Skip to content
  • Wed. Jul 15th, 2026

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE

Latest Post

DC Kubecha amaliza mgogoro Ikwimba Jeshi lenye nguvu zaidi barani Afrika lafichua mfumo wa siri wa makombora wa Urusi UN yalaani mashambulizi dhidi ya wafanyakazi na miundombinu ya misaada ya kibinadamu nchini Iran Ufaransa yafungua milango yake kwa nchi 13 kuingia bila visa, taifa moja tu la Afrika lanufaika FIFA yazua utata kwa kuvunja sheria zake katika fainali ya Kombe la Dunia 2026
HABARILEO

DC Kubecha amaliza mgogoro Ikwimba

July 15, 2026 mjombazecoder
IDHAA YA DUNIA

Jeshi lenye nguvu zaidi barani Afrika lafichua mfumo wa siri wa makombora wa Urusi

July 15, 2026 mjombazecoder
HABARI ZA KIPEKEE

UN yalaani mashambulizi dhidi ya wafanyakazi na miundombinu ya misaada ya kibinadamu nchini Iran

July 15, 2026 mjombazecoder
TUKO SWAHILI NEWS

Ufaransa yafungua milango yake kwa nchi 13 kuingia bila visa, taifa moja tu la Afrika lanufaika

July 15, 2026 mjombazecoder
TUKO SWAHILI NEWS

FIFA yazua utata kwa kuvunja sheria zake katika fainali ya Kombe la Dunia 2026

July 15, 2026 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
DC Kubecha amaliza mgogoro Ikwimba
HABARILEO
DC Kubecha amaliza mgogoro Ikwimba
Jeshi lenye nguvu zaidi barani Afrika lafichua mfumo wa siri wa makombora wa Urusi
IDHAA YA DUNIA
Jeshi lenye nguvu zaidi barani Afrika lafichua mfumo wa siri wa makombora wa Urusi
UN yalaani mashambulizi dhidi ya wafanyakazi na miundombinu ya misaada ya kibinadamu nchini Iran
HABARI ZA KIPEKEE
UN yalaani mashambulizi dhidi ya wafanyakazi na miundombinu ya misaada ya kibinadamu nchini Iran
Ufaransa yafungua milango yake kwa nchi 13 kuingia bila visa, taifa moja tu la Afrika lanufaika
TUKO SWAHILI NEWS
Ufaransa yafungua milango yake kwa nchi 13 kuingia bila visa, taifa moja tu la Afrika lanufaika
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
LTV ENGLISH NEWS
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
HABARILEO
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Tamasha la Miaka 30 ya Bongo Fleva kufanyika Mlimani City
MWANANCHI
Tamasha la Miaka 30 ya Bongo Fleva kufanyika Mlimani City
DC Kubecha amaliza mgogoro Ikwimba
HABARILEO
DC Kubecha amaliza mgogoro Ikwimba
Jeshi lenye nguvu zaidi barani Afrika lafichua mfumo wa siri wa makombora wa Urusi
IDHAA YA DUNIA
Jeshi lenye nguvu zaidi barani Afrika lafichua mfumo wa siri wa makombora wa Urusi
UN yalaani mashambulizi dhidi ya wafanyakazi na miundombinu ya misaada ya kibinadamu nchini Iran
HABARI ZA KIPEKEE
UN yalaani mashambulizi dhidi ya wafanyakazi na miundombinu ya misaada ya kibinadamu nchini Iran
Ufaransa yafungua milango yake kwa nchi 13 kuingia bila visa, taifa moja tu la Afrika lanufaika
TUKO SWAHILI NEWS
Ufaransa yafungua milango yake kwa nchi 13 kuingia bila visa, taifa moja tu la Afrika lanufaika
TZSPORTS

PRISONS vs MASHUJAA: Chuma ya kazi ipo katika dimba la Sokoine Mbeya kwa ajili ya mechi ya NBC Premier League kati ya Tanzania P…

