Kuna wanaopendana halafu kuna Sara na Zein
Kuna wanaopendana halafu kuna Sara na Zein #AzamTWO (Feed generated with FetchRSS)
Samia abadili muundo wizara ya Profesa Kitila, ateua viongozi
Rais Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko ya muundo wa Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji...
Matetemeko ya ardhi ya Uturuki 2023 yalisababisha hasara ya dola bilioni 250: Erdogan
Rais wa Uturuki amesema ndani ya miaka mitatu miji iliyoathiriwa imejengwa upya na kuimarishwa.
Mradi wa ‘Mabasi Yaendayo Haraka’ mkoani Dar es Salaam umeendelea kuwa sehemu ya mataifa mbalimbali kujifunza namna bora ya uend…
Mradi wa 'Mabasi Yaendayo Haraka' mkoani Dar es Salaam umeendelea kuwa sehemu ya mataifa mbalimbali kujifunza namna bora ya uendeshaji wake. Hii leo viongozi wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar…
Melis hataki kuharibiwa ujana wake #AzamTWO
Melis hataki kuharibiwa ujana wake #AzamTWO (Feed generated with FetchRSS)
Kwa wasafiri wengi wanaopita Singida kwenda mikoa mbalimbali wamekuwa wakisalia na simulizi moja inayofanana na kuhamasisha ‘Uta…
Kwa wasafiri wengi wanaopita Singida kwenda mikoa mbalimbali wamekuwa wakisalia na simulizi moja inayofanana na kuhamasisha 'Utamu wa Kuku wa Singida'. Hivi umewahi kujiuliza ni kwa nini simulizi hiyo imeendelea…
Shirikisho la Soka la Morocco lakana taarifa za kujiuzulu kwa kocha
Taarifa zimesambaa katika mitandao ya kijamii ya kuwa kocha wa timu ya taifa ya Morocco, Walid Regragui amependekeza kujiuzulu.
Sekta ya Utalii inakuwa kwa kasi nchini ambapo kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa hivi karibuni na Wizara ya Maliasili na Utalii…
Sekta ya Utalii inakuwa kwa kasi nchini ambapo kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa hivi karibuni na Wizara ya Maliasili na Utalii inasema idadi ya Watalii wa kimataifa imefikia 2,097,823 kati…
Kobisi kaumbuka
Kobisi kaumbuka #KombolelaSeriea #KombolelaSeason2 (Feed generated with FetchRSS)
TBS yateketeza tani tatu za bidhaa hatarishi
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Kanda ya Kaskazini, limeteketeza bidhaa mbalimbali zenye...
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA USIKU – 06/2/2026
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA USIKU - 06/2/2026
TAARIFA YAHABARI SAA MBILI FEBRUARI 06 2026
TAARIFA YAHABARI SAA MBILI FEBRUARI 06 2026 (Feed generated with FetchRSS)
#HABARI: Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) imewataka wadau na wafanyabiashara kutoka taasisi mbalimbali kuwe…
#HABARI: Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) imewataka wadau na wafanyabiashara kutoka taasisi mbalimbali kuweka kipaumbele katika kukuza na kutangaza bidhaa zinazotengenezwa nchini, ili kuimarisha uchumi na kuinua viwanda…
#HABARI: Mbunge wa Tunduru Kaskazini Mheshimiwa Ado Shaibu Ado amesema kwamba Tanzania inapaswa kurejesha utamaduni wa siasa saf…
#HABARI: Mbunge wa Tunduru Kaskazini Mheshimiwa Ado Shaibu Ado amesema kwamba Tanzania inapaswa kurejesha utamaduni wa siasa safi ambapo wanasiasa wa itikadi tofauti wanaweza kupingana bila kuumizana na kukosoana bila…
Ukeketaji ukipungua, wadau wataka sheria kulinda wanawake watu wazima
Wakati matukio ya ukeketaji yakitajwa kupungua hadi kufikia asilimia nane, wadau wa haki za...
