Skip to content
  • Tue. Jul 14th, 2026

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE

Latest Post

MP urges leaders to uphold integrity Schools told to align courses with market needs GGML targets 2.6bn/- for HIV fight Rights record stands strong Scientific evidence boosts drug convictions
LTV ENGLISH NEWS

MP urges leaders to uphold integrity

July 14, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Schools told to align courses with market needs

July 14, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

GGML targets 2.6bn/- for HIV fight

July 14, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Rights record stands strong

July 14, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Scientific evidence boosts drug convictions

July 14, 2026 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
MP urges leaders to uphold integrity
LTV ENGLISH NEWS
MP urges leaders to uphold integrity
Schools told to align courses with market needs
LTV ENGLISH NEWS
Schools told to align courses with market needs
GGML targets 2.6bn/- for HIV fight
LTV ENGLISH NEWS
GGML targets 2.6bn/- for HIV fight
Rights record stands strong
LTV ENGLISH NEWS
Rights record stands strong
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
LTV ENGLISH NEWS
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
HABARILEO
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Tamasha la Miaka 30 ya Bongo Fleva kufanyika Mlimani City
MWANANCHI
Tamasha la Miaka 30 ya Bongo Fleva kufanyika Mlimani City
MP urges leaders to uphold integrity
LTV ENGLISH NEWS
MP urges leaders to uphold integrity
Schools told to align courses with market needs
LTV ENGLISH NEWS
Schools told to align courses with market needs
GGML targets 2.6bn/- for HIV fight
LTV ENGLISH NEWS
GGML targets 2.6bn/- for HIV fight
Rights record stands strong
LTV ENGLISH NEWS
Rights record stands strong

WFP yasitisha msaada Sudan Kusini kufuatia mashambulizi dhidi ya misafara ya chakula

February 4, 2026 mjombazecoder

Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) leo Februari 4, 2026 limetangaza kusitisha shughuli zake zote katika kaunti ya Baliet, jimbo la Upper Nile, nchini Sudan…

MWANANCHI

Serikali yaonya makondakta daladala wanaotesa wanafunzi vituoni

February 4, 2026 mjombazecoder

Makondakta wamekuwa wakigoma kuwabeba wanafuzni kwa kisingizio cha kibiashara wakidai wanafunzi...

Uncategorized

WHO: Asilimia 40 ya magonjwa ya saratani duniani yanaweza kuzuilika

February 4, 2026 mjombazecoder

Kuelekea Siku ya Saratani Duniani inayoadhimishwa Februari 4 kila mwaka, Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa Duniani (WHO) na Shirika la Kimataifa la Utafiti Kuhusu Saratani (IARC) wamebainisha kuwa…

TRT SWAHILI

Morocco kuikatia rufaa adhabu waliyopewa Senegal

February 4, 2026 mjombazecoder

Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) lilitoa adhabu kali kwa Senegal na Morocco kufuatia vurugu wakati wa fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika 2025 (AFCON 2025).

TZSPORTS

VIWANJANI: “Fedha katika mpira wetu zipo ligi kuu sana…”

February 4, 2026 mjombazecoder

VIWANJANI: “Fedha katika mpira wetu zipo ligi kuu sana...” Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), anayewakilisha Mkoa wa Mara Augustine Mgendi, amesema changamoto kubwa…

IDHAA YA DUNIA

Baada ya miaka mingi ya ukame, Arsenal inakaribia kuukana ‘utoto?

February 4, 2026 mjombazecoder

Arsenal inakaribia kutwaa taji lao la kwanza tangu mwaka 2020 baada ya kuichapa Chelsea mabao 4-2 kw aujumla katika mechi ya nusu fainali ya kombe la Carabao.

MWANANCHI

Hofu yatanda majengo ya kihistoria Kikwajuni kubomolewa

February 4, 2026 mjombazecoder

Soma zaidi hapa...