February 6, 2026 mjombazecoder

PRISONS vs MASHUJAA: Chuma ya kazi ipo katika dimba la Sokoine Mbeya kwa ajili ya mechi ya NBC Premier League kati ya Tanzania Prisons dhidi ya Mashujaa FC. Mechi ni…

MWANASPOTI

Ndayiragije afurahia kuwanasa kina Nkane

February 6, 2026 mjombazecoder

KOCHA Mkuu wa TRA United, Etienne Ndayiragije, amesema maboresho yaliyofanywa na kikosi hicho katika dirisha dogo la usajili yamezingatia mahitaji, na ana matarajio makubwa na nyota wote waliojiunga na timu…

ASTV TANZANIA

Wawakilishi wa Marekani hii leo wanatarajiwa kufanya mazungumzo na wenzao wa Iran jijini Muscat, nchini Oman kuhusu mpango wa ny…

February 6, 2026 mjombazecoder

Wawakilishi wa Marekani hii leo wanatarajiwa kufanya mazungumzo na wenzao wa Iran jijini Muscat, nchini Oman kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran. #AzamTVUpdates Mhariri | John Mbalamwezi

ASTV TANZANIA

Wananchi wanaosumbuliwa na ugonjwa wa mabusha mkoani Lindi wametakiwa kujitokeza kwenye kambi ya upasuaji wa mabusha inayotaraji…

February 6, 2026 mjombazecoder

Wananchi wanaosumbuliwa na ugonjwa wa mabusha mkoani Lindi wametakiwa kujitokeza kwenye kambi ya upasuaji wa mabusha inayotarajiwa kutolewa na madaktari bingwa kuanzia Februari 9 - 25 mwaka huu katika Hospitali…

MWANANCHI

Rais Mwinyi awafariji familia ya Munde, Nassor

February 6, 2026 mjombazecoder

Wawili hao walifariki dunia kwa nyakati tofauti wakati wakipatiwa matibabu katika Hospitali ya...

ASTV TANZANIA

Serikali imekiri uwepo wa masharti magumu ya benki zinazotumika kutoa mikopo ya asilimia kumi na kufanya kuwa miongoni mwa sabab…

February 6, 2026 mjombazecoder

Serikali imekiri uwepo wa masharti magumu ya benki zinazotumika kutoa mikopo ya asilimia kumi na kufanya kuwa miongoni mwa sababu zinazokwamisha vikundi kupata huduma hiyo, jambo ambalo bado linaendelea kuzua…

TZSPORTS

KUTOKA KWA ‘MADIBA”: Mtanzania Jackson Ng’anyi ametinganusu fainali ya mashindano ya mchezo wa Pool kwa kumfunga Mtanzania mwenz…

February 6, 2026 mjombazecoder

KUTOKA KWA ‘MADIBA”: Mtanzania Jackson Ng’anyi ametinganusu fainali ya mashindano ya mchezo wa Pool kwa kumfunga Mtanzania mwenzke Omary Akida hatua ya robo fainali. Katika mchezo huo, wachezaji wote walionesha…

ASTV TANZANIA

Mchambuzi wa masuala ya kimataifa, Ibrahim Rahbi amedai kuwa Rais wa Marekani, Donald Trump amejikuta akiingia kwenye migogoro n…

February 6, 2026 mjombazecoder

Mchambuzi wa masuala ya kimataifa, Ibrahim Rahbi amedai kuwa Rais wa Marekani, Donald Trump amejikuta akiingia kwenye migogoro na washirika wake wa kisiasa kutokana na kwenda kinyume na sera ya…

HABARI ZA KIPEKEE

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran: Mapinduzi ya Kiislamu yameitoa Iran kwenye utumwa wa Marekani

February 6, 2026 mjombazecoder

Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amezungumzia maadhimisho ya miaka 47 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu na kubainisha kwamba: "katika kipindi hiki, zimefanyika kazi kubwa…

