Lebanon: Italia inataka kudumisha uwepo wake wa kijeshi baada ya kuondoka kwa kikosi cha UM
Italia inataka kudumisha uwepo wake wa kijeshi nchini Lebanon baada ya kuondoka kwa wanajeshi wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa, ambao wamepangwa kuondoka nchini humo kuanzia Desemba 31, 2026,…
Tanzania, UNICEF agree to deepen ties in social service provision
DODOMA: THE Tanzanian government has affirmed its commitment to further deepen existing relations with the United Nations Children’s Fund (UNICEF) in promoting the well-being of the country’s children and the…
🔴HAPA NA PALE KUTOKA IRINGA – DISEMBA 22, 2025 –
🔴HAPA NA PALE KUTOKA IRINGA - DISEMBA 22, 2025 -
Droni katika anga za Ujerumani, kitisho cha Usalama
Ujerumani imerekodi zaidi ya droni 1,000 mwaka 2025 zinazotia mashaka zilizoonekana katika anga yake, hii ikiwa ni kulingana na Mkuu wa Ofisi ya Polisi ya Shirikisho ya Kupambana na Uhalifu…
AFCON 2025: Mali kumenyana na Zambia
Mali na Zambia wanamenyana Desemba 22 kwa mechi ya kwanza ya hatua ya makundi ya AFCON 2025 katika Uwanja wa Mohammed V huko Casablanca. Mechi imeanza saa mchana (UTC), na…
Jenerali mkuu wa Urusi auawa katika shambulio la gari Moscow
Jenerali mwandamizi wa jeshi la Urusi ameuawa katika shambulio la bomu la gari jijini Moscow, huku wachunguzi wakifuatilia nadharia mbalimbali, ikiwa ni pamoja na uwezekano wa kuhusika kwa idara za…
Janabi azitahadharisha nchi za Afrika misaada WHO ikipungua kwa asilimia 70
Amesema hiyo imetokana na kujitoa kwa mataifa makubwa ikiwemo Marekani, hali iliyosababisha...
Tanzania,Misri kukuza utalii wa kitamaduni
JAMHURI ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Kiarabu ya Misri zimekubaliana kushirikiana katika kukuza na kuendeleza utalii wa kitamaduni na mali kale kati ya nchi hizo mbili. The post…
DRC: Mashambulizi ya ADF yazidi kuongezeka Mashariki, inayokumbwa na vita vya AFC/M23
Wakati kundi la waasi la M23 likipanua udhibiti wake wa kimaneo katika mkoa wa Kivu Kusini na kutawala vyombo vya habari, tishio lingine linaendelea kuwakabili wakazi wa mashariki mwa Jamhuri…
Latra yaonya wanaolipisha leseni bila kibali
Songwe. Mamlaka y Udhibiti wa Usafiri Ardhini (Latra) imepiga marufuku watu wanaochukua tenda...
#HABARI: Jeshi la Polisi Tanzania limethibitisha kuwa hali ya usalama nchini imeendelea kuwa shwari tangu kutolewa kwa ripoti ya…
#HABARI: Jeshi la Polisi Tanzania limethibitisha kuwa hali ya usalama nchini imeendelea kuwa shwari tangu kutolewa kwa ripoti ya usalama Desemba 12, 2025. Utulivu huo umechangiwa na ushirikiano wa Watanzania…
Ripoti: Putin ana nia ya kuyatwaa maeneo ya Ukraine
Urusi imekanusha taarifa za intelijensia ya Marekani kwamba inalenga kuyatwaa maeneo zaidi ya Ukraine na kurejesha sehemu za ardhi ya Ulaya zilizokuwa himaya ya umoja wa Kisovieti.
Uturuki yaahidi kuimarisha ushirikiano wa kijeshi na mataifa ya Afrika
Ushirikiano kati ya Uturuki na mataifa ya Afrika umeimarika sana katika miaka ya hivi karibuni, katika sekta mbalimbali ikiwemo ulinzi.
Tanzania kuendelea kuuza mahindi Malawi
TANZANIA imeihakikishia Malawi kuwa ipo tayari kuendelea kushirikiana katika biashara ya mahindi. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo anayesimamia Maendeleo ya Mazao na Usalama wa Chakula, Dk Stephen Nindi…
Wanachuo waliomjeruhi mwenzao ‘kisa mwanaume’ wapigwa faini ya Sh15 milioni
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu adhabu ya kulipa faini ya Sh15 milioni au kwenda...
Ajali za moto zilivyotikisa wafanyabiashara 2025
Ajali hiyo iliongeza idadi ya ajali za moto zilizoripotiwa upande wa Kariakoo kwa mwaka 2025...
