Vyuo visaidie kuzalisha washauri wa ndoa
Katika jamii zetu, ushauri wa ndoa bado unaendeshwa zaidi kwa mazoea, imani binafsi au uzoefu...
#CAFCL: Hakuna goli kwa pande zote, tusubiri dakika 45 za kioindi cha pili
#CAFCL: Hakuna goli kwa pande zote, tusubiri dakika 45 za kioindi cha pili. HT: Esperance 0-0 Mamelodi LIVE #AzamSports2HD #CAFChampionsLeague #CCL #LigiYaMabingwaAfrika #Esperance #Mamelodi #EsperanceMamelodi (Feed generated with FetchRSS)
#CAFCL: Mashambulizi ni kwa zamu lakini mpaka sasa hakuna timu imegusa nyavu za mwenzake
#CAFCL: Mashambulizi ni kwa zamu lakini mpaka sasa hakuna timu imegusa nyavu za mwenzake. 40': Esperance 0-0 Mamelodi LIVE #AzamSports2HD #CAFChampionsLeague #CCL #LigiYaMabingwaAfrika #Esperance #Mamelodi #EsperanceMamelodi (Feed generated with FetchRSS)
#CRDBBankFederationCup Chuma ya mwisho imetoka kwake Alobogast Kyobya…!
#CRDBBankFederationCup Chuma ya mwisho imetoka kwake Alobogast Kyobya...! FT: AzamFC 4-0 Fountain Gate Ilikuwa LIVE #AzamSports1HD #CRDBBankFederationCup #KombeLaShirikishoLaCRDBBank #AzamFCvsFountainGate (Feed generated with FetchRSS)
Chadema yataka hatua za haraka sakata la kupanda kwa bei ya mafuta
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeeleza kushangazwa na kile kilichokiita...
Kumuajiri mfanyakazi wa ndani mwenye chini ya miaka 18 ni ukatili
Makamu Mkuu wa Chuo cha Padre Pio, Dk Yasin Mussa akizungumza wakati wa semina iliyowakutanisha...
Shughuli za kiuchumi, mawasiliano yarejea Rungwe daraja likikamilika
Huduma za mawasiliano na shughuli za kiuchumi zilizosimama kwa muda, zimerejea kwa wananchi wa...
Uuzaji, ugawaji viwanja Manispaa Kibaha wasababisha hasara Sh11.93 bilioni
Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, amefichua ukiukwaji...
Sh230 bilioni za NMB zilivyochochea mageuzi, uwekezaji
Benki ya NMB imeendelea kujipambanua kama kinara wa mageuzi ya sekta ya fedha nchini, ikiwekeza...
Kauli za wadau, ziara ya Chakwera ikifikisha siku nne
Ziara ya Mwakilishi wa Jumuiya ya Madola, Lazarus Chakwera, nchini imefikisha siku ya nne, huku...
Yanga yawaachia AS FAR kismati
USHINDI wa bao 1-0, ilioupata Yanga, Novemba 22, 2025, dhidi ya AS FAR Rabat, katika mechi ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika, imeiachia turufu muhimu timu…
Mashujaa yakomaa na beki Mzenji
BAADA ya Mashujaa FC, kumkosa aliyekuwa beki wa kati wa kikosi cha Coastal Union, Mzenji Haroub Mohamed, katika dirisha dogo la Januari 2026, inaelezwa mabosi wa maafande hao wanapambana naye…
Simba yatinga robo fainali CRDB BANK Federation Cup
Simba imetoka nyuma na kuichapa Dodoma Jiji kwa mabao 3-1, ikijihakikishia kutinga hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB, huku Singida BS ikiitupa nje Mbeya City.
Mwigulu ataja mkakati wa Serikali kukabili uhaba na bei ya mafuta
Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amewataka Watanzania kutokuwa na hofu kuhusu suala la mafuta...
Mkwakwani yang’ara viti 1800 vyafungwa, CCM yasistiza kukamilisha ukarabati
Zoezi la kufunga viti na ukarabati katika Uwanja wa CCM Mkwakwani limefikia asilimia 40, huku...