DW SWAHILI

Marekani, Iran zaanza kuzungumza kwa kutishiana

February 6, 2026 mjombazecoder

Mazungumzo ya ngazi ya juu kati ya Iran na Marekani yameanza Ijumaa nchini Oman, katika juhudi za kupunguza mvutano unaohusiana na mpango wa nyuklia wa Tehran na kuzuia kuzuka kwa…

TZSPORTS

MTIBWA vs NAMUNGO FC: Kocha wa Mtibwa Sugar, Yusuf Chipo amesema wataanza kwa kuangalia mapungufu ya mpinzani wao yalipo ili wak…

February 6, 2026 mjombazecoder

MTIBWA vs NAMUNGO FC: Kocha wa Mtibwa Sugar, Yusuf Chipo amesema wataanza kwa kuangalia mapungufu ya mpinzani wao yalipo ili wakifanya mabadiliko ya wachezaji yakatoe matokeo chanya uwanjani. Naye nahodha…

IDHAA YA DUNIA

Kwa nini mazungumzo ya Iran na Marekani ni nyeti

February 6, 2026 mjombazecoder

Haya ni mazungumzo ya kwanza ya moja kwa moja tangu kile kilichoitwa "vita vya siku 12," vilivyoibuka baada ya shambulio la Israel dhidi ya Iran na kuibua hofu ya vita…

MWANASPOTI

Waziri Riziki awataadharisha wawekezaji kwenye sanaa Zanzibar

February 6, 2026 mjombazecoder

Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Zanzibar Riziki Pembe, ametoa wito kwa wawekezaji kwenye sanaa Zanzibar kuzingatia mila na tamaduni.

DW SWAHILI

Miji zaidi yakabiliwa na baa la njaa mjini Darfur

February 6, 2026 mjombazecoder

Vita vinavyoendelea nchini Sudan vimeendelea kusababisha hali ngumu ya maisha, huku njaa ikizidi kuenea katika maeneo yanayokumbwa na mapigano, hususan katika eneo la Darfur magharibi mwa nchi hiyo.

TZSPORTS

AZAM FC vs AS MANIEMA: Kocha mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge amesema amewaelekeza wachezaji kucheza kwa kujiamini kwa kuwa wamej…

February 6, 2026 mjombazecoder

AZAM FC vs AS MANIEMA: Kocha mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge amesema amewaelekeza wachezaji kucheza kwa kujiamini kwa kuwa wamejiandaa vema. Ibenge amesema watacheza kama Azam na hivyo mchezo…

TUKO SWAHILI NEWS

Charles Wangari: Familia ya Mkenya aliyeuawa katika vita vya Urusi-Ukraine yaandaa mkesha bila mwili

February 6, 2026 mjombazecoder

Familia inamwomboleza Charles Wangari, mchezaji wa zamani wa Kubali FC aliyeuawa katika jeshi la Urusi. Ukumbusho ulifanyika bila mwili unaangazia msiba wa vita.

MWANANCHI

Zungu ahimiza Watanzania kukipenda Kiswahili, amkingia kifua Shingo

February 6, 2026 mjombazecoder

Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Zungu amewataka Watanzania kuionea fahari lugha yao ya...

TRT SWAHILI

Rais wa Uturuki aadhimisha kumbukumbu ya miaka 3 ya tetemeko la ardhi

February 6, 2026 mjombazecoder

Kulingana na Rais Recep Tayyip Erdogan, ukarabati ulifanyika katika maeneo yaliyoathirika zaidi na tetemeko la mwaka 2023, akisema kuwa waathirika wataendelea kukumbukwa.

TUKO SWAHILI NEWS

Mahakama Kuu yaamuru IG Kanja, bosi wa DCI kumleta kortini mfanyabiashara aliyetoweka Busia maiti au hai

February 6, 2026 mjombazecoder

Mahakama Kuu yaamuru IG Douglas Kanja na bosi wa DCI Mohamed Amin kueleza kuhusu mfanyabiashara aliyetoweka, Ahmed Ibrahim, aliyeripotiwa kutekwa nyara na KSh 17.5m.

