweza kutatua siri ya miaka 50 ya kiongozi wa kidini aliyetoweka
Maelezo ya picha, Musa al-Sadr alitoweka tangu 1978 Maelezo kuhusu taarifa Author, Moe Shreif Nafasi, Uchunguzi wa BBC Eye 3 Septemba 2025 Tahadhari: Ina picha ambazo baadhi zinaweza kukasirisha Mwanasayansi…
Hiragasy, sanaa inayorithishwa vizazi nchini Madagascar
Watazamaji wana jukumu kubwa katika hafla za hiragasy, wakionyesha kuridhika au kutoridhishwa kwao na talanta ya washiriki wa kikundi na ujumbe wanaotangaza kupitia shangwe, au sauti tofauti. Maneno ya maonesho…
Dira Ya Dunia
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki Source link
Kwanini Mkenya aliyesaidia vibonde kuiduwaza Man United aiponza timu yake ya Grimsby
Chanzo cha picha, Getty Images Maelezo ya picha, Clarke Oduor ndiye mchezaji pekee wa Grimsby kukosa penalti katika ushindi wao wa mikwaju 12-11 dhidi ya Manchester United Maelezo kuhusu taarifa…
Rwanda kuzindua teksi za hewani zinazojiendesha zenyewe
“Rwanda inajenga mustakabali ambapo miji yetu ambayo imeunganishwa zaidi na uchumi wetu unaimarika zaidi kupitia ubunifu wa usafiri,” Waziri wa Miundombinu, Jimmy Gasore, alinukuliwa akisema katika taarifa hiyo. Mpango huu…
Serikali ya Israel inatathmini mpango mpya wa kunyakua maeneo kadhaa ya Ukingo wa Magharibi
Wakati nchi nyingi zikijiandaa kulitambua Taifa la Palestina katika Mkutano Mkuu ujao wa Umoja wa Mataifa, Israel inatishia kujibu kwa kunyakua maeneo yanayokaliwa kwa mabavu. Leo Alhamisi, Septemba 4, Waziri…
Tetesi za Soka Alhamisi: Onana ruksa kwenda Uarabuni
Chanzo cha picha, Getty Images Maelezo ya picha, Andre Onana Saa 3 zilizopita Manchester United wako tayari kumwachia kipa wa Cameroon Andre Onana, mwenye umri wa miaka 29, ajiunge na…
Gavana wa Benki Kuu ya Ethiopia aacha kazi
Gavana wa Benki Kuu ya Ethiopia Mamo Mihretu alisema Jumatano kuwa anaacha kazi, baada ya kuiongoza Benki hiyo kupitia mageuzi ya kina ya uchumi ikiwa ni pamoja na mzunguko wa…
Georgia: Bunge lafungua njia ya kupiga marufuku vyama vyote vya upinzani
Upinzani wote wa kisiasa sasa ni kinyume cha sheria nchini Georgia: siku ya Jumatano, Septemba 3, Bunge la Georgia limepitisha ripoti ya kupiga marufuku vyama vya upinzani. Wakati maandamano dhidi…
Spence: Muislamu wa kwanza kuichezea England baada ya zaidi ya miongo 15
Chanzo cha picha, Getty Images Maelezo ya picha, Djed Spence began his career at Middlesbrough before joining Tottenham in 2022 Maelezo kuhusu taarifa Author, Tom Mallows Nafasi, BBC Sport journalist…
Kenya: Wasiwasi watanda kuhusu hatima ya Msitu wa Karura kufuatia uamuzi wa mamlaka
Ukiwa na zaidi ya hekta 1,000, Msitu wa Karura ni msitu wa pili kwa ukubwa wa mijini ulimwenguni. Tangu mwaka wa 2009, kutokana na kujitolea kwa mshindi wa Tuzo ya…
DRC: Kuachiliwa kwa wafungwa, kikwazo kikubwa katika mazungumzo ya amani ya Doha
Wajumbe wa Kongo na AFC/M23 wamekuwa mjini Doha kwa karibu wiki tatu sasa kuendeleza mchakato wa amani. Lakini maendeleo bado ni madogo. Kwa mujibu wa taarifa zetu, hakuna mijadala ya…
Malawi: Kampeni za uchaguzi wa urais zinaendelea katikati ya mgogoro mkali wa kiuchumi
Huku zikiwa zimesalia chini ya wiki mbili kabla ya uchaguzi wa urais nchini Malawi, kampeni zinaendelea kwa utulivu, lakini katikati ya mgogoro wa kiuchumi. Rais wa sasa Lazarus Chakwera anawania…
Amka Na BBC
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki Source link
Nigeria: China yapata mafanikio ya kimkakati katika sekta ya Saruji
Katika ulimwengu wa biashara, kampuni ya saruji ya China ya Huaxin imepata mafanikio ya kimkakati nchini Nigeria. Imenunua mitambo kadhaa ya saruji kutoka kwa kampuni ya Uswisi kwa dola bilioni…
Maonyesho makubwa ya silaha ya China yanasema nini kuhusu uwezo wake wa kijeshi?
Chanzo cha picha, Getty Images Maelezo kuhusu taarifa Author, Tessa Wong Nafasi, BBC Reporter Akiripoti kutoka China 4 Septemba 2025, 07:46 EAT Imeboreshwa Dakika 10 zilizopita China imezindua idadi kubwa…