Iran: Zaidi ya raia 50 kurejea kutoka Marekani
Iran imesema leo kuwa zaidi ya raia wake 50 watarejea kutoka Marekani, katika wakati ambapo Rais Donald Trump anaendeleza msako dhidi ya wahamiaji.
Askofu Malasusa: Udini silaha hatari kwa amani ya Taifa
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Askofu Alex Malasusa amemkemea matamko...
Mkuu wa AU awataka wanajeshi wa Benin waliojaribu mapinduzi ‘kurejea kambini bila kuchelewa’
Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika Mahmoud Ali Yousouf amelaani jaribio la mapinduzi nchini Benin, akisema vitendo hivyo "vinafanya ukiukaji mkubwa wa kanuni na maadili ya msingi ya Umoja…
More than 600 participants attended the Russian Robotics Festival in Dar es Salaam
DAR ES SALAAM: THE four-day festival Robotics and Innovative Educational Technologies Days came to a close today in Dar es Salaam. Organized by SODRUZHESTVO Joint Venture LLC with the support…
“Zile picha zilizooneshwa CNN sio za kweli Kuna baadhi zilipigwa mwaka 2021 wakati Wa Kifo Cha Magufuli” -Gerson Msigwa masemaji…
"Zile picha zilizooneshwa CNN sio za kweli Kuna baadhi zilipigwa mwaka 2021 wakati Wa Kifo Cha Magufuli" -Gerson Msigwa masemaji mkuu Wa Serikali
Mambo manne yanayomsubiri Kocha mpya Simba
Simba baada ya kuachana na Dimitar Pantev Desemba 2, 2025, sasa ipo kwenye mchakato wa kusaka...
Leo saa 4:00 usiku, katika movie ya kihindi kupitia AzamTWO ni movie ya Super 30
Leo saa 4:00 usiku, katika movie ya kihindi kupitia AzamTWO ni movie ya Super 30. Movie hii imetafsiriwa kwa Kiswahili. #Super360. #AzamTWO
#HABARI: Aliyewahi Mbunge wa Jimbo la Kiteto na Naibu Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, katika Serikali ya Awamu ya Nne, M…
#HABARI: Aliyewahi Mbunge wa Jimbo la Kiteto na Naibu Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, katika Serikali ya Awamu ya Nne, Mh. Benedict Ngalama Ole Nangoro, amefariki dunia alfajiri…
Serikali ya Benin yasema jaribio la mapinduzi ‘limezimwa’
Serikali ya Benin Jumapili ilisema kuwa imefanikiwa kuzuia jitihada ya mapinduzi, baada ya kundi la askari kutangaza katika televisheni ya kitaifa kuwa wamemwondoa Rais Patrice Talon.
#HABARI: Mamlaka ya Mapato Tanzania Nchini (TRA), imejenga na kukabidhi kituo cha biashara kwa wanawake wajasiriamali wa eneo la…
#HABARI: Mamlaka ya Mapato Tanzania Nchini (TRA), imejenga na kukabidhi kituo cha biashara kwa wanawake wajasiriamali wa eneo la Namanga, hatua iliyotajwa kuwa ukombozi mkubwa kwa wafanyabiashara hao. Akikabidhi kituo…
Sherehe za harusi zinavyopewa kipaumbele ndoa zikikosa hamasa
Sherehe za harusi zinaendelea kuwa matukio ya kijamii yanayovutia umati na kuonekana kwenye...
Mufti atoa neno kuelekea Desemba 9,akigusia kauli za viongozi wa dini
Wakati kukiwa na vuguvugu la kufanyika kwa maandamano Desemba 9 2025, Mufti na Sheikh Mkuu wa...
Msigwa: Tunajitosheleza kibajeti
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amesema Tanzania inajimudu kuendesha bajeti kuu ya...
Serikali yaahidi kutoa alama ya ubora zao la mwani
Waziri wa Uchumi wa Buluu na Uvuvi Zanzibar, Masoud Ali Mohammed, ameahidi kuwapatia...
WPL mzigo umerudi, mechi tatu kupigwa
MZIGO wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) umerudi tena kwa mechi tatu kutarajiwa kuchezwa kesho Jumatatu Desemba 8, 2025, ikiwamo ile ya watetezi wa taji JKT Queens itakayokuwa inakula kiporo…
WPL mzigo umerudi, mechi tatu kupigwa kesho Jumatatu
MZIGO wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) umerudi tena kwa mechi tatu kutarajiwa kuchezwa kesho Jumatatu Desemba 8, 2025, ikiwamo ile ya watetezi wa taji JKT Queens itakayokuwa inakula kiporo…
Kwa Said mambo mazito na Chioma wake
Kwa Said mambo mazito na Chioma wake. Nawanda kazi inataka kuota mbawa. Usikose kutazama Noma leo saa 1:00 usiku kupitia #SinemaZetuHD
Serikali yatoa maagizo mapya kukabili foleni msimu wa sikukuu
Serikali imeweka mkakati wa muda wa kupunguza foleni za magari jijini Dar es Salaam kwa kuagiza...
AU yalaani shambulizi la ndege zisizo na rubani la RSF kusini mwa Sudan, ‘zaidi ya 100’ wauawa
Umoja wa Afrika ulikosoa vikali mashambulizi ya ndege zisizo na rubani siku ya Jumapili na kuua makumi ya watoto wakiwemo watoto kusini mwa Sudan, na kulaani "ukatili unaorudiwa na unaozidi…
Mwenyekiti wa UWT Arusha awataka wanawake kuwa walinzi wa amani nchini
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mkoa wa Arusha, Flora Zelothe amewataka wanawake...
Babalevo ameonyesha Mchoro wa Nyumba yake anayoijenga katika Jimbo la Kigoma Mjini na itagharimu zaidi ya Bilioni 4
Babalevo ameonyesha Mchoro wa Nyumba yake anayoijenga katika Jimbo la Kigoma Mjini na itagharimu zaidi ya Bilioni 4. Katika ujenzi wa Nyumba hiyo inatarajiwa kutolewa ajira kwa vijana wa Kigoma…
ECOWAS inalaani ‘jaribio la mapinduzi’ la Benin, na kuahidi ‘aina zote’ za kumuunga mkono Rais Talon
Jumuiya ya kanda ya Afrika Magharibi ECOWAS imelaani kile inachokiita "jaribio la mapinduzi ya kijeshi katika Jamhuri ya Benin."
Wakenya washinda mbio za marathon za wanaume na wanawake mjini Valencia
Wakenya John Korir na Joyciline Jepkosgei wote walijiweka bora zaidi waliposhinda mbio za marathoni za Valencia za wanaume na wanawake siku ya Jumapili.
Mgombea urais Uganda: Nilipigwa na askari usalama
Bob Wine au Robert Kyagulanya mgombea kiti cha urais nchini Uganda kwa tiketi ya chama cha upinzani cha NUP amesema kuwa askari usalama wa nchi hiyo wampiga yeye na wafuasi…
Cynthia Yalimba, mhitimu aliyevunja rekodi ya muongo mmoja
Moja kati ya yaliyovutia katika mahafali ya 55 ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) ni wingi...
CMA urges employment agents to safeguard workers’ rights
THE Commission for Mediation and Arbitration (CMA) has urged employment agents across the country to act responsibly and ensure that all workers they place in jobs receive their rights without…
Nahodha Geita Gold awashtua wenzake
NAHODHA Msaidizi wa Geita Gold, Saidy Mbatty amewataka wachezaji wenzake kuendelea kucheza kwa ushirikiano mkubwa hadi mwisho wa msimu, kwani kwa kufanya hivyo itakuwa ni njia nzuri ya kufanikisha malengo…
Kombe la Dunia 2026 utamu unaanzia makundi
Droo ya upangaji makundi ya Fainali za Kombe la Dunia 2026 iliyofanyika juzi Washington DC...
🚨 Mapinduzi ya Kijeshi yamefanyika nchini Benin mchana huu ambapo Rais Patrice Talon amepinduliwa na Kundi la Wanajeshi wakidai …
🚨 Mapinduzi ya Kijeshi yamefanyika nchini Benin mchana huu ambapo Rais Patrice Talon amepinduliwa na Kundi la Wanajeshi wakidai wazi kuwa ni Kibaraka wa Wafaransa, ikumbukwe Benin ishawahi kuwa na…
Mwakilishi wa Katibu Mkuu wa UN akemea jaribio la mapinduzi nchini Benin
Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwa Afrika Magharibi na Sahel, Leonardo Santos Simão, amefuatilia kwa wasiwasi mkubwa matukio yaliyotokea hii leo Jumapili, tarehe 7 Desemba, nchini…
Ukamatwaji wa kokeini nchini Haiti yaonesha nafasi ‘muhimu’ ya nchi katika usafirishaji wa dawa za kulevya
Kiwango kikubwa cha Kokeni kilichokamwa katika pwani ya nchi ya Haiti ambacho kimeweka rekodi kimeonesha “nafasi muhimu ya taifa hilo kama njia ya usafirishaji ambapo taifa hilo linaunganisha Amerika Kusini,…
Nsajigwa atoboa siri Transit Camp
KOCHA Mkuu wa Transit Camp, Shadrack Nsajigwa amesema kucheza mechi tano ugenini msimu huu bila ya kupoteza ni ishara ya ukomavu kwa wachezaji wa timu hiyo, licha ya ushindani mkubwa…
Vikosi vya serikali ya Benin vyazima jaribio la mapinduzi, waziri asema hali ‘imedhibitiwa’
Vikosi vya usalama vya Benin vimezima jaribio la mapinduzi, huku hali ya mambo ikidhibitiwa. Haya yamebainishwa na Waziri wa Fedha Romuald Wadagni alipohojiwa na jarida la Jeune Afrique hii leo.
Chama la Mtanzania hali tete Oman
CHAMA la mshambuliaji wa Mtanzania Mgaya Ally (Salalah SC), linaloshiriki Ligi Daraja la Kwanza Oman liko kwenye hali mbaya katika msimamo wa ligi.
Kuvunjwa kwa Baraza la NATO–Russia: Je, kutashuhudiwa vita kati ya Russia na nchi za Magharibi?
Waziri wa Mambo ya Nje wa Poland ametangaza kuwa Baraza la NATO na Russia limevunjwa rasmi huku kukiwa na wasiwasi wa kuibuka mivutano ya kijeshi kati ya pande hizo mbili.
Zuwena Zizou abaini haya Sierra Leone
KIUNGO wa Mogbwemo Queens, Mtanzania Zuwena Aziz ‘Zizou’ amesema amebaini vitu tofauti tangu alipojiunga na chama hilo linaloshiriki Ligi Kuu ya Wanawake Sierra Leone.
Mabula ataja sababu ya kutoanza vizuri Azerbaijan
KIUNGO wa Shamakhi FC, Alphonce Mabula ameeleza sababu za timu hiyo kutoanza vizuri katika Ligi Kuu Azerbaijan msimu huu, akitaja ugumu wa ligi hiyo na ushindani uliopandishwa na timu zinazoshiriki…
Beki Mtanzania anapambania namba Taifa Stars
BEKI raia wa Tanzania, Jackson Kasanzu anayekipiga Tormenta FC ya Marekani baada ya kuitwa kwa mara ya kwanza kwenye kikosi cha timu ya taifa ‘Taifa Stars’ kitakachowania Fainali ya Mataifa…
Marekani yatia saini mkataba mpya wa afya na Rwanda na Kenya
Marekani yatia saini mkataba wa dola milioni 228 na Rwanda kwa ajili ya afya katika mfumo mpya wa "Afya Duniani." Marekani pia imetia saini mkataba kama huo na Kenya.
Madaktari wa Sudan: Tumesajili kubakwa wanawake 19 na RSF huko El Fasher
Mtandao wa Madaktari wa Sudan umetangaza kuwa timu zake katika kambi ya Al-Afad, mashariki mwa mji wa Al-Dabba kaskazini mwa Sudan, zimesajili visa 19 vya ubakaji wa wanawake waliofurushwa kutoka…
#HABARI: Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), limesema katika kuendelea kuboresha shughuli za uchimbaji na kuongeza thamani na …
#HABARI: Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), limesema katika kuendelea kuboresha shughuli za uchimbaji na kuongeza thamani na ubora wa makaa yake ya mawe yanayochimbwa katika Mgodi wa Kiwira Kabulo,…
Wanajeshi Benin wampindua Rais wa nchi hiyo, Patrice Talon
Kundi la wanajeshi wa Benin leo Jumapili limetangaza kupitia kituo cha utangazaji cha serikali kwamba limefanya mapinduzi na kumuengua madrakani Rais Patrice Talon, na kumteua Luteni Kanali Pascal Tigri kuongoza…
Urais wa Benin unasema Talon angali madarakani, wanajeshi wa mapinduzi ‘wanadhibiti TV ya serikali
Wanajeshi nchini Benin siku ya Jumapili walitangaza kuwa wamemuondoa madarakani Rais Patrice Talon, ingawa wasaidizi wake walisema yuko salama na jeshi lilikuwa likipata udhibiti tena.
#HABARI: Katibu Tawala wa Wilaya ya Mbarali, mkoani Mbeya, Bw
#HABARI: Katibu Tawala wa Wilaya ya Mbarali, mkoani Mbeya, Bw. Frank Sichalwe, ametoa wito kwa madiwani walioapishwa kutambua kwamba nafasi waliyopewa ni dhamana kutoka kwa wananchi, hivyo wanapaswa kuwatumikia kwa…
Simba, Azam ni vita ya wakubwa
Mechi mbili za Ligi Kuu Tanzania Bara zinachezwa leo katika viwanja na miji tofauti lakini...
Qalibaf azionya nchi jirani kutoijaribu Iran kuhusu visiwa vitatu vya Ghuba ya Uajemi
Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge la Iran) Mohammad Baqer Qalibaf amepuuzilia mbali madai ya kukaririwa kuhusu visiwa vitatu vya Iran katika taarifa ya mwisho ya…
Ilibaki kidgo tu, ZELIHA aachwe na ndugu zake baada ya fikra za usiku mzito akishuhudia miili ya wazazi wake chini 🥹😭
Ilibaki kidgo tu, ZELIHA aachwe na ndugu zake baada ya fikra za usiku mzito akishuhudia miili ya wazazi wake chini 🥹😭 Usikose 6 OF US leo saa 2:00 Usiku #AzamTWO