TZSPORTS

AZAM FC vs AS MANIEMA: Kocha wa klabu ya AS Maniema, Papy Kimoto Okitankoyi amesema wanatambua Azam ni timu bora hasa ikiwa nyum…

February 6, 2026 mjombazecoder

AZAM FC vs AS MANIEMA: Kocha wa klabu ya AS Maniema, Papy Kimoto Okitankoyi amesema wanatambua Azam ni timu bora hasa ikiwa nyumbani lakini wamekuja na lengo kuu la kuzitafuta…

MWANANCHI

Maandalizi ufunguzi Soko Kuu Kariakoo, wamachinga wahama

February 6, 2026 mjombazecoder

Wamachinga wanaofanya biashara katika mitaa ya kuingia Soko Kuu la Kariakoo wameondoa meza na...

Mkoa wa Lindi unatarajia kuanza kambi rasmi ya matibabu ya upasuaji wa mabusha kuanzia Februari 9 hadi 25, 2026, ambapo zaidi ya…

February 6, 2026 mjombazecoder

Mkoa wa Lindi unatarajia kuanza kambi rasmi ya matibabu ya upasuaji wa mabusha kuanzia Februari 9 hadi 25, 2026, ambapo zaidi ya wananchi 500 wanatarajiwa kufanyiwa upasuaji huo bila malipo.…

HABARI ZA KIPEKEE

Olmert akiri: Maangamizi ya kizazi cha Wapalestina yanafanyika Ukingo wa Magharibi

February 6, 2026 mjombazecoder

Waziri Mkuu wa zamani wa utawala wa kizayuni wa Israel Ehud Olmert amekiri kwamba polisi, jeshi na Shirika la Usalama wa Ndani la utawala huo (Shabak) wanahusika katika mashambulizi yaliyopangwa…

HABARI ZA KIPEKEE

Tabibu wa viungo: Huenda Trump akawa amebakiwa na miaka 2 hadi 4 tu ya kuishi

February 6, 2026 mjombazecoder

Mtaalamu wa tiba ya viungo Adam James, amezungumzia baadhi ya harakati na alama za kimwili za Donald Trump na kutahadharisha kwamba, huenda rais huyo wa Marekani asiishi zaidi ya miaka…

HABARI ZA KIPEKEE

Nguesso kuwania tena urais baada ya kuitawala Jamhuri ya Kongo kwa zaidi ya miaka 40

February 6, 2026 mjombazecoder

Rais wa Jamhuri ya Kongo (Brazzaville), Denis Sassou Nguesso, ametangaza kwamba atagombea tena urais wa nchi hiyo katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika mwezi ujao wa Machi, akiwa na lengo la kusalia…

HABARI ZA KIPEKEE

Waziri Mkuu wa Uhispania: Lazima serikali iwalinde watoto na ‘sumu’ ya mitandao ya kijamii

February 6, 2026 mjombazecoder

Waziri Mkuu wa Uhispania Pedro Sanchez amesema, nguvu ya serikali ipo kuzilinda demokrasia na "mashambulizi zinayopata" na kuwalinda watoto na vijana na "ulimwengu wenye madhara makubwa, usioadhibiwa" ambavyo ndivyo imekuwa…

DW SWAHILI

Kagame aitaka Rwanda kujitegemea zaidi

February 6, 2026 mjombazecoder

Rais wa Rwanda Paul Kagame Alhamis alitoa mwito kwa nchi yake kujitegemea zaidi.

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kuthibitisha uimara wake kama mhimili wa amani, mshikamano na maendeleo ya Taifa, huku kik…

February 6, 2026 mjombazecoder

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kuthibitisha uimara wake kama mhimili wa amani, mshikamano na maendeleo ya Taifa, huku kikitimiza miaka 49 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1977, kikiwa kimebeba mafanikio makubwa…

MWANANCHI

Barabara ya njia nane, dawa ya msongamano Bandari ya Dar

February 6, 2026 mjombazecoder

Soma zaidi hapa...