ASTV TANZANIA

Chama cha Wasambazaji wa Bidhaa na Watoa Huduma Migodini (TAMISA), kimewataka vijana kuchangamkia mikopo inayotolewa na Serikali…

February 4, 2026 mjombazecoder

Chama cha Wasambazaji wa Bidhaa na Watoa Huduma Migodini (TAMISA), kimewataka vijana kuchangamkia mikopo inayotolewa na Serikali kwa ajili ya kuwawezesha kupata mitaji. Mwenyekiti wa TAMISA, Peter Kumalilwa amesena katika…

DW SWAHILI

Jeshi la Sudan lauvunja mzingiro katika mji wa Kadugli

February 4, 2026 mjombazecoder

Jeshi la Sudan limesema limeuvunja mzingiro wa miaka mingi katika mji wa Kadugli. Hatua hii ya sasa nchini Sudan inaashiria mabadiliko katika muelekeo wa vita vinavyoikumba nchi hiyo.

DW SWAHILI

HRW: Mfumo wa haki za binadamu duniani upo hatarini

February 4, 2026 mjombazecoder

Ripoti ya kila mwaka iliyotolewa leo na Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW), inaonyesha kuwa mfumo wa kimataifa wa haki za binadamu uko hatarini.

DW SWAHILI

Mashambulizi ya anga ya Israel yawaua watu 9 huko Gaza

February 4, 2026 mjombazecoder

Shirika la ulinzi wa raia la Gaza limesema mashambulizi ya anga ya Israel yamewaua watu tisa katika eneo la Wapalestina, ikiwemo watoto watatu.

HABARI ZA KIPEKEE

Jalali: Madai ya Trump kwamba anawaunga mkono Wairani hayana msingi

February 4, 2026 mjombazecoder

Balozi wa Iran nchini Russia, Kazem Jalali amepuuzilia mbali matamshi ya hivi karibuni ya Rais wa Marekani Donald Trump akidai kuwa analiunga mkono na kulisaidia taifa la Iran, akisisitiza kuwa…

DW SWAHILI

Jeshi la Sudan lavunja mzingiro na kudhibiti mji wa Kadugli

February 4, 2026 mjombazecoder

Jeshi la Sudan limesema limeuvunja mzingiro wa miaka mingi katika mji wa Kadugli na kutoa matumaini kwa maelfu ya watu wanaokabaliwa na kitisho cha baa la njaa.

DW SWAHILI

Kansela Merz kuanza ziara ya kwanza kanda ya Ghuba

February 4, 2026 mjombazecoder

Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz, leo anaanza ziara yake ya kwanza katika eneo muhimu lenye utajiri na la kimkakati la Ghuba.

DW SWAHILI

Wajumbe wa Ukraine, Urusi na Marekani kukutana Abu Dhabi

February 4, 2026 mjombazecoder

Wasuluhishi kutoka Ukraine, Urusi na Marekani wanatarajiwa kukutana leo mjini Abu Dhabi, wakitafuta kuendeleza mazungumzo tete ya namna ya kumaliza vita vya karibu miaka minne.

DW SWAHILI

Wahamiaji 15 wafa kisiwani Ugiriki kufuatia ajali ya majini

February 4, 2026 mjombazecoder

Watu wasiopungua 15 wamefariki baada ya boti ya doria ya walinzi wa pwani ya Ugiriki kugongana na boti iliyowabeba wahamiaji nje ya pwani ya kisiwa cha Chios Jumanne usiku.

DW SWAHILI

HRW yasema mfumo wa haki za kidinadamu duniani uko hatarini

February 4, 2026 mjombazecoder

Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema haki za binadamu zadorora. Marekani, Urusi, Iran na Afghanistan zatuhumihiwa, huku dhidi ya mashoga ikiongezeka.

TRT SWAHILI

Vifo 4 kati ya 10 vya Saratani barani Afrika vinaweza kuzuiwa kutokana na ugunduzi wa mapema: WHO

February 4, 2026 mjombazecoder

Afrika inakabiliwa na changamoto za kipekee zinazoathiri wagonjwa wa Saratani ikiwemo ugunguzi wa kuchelewa na ukosefu wa vifaa vya kutosha vya matibabu

TUKO SWAHILI NEWS

Sifuna aunga mkono uongozi mpya Azimio, asisitiza ODM kingali katika muungano: “Sisi ni wanachama”

February 4, 2026 mjombazecoder

Edwin Sifuna amethibitisha ODM kingali mwanachama katika Azimio, pia alipuuza madai eti chama hicho kilitoka huku mabadiliko ya uongozi yakifanyika.