CAG abaini uhaba wa madaktari wa mazoezi, wauguzi MOI
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, CAG, Charles Kichere imebaini kuwepo...
Malecela: Amani msingi kukuza utalii nchini
Makamu wa Rais na Waziri Mkuu mstaafu, John Malecela amesema nchi haiwezi kuwa na utalii imara...
Simba, Singida zatinga robo fainali Shirikisho
Simba imetoka nyuma na kuichapa Dodoma Jiji kwa mabao 3-1, ikijihakikishia kutinga hatua ya...
Mamlaka za maji zabainika kutofikia lengo la upatikanaji wa huduma
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) amebaini mamlaka za maji katika kanda nne...
JKT Tanzania yalenga kuvunja rekodi, CRDB Federation Cup
KOCHA wa maafande wa JKT Tanzania, Ahmad Ally amesema licha ya mwenendo mzuri wa timu hiyo kwa sasa ila anataka kufikia rekodi ya msimu uliopita na kuandika nyingine mpya, baada…
FT: Simba 3-1 Dodoma
FT: Simba 3-1 Dodoma Powered by #MCHEZOSUPA JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA: - Tuma 1000 kupitia Airtel Money, Tigo Pesa, M - Pesa, Halopesa, kwenda namba ya kampuni 222223 kumbukumbu…
Azam FC yarudi kwa beki Mkongo
KUNA taarifa za Azam FC kufanya mazungumzo ya kumsajili beki wa kulia wa Al-Hilal Omdurman, Steven Ebuela aliyezaliwa Machi 07, 2001 (umri wa miaka 25) ili kuongeza nguvu msimu ujao…
🔴HAPA NA PALE KUTOKA ARUSHA, SERIKALI YAOMBWA KUDHIBITI TAKATAKA KWENYE MITARO- APRIL 12, 2026
🔴HAPA NA PALE KUTOKA ARUSHA, SERIKALI YAOMBWA KUDHIBITI TAKATAKA KWENYE MITARO- APRIL 12, 2026 (Feed generated with FetchRSS)
Ruto, Wabunge na Magavana Miongoni mwa Wageni Mashuhuri Waliopamba Harusi ya Kifahari Karen
Hafla hiyo ilikuwa ya ndoa ya Ronnie Kiprono na Terry Mwendwa, na ilitajwa kuwa mojawapo ya harusi za kifahari zaidi kuwahi kushuhudiwa Nairobi karibuni.
Ajali yaua wawili Mwanza, mwendo kasi watajwa
Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza limetao taarifa ya ajali ya gari iliyoua watu wawili ambao ni...
Mazungumzo ya Marekani, Iran yakikwama sintofahamu yatanda
Hali ya usalama katika Mashariki ya Kati huenda ikaingia tena kwenye sintofahamu kufuatia...
Mtanzania atambuliwa orodha viongozi bora wa masoko Afrika
Mkuu wa Idara ya Masoko wa Benki ya Stanbic Tanzania, Neemarose Singo, ametajwa miongoni mwa...
Miriam Odemba: Serikali iweke nguvu sekta ya mitindo
DAR ES SALAAM: MWANAMITINDO nguli Mtanzania, Miriam Odemba ameiomba Serikali kujizatiti kuunga mkono tasnia ya mitindo kwani inabeba sekta nyingi ikiwemo utalii. Miriam Odemba ametoa ombi hilo katika tukio maalumu…
Serikali, madaktari wahimiza matumizi ya helmet kuokoa maisha
Viongozi wa Serikali, wataalamu wa afya na madereva wa pikipiki maarufu bodaboda, leo Aprili...
Aliyeua mpenzi, kuutelekeza mwili chumbani akwaa kisiki mahakamani
Mahakama ya Rufani imetupilia mbali rufaa ya kupinga hukumu ya kunyongwa hadi kufa aliyokuwa...
Sokoine aenziwe kwa kutenda haki, usawa rasilimali: Paroko
Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Fransisko, Padri Arnold Baijukua, amewataka Watanzania kumuenzi...
HT: Simba 0-1 Dodoma
HT: Simba 0-1 Dodoma Powered by #MCHEZOSUPA JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA: - Tuma 1000 kupitia Airtel Money, Tigo Pesa, M - Pesa, Halopesa, kwenda namba ya kampuni 222223 kumbukumbu…
Global Coffee giants quietly reshape Tanzania’s rural economy
DAR ES SALAAM: As International Coffee Partners (ICP) marks its 25th anniversary, Tanzania stands out as a compelling example of how long-term collaboration can transform smallholder farming systems and reshape…
Wadau wa michezo wajitokeza kuinusuru African Sport kushuka daraja
Wadau wa klabu ya African Sport ya Tanga wametenga Sh 45 milioni ili kuwezesha timu yao kubaki...
Msafara wa Magari ya Kifahari ya William Ruto Akielekea Harusini Waduwaza Wakenya
Harusi ya kifahari ya mwana tajiri Ronnie Kip ilishuhudia magari ya kifahari yaliyowabeba maafisa wakuu serikalini wakihudhuria hafla hiyo na kuzua gumzo mitandaoni
Vijana kupigania Sh50 milioni kwenye ‘Uchumi Challenge’
Katika kukabiliana na mabadiliko mapya ya kiuchumi duniani, Wizara ya Vijana yaja na shindano...
Mtumishi mbaroni kwa tuhuma za ulawiti, yumo mwanafunzi
Watu Watatu wakazi wa Wilaya ya Igunga, mkoani Tabora wanadaiwa kulawitiwa na mtumishi wa...
Watatu wadaiwa kulawitiwa Igunga Tabora
Watu Watatu wakazi wa Wilaya ya Igunga, mkoani Tabora wanadaiwa kulawitiwa na mtumishi wa...
Wadau waiangukia SMZ kuhusu viwanja
WADAU wa michezo Zanzibar, wamesema viwanja vinavyoendelea kujengwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) vinapaswa kuwa mali ya umma na sio makundi machache yenye uwezo wa kifedha.
KVZ yarejea kileleni Ligi Kuu Zanzibar
HATIMAYE mzunguko wa 22 wa Ligi Kuu Zanzibar umemalizika kwa timu ya KVZ kurejea kileleni mwa msimamo ikiiondoa Fufuni iliyodumu kwa wiki moja katika nafasi hiyo.
Kundemba, Black Sailors vita ya FA Cup Unguja
ILE vita ya Ligi Daraja la Kwanza Kanda ya Unguja, sasa inahamia kwenye Kombe la Shirikisho (FA Cup) kwa Black Sailors kupambana na Kundemba.
Askari wanawake Manyara wajengewa uwezo
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Regina...
Tanesco yatakiwa kueleza faida matumizi majiko ya kisasa ya umeme
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Adamu Malima, amelielekeza Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco)...
Sichone afurahia maisha Uarabuni
MSHAMBULIAJI wa Kitanzania, Morice Sichone anayekipiga Gulf United inayoshiriki Ligi Daraja la Pili Falme za Kiarabu amesema amekuwa na wakati mzuri tangu ajiunge na timu hiyo.
Mpaja bado anapambana kufunga Uganda
MSHAMBULIAJI wa Tanzania, Husna Mpaja, anayekipiga She Corporate FC ya Uganda amesema hajafunga bao hadi sasa akiamini bado ana muda wa kutia mpira wavuni.
Kyombo aachiwa msala Napsa Stars
USAJILI wa mshambuliaji wa Kitanzania, Habib Kyombo kwenda Napsa Stars ya Zambia unatajwa kama moja ya sajili zitakazokwenda kuisaidia kumaliza ukata wa mabao kwenye eneo la ushambuliaji.
Mnoga alivyoitosa England kisa Taifa Stars
Beki wa kulia wa Salford City, Haji Mnoga amefunguka kwa nini aliamua kuichagua timu ya Taifa, Taifa Stars badala ya England alikozaliwa.
Serikali kuvalia njuga kero tano sekta ya uchukuzi
Wizara ya Uchukuzi imeahidi kuchukua hatua za haraka, kutatua changamoto tano zinazokwamisha...