IDHAA YA DUNIA

Jinsi sakata ya Epstein inavyokuza propaganda za Urusi

February 6, 2026 mjombazecoder

Faili za Epstein ni uthibitisho wa masimulizi ya muda mrefu ya Kremlin kuhusu kuzorota kwa maadili ya Magharibi na unyanyasaji wa kijinsia wa dhidi ya watoto

TZSPORTS

KUTOKA ANGOLA: Angola ni miongoni mwa mataifa machache duniani yanayozungumza Kireno ikiwa ni lugha rasmi ya Taifa

February 6, 2026 mjombazecoder

KUTOKA ANGOLA: Angola ni miongoni mwa mataifa machache duniani yanayozungumza Kireno ikiwa ni lugha rasmi ya Taifa. Kwa Afrika ni Guinea Bissau, Msumbiji, Angola na Cape Verde wanaotumia lugha hii…

TZSPORTS

VIWANJANI: “Simba hawana tena cha kupoteza…”

February 6, 2026 mjombazecoder

VIWANJANI: “Simba hawana tena cha kupoteza…” Mchambuzi wa soka, Philip Nkini amesema mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) kati ya Atletico De Luanda dhidi ya Simba SC ni mchezo…

TZSPORTS

ZANZIBAR CUP KASKAZI 2026: Seif Shaban Seif anasema mwaka jana ‘alitisha’ sana kwenye mashindano ya #Vishada, changamoto ndogond…

February 6, 2026 mjombazecoder

ZANZIBAR CUP KASKAZI 2026: Seif Shaban Seif anasema mwaka jana 'alitisha' sana kwenye mashindano ya #Vishada, changamoto ndogondogo zilikuwa ni upepo tu. Uhondo unaanza kesho Februari 7. Mashindano yatakayoanza ni…

Mbunge wa Jimbo la Malindi, Muhsin Haji Ussi ameiomba Serikali kupitia Wizara ya Vijana kuweka fedha kwaajili ya mitaji rafiki k…

February 6, 2026 mjombazecoder

Mbunge wa Jimbo la Malindi, Muhsin Haji Ussi ameiomba Serikali kupitia Wizara ya Vijana kuweka fedha kwaajili ya mitaji rafiki kwa Vijana Nchini. Ameyasema hayo leo Bungeni Jijini Dodoma ambapo…

TZSPORTS

KUTOKA MOROCCO: Meneja habari na mawasiliano wa Yanga SC amefunguka sababu za nyota wao mpya Buba Jammeh kutokuungana na timu nc…

February 6, 2026 mjombazecoder

KUTOKA MOROCCO: Meneja habari na mawasiliano wa Yanga SC amefunguka sababu za nyota wao mpya Buba Jammeh kutokuungana na timu nchini Morocco. Kamwe ametoa ratiba ya mchezaji huyo namna atakavyofika…

TZSPORTS

AZAM FC vs MANIEMA UNION: Nyota wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ awaita Watanzania kuujaza uwanja wa New Amaan Complex, Zanzi…

February 6, 2026 mjombazecoder

AZAM FC vs MANIEMA UNION: Nyota wa Azam FC, Feisal Salum 'Fei Toto' awaita Watanzania kuujaza uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar kwa ajili ya mchezo wao wa kesho wa…

TZSPORTS

KUTOKA ANGOLA: “Mazoezi ya leo ndio mazoezi ya mechi kabisa…”

February 6, 2026 mjombazecoder

KUTOKA ANGOLA: “Mazoezi ya leo ndio mazoezi ya mechi kabisa…” Meneja habari na mawasiliano wa Simba SC Ahmed Ally, alipozungumza jana na mwandishi wa #AzamTV @mangasore_ ambapo amebainisha kuwa mazoezi…

TZSPORTS

ZANZIBAR CUP KASKAZI 2026: Lukman Mohamed Abdallah anasema mwaka jana hakufanya vizuri kwenye mashindano ya #vishada, mwaka huu …