Maelfu ya Walibya wajitokeza kumzika mtoto wa Gaddafi
Maelfu ya Walibya walijitokeza kwa ajili ya mazishi ya mtoto wa Gaddafi ambaye alipigwa risasi na kuuawa wiki hii.
TAB yaomba msaada vifaa saidizi kwa watu wasioona
Jumuiya ya Watu Wasioona Tanzania (TAB) imewaomba wadau mbalimbali kuendelea kuwasaidia vifaa...
Mbunge wa viti maalumu mkoa wa njombe kwa Tiketi ya CCM Rebecca Sanga Nsemwa amechaguliwa kuwa mwenyekiti wa Bunge Sports Club
Mbunge wa viti maalumu mkoa wa njombe kwa Tiketi ya CCM Rebecca Sanga Nsemwa amechaguliwa kuwa mwenyekiti wa Bunge Sports Club. Rebeca amepata kura 158 dhidi ya mshindani wake Mh.Abbas…
ASKOFU Mkuu wa Global Concert Church (NGURUMO YA UPAKO), Nabii Mkuu na Mstahiki Meya wa Amani Duniani, Profesa GeorDavie K
ASKOFU Mkuu wa Global Concert Church (NGURUMO YA UPAKO), Nabii Mkuu na Mstahiki Meya wa Amani Duniani, Profesa GeorDavie K. Moses, amempongeza Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, kuelekea kutimia kwa…
Iran-Marekani: Mazungumzo yanatarajiwa kuendelea, kulingana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran
Iran na Marekani zimekubaliana “kuendelea na mazungumzo yao,” Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi ametangaza siku ya Ijumaa baada ya duru ya kwanza ya mazungumzo yaliyofanyika Oman,…
Maelfu wamzika mtoto wa Gaddafi aliyeuawa kwa risasi
Maelfu ya watu wamejitokeza Ijumaa kwa ajili ya mazishi ya mtoto wa mtawala wa zamani wa Liibya, Muammar Gaddafi, katika mji ambao bado unaendelea kuonyesha utii kwa kiongozi huyo wa…
KUTOKA ANGOLA: Kikosi cha Simba kimefanya mazoezi yake ya mwisho tayari kuikabili Petro Atletico kwenye mchezo wa Ligi ya Mabing…
KUTOKA ANGOLA: Kikosi cha Simba kimefanya mazoezi yake ya mwisho tayari kuikabili Petro Atletico kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL). Mechi ni saa 1:00 usiku LIVE #AzamSports2HD #CAFCL…
Halmashauri ya Kahama yavunja mkataba wa mkandarasi
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga imevunja mkataba kati yake na mkandarasi...
Chalamila aagiza hatua za haraka kukabili msongamano wa wanafunzi
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amemuagiza Katibu Tawala na Ofisa Elimu wa mkoa...
Posta kuwatumia wataalamu wa alama kurahisisha mawasiliano
Shirika la Posta Tanzania limepanga kuanza kuwatumia wataalamu wa lugha ya alama kuwezesha...
NBCPL: “Kwa nini tunaruhusu magoli kipindi cha pili”
NBCPL: “Kwa nini tunaruhusu magoli kipindi cha pili” Kocha msaidizi wa Coastal Union, Joseph Lazaro anasema mwenendo walionao na fikra zilizopo kwa wachezaji, wanaweza kujikuta wanapoteza mechi zote. Kocha huyo…
NBCPL: “Kwa nini tunaruhusu magoli kipindi cha pili”
NBCPL: “Kwa nini tunaruhusu magoli kipindi cha pili” Kocha msaidizi wa Coastal Union, Joseph Lazaro anasema mwenendo walionao na fikra zilizopo kwa wachezaji, wanaweza kujikuta wanapoteza mechi zote. Kocha huyo…
Aliyeshtakiwa kwa kusafirisha kilo nne za heroin ashinda kesi
Hukumu iliyomwachia huru mshtakiwa huyo imetolewa Februari 3, 2026, na Jaji George Kazi...