RUWASA embarks on an exercise to assess water service delivery in 25 regions
DAR ES SALAAM: THE Director General of the Rural Water Supply and Sanitation Agency (RUWASA), Engineer Wolta Kirita, has said that the agency is fully prepared to ensure the quality,…
Krismasi, Mwaka Mpya 2026 ziwe msingi wa amani
KESHOKUTWA ni siku ya Mkesha wa Sikukuu ya Krismasi inayosherehekewa Desemba 25, 2025. Siku kama hiyo wiki ijayo; Alhamisi, Januari Mosi, 2026 ni Sikukuu ya Mwaka Mpya. Hizi ni sikukuu…
Great Lakes region renews efforts to restore region’s peace, security
ENTEBBE: THE Great Lake Region’s Heads of State and Government held in-depth discussions in a renewed bid to restore peace and security in the eastern Democratic Republic of the Congo.…
Kutoka Kanda ya Ziwa hadi Kaskazini mwa Tanzania signal zimesoma kusini hadi Kigoma jirani na majirani wa nje
Kutoka Kanda ya Ziwa hadi Kaskazini mwa Tanzania signal zimesoma kusini hadi Kigoma jirani na majirani wa nje. Satellite za makachero wa Sentro zimeshapangwa, chaneli zipo kwenye mstari wa kufunguka,…
#HABARI: Wakulima wa Wilaya ya Igunga, mkoani Tabora wanatarajia kuongeza uzalishaji katika mazao ya kilimo, baada ya kuacha kut…
#HABARI: Wakulima wa Wilaya ya Igunga, mkoani Tabora wanatarajia kuongeza uzalishaji katika mazao ya kilimo, baada ya kuacha kutumia jembe la mkono na kuhamia katika matrekta madogo aina ya Kubota,…
Ujenzi wa Daraja la Pangani lenye urefu wa mita 525 umefikia asilimia zaidi ya 65 huku ukitarajia kukamilika Februari 2027 kwa m…
Ujenzi wa Daraja la Pangani lenye urefu wa mita 525 umefikia asilimia zaidi ya 65 huku ukitarajia kukamilika Februari 2027 kwa mujibu wa mkandarasi anayesimamia mradi huo. Daraja hilo linatarajiwa…
Makosa ya kifedha katika Krismasi, Mwaka Mpya
BADO takriban siku mbili Wakristo nchini waungane na wenzao duniani kusherehekea kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Yesu Kristo yapata miaka milioni mbili iliyopita, yaani Noel; Sikukuu ya Krismasi itakayofuatiwa na mkesha…
CRDB yatoa ufadhili wa masomo kwa wanafunzi
Wanafunzi watatu kutoka shule tofauti jijini Dar es Salaam wameshinda ufadhili wa masomo kutoka...
Kila Mtanzania mzalendo ni muumini wa maridhiano
SERIKALI ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imeonesha dhamira ya dhati ya maridhiano ya kweli tangu alipoingia madarakani. Alifungua mazungumzo ya kisiasa baina ya serikali na…
#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Mara Kanali Evans Mtambi, amesema mkoa wake unakabiliwa na changamoto ya kusuasua kwa ujenzi wa barabar…
#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Mara Kanali Evans Mtambi, amesema mkoa wake unakabiliwa na changamoto ya kusuasua kwa ujenzi wa barabara za kimkakati kwa kiwango cha lami, zikiwamo zile zinazounganisha…
Tanroads Mbeya yaagizwa kumsimamia mkandarasi
SERIKALI imemuagiza Meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Mbeya amsimamie mkandarasi anayejenga barabara ya Katumba–Lupaso wilayani Rungwe ili ujenzi huo usisababishe kukatika mawasiliano kwa wananchi. The post…
Wananchi watakiwa kudumisha amani, mshikamano
Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Suleiman Masoud Makame amewahimiza wananchi...
NAOT kushirikisha wadau ripoti za ukaguzi
OFISI ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT) imesema itaendelea kushirikisha wadau wazielewe ripoti za ukaguzi na kuchangia katika kuimarisha uwajibikaji wa matumizi ya rasilimali za umma. Mchumi Mwandamizi wa NAOT, Emanuel…
MV Kazi halts ferrying service due to technical hitches
DAR ES SALAAM: THE Tanzania Electrical, Mechanical and Electronics Services Agency (TEMESA) has announced the temporary suspension of the MV KAZI ferry due to technical challenges affecting its operating systems.…
Jalada aliyemjeruhi mumewe kwa kumkata uume latua NPS
Jalada la mashtaka kuhusu tuhuma zinazomkabili Anna Melami anayedaiwa kumjeruhi mumewe kwa...
Dr Samia joins Tanzania to mourn the demise of Justice Mallaba
DAR ES SALAAM: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has joined Tanzanians to mourn the passing of the former Justice of the High Court of Tanzania, Julius Mallaba, who died on December…
Wadau watarajia ripoti ya tume kuimarisha umoja
TUME ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyotokea Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 ikitegemewa na wadau mbalimbali kuimarisha umoja baada ya kuhitimisha utekelezaji wa…
Call for combined efforts to resolve child homelessness
DAR ES SALAAM: THE Tanzanian government has stressed the need for cooperation from society and citizens in general in the fight to curb street children, noting that the battle can…
Askofu Bagonza aanika ‘sumu’ za maridhiano
ASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe, Dk Benson Bagonza ametaja sumu tano zinazoua maridhiano. Amesema hayo wakati wa ibada ya ubarikio wa wachungaji na…
Simbachawene ataja misingi ya maridhiano
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene amesema maridhiano ni mchakato unaohitaji uvumilivu, ustahimilivu, unyenyekevu na ushirikiano wa wadau wote. Aidha, amesema maridhiano ni chaguo gumu lakini ni…
Afrika kuendelea kushirikiana na Urusi
SERIKALI ya Tanzania imetaja vipaumbele vya kuzingatiwa katika ushirikiano kati ya Afrika na Urusi. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, ametaja vipaumbele…
Mwigulu aja kivingine ukaguzi miradi
WAZIRI Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba ameagiza wakuu wa mikoa wote wapewe wataalamu watakaokagua miradi ya majengo kwa kutumia vifaa maalumu ili kuthibitisha kama imefanyika kwa usahihi. Dk Mwigulu ametoa agizo…
DRC kufungua dimba AFCON dhidi ya Benin
DRC ni miongoni mwa timu zilizoshiriki mara nyingi michuano hiyo, ikishiriki Kwa mara ya 20. Imewahi kubeba ubingwa wa kombe hilo mara mbili mnamo 1968 ikijulikana kama Kongo-Kinshasa, na 1974…
DRC kufungua dimba AFCON dhidi ya Senegal
DRC ni miongoni mwa timu zilizoshiriki mara nyingi michuano hiyo, ikishiriki Kwa mara ya 20. Imewahi kubeba ubingwa wa kombe hilo mara mbili mnamo 1968 ikijulikana kama Kongo-Kinshasa, na 1974…
Uongozi wa hifadhi ya taifa ya Tarangire umetaja Sababu zinazofanya Hifadhi hiyo kuendelea kuwa kivutio kikubwa cha utalii ikiwa…
Uongozi wa hifadhi ya taifa ya Tarangire umetaja Sababu zinazofanya Hifadhi hiyo kuendelea kuwa kivutio kikubwa cha utalii ikiwa ni pamoja na uanzishaji wa mazao mapya ya utalii, ikiwemo utalii…
Waandishi wa habari kupimwa moyo bure
TAASISI ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) inatarajia kufanya upimaji wa siku mbili wa magonjwa ya moyo bure kwa waandishi wa habari na wahariri wa Mkoa wa Dar es Salaam…
Ulega insists on humanity as he inspects the 85km road project in Ruvuma
SONGEA: THE Minister for Works, Abdallah Ulega, has asked contractors to prioritize humanity and address the various challenges facing Tanzanian citizens whenever they are involved in construction projects in the…
30 investors eye to turn Buzwagi into an industrial hub after the end of mining activities
SHINYANGA: FOLLOWING the completion of mining activities at the Buzwagi Gold Mine, the Tanzanian government has put in place a special strategy to designate the area for the establishment of…
Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro inatarajia kuwa mwenyeji wa mbio za Rombo Marathon zitakazofanyika Desemba 23, 2025, zikitara…
Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro inatarajia kuwa mwenyeji wa mbio za Rombo Marathon zitakazofanyika Desemba 23, 2025, zikitarajiwa kuwahusisha zaidi ya wanariadha na wakimbiaji 3,000. Tukio hilo, linalofanyika kwa mara…
Tanzania begins nationwide exercise to address challenges facing the land sector
MTWARA: THE Ministry of Lands, Housing and Human Settlements Development has reaffirmed its commitment to address all land challenges in the country with the goal of making citizens live a…
Magonjwa ya moyo yaongezeka Arusha
KUTOKANA na mikoa ya Kaskazini kuongoza kwa matatizo ya magonjwa ya moyo, Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) imeamua kuendelea kufanya kambi maalum ya upimaji na matibabu mkoani Arusha…
Zaidi ya shilingi bilioni sita zitatumika katika mradi wa kuimarisha mbinu za asili za usimamizi wa maji na kupambana na mabadil…
Zaidi ya shilingi bilioni sita zitatumika katika mradi wa kuimarisha mbinu za asili za usimamizi wa maji na kupambana na mabadiliko ya tabianchi katika Bonde la Usangu, mradi wa miaka…
Nchi za Maziwa Makuu kuutatua mgogoro wa Kongo
Wajumbe kutoka Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamekubaliana kwamba mataifa ya Maziwa makuu yanapaswa kuhusishwa katika juhudi za kuutatua mgogoro huo ambao sasa unaihusisha Burundi moja kwa moja.