February 6, 2026 mjombazecoder

ZANZIBAR CUP KASKAZI 2026: Lukman Mohamed Abdallah anasema mwaka jana hakufanya vizuri kwenye mashindano ya #vishada, mwaka huu sasa amepania haswa. Uhondo unaanza kesho Februari 7. Mashindano yatakayoanza ni ya…

ASTV TANZANIA

Maafisa na askari wa Jeshi la Polisi Tanzania waliomaliza muda wao wa kuhudumu katika operesheni ya kulinda amani nchini Sudan K…

February 6, 2026 mjombazecoder

Maafisa na askari wa Jeshi la Polisi Tanzania waliomaliza muda wao wa kuhudumu katika operesheni ya kulinda amani nchini Sudan Kusini wamevishwa nishani katika gwaride maalum, ikiwa ni kutambua mchango…

ASTV TANZANIA

Huyu ni Abdulkarim Mahadhi, kijana aliyebuni mashine ya mazoezi isiyotumia umeme

February 6, 2026 mjombazecoder

Huyu ni Abdulkarim Mahadhi, kijana aliyebuni mashine ya mazoezi isiyotumia umeme. Amesema ubunifu wake wa kutengeneza mashine hiyo umetokana na changamoto alizoziona katika matumizi ya mashine za kisasa, hususan gharama…

CRI SWAHILI

Trump atoa wito wa mkataba mpya wa kudhibiti silaha za nyuklia badala ya kuongeza muda wa New START

February 6, 2026 mjombazecoder

Rais wa Marekani Donald Trump ametoa wito wa mkataba mpya kufuatia kumalizika muda kwa mkataba wa kudhibiti silaha za nyuklia wa New START na Urusi.

TZSPORTS

KUTOKA MOROCCO: Mkuu wa msafara Yanga SC, Rogers Gumbo ambaye pia ni mjumbe wa Kamati ya Utendaji wa timu hiyo amesema maandaliz…

February 6, 2026 mjombazecoder

KUTOKA MOROCCO: Mkuu wa msafara Yanga SC, Rogers Gumbo ambaye pia ni mjumbe wa Kamati ya Utendaji wa timu hiyo amesema maandalizi kuelekea mchezo wa hapo kesho dhidi ya AS…

ASTV TANZANIA

Rais wa Jamuhuri ya Uganda, Yoweri Museveni anatarajia kuwasili nchini kwa ziara ya siku moja ya kikazi

February 6, 2026 mjombazecoder

Rais wa Jamuhuri ya Uganda, Yoweri Museveni anatarajia kuwasili nchini kwa ziara ya siku moja ya kikazi. Rais Museveni atawasili keaho Jumamosi Januari 7,2026 na kufanya mazungumzo na mwenyeji wake,…

TZSPORTS

YANGA SC vs AS FAR: “Cha kwanza ni kujilinda…”

February 6, 2026 mjombazecoder

YANGA SC vs AS FAR: “Cha kwanza ni kujilinda…” Mchambuzi wa soka, @lilianmukulu_ amesema jambo muhimu katika mchezo wa kesho Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) kwa Yanga SC watakapokuwa wanacheza…

CRI SWAHILI

Vifo vinavyotokana na theluji nchini Japani vyaongezeka hadi 42

February 6, 2026 mjombazecoder

Idara ya Moto na Usimamizi wa Majanga nchini Japani inasema watu 42 wamefariki katika matukio yanayohusiana na hali mbaya za msimu wa baridi kali na theluji nyingi nchini humo tangu…

CRI SWAHILI

Faida ya uendeshaji ya Mitsubishi Motors na Suzuki Motor yapungua mwezi Aprili hadi Desemba

February 6, 2026 mjombazecoder

Kampuni ya magari ya Mitsubishi Motors ilipata hasara halisi ya yeni bilioni 4.4, au takriban dola milioni 28 kwa kipindi cha miezi tisa hadi mwezi Desemba mwaka jana, huku ushuru…

CRI SWAHILI

Maonyesho ya magari yaangaziwa zaidi Indonesia, magari ya umeme ya China ni maarufu

February 6, 2026 mjombazecoder

Maonyesho ya kimataifa ya magari yalianza Februari 5 nchini Indonesia, ambako mauzo ya magari ya umeme yanaongezeka kwa kasi na watengenezaji magari wa China wataangaziwa mno wakati wa maonyesho hayo.

