Maji, malisho ya mifugo kilio kila kona
Wakati hali ya upatikanaji wa maji ikiendelea kuwa changamoto katika baadhi ya maeneo nchini...
DRC: Uwepo wa AFC/M23 Uvira, Kivu Kusini, umesababisha raia wengi kukimbia
Kundi la waasi wa M23 kwa kuutekwa mji wa Uvira hivi kumesababisha watu wengi kuhama makazi yao. Ingawa mapigano bado hayajatokea katika jiji lenyewe, yanaendelea katika sehemu zingine za mkoa…
Kenya inakusudia kusitisha uandikishaji wa lazima wa raia wake nchini Urusi
Wakenya kumi na wanane, walioajiriwa kwa nguvu katika jeshi la Urusi upande wa Ukraine, wamerudishwa nyumbani. Hii ilitangazwa mnamo Desemba 17 katika taarifa ya Waziri Mkuu Musalia Mudavadi. Chapisho wiki…
Sudan: Makumi ya Maelfu ya Waathiriwa waripotiwa El-Fasher, Kulingana na Chuo Kikuu cha Yale
Nchini Sudan, miezi miwili baada ya kutekwa kwa mji wa El-Fasher, huko Darfur, na vikosi vya kijeshi vya Jenerali Hemetti, watafiti kutoka Chuo Kikuu cha Yale wanasema wamegundua maeneo 150…
M23 yasema imeanza kuondoa wanajeshi wake katika mji wa Uvira
M23 imeanza kujiondoa Jumatano kutoka mji wa Uvira mashariki mwa DR Congo, ambao ulianguka kwa kundi hilo la waasi wanaoungwa mkono na Rwanda katika shambulio la mapema Desemba ambalo liliikasirisha…
🔴#MAGAZETI: SIRI CHUKI YA VIJANA, WAZIRI ATAJA MAMBO MAZITO
🔴#MAGAZETI: SIRI CHUKI YA VIJANA, WAZIRI ATAJA MAMBO MAZITO....
#KIPIMAJOTO: Baadhi ya wafanyabiashara kuendelea kuingiza kwa njia za magendo bidhaa kutoka nje ya nchi
#KIPIMAJOTO: Baadhi ya wafanyabiashara kuendelea kuingiza kwa njia za magendo bidhaa kutoka nje ya nchi. Je, sheria kwa wanaokutwa na hatia ziongezwe makali?
Rais Donald Trump atangaza mikakati ya mwaka 2026
Rais Donald Trump wa Marekani amelihutubia taifa hii leo Alhamisi na kuweka wazi mipango yake ya kuifanya Marekani kuwa imara zaidi kuliko hapo awali.
Zelensky: Muonyesheni Putin kwamba vita ‘havina maana tena’
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amewataka washirika wake wa Ulaya kuionyesha Urusi kwamba vita vyake dhidi ya Kyiv havina maana yoyote.
Bunge la Ujerumani lapitisha mabilioni ya matumizi ya jeshi
Kamati ya Bajeti ya Bunge la Ujerumani imeidhinisha kitita cha yuro bilioni 52 za matumizi ya kijeshi, wakati taifa hilo likijaribu kujiimarisha katikati ya kitisho cha kiusalama kinachosababishwa na uchokozi…
Waasi wa M23 wadai kuanza kuondoka Uvira
Waasi wa M23 wamedai kuanza kuondoka kwenye mji wa Uvira jioni ya Jumatano, hii ikiwa ni kulingana na kiongozi wa kundi hilo la waasi pamoja na mamlaka za eneo hilo.
UN na mashirika waonya juu ya kusitishwa misaada Gaza
Umoja wa Mataifa na mashirika mengine ya misaada 200 wametahadharisha kwamba operesheni za kiutu kwenye maeneo ya Kipalestina na hasa Ukanda wa Gaza ziko hatarini kufungwa.
Araghchi: Uhusiano wa Iran na Russia umeingia hatua mpya
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema ushirikiano wa kimkakati kati ya Iran na Russia umeingia “hatua mpya na ya kasi zaidi” kufuatia kutiwa saini kwa ramani…
Iran yasema ushirikiano wake na Russia umeingia hatua mpya kupitia ramani ya miaka mitatu ya ushirikiano
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema ushirikiano wa kimkakati kati ya Iran na Russia umeingia “hatua mpya na ya kasi zaidi” kufuatia kutiwa saini kwa ramani…
Mtafiti wa Iran ashinda dhahabu katika tamasha la uvumbuzi la Silicon Valley kwa dawa ya saratani
Mtafiti mmoja kutoka Iran ametwaa medali ya dhahabu katika Tamasha la Kimataifa la Uvumbuzi la Silicon Valley (SVIIF) 2025 huko California, Marekani kufuatia utengenezaji wa dawa bunifu inayochangia katika matibabu…
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI…..DESEMBA 18, 2025
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI.....DESEMBA 18, 2025
Wabangladesh 32 waokolewa katika maji ya Libya
Wahamiaji thelathini na wawili wa Bangladesh wameokolewa baada ya boti yao kuzama katika pwani ya mji wa Al-Haniya wa kaskazini mashariki mwa Libya.
