UN yahimiza msaada kwa wakimbizi wa DRC nchini Burundi
Umoja wa Mataifa umeomba dola milioni 33 kusaidia maelfu ya wakimbizi waliokimbia mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kwenda Burundi, kufuatia mashambulizi mapya ya waasi wa M23 karibu na…
Madbouly aahidi kuzuia mzozo kati ya Hezbollah na Israel
Waziri Mkuu wa Misri Mustafa Madbouly amesema kuwa nchi yake inafanya kila iwezalo kuzuia kuongezeka kwa mvutano kati ya Lebanon na Israel, hususan kuhusu mchakato wa kuwapokonya silaha wanamgambo wa…
DC Sitta atoa agizo juu ya matumizi sahihi ya mapato ya MBOMIPA
Amesema mafanikio ya jumuiya yanapaswa kuakisi maendeleo halisi ya kijamii, na siyo kutumika...
Dijitali yatajwa kiungo muhimu ujumuishi wa kifedha
Waziri wa Viwanda na Biashara Judith Kapinga amesema matumizi ya teknolojia ya kidijitali na...
#gurudumu:vijana wameandaliwa je kulitumikia taifa
#gurudumu:vijana wameandaliwa je kulitumikia taifa
Mradi wa bandari ya uvuvi Kilwa wafikia asilimia 90
Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amesema ujenzi wa bandari ya uvuvi Kilwa wenye thamani ya Sh280...
NBS–USANGU yazijengea uwezo kamati za vijiji kutatua malamiko
IRINGA: Mradi wa NBS–USANGU umeendesha mafunzo ya siku tano kwa Kamati za Kushughulikia Malalamiko za Vijiji katika maeneo ya utekelezaji wa mradi huo, kwa lengo la kuimarisha haki, uwazi na…
Rais Trump acha mlango wazi kwa hatua ya kijeshi
Rais wa Marekani Donald Trump amesema hajaondoa uwezekano wa kuingia vitani na Venezuela. Kauli hiyo ameitoa katika mahojiano aliyoyafanya na shirika la Habari la NBC News yaliyochapishwa leo Ijumaa.
Uganda kuandaa mkutano maalum kuhusu hali ya usalama nchini DRC
Rais wa Uganda Yoweri Museveni ataandaa mkutano wa kipekee wa mawaziri kuhusu hali ya usalama nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), afisa mkuu ametangaza siku ya Alhamisi. Imechapishwa: 19/12/2025…
Syria yaukaribisha uamuzi wa kuondolewa vikwazo vya Marekani
Wizara ya mambo ya nje ya Syria imeukaribisha uamuzi wa kuondolewa kabisa kile kilichoitwa "vikwazo vya Caesar" vilivyowekwa na Marekani - hatua inayofungua njia ya kurejea kwa uwekezaji katika taifa…
Putin aahidi kuwa malengo ya kijeshi ya Kremlin yatatimizwa
Rais wa Urusi amesema kwamba wanajeshi wa nchi hiyo wanaendelea kusonga mbele katika uwanja wa vita, akieleza matumaini kwamba malengo ya kijeshi ya Kremlin yatatimizwa karibu miaka minne baada ya…
Umoja wa Mataifa: Njaa Gaza imeisha, lakini ukosefu wa usalama wa chakula unaendelea
Njaa Gaza imeisha, lakini idadi kubwa ya watu wa Ukanda wa Gaza wanaendelea kukabiliwa na viwango vya juu vya ukosefu wa usalama wa chakula, Umoja wa Mataifa umesema leo Ijumaa,…
🔴HAPA NA PALE KUTOKA RUKWA – DESEMBA 19, 2025 –
🔴HAPA NA PALE KUTOKA RUKWA - DESEMBA 19, 2025 -
#HABARI: Wajumbe wa Kamati Tendaji ya Uratibu Mpango wa Uzalishaji Umeme wa Nyuklia Nchini (NEPIO) wametakiwa kuhakikisha wanaan…
#HABARI: Wajumbe wa Kamati Tendaji ya Uratibu Mpango wa Uzalishaji Umeme wa Nyuklia Nchini (NEPIO) wametakiwa kuhakikisha wanaanza maandalizi mapema ya namna mpango huo utakavyotekelezwa Nchini huku akiwasisitizwa kuhakikisha wanazingatia…
Serikali kupitia Wizara ya Fedha imepiga marufuku wataalamu wasiokuwa na sifa na taaluma ya ununuzi na ugavi kupewa nafasi za ku…
Serikali kupitia Wizara ya Fedha imepiga marufuku wataalamu wasiokuwa na sifa na taaluma ya ununuzi na ugavi kupewa nafasi za kufanya kazi katika taasisi mbalimbali za umma, hususan katika ngazi…
Israel: Mzozo wazuka baada ya Netanyahu kuteuliwa kuongoza tume ya kuchunguza mauaji ya Oktoba 7
Nchini Israel, utata unaongezeka kuhusu uchunguzi wa mauaji ya Oktoba 7. Je, mtu anaweza kuwa jaji na mtuhumiwa? Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ataongoza tume itakayofafanua mamlaka ya uchunguzi…
Simba, Yanga kuanza hivi Mapinduzi Cup 2026
KLABU kongwe za Simba na Yanga zimepangwa kuanza vita ya kuwania Kombe la Mapinduzi 2026 Januari 3 na 4, wakati pazia la michuano hiyo likifunguliwa na watetezi Mlandege dhidi ya…
Diplomasia ya uchumi kuitangaza Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema Zanzibar ina fursa nyingi za kiuchumi, hususan katika sekta ya Uchumi wa Buluu na uwekezaji, hivyo…
#HABARI: Wakazi wa Mkoa wa Pwani, wamesema licha ya utekelezaji wa ahadi za Rais Dkt
#HABARI: Wakazi wa Mkoa wa Pwani, wamesema licha ya utekelezaji wa ahadi za Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, ndani ya siku 100, bado wanaiomba Serikali kuongeza juhudi katika ujenzi wa…
Steve Barker kocha mpya Simba
Barker anachukua mikoba iliyoachwa wazi na Dimitar Pantev ambaye Simba iliachana baada ya...
Putin: Sina nia ya kuishambulia Ulaya
Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema malengo yake nchini Ukraine yatatimia na kwamba mpira sasa uko mikononi mwa mataifa ya Magharibi na Kyiv kwenye mazungumzo ya kuvisitisha vita.
Wakulima 40 wa mbegu kutoka katika Halmashauri sita za Mkoa wa Simiyu, wamepewa elimu ya namna ya uzalishaji wa mbegu bora zenye…
Wakulima 40 wa mbegu kutoka katika Halmashauri sita za Mkoa wa Simiyu, wamepewa elimu ya namna ya uzalishaji wa mbegu bora zenye tija zitakazo wawezesha Wakulima wa mazao mbalimbali mkoani…
Burundi: Umoja wa Mataifa watoa wito wa msaada kwa wakimbizi wanaokimbia mashariki mwa DRC
Tangu mwanzoni mwa mwezi Desemba, Burundi imekuwa ikikabiliwa na wimbi jipya kubwa la wakimbizi kutoka mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Kulingana na ripoti ya mashirika mbalimbali iliyoratibiwa…
Kampuni ya Buckreef Gold imezidi kuimarisha ushirikiano wake na Halmashauri ya Wilaya ya Geita kupitia makubaliano ya Uwajibikaj…
Kampuni ya Buckreef Gold imezidi kuimarisha ushirikiano wake na Halmashauri ya Wilaya ya Geita kupitia makubaliano ya Uwajibikaji kwa Jamii yenye thamani ya shilingi milioni 600 yanayo lenga kuboresha huduma…
Ibenge ataka wawili tu Azam FC
KIKOSI cha Azam FC kipo mapumziko kwa sasa baada ya Ligi Kuu Bara kusimama kupisha fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 zitakazoanza kesho huko Morocco, lakini benchi…
Abdi Banda ashtukia jambo Dodoma Jiji
BEKI wa zamani wa Coastal Union na Simba, Abdi Banda anayekipiga kwa sasa Dodoma Jiji, ameshindwa kujizuia na kuweka bayana kinachoigharimu timu katika Ligi Kuu, huku akichekelea kupatikana kwa vibali…
Kundo ataka tathmini vyanzo vya maji
NAIBU Waziri wa Maji, Mhandisi Kundo Mathew amezitaka Bodi za Mabonde ya Maji nchini kufanya tathmini ya kina ya vyanzo vyote vya maji ili kubaini hali yake. Amesema itahusu kujua…
Museveni kwa wanaopanga kuandamana: “Tuna risasi za kutosha”
Kauli ya Rais wa Uganda Yoweri Museveni kuhusu kuwapa askari risasi 120 kabla ya uchaguzi mkuu imezua hofu na ukosoaji mkubwa. Upinzani na wananchi waonya vitisho hivyo vinaweza kudhoofisha amani,…
Baresi akitua tu, Lamela atafuata KMC
UONGOZI wa KMC unaendelea na mchakato wa kusaka kocha mpya atakayerithi nafasi ya Mbrazil Marcio Maximo, huku mabosi wa kikosi hicho wanaangalia uwezekano wa kuipata saini ya kiungo mshambuliaji wa…
Bajaji za umeme zinavyogusa maisha na kulinda mazingira
Siku moja akiwa Ubungo, jijini hapa akisubiri abiria kama ilivyokuwa desturi yake, Makoni...
Mecky Maxime ampendekeza Mfuko Mbeya City
WAKATI dirisha dogo la usajili likitarajiwa kufunguliwa Januari Mosi, 2026 uongozi wa Mbeya City uko katika mazungumzo ya kuipata saini ya kiungo wa Namungo, Abdallah Mfuko ikiwa ni pendekezo pia…
Jumapili hii katika dimba la KMC Complex itapigwa Kariakoo derby ya mashabiki
Jumapili hii katika dimba la KMC Complex itapigwa Kariakoo derby ya mashabiki. mashabiki wa Yanga SC dhidi ya mashabiki wa Simba SC. Mechi hii itapigwa kuanzia saa 10:00 jioni na…
Utajiri wa Afrika: Jamii ya Turkana
JAmii ya Turkana wanaunda sehemu ya makabila ya Nilotic na wanachukuliwa kuwa jamii ya tatu kwa ukubwa wa wafugaji nchini Kenya, baada ya Wakalenjin na Wajaluo, wakiwa wengi zaidi kuliko…
TSN yapewa tuzo mkutano Wataalamu Ununuzi na Ugavi
Naibu Waziri wa Fedha, Mshamu Munde akikabidhi tuzo maalumu kwa Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Biashara wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN), Soter Salema katika Mkutano wa 16…
Katambi aitaka NDC kuleta mapinduzi ya viwanda
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Patrobas Katambi ameliagiza Shirika la Maendeleo la Taifa...
Masauni aahidi kutatua kero tatu za Muungano zilizobaki
Wakati Serikali ikizipatia ufumbuzi kero 22 kati ya 25 za Muungano, Waziri wa Nchi Ofisi ya...
TSN yachomoza Mkutano Wataalamu Ununuzi na Ugavi
ARUSHA; MKURUGENZI Idara ya Maendeleo ya Biashara wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN), Soter Salema amesema kampuni hiyo inajivunia safari ya mageuzi ya teknolojia ikiwemo utunzaji wa nyaraka, kumbukumbu…
Wazee wa vibe Mwanza! Tukutane huku
Tumia pesa Januari isikutishe. Mambo yapo huku yaani ni bata batani. Mwendo wa kufungua vizibo...
Museveni atishia kutumia nguvu wakati wa uchaguzi ujao
Rais wa Uganda Yoweri Museveni amekosolewa kuhusu matayarisho ya kuwapa askari polisi na wanajeshi risasi 120 kwa ajili ya kukabiliana na vurugu za uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Januari 2026.
Mastaa na matukio ya kufurahisha mwisho wa mwaka
Msimu wa mwisho wa mwaka ndio huu umefika. Kawaida hiki ni kipindi cha furaha, tafakari na...
Wajadili maboresho Mpango Mkakati TAMISEMI
OFISI ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI) imewakutanisha wadau mbalimbali wa maendeleo kujadili na kutoa maoni kuhusu rasimu ya Mpango Mkakati wa Ofisi hiyo…
Utalii mpya wa usiku kuvutia watalii Tarangire
Ili kuendelea kuvutia watalii kutoka ndani na nje ya nchi, utalii wa usiku unatajwa kuwa...
Mfanyakazi wa Umoja wa Mataifa auawa Sudan Kusini, wataka hatua zichukuliwe
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani vikali mauaji ya mfanyakazi wa kiraia aliyekuwa akihudumu katika Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kulinda amani nchini Sudan Kusini, (UNMISS), akitaja tukio…
Baraza la Usalama la UN laiongezea muda MONUSCO kuhudumia DRC
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa kauli moja leo Desemba 19, 2025 limepitisha azimio namba 2808 (2025), ambalo linaamua kuongeza hadi tarehe 20 Desemba 2026 muda wa kazi…
Ingawa kiasi imepungua njaa bado ni donda ndugu kwa mamilioni ya watu Gaza: UN
Uhakika wa chakula huko Gaza umeimarika tangu kusitishwa kwa mapigano kulikotangazwa Oktoba mwaka huu, hali iliyosaidia kusogeza nyuma mazingira ya baa la njaa.
IOM na Revolut wapanua wigo wa msaada wa uhamiaji kupitia michango ya kidijitali
Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji (IOM), kwa kushirikiana na Revolut, program jumuishi ya kifedha ya kimataifa yenye zaidi ya wateja milioni 60 duniani kote, leo hii huko Geneva,…