CRI SWAHILI

India yaongeza kodi ya tumbaku, huenda ikasababisha kupotea kwa ajira

February 6, 2026 mjombazecoder

India imeongeza kodi kwenye sigara na bidhaa za tumbaku, ikiongeza kiwango cha msingi cha kodi kutoka asilimia 28 hadi asilimia 40 kuanzia mwezi huu.

CRI SWAHILI

Ukraine na Urusi zabadilishana wafungwa kufuatia mazungumzo ya pande tatu

February 6, 2026 mjombazecoder

Maafisa waandamizi kutoka Ukraine, Urusi na Marekani wamekutana kwa ajili ya awamu nyingine ya mazungumzo ya kukomesha mapigano. Wamesema walibadilishana wafungwa 157 kutoka Ukraine na 157 kutoka Urusi baada ya…

CRI SWAHILI

Mazungumzo ya nyuklia kati ya Marekani na Iran kufanyika nchini Oman

February 6, 2026 mjombazecoder

Maafisa waandamizi wa Marekani na Iran wanajiandaa kufanya mazungumzo nchini Oman Februari 6 kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran. Swali kuu ni ikiwa duru hii ya mazungumzo itasababisha kupungua kwa…

Posts pagination

1 … 509 510 511 … 1,065

Recent Posts

  • DC Kubecha amaliza mgogoro Ikwimba
  • Jeshi lenye nguvu zaidi barani Afrika lafichua mfumo wa siri wa makombora wa Urusi
  • UN yalaani mashambulizi dhidi ya wafanyakazi na miundombinu ya misaada ya kibinadamu nchini Iran
  • Ufaransa yafungua milango yake kwa nchi 13 kuingia bila visa, taifa moja tu la Afrika lanufaika
  • FIFA yazua utata kwa kuvunja sheria zake katika fainali ya Kombe la Dunia 2026

Recent Comments

  1. Ernestaxorn on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  2. Wiiamcheaf on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  3. MichLit on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  4. AnnaInsOm on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  5. nedvijimiimoti.blog on Tamasha la Miaka 30 ya Bongo Fleva kufanyika Mlimani City

Archives

  • July 2026
  • June 2026
  • May 2026
  • April 2026
  • March 2026
  • February 2026
  • January 2026
  • December 2025
  • November 2025
  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • June 2025
  • August 2024
  • July 2024
  • May 2023
  • June 2016

Categories

  • ASTV TANZANIA
  • CRI SWAHILI
  • DW SWAHILI
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • HABARILEO
  • IDHAA YA DUNIA
  • ITVBONGO
  • LTV ENGLISH NEWS
  • MAGAZETI
  • MWANANCHI
  • MWANASPOTI
  • RFI SWAHILI
  • TRT SWAHILI
  • TUKO SWAHILI NEWS
  • TZSPORTS
  • Uncategorized

You missed

HABARILEO

DC Kubecha amaliza mgogoro Ikwimba

July 15, 2026 mjombazecoder
IDHAA YA DUNIA

Jeshi lenye nguvu zaidi barani Afrika lafichua mfumo wa siri wa makombora wa Urusi

July 15, 2026 mjombazecoder
HABARI ZA KIPEKEE

UN yalaani mashambulizi dhidi ya wafanyakazi na miundombinu ya misaada ya kibinadamu nchini Iran

July 15, 2026 mjombazecoder
TUKO SWAHILI NEWS

Ufaransa yafungua milango yake kwa nchi 13 kuingia bila visa, taifa moja tu la Afrika lanufaika

July 15, 2026 mjombazecoder

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS