OUT focuses on research innovation NDV2050
DAR ES SALAAM: THE Open University of Tanzania (OUT) is finalising its 25-year vision and the 2026- 2031 strategic plan, in which research and innovation have been placed among top…
Alex Matere aingia mbio za kusaka kiti cha Tim Wanyonyi eneobunge la Westlands kura ya 2027
Muundo wa kisiasa wa Nairobi unabadilika huku mbunge Tim Wanyonyi wa Westlands akiamua kusaka ugavana naye kiongozi wa vijana Alex Matere akiamua kusaka ubunge 2027.
Kumbe Juma ni kijana wa Katanga…Mama Mwamvita haelewi kabisa mambo ya binti yake kuwa pembeni ya utajiri wa mume wake
Kumbe Juma ni kijana wa Katanga...Mama Mwamvita haelewi kabisa mambo ya binti yake kuwa pembeni ya utajiri wa mume wake. Zora kawaonesha akili kubwa akishirikiana na Sanga. Usikose kutazama #ZoraSeries…
Govt, tour operators strengthen tourism partnership
ZANZIBAR: A TOURIST guide waiting for clients at Stone Town’s seafront is often the first face visitors meet in Zanzibar, a handshake that for many families translates into school fees…
Mbappe hatihati kuikosa Benfica
Hofu imetanda ndani ya kikosi cha Real Madrid baada ya nyota wao, Kylian Mbappé, kuripotiwa...
Samia backs tech-driven defence
DODOMA: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has said that the security of the nation in the modern era can no longer be guaranteed by traditional weaponry alone, but rather through the…
Achraf Hakimi kupanda kizimbani kwa tuhuma za ubakaji
Beki wa klabu ya Ufaransa, Paris Saint-Germain na timu ya taifa ya Morocco, Achraf Hakimi, ameshtakiwa rasmi kwa tuhuma za kumbaka mwanamke mmoja, wakili wake na mwendesha mashtaka wa Ufaransa…
Tour du Rwanda: Jurgen Zomermaand ashinda hatua ya 3 huko Rusizi
Mwendesha baiskeli rai awa Uholanzi, Jurgen Zomermaand, hapo jana alifanikiwa kushinda hatua ya 3 ya mashindano ya Tour du Rwanda kutoka kwenye mji wa Huye na kuishia Rusizi. Imechapishwa: 25/02/2026…
Mafaili ya Epstein yalivyogeuza juu chini maisha ya vigogo wa dunia – 15
Makamu wa Rais wa zamani, Chuo Kikuu cha Minnesota, aliyeshughulika na utafiti, Brian Herman...
Takriban watu milioni 6.5 wanakabiliwa na njaa kali kutokana na ukame ulioikumba Somalia
Serikali ya Somalia na Umoja wa Mataifa zimetangaza kuwa wananchi wa Somalia wasiopungua milioni 6.5 wanakabiliwa na njaa kali kutokana na ukame ulioiathiri nchi hiyo.
Mexico yawasaka wafungwa 23 waliotoroka gerezani wakati wa vurugu
Wakati wa machafuko hayo, watu wenye silaha waligonga milango ya gereza kwa gari, na kuwafungulia njia wafungwa 23 kutoroka
Somalia: Idadi ya watu wanaokabiliwa na njaa yaongezeka
Idadi ya watu wanaokabiliwa na hali mbaya ya chakula nchini Somalia, iliongezeka maradufu mwaka uliopita hadi kufikia watu milioni 6 na laki 5, wameonya wataalamu wa umoja wa Mataifa. Imechapishwa:…
Nida kubadili muundo vitambulisho vya Taifa
Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida) iko mbioni kuanza kutoa aina mpya ya Vitambulisho vya...
Pablo Escobar hadi “El Mencho”: Je, enzi ya viongozi wa magenge ya dawa za kulevya imekwisha
Kwa miongo kadhaa, Amerika Kusini imeshuhudia mapambano kati ya mamlaka za ndani na viongozi wa magenge ya biashara ya dawa za kulevya, viongozi wa magenge ambao wamejulikana kwa majina na…
Fahamu mfumo wa utawala wa Iran
Kiongozi wa kidini ndiye kamanda mkuu wa vikosi vya ulinzi vya Iran na anadhibiti vyombo vyote vya usalama.
Tetesi za soka Ulaya Jumatano: Man United wana nia ya kuwasajili wachezaji Morgan Gibbs-White na Elliot Anderson
Manchester United na Manchester City wanavutiwa na wachezaji wawili wa Nottingham Forest Morgan Gibbs-White na Elliot Anderson, wakati Felix Nmecha wa Borussia Dortmund, Yan Diomande wa RB Leipzig na Andrea…
Mohajerani: Iran inafadhilisha diplomasia badala ya vita
Msemaji wa serikali ya Iran amesema, Jamhuri ya Kiislamu inafadhilisha diplomasia kuliko vita, lakini inaviona viwili hivyo kama mikakati ya kulinda maslahi ya taifa la Iran.
