Jeshi la polisi mkoani Mwanza kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama wamefanikiwa kuwakamata watu 116 kwa tuhu…
Jeshi la polisi mkoani Mwanza kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama wamefanikiwa kuwakamata watu 116 kwa tuhuma za kuhamasisha maandamano ya Disemba tisa. Akizungumza na waandishi wa…
Mjumbe wa Marekani akiri: Washington ilijaribu na kushindwa mara mbili kuipindua serikali ya Iran
Tom Barrack Mjumbe Maalumu wa Marekani nchini Syria amesema kuwa Washington ilijaribu mara mbili kupindua serikali ya Iran lakini iliambulia patupu.
Urusi yapongeza mkakati mpya wa usalama wa Marekani
Urusi imepongeza mkakati mpya wa usalama wa kitaifa wa Marekani na kuutaja kuwa hatua chanya kwa mahusiano baina ya nchi hiyo mbili.
Kimiti: Kuandamana siku ya Uhuru ni kumvunjia heshima Mwalimu Nyerere
Mwenyekiti wa Taasisi ya Kumbukumbu ya Mwalimu Julius Nyerere, Paul Kimiti amewataka wanaopanga...
Merz kukutana na Netanyahu mjini Jerusalem
Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz anatarajiwa kukutana leo na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu mjini Jerusalem katika ziara yake ya kwanza Israel tangu aingie madarakani mwezi Mei mwaka huu.
Mwamini kazileta habari bado za moto kabisa 🙌😅
Mwamini kazileta habari bado za moto kabisa 🙌😅
Mashambulizi ya droni yauwa makumi ya watu Sudan
Shambulizi la droni la hivi karibuni katika mji wa Kalogi unaoshikiliwa na jeshi katika jimbo la Kordofan ,Kusini mwa Sudan lililenga shule ya chekechea na hospitali, na kusababisha vifo vya…
WITO WA MKUU WA MKOA WA NJOMBE RC MTAKA AKIWA KATIKA IBADA YA JUMAMOSI, KANISA LA WA ADVENTIST WASABATO NJOMBE MJINI
WITO WA MKUU WA MKOA WA NJOMBE RC MTAKA AKIWA KATIKA IBADA YA JUMAMOSI, KANISA LA WA ADVENTIST WASABATO NJOMBE MJINI. 1. Vijana wetu wa Kitanzania wana wajibu wa kulinda…
Ushirikiano wa ulinzi wa Uturuki-Misri wafanikisha gari la ardhini lisilo na dereva la Aqrab
Gari lililoundwa na kampuni kubwa ya ulinzi ya Uturuki Havelsan, kupitia ushirikiano wa ndani nchini Misri, majukwaa yasiyokuwa na rubani yalizinduliwa katika maonyesho ya ulinzi mjini Cairo.
Takriban wanajeshi 20 wa Burundi wauawa nchini Kongo
Takriban wanajeshi 20 wa Burundi wameuawa kwenye mapigano yanayoendelea mashariki mwa Kongo na miili yao kurejeshwa katika mji mkuu wa Burundi, Bujumbura tangu mapigano hayo yalipozuka upya siku ya Jumatatu.
Yanga yatambia kikosi kipana
DAR ES SALAAM; KLABU ya Yanga imesema inajivunia kuwa na kikosi kipana kinachowawezesha kufanya vizuri kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Ligi Kuu Tanzania Bara. Akizungumza Dar es…
Marekani na Rwanda zasaini mkataba wa dola milioni 228
Marekani na Rwanda zimetia saini mkataba wa miaka mitano wa dola milioni 228 kwa sekta ya afya katika taifa hilo la Afrika Mashariki. Haya ni kwa mujibu wa wizara ya…
Simba yafunguka kocha mpya
KLABU ya Simba imesema itatumia kipindi cha mapumziko kupisha ratiba ya michuano ya fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) zinazotarajiwa kuanza Morocco Desemba 21, mwaka huu kutafuta kocha wa kuinoa…
Mamlaka ya maji yadai bilioni 4.2/- kwa wateja
TABORA: MAMLAKA ya Maji na Usafi wa Mazingira Mkoa wa Tabora (TUWASA) inadai wadau wa huduma ya maji Sh bilioni 4.2 kutokana na kutoa huduma hiyo kwa taasisi za umma…
Uzalendo utawale mawazo, matendo ya vijana
DAR ES SALAAM: UZALENDO ni nguzo muhimu katika ujenzi wa taifa lolote; ni nguvu ya ndani inayomfanya mtu kuthamini nchi yake, kuitumikia kwa moyo mmoja na kuipa kipaumbele katika maamuzi…
Serikali yasitisha kilimo kando ya Mto Ruvu
PWANI: MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge amesitisha kwa muda shughuli za kilimo kando ya Mto Ruvu hadi mvua zitakapoanza. Hatua hiyo imetokana na mabadiliko ya hali ya hewa…
Simba, Azam in epic clash
DAR ES SALAAM: SIMBA SC and Azam FC meet at the Benjamin Mkapa Stadium in Dar es Salaam today in a Premier League match, both sides hoping to strengthen their…
CAF chaos: Yanga’s calm, Simba’s crisis, Azam’s Nairobi goal treasure hunt and Singida’s steel
DAR ES SALAAM: THIS week in East African football felt like a Bongo movie director secretly infiltrated CAF headquarters at night. He found the desk with the “Fixtures & Logic”…
PLO LUMUMBA anasema, angepewa nafasi ya kuishauri Tanzania, angesema yafuatayo
PLO LUMUMBA anasema, angepewa nafasi ya kuishauri Tanzania, angesema yafuatayo 👉 Angemuambia Rais aitishe mkutano wa vyama vyote vya siasa vilivyo sajiliwa Tanzania, baada hicho kikao 👉Aitishe kikao Cha asasi…
Nyumba za ibada zihimize msamaha
DAR ES SALAAM: MACHAFUKO yaliyolikumba taifa Oktoba 29, 2025 yamesababisha maumivu ya mwili na roho kwa Watanzania. Baadhi wamepoteza wapendwa wao, wengine wamejeruhiwa, wapo waliopoteza mali zao huku wengi wakibeba…
SMZ yaahidi kuimarisha sekta ya michezo Zanzibar
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema itaendelea kutoa ushirikiano katika kuhakikisha sekta ya michezo inaimarika zaidi na kutoa faida chanya kwa wanamichezo.
Benjamini Mkapa yajivunia mambo 15 kuanzishwa kwake
DODOMA: MKURUGENZI Mtendaji wa Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH), Profesa Abel Makubi ameeleza mafanikio makubwa 15 ya taasisi hiyo katika miaka 10 tangu ianzishwe. Mojawapo ni kupunguza rufaa kwa wagonjwa…
Bil 2.2/- zakusanywa makosa barabarani miezi mitatu Pwani
PWANI: JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani limekusanya Sh bilioni 2.2 kutokana na faini za papo kwa papo kutokana na makosa ya usalama barabarani katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita.…
Lighting up the nation, advancing Tanzania’s clean energy vision
MWANZA: TANZANIA’S journey toward universal access to clean, affordable and reliable energy has taken a major leap forward, with a new strategic partnership poised to transform some of the nation’s…
Tanzania Dominates World Travel Awards 2025
BAHRAIN: TANZANIA has retained the country’s global position as ‘The World’s leading Safari Destination,’ during the World Travel Awards 2025 Grand Finals. Tanzania was crowned with the coveted title in…
Sikia simulizi ya Bajaber simba
KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Mohamed Bajaber amesimulia namna alivyokuwa anapitia wakati mgumu kipindi alipokuwa anasumbuliwa na majeraha na ilibaki kidogo aondolewe kikosini bila kuonja mechi ya mashindano.
TAFCA Mwanza yamkingia kifua Matola
CHAMA cha Makocha Tanzania (TAFCA) Mkoa wa Mwanza kimeungana na baadhi ya mashabiki na wadau wa soka nchini wanaompigia chapuo kocha mzawa Selemani Matola kuaminiwa na Simba na kupewa jukumu…
Mkuu wa Magereza awataka watumishi kutohofu kustaafu
DODOMA: MKUU wa Jeshi la Magereza nchini, Kamishna Jenerali Jeremiah Katungu amewataka watumishi kutokuwa na hofu ya kustaafu. Alisema hayo juzi wakati wa sherehe ya kuwaaga wastaafu 28 wa Jeshi…
Siri ya Geita Gold ikisaka pointi 12
GEITA Gold inazidi kuchanja mbuga katika vita ya kupanda daraja kwenda Ligi Kuu msimu huu, huku ikiendelea kugawa vichapo kwa wapinzani na kutuma ujumbe kuwa imejipanga vyema kwa safari hiyo…
Ujenzi Bandari ya Bagamoyo waiva
DAR ES SALAAM; MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imesaini hati ya makubaliano na Kampuni ya Africa Global Logistics (AGL) Tanzania Ltd yenye makao makuu yake Ufaransa kwa ajili…
Ni dhahir sasa, Gamondi haiwezi TRA United
KOCHA wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi ni kama haiwezi TRA United (zamani Tabora United) baada ya jana jioni kuendeleza rekodi mbovu mbele ya Watoza Ushuru hao kwa kukubali kichapo…
Bao la Dube bado lamliza Kulandana
KIUNGO wa Fountain Gate, Abdallah Kulandana bado anaweweseka na kipigo cha mabao 2-0 ilichopewa timu hiyo na Yanga, huku akilitaja bao la Prince Dube lililotokana na penalti kuwa ndilo lililowatoa…
Let lawyers heed Chief Justice’s call
DAR ES SALAAM: FRIDAY saw 73rd admission and enrolment of 774 advocates in Dodoma, a great step towards justice delivery, as they are duty-bound to help the courts of law.…
Jinsi ya kumjengea mtoto kujiamini
Maisha yanakuhitaji kujiamini. Huwezi kuaminika ikiwa wewe mwenyewe hujiamini.
Sababu wanaume kukimbia kuoa warembo
Mwanaume huyo huyo anayemtongoza msichana mzuri kwa udi na uvumba, ndiye anayemchukulia kama...
Jiongeze: Mb Dog alipogeuza vituo vya redio kuwa wimbo
Moja ya sifa kubwa ya wasanii wa jana, ni ubunifu. Walitumia akili sana kutengeneza wimbo au...
Over 19bn/- telecom project set to reach 2.8m Tanzanians
DAR ES SALAAM: MINISTER for Communication and Information Technology, Angellah Kairuki, has commended Tanzania’s telecommunications service providers for their continued cooperation with the government in ensuring wider, affordable and higher-quality…
Mkutano wa kilele wa TRT Children’s Media huangazia hatari za kidijitali
Mkutano wa kilele wa Istanbul unawaleta pamoja watunga sera, viongozi wa vyombo vya habari; Mke wa Rais wa Uturuki Emine Erdogan awataka watu wazima kuwajibika kwa mazingira ya mtandaoni ya…
Maombi nguvu ya ndoa iliyosahaulika kwa wenza
Tatizo kubwa katika ndoa za leo ni kwamba Mungu hatangulizwi mbele.
Umeyafikiria maisha ya familia ukifika miaka 60?
Unaweza kuishi uzeeni ukiwa na heshima kwa kujenga nguzo zako binafsi mapema.
Tanesco launches smart metre system
DAR ES SALAAM: TANZANIA Electric Supply Company (TANESCO) has launched a new smart metre system, marking a historic operational shift designed to eliminate the tedious manual entry of token codes.…
Spika Qalibaf: Marekani ina chuki ya kihistoria na mwanachuo wa Kiirani
Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa: Mfumo wa kibeberu kinara wake akiwa Marekani una chuki na uadui wa kihistoria dhidi ya mwanachuo wa Kiirani.
Government disburses 8.5bn/- to empower PWDs
MOROGORO: THE government, through the Prime Minister’s Office, Regional Administration and Local Government (RALG) has disbursed 8.5bn/- to 1,599 groups of persons with disabilities as part of economic empowerment initiatives…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Hivi sasa mpira uko upande wa Marekani
Waziri wa Mambo ya Nje wa Ira amesema iwapo Marekani itabadili mkondo wake, Iran nayo itakuwa tayari kupata matokeo ya haki na usawa.
Uhispania: Ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni ni kinyume na sheria za kimataifa
Serikali ya Uhispania imetangaza kuwa, ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni unaofanywa na utawala wa Israel katika maeneo ya Wapalestina ni kinyume na sheria za kimataifa.
Amnesty International yaonya kuhusiana na hali ya Gaza
Katibu Mkuu wa Amnesty International sambamba na kueleza wasi wasi wake mkubwa kuhusu hali ya Gaza amesisitiza kuwa: Jamii ya kimataifa imejitenga kuiwajibisha Israel na haiangazii na kuzingatia tena hali…