MWANANCHI

Maneno ya Khadija Kopa kuhusu kifo cha Ally Star

February 4, 2026 mjombazecoder

Mkurugenzi wa Bendi ya Tanzania One Theatre (TOT), Khadija Kopa amesema mwimbaji na mtunzi wa...

MWANANCHI

Sababu kifo cha mwanamuziki Ally Star

February 4, 2026 mjombazecoder

Msanii wa muziki wa taarabu na Bendi ya Tanzania One Theatre (TOT), Abdul Misambano...

HABARI ZA KIPEKEE

Seneta wa Nigeria: Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, nembo ya uhuru duniani

February 4, 2026 mjombazecoder

Seneta Shehu Sani wa Nigeria ambaye pia ni mkuu wa Jukwaa la Haki za Kiraia la Nigeria (CRCN), amesema Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ya mwaka 1979 ni vuguvugu la…

TZSPORTS

FOUNTAIN GATE vs NAMUNGO: “Wao kwa sababu wapo nyumbani naona wanaweza kupata matokeo mazuri…”

February 4, 2026 mjombazecoder

FOUNTAIN GATE vs NAMUNGO: “Wao kwa sababu wapo nyumbani naona wanaweza kupata matokeo mazuri…” Mchambuzi wa soka @akingamkono amesema faida ya kuwa nyumbani kwa timu ya Fountain Gate FC pamoja…

HABARI ZA KIPEKEE

Israel yaendelea kumwaga damu za Wapalestina, yaua 20 Gaza

February 4, 2026 mjombazecoder

Mashambulizi mapya ya kinyama ya utawala wa Kizayuni wa Israel yamewaua shahidi watu wasiopungua 20, wakiwemo watoto wadogo katika Ukanda wa Gaza.

HABARI ZA KIPEKEE

ANC yamkosoa Mfalme wa Afrika Kusini kwa kuwaalika maafisa wa Israel

February 4, 2026 mjombazecoder

Chama tawala cha African National Congress (ANC) kimemkosoa vikali Mfalme wa Afrika Kusini, Buyelekhaya Dalindyebo kufuatia uamuzi wake tata wa kuwaalika maafisa kutoka Ubalozi wa Israel kutembelea hospitali za umma…

HABARI ZA KIPEKEE

Mashambulizi ya droni yaua watu 15 Kadugli, kusini mwa Sudan

February 4, 2026 mjombazecoder

Raia wasiopungua 15, wakiwemo watoto saba, wameuawa katika mashambulizi ya ndege zisizo na rubani katika mji wa Kadugli kusini mwa Sudan. Hayo yamesemwa na kundi la kujitolea la wenyeji na…

MWANANCHI

Mwamba wa Apocalypto umeanguka

February 4, 2026 mjombazecoder

Mwigizaji wa Apocalypto Gerardo Taracena amefariki dunia. Mkali huyu alikuwa mmoja wa wachezaji...

TZSPORTS

Robo Fainali DFB Pokal kuendelea leo Jumatano

February 4, 2026 mjombazecoder

Robo Fainali DFB Pokal kuendelea leo Jumatano Je, timu gani kuifata Leverkusen kwenye hatua ya nusu fainali? Mchezo huu kuruka mbashara kupitia AzamSports2HD. #DFBPokal #Azamtvsports

DW SWAHILI

Wapatanishi wa mzozo wa Kongo wakutana na Museveni

February 4, 2026 mjombazecoder

Jopo maalumu la upatinishi la Umoja wa Afrika limesisitiza kuwa bara hilo linatakiwa kuhusika moja kwa moja katika kuutatua mzozo wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

DW SWAHILI

Trump aurefusha mkataba wa AGOA

February 4, 2026 mjombazecoder

Rais wa Marekani Donald Trump ametia saini sheria inayorefusha mkataba wa biashara kati ya Marekani na Afrika, AGOA, hadi Desemba 31 mwaka huu wa 2026.

IDHAA YA DUNIA

Saif al-Islam Gaddafi: Mwana wa kiongozi wa zamani aliyeuawa Libya ni nani?

February 4, 2026 mjombazecoder

Kifo chake kimetokea wakati ambapo Libya bado inakabiliwa na msukosuko unaotokana na makundi yenye silaha, mamlaka zinazopingana kisiasa, na utawala dhaifu wa serikali kuu unaendelea kuchochea ghasia.

TUKO SWAHILI NEWS

Kithure Kindiki amjibu Fred Matiang’i, atishia kuanika tambara lake bovu: “Nitakuaibisha”

February 4, 2026 mjombazecoder

Naibu Rais Kithure Kindiki alimkemea Fred Matiang'i, akidai kushindwa kwake katika elimu na kutishia kumfichua kuhusu uuzaji wa ardhi wenye utata.

TZSPORTS

VIWANJANI: Mchambuzi wa soka @rashidy_hamis amesema KMC FC inatakiwa kushinda michezo yake miwili iliyosalia kwenye mzunguko wa …

February 4, 2026 mjombazecoder

VIWANJANI: Mchambuzi wa soka @rashidy_hamis amesema KMC FC inatakiwa kushinda michezo yake miwili iliyosalia kwenye mzunguko wa kwanza wa NBC Premier League ili kufufua matumaini ya kusogea nafasi za juu.…

TZSPORTS

VIWANJANI: “Unajua kuna changamoto ya muunganiko vilevile….”

February 4, 2026 mjombazecoder

VIWANJANI: “Unajua kuna changamoto ya muunganiko vilevile....” Meneja wa klabu ya Simba Patrick Rweyemamu, amesema wanaelekea Angola wakiwa na kikosi cha wachezaji 23 huku wakiwa na maingizo ya wachezaji wapya…

TUKO SWAHILI NEWS

Mkasa Njoro Girls: Upasuaji wa maiti wathibitisha chanzo cha kifo cha ghafla cha mwanafunzi

February 4, 2026 mjombazecoder

Uchunguzi wa maiti uliofanyiwa Brenda Akinyi ulionyesha kwamba alifariki baada ya ubongo wake kuvimba, hali aliyoipata alipokuwa shule ya Njoro Girls.

ASTV TANZANIA

Ni kiungo gani katika mwili wa binadamu ambacho hakipati saratani?

February 4, 2026 mjombazecoder

Ni kiungo gani katika mwili wa binadamu ambacho hakipati saratani? A. Moyo ❤️ B. Koo 🗣️ C. Mapafu 🌬️ Chagua jibu sahihi na utuandikie kwenye coment #AzamTVUpdates

TUKO SWAHILI NEWS

Sifuna adai njia ya hakika ya ODM kuendelea kukaa katika upinzani ni kumuunga mkono Ruto

February 4, 2026 mjombazecoder

Katibu Mkuu wa ODM Edwin Sifuna Alionya kwamba kujihusisha kwa chama hicho na Rais William Ruto kunaweza kuingia katika upinzani baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2027.

ASTV TANZANIA

Katika jitihada za kuhakikisha vyanzo vya maji vinaendelea kuwa salama, Bodi ya Maji Bonde la Wami-Ruvu imewawezesha wananchi wa…

February 4, 2026 mjombazecoder

Katika jitihada za kuhakikisha vyanzo vya maji vinaendelea kuwa salama, Bodi ya Maji Bonde la Wami-Ruvu imewawezesha wananchi wa Kijiji cha Msonge, mkoani Morogoro, kuanzisha mradi wa ufugaji wa samaki.…

MWANANCHI

Sababu ‘smartphone’ kutajwa kupanda bei 2026

February 4, 2026 mjombazecoder

Soma zaidi hapa...

MWANANCHI

Mtoto wa Gaddafi auawa nyumbani kwake Libya

February 4, 2026 mjombazecoder

Mazingira ya kifo chake hayajatangazwa rasmi, lakini vyombo vya habari vya Libya vimeripoti...

MWANANCHI

Wanafunzi wa masomo ya amali wanaongezeka, ufaulu wapungua

February 4, 2026 mjombazecoder

Tanzania imeendelea kushuhudia ongezeko la wanafunzi wanaodahiliwa katika mtalaa wa amali kila...

MWANANCHI

Simu mpya zazinduliwa kukuza huduma za kidijitali

February 4, 2026 mjombazecoder

Katika hatua muhimu ya kukuza ujumuishaji wa huduma za kidijitali nchini, Yas imeungana na...

