Katika kuelekea sikukuu za mwisho wa mwaka wananchi mkoani Manyara wametakiwa kusherehekea kwa amani na utulivu lakini kujiandaa…
Katika kuelekea sikukuu za mwisho wa mwaka wananchi mkoani Manyara wametakiwa kusherehekea kwa amani na utulivu lakini kujiandaa pia kupeleka watoto shule ifikapo mwezi januari ambao wanastahili kuanza ďarasa la…
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55….DESEMBA 19, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55....DESEMBA 19, 2025
DC Simanjiro apiga marufuku usafishaji mashamba Langai
Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, Festo Lulandala amepiga marufuku shughuli za...
Vijana 171 wa wilaya za Ilemela na Nyamagana mkoani Mwanza wamehitimu mafunzo ya mradi wa Vijana Elimu Malezi na Ajira (VEMA) un…
Vijana 171 wa wilaya za Ilemela na Nyamagana mkoani Mwanza wamehitimu mafunzo ya mradi wa Vijana Elimu Malezi na Ajira (VEMA) unaofadhiliwa na shirika lisilo la kiserikali la Plan International…
Teknolojia mpya ya mawasiliano yazinduliwa
Katika dhama za ukuaji wa teknolojia ya mawasiliano Airtel Tanzania imezindua teknolojia mpya...
Bibi wa miaka 74 ahitimu mafunzo ya upishi Veta
Arafa ni miongoni mwa wahitimu waliopata ujuzi kupitia mpango maalumu wa kuwajengea ujuzi na...
Mkuu wa mkoa wa Iringa Kheri James ametoa masaa 24 kwa Kamanda wa Jeshi la Polisi (OCD) wilaya ya Iringa kuhakikisha anawakamata…
Mkuu wa mkoa wa Iringa Kheri James ametoa masaa 24 kwa Kamanda wa Jeshi la Polisi (OCD) wilaya ya Iringa kuhakikisha anawakamata wazabuni wote wanaohusika kusambaza vifaa vya ujenzi ktk…
#HABARI: Ng’ombe 22 wa mfugaji Alex Idege, mkazi wa Kijiji cha Kasingili, Kata ya Ilola wilayani Shinyanga, wamekutwa wamekufa z…
#HABARI: Ng’ombe 22 wa mfugaji Alex Idege, mkazi wa Kijiji cha Kasingili, Kata ya Ilola wilayani Shinyanga, wamekutwa wamekufa zizini baada ya kurejea kutoka malishoni, katika tukio linalodaiwa kuwa na…
Ushirikiano wa Tehran na Moscow; ushirika wa kimkakati katika njia ya mfumo mpya wa kimataifa
Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitizia kuendelea kwa ushirikiano wa kimkakati na ushirikiano kati ya Tehran na Moscow.
Khatibu wa Sala ya Ijumaa: Tuwaombee ushindi Mujahidina wa Ulimwengu wa Kiislamu
Khatibu wa muda wa Sala ya Ijumaa wa Tehran amesema kuwa, tuna wajibu wa kuwaombea dua Mujahidina wanaojitolea kila kitu chao kwa ajili ya kupigania haki na kutafuta radhi za…
Amnesty yadai nguvu kupita kiasi kuzima maandamano Tanzania
Ripoti mpya ya shirika la haki za binadamu la Amnesty International inadai mauaji, majeruhi na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu vilitendeka wakati wa maandamano ya Oktoba 29, na kutaka…
“Wanasema kuna mgogoro kati ya upande wa klabu na mwekezaji, mimi na mwenyekiti wa bodi tunaongea kila mara, kama ni Mo mimi mar…
“Wanasema kuna mgogoro kati ya upande wa klabu na mwekezaji, mimi na mwenyekiti wa bodi tunaongea kila mara, kama ni Mo mimi mara ya mwisho niliongea nae jana saa 8.…
Kanisa la Gwajima lasubiri msimamo wa Serikali upotevu mali
Jeshi la Polisi limesema uchunguzi dhidi ya madai hayo unaendelea kufanyiwa kazi.