Ripoti: Israel iliwamiminia risasi, kuwaua wafanyakazi wa misaada Tel al Sultan, Gaza
Karibu risasi elfu moja zilifyatuliwa na wanajeshi wa Israel katika mauaji ya kiholela dhidi ya wafanyakazi wa misaada huko Tel al-Sultan, Gaza, huku baadhi yao wakiuawa kwa kupigwa risasi kwa…
Msemaji wa M23 auawa katika shambulio la droni mashariki mwa DRC
Msemaji wa waasi wa M23 ameripotiwa kuuawa katika shambulio la ndege isiyo na rubani mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Madagascar: Ushirikiano wetu na BRICS utatupa fursa mpya
Rais wa mpito wa Madagascar, Michael Randrianirina amesema kwamba, nchi hiyo inatazama ushirikiano na jumuya ya BRICS kama njia ya kuelekea kwenye fursa mpya za kiuchumi na ushirikiano wa kimataifa.
Jibu kali la Iran kwa hatua ya Umoja wa Ulaya dhidi ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Katika kujibu hatua haramu ya Umoja wa Ulaya dhidi ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeyataja majeshi…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Feb 25, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania…
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: FEBRUARI 24, 2026
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: FEBRUARI 24, 2026 (Feed generated with FetchRSS)
🔴MCHEZO SUPA: BADILISHA FEBRUARI YAKO KWA BUKU TU..FEBRUARI 24, 2026
🔴MCHEZO SUPA: BADILISHA FEBRUARI YAKO KWA BUKU TU..FEBRUARI 24, 2026 (Feed generated with FetchRSS)
#HABARI: Viongozi wa Muungano wa Upinzani nchini Kenya, wamelaani kukithiri kwa ghasia zinazochochewa na siasa, kufuatia kutatiz…
#HABARI: Viongozi wa Muungano wa Upinzani nchini Kenya, wamelaani kukithiri kwa ghasia zinazochochewa na siasa, kufuatia kutatizwa kwa mikutano yao ya kisiasa katika Mji wa Kisii siku ya Jumatatu ambapo…
Northlands City: Video adimu ya mradi mkubwa wa familia ya Kenyatta wa nyumba za kifahari
Northland City ni mradi mkubwa eneo la Ruiru, unaomilikiwa na familia ya Kenyatta na unagharimu KSh bilioni 500. Mradi huo kwa kweli ni wa kupigiwa mfano.
Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba amepiga marufuku wanafunzi kwenda shuleni wakiwa na vidumu vya maji
Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba amepiga marufuku wanafunzi kwenda shuleni wakiwa na vidumu vya maji. Dkt. Mwigulu amepiga marufuku hiyo wakati akizindua rasmi mfumo wa uunganishaji wa huduma za maji kwa…
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Zainabu Katimba amesema Tanzania imeendelea kupiga hatua kubwa katika ukuaji wa matumizi ya te…
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Zainabu Katimba amesema Tanzania imeendelea kupiga hatua kubwa katika ukuaji wa matumizi ya teknolojia na kushauri kuwa inaweza kutumika kurahisisha upatikanaji wa haki kwa…
Wananchi wa kijiji cha Fela wilayani Misungwi mkoani Mwanza wanaoishi kwenye maeneo yanayopitiwa na mradi wa ujenzi wa reli ya k…
Wananchi wa kijiji cha Fela wilayani Misungwi mkoani Mwanza wanaoishi kwenye maeneo yanayopitiwa na mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa kipande cha tano, Mwanza–Isaka, wameiomba serikali kuzingatia ujenzi wa…
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Prof
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, amesema kuwa uwekezaji wa zaidi ya shilingi bilioni 700 uliofanywa na Kilombero Sugar Company Limited una mchango mkubwa…
Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) imevunja Bodi ya Wadhamini wa Kanisa la Waadventista Wasabato Tanzania kufuatia tuh…
Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) imevunja Bodi ya Wadhamini wa Kanisa la Waadventista Wasabato Tanzania kufuatia tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka na ubadhirifu wa mali za kanisa…
Jamii imehimizwa kuachana na imani potofu zinazowanyima watoto wenye mahitaji maalum fursa ya elimu, huku ikisisitizwa kuwa kila…
Jamii imehimizwa kuachana na imani potofu zinazowanyima watoto wenye mahitaji maalum fursa ya elimu, huku ikisisitizwa kuwa kila mtoto ana uwezo wa kujifunza endapo atapatiwa msaada unaostahili. Mkuu wa Mkoa…
Makueni: Afisa wa polisi afyatuka kama umeme baada ya kunaswa akilima bangi kituoni
Afisa wa polisi Ramadhan Mwiti Nassir alifyatuka baada ya kukamatwa akikuza bangi katika Kituo cha Polisi cha Ngoni huko Makueni. Uchunguzi unaendelea.