Familia, marafiki wamlilia mchezaji wa Kakamega Homeboyz, mchumba wake avujisha gumzo lao la mwisho
Mchezaji wa Kakamega Homeboyz Silas Abungana alifariki baada ya mzozo wa kifamilia. Mpenzi wake aliyehuzunika ameelezea kusikitishwa na hali iliyomkuta.
UN: Mashirika ya Haki za binadamu yako ‘taabani’
Mkuu wa Shirika la Umoja Mataifa linaloshughulikia haki za binadamu Volker Turk amefahamisha kuwa shughuli za shirika hilo zimekwama kutokana na ukosefu wa fedha kutokana na wafadhili kuacha kutoa ufadhili…
Rufaa ya aliyekuwa DED Simanjiro yagonga mwamba
Gunzah aliyekuwa DED wa Simanjiro kuanzia mwaka 2021 hadi 2023 alihukumiwa na Hakimu Mkazi Mkuu...
Chuo Kikuu Cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kwa kushirikiana na Zimbabwe na Chuo Kikuu cha Uingereza (OXFORD) wa…
Chuo Kikuu Cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kwa kushirikiana na Zimbabwe na Chuo Kikuu cha Uingereza (OXFORD) wamezindua mradi wa utafiti wa kupunguza ajali za barabarani kwa watoto…
Siaya: CCTV yanasa tukio la kutisha mwenye duka akiwaomba majambazi ndani ya kiosk yake wasimuue
Picha za CCTV kutoka kwenye kiosk huko Siaya zilinasa tukio la wizi wakati majambazi walipovamia usiku. Tukio hilo limezua maswali kuhusu hali ya usalama nchini.
Aga Khan, MZRH kushirikiana huduma bora za matibabu nchini
Hospitali ya Aga Khan na Hospitali ya Rufaa Kanda Mbeya (MZRH) zimetiliana saini makubaliano ya...
KUTOKA KWA MADIBA: Timu ya Taifa ya Tanzania imepata ushindi katika michezo yake miwili iliyocheza leo Februari 6, 2025 kwa kuif…
KUTOKA KWA MADIBA: Timu ya Taifa ya Tanzania imepata ushindi katika michezo yake miwili iliyocheza leo Februari 6, 2025 kwa kuifunga Zimbabwe kwa fremu 14-11 na baadae ikawafunga wenyeji Afrika…
KUTOKA KWA MADIBA: Timu ya Taifa ya Tanzania imepata ushindi katika michezo yake miwili iliyocheza leo Februari 6, 2025 kwa kuif…
KUTOKA KWA MADIBA: Timu ya Taifa ya Tanzania imepata ushindi katika michezo yake miwili iliyocheza leo Februari 6, 2025 kwa kuifunga Zimbabwe kwa fremu 14-11 na baadae ikawafunga wenyeji Afrika…
Iran yasifu mazungumzo na Marekani, yakataa kujadili silaha
Iran imesema mazungumzo ya nyuklia na Marekani Oman ni mwanzo mzuri huku hofu ya vita ikitanda Mashariki ya Kati. Tehran yakataa kujadili mpango wa makombora, yakisisitiza kuondolewa kwa vikwazo.
Wanafunzi wataja mwarobaini kero ya usafiri
Baadhi ya wanafunzi nchini wameeleza adha wanazokumbana nazo wanapotumia usafiri wa umma, huku...
Abbas Araqchi: Mazungumzo ya Muscat yamekuwa na mwanzo mzuri
Sayyid Abbas Araqchi Waziri wa Mambo ya nje wa Iran amesema kuwa, mazungumzo ya nyuklia yasiyo ya moja kwa moja na Marekani huko Muscat Oman yamekuwa na mwanzo mzuri, huku…
Baraza la Mazingira nchini (NEMC) limesema linaendelea kushirikiana na Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kwa ajili y…
Baraza la Mazingira nchini (NEMC) limesema linaendelea kushirikiana na Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kwa ajili ya upangaji mzuri wa na utambuzi wa maeneo kwa lengo la kutunza…
KUTOKA MOROCCO: Kocha wa Yanga Pedro Goncalves yupo anasema timu yake ipo tayari kuikabili AS FAR katika Uwanja wao wa nyumbani …
KUTOKA MOROCCO: Kocha wa Yanga Pedro Goncalves yupo anasema timu yake ipo tayari kuikabili AS FAR katika Uwanja wao wa nyumbani na kupata matokeo mazuri yatakayowasaidia kufuzu hatua ya robo…
KUTOKA MOROCCO: Kocha wa Yanga Pedro Goncalves yupo anasema timu yake ipo tayari kuikabili AS FAR katika Uwanja wao wa nyumbani …
KUTOKA MOROCCO: Kocha wa Yanga Pedro Goncalves yupo anasema timu yake ipo tayari kuikabili AS FAR katika Uwanja wao wa nyumbani na kupata matokeo mazuri yatakayowasaidia kufuzu hatua ya robo…
Araghchi asema mazungumzo na Marekani ni mwanzo mzuri
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi ametaja mazingira ya mazungumzo na Marekani kuwa mazuri huku pande hizo mbili zikikubaliana kuendelea na mazungumzo zaidi.
Mkuu wa wilaya ya Mpanda, Jamila Yusuph amevitaka vikundi 24 vilivyopokea mikopo ya asilimia 10 kutoka halmashauri kutumia fedha…
Mkuu wa wilaya ya Mpanda, Jamila Yusuph amevitaka vikundi 24 vilivyopokea mikopo ya asilimia 10 kutoka halmashauri kutumia fedha za mkopo katika kujikwamua biashara zao na shughuli za ujasiriamali sambamba…
Kumbukizi ya Profesa Hubert Clemence Kairuki: Urithi wa maono ya maendeleo katika sekta ya afya na elimu nchini
Hospitali ya Kairuki, iliyoanzishwa mwaka 1987, ilikuwa hatua ya kihistoria katika maendeleo ya...
Watu 31 wauawa katika shambulizi nchini Pakistan
Watu 31 wameuawa na wengine zaidi ya 170 kujeruhiwa leo wakati mlipuaji wa kujitoa mhanga kufa alipolipua bomu katika msikiti wa Washia wa Khadija Tul Kubra Imambargah viungani mwa Islamabad…
Tafrani ODM: Oburu Oginga amfunda Edwin Sifuna baada ya kuamsha hoja nzito kwenye mahojiano ya TV
Kiongozi wa ODM Oburu Odinga alimkosoa SG wa chama Edwin Sifuna kwa kuhoji uongozi wake, akisisitiza mgawanyiko kuhusu sera za chama na ushirikiano na UDA.
Merz: Umoja wa Ulaya uko tayari kwa mazungumzo na Urusi
Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz amesema leo kuwa Umoja wa Ulaya daima uko tayari kufanya mazungumzo na Urusi katika juhudi za kumaliza vita nchini Ukraine, lakini "hautafungua njia zozote sambamba…
Shambulio la kujitoa muhanga laua watu 31 Msikitini Pakistan
Karibu watu 31 wamefariki na wengine zaidi ya 150 wamejeruhiwa katika shambulizi la kujitoa muhanga kwenye msikiti wa madhehebu ya Shia uliopo kwenye mji mkuu wa Pakistan, Islamabad wakati wa…
MSIMAMO: Pamba Jiji yatua nafasi ya tatu kutoka nafasi ya tano
MSIMAMO: Pamba Jiji yatua nafasi ya tatu kutoka nafasi ya tano. #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #Msimamo #Standing #LeagueTable #ImenogaZaidi