ICC: Vikwazo vya US ni ‘hujuma’ dhidi ya haki duniani
Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imelaani vikwazo vya hivi karibuni vya Marekani dhidi ya majaji wawili wa korti hiyo ya Umoja wa Mataifa.
‘Wataalamu ununuzi, ugavi zingatieni Dira 2050’
WIZARA ya Fedha imewataka wataalamu wa Ununuzi na Ugavi kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050 ili kuimarisha utawala bora. Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Mussa…
Jeshi la Polisi nchini, kupitia kikosi cha Usalama Barabarani limeanza kufanya ukaguzi maalumu wa mabasi ya abiria katika maeneo…
Jeshi la Polisi nchini, kupitia kikosi cha Usalama Barabarani limeanza kufanya ukaguzi maalumu wa mabasi ya abiria katika maeneo mbalimbali nchini, ikiwa ni hatua ya kudhibiti na kuzuia ajali za…
Mwanasoka apigwa risasi na kufariki Ecuador
Pineida, ambaye aliichezea nchi yake mara tisa kati ya mwaka 2014 na 2021, aliuawa mjini...
#HABARI: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mheshimiwa George Simbachawene, amesema Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) inae…
#HABARI: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mheshimiwa George Simbachawene, amesema Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) inaendelea na maandalizi ya kuanza usajili wa watoto walio chini ya umri…
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55….DESEMBA 19, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55....DESEMBA 19, 2025
“Napenda kuwambia kwamba mchakato wa mabadiliko ambao ulianza 2017 sasa unakwenda kufikia tamati
“Napenda kuwambia kwamba mchakato wa mabadiliko ambao ulianza 2017 sasa unakwenda kufikia tamati. Ni kipindi kigumu tumepita ukiacha Ujerumani hakuna sehemu nyingine unatumika hivyo tumeona changamoto ilivyokuwa namna ya kuupitisha.…
Kwa mara nyingine Pep Guardiola aikingia kifua Palestina
Kocha maarufu wa timu ya ligi kuu ya Uingereza ya Mancester City kwa mara nyingine tena ameonesha uungwana na amechukua hatua ya kibinadamu ya kuwahami na kuwakingia kifua wananchi madhlumu…
Mauaji yaongezeka Western Cape hasa Cape Town, nchini Afrika Kusini
Takwimu za hivi karibuni zaidi za vitendo vya uhalifu nchini Afrika Kusini zinaonesha kuwa zaidi ya watu 1,000 waliuawa katika Mkoa wa Western Cape kati ya mwezi Julai na Septemba…
Jenerali Mkuu wa Sudan akutana na Rais wa Misri, vita vinaendelea
Jenerali Mkuu wa Sudan, Abdel-Fattah al Burhan, amekutana na Rais wa Misri, Abdel-Fattah el-Sissi mjini Cairo huku kukiwa na shinikizo linalozidi kuongezeka la kuhimiza kutatuliwa mgogoro wa vita nchini Sudan…
Mvurugiko wa hali ya hewa, Morocco yakumbwa na mawimbi ya baridi kali
Katika kile kinachoonekana wazi kuwa ni madhara ya uchafuzi wa mazingira na mvurugiko wa hali ya hewa kutokana na uharibifu mkubwa wa hewa unaofanywa na madola ya viwanda duniani, taarifa…
Umoja wa Ulaya watoa mkopo usio na riba kuisaidia Ukraine
Viongozi wa Umoja wa Ulaya wamekubaliana kutoa mkopo usiokuwa na riba wa euro bilioni 90 kwa Ukraine ili kusaidia mahitaji yake ya kijeshi na kiuchumi katika kipindi cha miaka miwili…
Mkataba wa biashara wa EU-Mercosur wasogezwa mbele
Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz na Rais wa Halmashauri Kuu ya Umoja wa Ulaya wameeleza matumaini kuwa EU utaweza kusaini makubaliano tata ya biashara huria na muungano wa Amerika Kusini…
#HABARI: Mbunge wa Jimbo la Kawe, Mheshimiwa Geofrey Timoth, ametembelea Kata ya Mbweni ambapo amekutana na wafanyabiashara wa S…
#HABARI: Mbunge wa Jimbo la Kawe, Mheshimiwa Geofrey Timoth, ametembelea Kata ya Mbweni ambapo amekutana na wafanyabiashara wa Soko la Samaki na kuahidi kuwa ujenzi wa soko hilo utaanza taratibu…
Mpango wa bahati nasibu wa uhamiaji Marekani wasimamishwa
Waziri wa usalama wa ndani wa Marekani, Kristi Noem, ameusimamisha mpango wa bahati nasibu wa uhamiaji, "Green Card Lottery" akisema mpango huo ulitumika na mtuhumiwa wa shambulio la risasi katika…
UN: RSF wamesababisha vifo vya zaidi ya watu 1000 Sudan
Wanamgambo wa kikosi cha RSF ambao wamekuwa vitani na jeshi la serikali kwa muda wa miaka miwili na nusu, walisababisha vifo vya zaidi ya watu 1,000 wakati wa mashambulizi ya…
UN: Watu nusu milioni wamekimbia makaazi yao Kivu Kusini
Mashirika ya misaada katika eneo la Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yamesema kuwa mapigano yanayoendelea yamesababisha maelfu ya watu kuyahama makaazi yao.
Mkutano na waandishi wa habari wa Rais Vladimir Putin umeanza kwa hoja zilezile anazotumia mara kwa mara kuhalalisha vita dhidi …
Mkutano na waandishi wa habari wa Rais Vladimir Putin umeanza kwa hoja zilezile anazotumia mara kwa mara kuhalalisha vita dhidi ya Ukraine. Ametaja tena kile anachokiita “mapinduzi” ya mwaka 2014,…
#HABARI: Jeshi la Polisi Nchini kupitia kikosi cha Usalama barabarani, limefanya ukaguzi maalumu wa mabasi ya abiria, kwa ajili …
#HABARI: Jeshi la Polisi Nchini kupitia kikosi cha Usalama barabarani, limefanya ukaguzi maalumu wa mabasi ya abiria, kwa ajili ya kudhibiti ajali kutokana na ongezeko kubwa la abiria kuelekea sikukuu…
Huku Championship ni vita ya Katwila, Kaseja
RAUNDI ya 11 ya Ligi ya Championship inaendelea tena wikiendi hii, huku macho na masikio ya wapenzi wa soka yakielekezwa katika mechi ya kesho Jumapili kati ya Geita Gold na…
Ulaya yashindwa kukubaliana kutumia mali za Urusi
Viongozi wa Umoja wa Ulaya mapema Ijumaa wamefikia makubaliano ya kuipa Ukraine mkopo wa yuro bilioni 90 ili kufidia mapungufu yaliyoko kwenye bajeti yake.
Community outreach initiative restores Dar’s youth hope
DAR ES SALAAM: A community outreach initiative, implemented in collaboration with Hadithi Nzuri and WeMedia, is seeking to restore hope, dignity and opportunity among vulnerable children and young people living…
Mkazi wa Mbinga Mjini na viunga vyake kuanzia tarehe 20 Desemba mpaka 25, fika katika mgodi wetu uliopo karibu na msikiti wa …
Mkazi wa Mbinga Mjini na viunga vyake kuanzia tarehe 20 Desemba mpaka 25, fika katika mgodi wetu uliopo karibu na msikiti wa waarabu ujipatie kisimbuzi kwa bei ya OFA. Mkazi…
Radhia amezoea kumuona Sheiza akifanya kazi upande wa nyumba yake…lakini asubuhi hamuoni tena…Shakei amemuambia kahamishwa n…
Radhia amezoea kumuona Sheiza akifanya kazi upande wa nyumba yake...lakini asubuhi hamuoni tena...Shakei amemuambia kahamishwa na bosi (mwenye wivu pia). Radhia ameanza kumuelewa Sheiza...Jasusi mwenye siri nyingi dhidi yao pasina…
🔴HABARI ZA SAA, SAA SITA NA DAKIKA 55….DESEMBA 19, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA SITA NA DAKIKA 55....DESEMBA 19, 2025
Ujumbe wa Umoja wa Mataifa waondoka Kadugli baada ya shambulio dhidi ya walinda amani
Shambulio la droni la RSF limeua walinda amani sita kutoka Bangladesh na wengine wanane kujeruhiwa, tarehe 13 Disemba.
Ukosefu wa mvua watajwa kusuasua soko la mbolea Mbarali
Hali hiyo imetokana na wakulima wengi kushindwa kufanya maamuzi ya kununua mbolea mapema...
Sh11.3 bilioni kutumika kuwapa utambulisho watoto
Waziri Simbachawene amefafanua kuwa namba hiyo itakayotambua watoto ndio jambo lililopo mbeleni...
Mlandege, Singida BS kufungua dimba Mapinduzi Cup 2026
RATIBA ya Kombe la Mapinduzi 2026 imewekwa hadharani ikionyesha Mlandege na Singida Black Stars zitafungua dimba la michuano hiyo Desemba 28, 2025.
Hii tofauti kati ya wastaafu wa nchi moja inakujaje?
Leo na sisi tungekuwa sio haba, tungekuwa na 'makoloni' Msumbiji, Zimbabwe, Uganda na kwing-ineko.
#HABARI: Mtandao wa kijamii wa TikTok umefikia makubaliano ya kuanzisha ubia na kampuni ya Marekani, hatua inayolenga kutimiza m…
#HABARI: Mtandao wa kijamii wa TikTok umefikia makubaliano ya kuanzisha ubia na kampuni ya Marekani, hatua inayolenga kutimiza masharti ya mamlaka na hivyo kuepuka marufuku ya matumizi nchini humo. TikTok,…
Nigeria yafungua upya shule 47 za serikali zilizofungwa kufuatia utekaji wa wanafunzi
Katika miezi ya hivi karibuni, vikundi vya wanamgambo vimekuwa vikilenga shule za bweni, wakiteka wanafunzi na wafanyakazi, wakati mwingine kwa ajili ya fidia, na kusababisha kukatizwa kwa masomo.
Papa Leo, kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, siku ya Alhamisi Desemba 18, 2025 amewakemea vikali viongozi wa kisiasa na viongo…
Papa Leo, kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, siku ya Alhamisi Desemba 18, 2025 amewakemea vikali viongozi wa kisiasa na viongozi wa dini wanaotumia imani za kidini kuhalalisha migogoro, vita au…
Simba kuanza kusajili wanachama wapya, viongozi wasema…
Mara ya mwisho kwa Simba kuendesha zoezi hilo ilikuwa ni 2018 na baada ya hapo haikulifanya tena.
Wafugaji wilayani Simanjiro mkoani Manyara wameiomba serikali kuwasaidia namna ya kukabiliana na wimbi la wizi wa mifugo sambamb…
Wafugaji wilayani Simanjiro mkoani Manyara wameiomba serikali kuwasaidia namna ya kukabiliana na wimbi la wizi wa mifugo sambamba na tembo wanaofanya uharibifu kwenye maeneo ya malisho ya mifugo hiyo. Kilio…
Fainali Mapinduzi Cup 2026 kuchezwa Pemba
WAKATI michuano ya Kombe la Mapinduzi 2026 ikitarajiwa kuanza Desemba 28, 2025 kwenye Uwanja wa New Amaan Complex kisiwani Unguja, imeelezwa kwamba fainali itapigwa Pemba.