Mdau wa michezo, shabiki na mwanachama wa Young Africans Sports Club (Yanga) kutoka Geita, Hussein Makubi maarufu Mwananyanzala,…
Mdau wa michezo, shabiki na mwanachama wa Young Africans Sports Club (Yanga) kutoka Geita, Hussein Makubi maarufu Mwananyanzala, ameahidi kutoa zawadi ya shilingi milioni moja kwa timu itakayoshinda dabi ya…
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA USIKU – 24/02/2026
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA USIKU - 24/02/2026 (Feed generated with FetchRSS)
🔴TAARIFA YA HABARI USIKU FEBRUARI 24 – 2026 – MVUA YASABABISHA MADARAJA MATATU KUKATIKA MASWA
🔴TAARIFA YA HABARI USIKU FEBRUARI 24 - 2026 - MVUA YASABABISHA MADARAJA MATATU KUKATIKA MASWA (Feed generated with FetchRSS)
Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha Mkoani Simiyu, zimeleta adha kwa Wananchi wa Wilaya ya Maswa, baada ya madaraja makubwa matatu…
Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha Mkoani Simiyu, zimeleta adha kwa Wananchi wa Wilaya ya Maswa, baada ya madaraja makubwa matatu yanayounganisha Kata za Ipililo, Senani na Nguliguli kusombwa na Maji, huku…
Tume ya Ushindani (FCC), imeingia rasmi katika matumizi ya Mfumo wa Serikali wa Ukaguzi wa Bidhaa kwa Pamoja (TANOGA) ili kupam…
Tume ya Ushindani (FCC), imeingia rasmi katika matumizi ya Mfumo wa Serikali wa Ukaguzi wa Bidhaa kwa Pamoja (TANOGA) ili kupambana na uingizwaji wa bidhaa bandia. Akizungumza katika mkutano wa…
Tanzania yateuliwa mwenyeji ununuzi wa pamoja wa dawa SADC
Serikali ya Tanzania imeteuliwa kuwa mwenyeji wa Mpango wa Ununuzi wa Pamoja wa Dawa na...
Waangalizi kutoka MONUSCO wamewasili Uvira DRC
Waangalizi kutoka kwenye Kikosi cha wanajeshi wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa, wamewasili mjini Uvira, tayari kuanza kazi ya kuthathmini utekelezwaji wa usitishwaji wa vita kati ya jeshi la…
Senegal: Sonko awasilisha bungeni sheria mpya inayopinga ushoga
Nchini Senegal, Waziri Mkuu Ousmane Sonko amewasilisha bungeni sheria mpya, inayotoa adhabu kali kwa watu wanaojihusisha na vitendo na mapenzi ya jinsia moja katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi. Imechapishwa:…
AZAM FC vs MTIBWA SUGAR: “…tunataka tushinde mechi zote za nyumba”
AZAM FC vs MTIBWA SUGAR: “…tunataka tushinde mechi zote za nyumba” Kocha wa Azam FC, Florent Ibenge anasema wajipanga kuwa bora zaidi ya wapinzani wao Mtibwa Sugar ili kukaa kwenye…
AZAM FC vs MTIBWA SUGAR: “…tumefanya vikao”
AZAM FC vs MTIBWA SUGAR: “…tumefanya vikao” Kocha wa Mtibwa Sugar, Yusuph Chipo amesema anaamini wachezaji wake watazingatia marekebisho aliyofanya na makubaliano ya vikao walivyokaa kuelekea mchezo wao dhidi ya…
Uganda: Wanawake wawili wakamatwa kwa kosa la kubusiana hadharani
Mamlaka nchini Uganda zimeendelea kuwashikilia wanawake wawili waliokamatwa kwa kosa la kubusiana hadharani. Imechapishwa: 24/02/2026 – 17:13 Dakika 1 Wakati wa kusoma Matangazo ya kibiashara Soma yanayofuata Wendy faith na…
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Samia Suluhu Hassan, ametoa Ahadi hiyo leo Februari 24, 2026, wakati akiz…
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Samia Suluhu Hassan, ametoa Ahadi hiyo leo Februari 24, 2026, wakati akizindua jengo la Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa…
Ngong: CCTV Yawamulika Wanawake Wakiiba Ndani ya Duka la Jumla
Wanawake watatu katika Mji wa Ngong walinaswa kwenye CCTV wakiiba mafuta ya kupikia kutoka kwa Duka la jumla la Optidrops katika wizi ulioonekana kupangwa kiujanja.