A/Kusini yavamia kituo cha wakimbizi cha Marekani, yakamata Wakenya saba
Kituo kimoja nchini Afrika Kusini kinachoshughulikia maombi ya visa za Marekani kimevamiwa na maafisa wa uhamiaji wa Afrika Kusini na kuwatia mbaroni raia saba wa Kenya waliokuwa wanafanya kazi nchini…
Russia yafanya mashambulizi makubwa ya droni nchini Ukraine
Russia imefanya mashambulizi makubwa ya ndege zisizo na rubani dhidi ya Ukraine kwa muda wa masaa kadhaa ambapo miripuko mikubwa imesikika huko Kyiv na miji mingine ya nchi humo.
Alkhamisi, 18 Disemba, 2025
Leo ni Alkhamisi tarehe 27 Mfunguo Tisa Jamadithani 1447 Hijria sawa na tarehe 18 Disemba 2025.
Je, mashinikizo ya Marekani yameufanya mchakato wa uteuzi wa Waziri Mkuu nchini Iraq kuwa tata zaidi?
Gazeti la Al-Akhbar limeandika katika ripoti yake kwamba, kuongezeka kwa mashinikizo ya kisiasa ya Marekani dhidi ya Baghdad kumeufanya mchakato wa kuunda serikali mpya ya Iraq kuwa tata zaidi.
Merz: Ulaya itumie mali za Urusi ili kuongeza shinikizo
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy atahudhuria mkutano wa Umoja wa Uaya, mjini Brussels siku ya Alhamisi. Waziri Mkuu wa Hungary Orban alionya EU kutotumia mali za serikali ya Urusi zilizozuiliwa…
18.12.2025
Mkutano wa kilele wa nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya unaendelea, huku wakijadili uwezekano wa kutumia mali za Urusi zilizozuiliwa katika mataifa ya EU ili kuisaidia Ukraine+++Wajumbe wa Kongamano la…
18.12.2025 Matangazo ya Mchana
Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Rais wa Marekani, Donald Trump, amelihutubia taifa na kujimiminia sifa, akiisifu serikali yake kwa kuleta maendeleo makubwa nchini Marekani / kundi la waasi wa M23…
18.12.2025 Matangazo ya Asubuhi
Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy atahudhuria mkutano wa Umoja wa Ulaya, mjini Brussels / Wakenya wengi wanakabiliwa na changamoto za usafiri msimu huu wa sikukuu…
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Salim Msangi, ametoa tahadhari kwa wamiliki na watumiaji wa Ndege…
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Salim Msangi, ametoa tahadhari kwa wamiliki na watumiaji wa Ndege Nyuki (Droni) kufuata sheria ili kulinda usalama wa anga la…
Wakati wavuvi wa dagaa katika mwalo wa Mswahili jijini Mwanza akilitazama zoezi la kuvua kwa msimu wa gioza kama mwiba mchungu u…
Wakati wavuvi wa dagaa katika mwalo wa Mswahili jijini Mwanza akilitazama zoezi la kuvua kwa msimu wa gioza kama mwiba mchungu unaowaacha na maumivu ya kipato duni, serikali imesema ipo…
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 17 DESEMBA 2025
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 17 DESEMBA 2025
🔴MCHEZO SUPA:HII NDIO NGUVU YA BUKU..17 DESEMBA 2025
🔴MCHEZO SUPA:HII NDIO NGUVU YA BUKU..17 DESEMBA 2025
Kupitia kipindi cha The Spark cha Clouds TV, wasanii wa muziki wa Hip Hop kutoka kundi la @queesbees wameeleza namna Naibu Wazi…
Kupitia kipindi cha The Spark cha Clouds TV, wasanii wa muziki wa Hip Hop kutoka kundi la @queesbees wameeleza namna Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Paul Makonda…
“Vijana wengi kwa sasa hivi wapo kwenye mitindo
"Vijana wengi kwa sasa hivi wapo kwenye mitindo. Wapo wanaotaka kujifunza kupata makeup. Au tayari wanajua kusuka na wamejiajiri zile takataka zinafanyajwe ndio tunaanza kujifunza kupitia platform wanazozifuatilia ikiwemo za…
Fidan aonya kuhusu uhasama katika Bahari Nyeusi unaweza kutatiza bara Ulaya
Mwanadiplomasia mkuu wa Uturuki anasema Uturuki imetatizwa sana katika wiki za hivi karibuni, kutokana na meli kulengwa na ndege zisizo na rubani kuingia katika eneo lake.
“Tumezindua kampeni ya Taka Sifuri na sisi hapa Tanzania tumekuwa sehemu ya dunia kuhakikisha kwamba mzigo wa mazingira unapungu…
"Tumezindua kampeni ya Taka Sifuri na sisi hapa Tanzania tumekuwa sehemu ya dunia kuhakikisha kwamba mzigo wa mazingira unapungua ndio tunaanza sasa kujifunza kujua. Pia wapo wenzetu ambao walikuwa wanajua…
Ushauri kutoka kwa Mwanamitindo Niler Bernard, @nilerbernard kwenda kwa mabinti
Ushauri kutoka kwa Mwanamitindo Niler Bernard, @nilerbernard kwenda kwa mabinti. #SentroYaCloudstv #Clouds26Nyoosha #LainiYaWana
RSF yaharibu ushahidi wa ukatili nchini Sudan: ripoti
Wapiganaji nchini Sudan wa kundi la RSF wamekuwa wakifanya kwa makusudi maujai ya kikatili na kuharibu miili katika mji wa Al Fasher, ripoti mpya imebaini.
“Kikubwa ninachojivunia ni kupata possibility ya kubadilisha maisha yangu mwenyewe na kubadilisha maisha ya vijana wengi ambao w…
"Kikubwa ninachojivunia ni kupata possibility ya kubadilisha maisha yangu mwenyewe na kubadilisha maisha ya vijana wengi ambao wamekuwa wakifuatilia. "Ni kama vile ukimuona mtu fulani maarufu au msanii unaanza kuwa…
#HABARI: Mtu mmoja ambae amefahamika kwa jina la Hawadhi Iddi Urassa (35) amefukiwa na kifusi cha mawe katika eneo walilokuwa …
#HABARI: Mtu mmoja ambae amefahamika kwa jina la Hawadhi Iddi Urassa (35) amefukiwa na kifusi cha mawe katika eneo walilokuwa wanatumia kuchimba mawe hayo katika Kijiji cha Nyuki, Kata ya…
Shakei hajui mzigo amepewa ikiwa ni ujumbe wa mapenzi ya Hamida kwa Sheiza 😅 mwenyewe anaona raha akimuona binti wa Kisambaa 😅
Shakei hajui mzigo amepewa ikiwa ni ujumbe wa mapenzi ya Hamida kwa Sheiza 😅 mwenyewe anaona raha akimuona binti wa Kisambaa 😅 Tuendelee na hadithi tamu ya #PichaYanguSeries kila Jumatatu…
Katika kuhakikisha wananchi wanapata majibu ya maswali yao, Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt
Katika kuhakikisha wananchi wanapata majibu ya maswali yao, Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka amewataka maofisa habari wa Serikali kuacha uwoga na hivyo kutoa taarifa sahihi zinazohitajika kwa wananchi…
Serikali imesema itaendeleza mazungumzo ya kidiplomasia na Marekani ili kupata muafaka wa pamoja baada ya Tanzania kuwekwa kweny…
Serikali imesema itaendeleza mazungumzo ya kidiplomasia na Marekani ili kupata muafaka wa pamoja baada ya Tanzania kuwekwa kwenye orodha ya mataifa 15 yaliyopewa udhibiti wa kupata VIZA ya kuingia Marekani.…
Katibu Mkuu wa Wizara ya Kazi na Uwekezaji ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Hamis Suleiman Mwalimu amewaagiza watumishi wa …
Katibu Mkuu wa Wizara ya Kazi na Uwekezaji ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Hamis Suleiman Mwalimu amewaagiza watumishi wa umma kuendelea kuzingatia miongozo ya kazi sambamba na kuongeza ubunifu…
Hofu imeendelea kutawala katika viunga vya mji wa Uvira kufuatia kusikika kwa milio ya risasi licha ya tangazo la kundi la M23 l…
Hofu imeendelea kutawala katika viunga vya mji wa Uvira kufuatia kusikika kwa milio ya risasi licha ya tangazo la kundi la M23 la kutangaza kujiondoa katika mji huo. Faraja Samo…
Serikali kupitia Wizara ya Ardhi imekabidhi hati miliki za kimila kwa wananchi wa vijiji 12 vya wilaya ya Iramba, mkoani Singida…
Serikali kupitia Wizara ya Ardhi imekabidhi hati miliki za kimila kwa wananchi wa vijiji 12 vya wilaya ya Iramba, mkoani Singida katika utekelezaji wa mpango wa urasimishaji ardhi unaolenga kuzuia…
Mwekezaji wa shamba namba tisa katika kijiji cha Kupungu mkoani Pwani, Tark Salehe Ahmed amefanikiwa kurejesha eneo la shamba hi…
Mwekezaji wa shamba namba tisa katika kijiji cha Kupungu mkoani Pwani, Tark Salehe Ahmed amefanikiwa kurejesha eneo la shamba hilo lililodaiwa kuvamiwa na wananchi na kusababisha mgogoro. Hatua hiyo imekuja…
Somalia na Uturuki kuimarisha ushirikiano katika sekta ya uvuvi kupitia makubaliano ya kimkakati
Makubaliano hayo yatatoa fursa kwa sekta ya uvuvi ya Uturuki kufikia bahari ya Somalia na una lengo la kutengeneza za ajira mpya kwa watu wa Somalia na kufanya taifa hilo…