ASTV TANZANIA

Afisa Afya wa Mkoa wa Dar es Salaam, Richard Shabani amewashauri watoa huduma katika vituo vya masaji pamoja na saluni kuchukua …

February 4, 2026 mjombazecoder

Afisa Afya wa Mkoa wa Dar es Salaam, Richard Shabani amewashauri watoa huduma katika vituo vya masaji pamoja na saluni kuchukua tahadhari za kiafya kwa kujikinga wakati wa kutoa huduma…

CRI SWAHILI

Maswali na Majibu: Jinsi ya Kufanya Kazi kwa Usalama nchini Japani (1)

February 4, 2026 mjombazecoder

(1) Hali za kazi

CRI SWAHILI

Kampuni ya Jera ya Japani yatia saini mkataba wa miaka 27 wa kununua LNG kutoka Qatar

February 4, 2026 mjombazecoder

Kampuni kubwa zaidi ya kuzalisha umeme ya Japani ya Jera, imetia saini mkataba wa muda mrefu wa kununua gesi asilia ya kimiminika, LNG kutoka Qatar, kuanzia mwaka 2028. Jera inasema…

CRI SWAHILI

Uhispania yapitisha azimio la kupigwa marufuku kwa mitandao ya kijamii kwa watoto baada ya Ufaransa na Denmark

February 4, 2026 mjombazecoder

Uhispania imekuwa nchi ya hivi karibuni barani Ulaya kuzingatia upigaji marufuku wa mitandao ya kijamii kwa watoto.

CRI SWAHILI

Chama cha Kikomunisti cha China na Kuomintang cha Taiwan chafanya kongamano la kwanza baada ya miaka 9

February 4, 2026 mjombazecoder

Kongamano la wanataaluma lililohudhuriwa na maafisa kutoka Chama cha Kikomunisti cha China na chama kikubwa zaidi cha upinzani cha Kuomintang cha Taiwan lilifanyika China Februari 3. Vyombo vya habari vya…

CRI SWAHILI

Rais wa Iran amwambia Waziri wake wa Mambo ya Nje aendelee na mazungumzo na Marekani

February 4, 2026 mjombazecoder

Rais wa Iran Masoud Pezeshkian anasema amemwagiza Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo kuendelea na mazungumzo na Marekani.

CRI SWAHILI

Zelenskyy alaani shambulio la Urusi dhidi ya miundombinu ya nishati ya Ukraine

February 4, 2026 mjombazecoder

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy ameilaani Urusi kwa kushambulia miundombinu ya nishati ya Ukraine.

CRI SWAHILI

Mama wa Mjapani aliyetekwa nyara atimiza umri wa miaka 90, arudia matumaini yake ya kuungana tena (Sauti ya AI kwa Kiswahili)

February 4, 2026 mjombazecoder

Mama wa mwanamke Mjapani aliyetekwa nyara na Korea Kaskazini ameelezea matumaini ya kuungana tena na binti yake baada ya karibu miaka 50 ya kutengana.

Posts pagination

1 … 514 515 516 … 1,061

Recent Posts

  • MP urges leaders to uphold integrity
  • Schools told to align courses with market needs
  • GGML targets 2.6bn/- for HIV fight
  • Rights record stands strong
  • Scientific evidence boosts drug convictions

Recent Comments

  1. Wiiamcheaf on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  2. MichLit on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  3. AnnaInsOm on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  4. nedvijimiimoti.blog on Tamasha la Miaka 30 ya Bongo Fleva kufanyika Mlimani City
  5. Phillippaica on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit

Archives

  • July 2026
  • June 2026
  • May 2026
  • April 2026
  • March 2026
  • February 2026
  • January 2026
  • December 2025
  • November 2025
  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • June 2025
  • August 2024
  • July 2024
  • May 2023
  • June 2016

Categories

  • ASTV TANZANIA
  • CRI SWAHILI
  • DW SWAHILI
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • HABARILEO
  • IDHAA YA DUNIA
  • ITVBONGO
  • LTV ENGLISH NEWS
  • MAGAZETI
  • MWANANCHI
  • MWANASPOTI
  • RFI SWAHILI
  • TRT SWAHILI
  • TUKO SWAHILI NEWS
  • TZSPORTS
  • Uncategorized

You missed

LTV ENGLISH NEWS

MP urges leaders to uphold integrity

July 14, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Schools told to align courses with market needs

July 14, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

GGML targets 2.6bn/- for HIV fight

July 14, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Rights record stands strong

July 14, 2026 mjombazecoder

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS