China, Urusi zampongeza Samia, zaahidi ushirikiano
Samia ametangazwa kushinda urais, Novemba 1, mwaka huu katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025...
Saa 24 za moto Ligi Kuu
MASHABIKI wa soka nchini, wanatarajiwa kuendelea kupata uhondo wa Ligi Kuu Bara inayorejea baada ya kusimama kwa muda, huku kukiwa na vita nzito ya saa 24 kwa vigogo waliopo CAF.
Marekani: Wasiwasi baada ya shughuli za serikali kufungwa
Nchini Marekani kampuni za ndege zimo kwenye ukingo wa kufuta maelfu ya safari kutokana na kufungwa kwa shughuli za serikali kuu kwa karibu siku arobaini.
El Fasher, Hadithi ya Kuanguka Mji
El Fasher sio jina la mji tu; bali ni jeraha lililowazi la dhamiri ya dunia. Katika kipindi chetu leo, tunasimulia mzingiro uliozuia mkate wa watu, na hujuma iliokata pumzi za…
Baada ya mechi saba ZPL, JKU yamfyeka Kocha Bausi
TIMU ya JKU, imesitisha mkataba na Kocha Mkuu wa timu hiyo, Seif Bausi Nassor kwa makubaliano ya pande mbili, ikiwa ni baada ya kuiongoza katika mechi saba za Ligi Kuu…
Kocha JKT Tanzania kiroho safi Taifa Stars
KOCHA wa JKT Tanzania, Ahmad Ally aliyeteuliwa kuwa msaidizi wa Miguel Gamondi wa Singida Black Stars kuinoa timu ya taifa ‘Taifa Stars’ amesema ni fursa na hatua nyingine kwake kuendelea…
Ninja, TRA United kuna kitu kinaendelea
MABOSI wa TRA United wanaendelea kusuka mambo kimyakimya ili kuwasapraizi wapinzani wao katika Ligi Kuu Bara msimu huu ikidaiwa wameanza kupiga hesabu ya kuimarisha ukuta wa kikosi hicho kwa kusaka…
Matheo Antony ajitabiria mema Ligi Kuu Bara
MSHAMBULIAJI wa Mbeya City, Matheo Antony amesema nyota njema huonekana asubuhi akiamini msimu huu kwake utakuwa wa kurejesha kiwango bora baada ya uliopita kukosa nafasi ya kucheza mechi nyingi za…
Dk Tulia ajitoa kwenye kinyang’anyiro akiacha maswali
Dk Tulia alikuwa akigombea nafasi hiyo akichuana na aliyekuwa Naibu Spika wake, Mussa Zungu...
Dk Tulia akitoa kwenye kinyang’anyiro akiacha maswali
Dk Tulia alikuwa akigombea nafasi hiyo akichuana na aliyekuwa Naibu Spika wake, Mussa Zungu...
Merz na Wadephul wavutana kuhusu wakimbizi wa Syria
Mvutano mkubwa umeibuka ndani ya vyama ndugu vya CDU na CSU baada ya kauli ya Waziri wa Mambo ya nje wa Ujerumani Johann Wadephul kuwa hali ya Syria ni mbaya…
Wakulima, wafanyabishara wa mbolea kupigwa msasa
Wakati msimu wa kilimo ukianza, wakulima 3,200 wa Nyanda za Juu Kusini wanatarajia kupatiwa...
TFRA kuwapiga msasa wakulima, wafanyabishara wa mbolea Nyanda za Juu Kusini
Wakati msimu wa kilimo ukianza, wakulima 3,200 wa Nyanda za Juu Kusini wanatarajia kupatiwa...
Mashirika ya haki Tanzania yalaani matumizi ya nguvu
Mashirika ya kutetea haki za binadamu nchini Tanzania yamelaani ripoti zilizoenea za mauaji ya dhidi ya raia, baadhi majumbani mwao, katika ghasia za baada ya uchaguzi.
Pezeshkian: Iran inatafuta amani lakini haitoshurutishwa
Rais wa Iran Masoud Pezeshkian amesema kuwa Iran inatafuta amani, lakini haitashurutishwa wala kuacha mpango wake wa nyuklia. Haya yameripotiwa leo na vyombo vya habari vya serikali.
EU yasimamisha Visa za zaidi ya mara kwa raia wa Urusi
Nchi za Umoja wa Ulaya hazitatoa tena viza za kuingia zaidi ya mara moja katika mataifa ya Umoja huo kwa raia wa Urusi, kufuatia "vitendo vya hujuma na uwezekano wa…
UN yasema takriban watu 100 walitekwa ama kupotezwa Syria
Ofisi ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa imesema leo kuwa takriban watu 100 wamerekodiwa kutekwa nyara ama kutoweka nchini Syria tangu mwanzoni mwa mwaka huku kukiwa na ripoti…
Makundi ya Haki za binaadamu yakosoa mauaji, Tanzania
Makundi ya haki za binaadamu nchini Tanzania yamelaani ripoti za kile walichotaja "mauaji ya kulipiza kisasi" dhidi ya raia, katika ghasia za baada ya uchaguzi ambazo kulingana na upinzani, mamia…
Taha kuongeza mauzo ya mbogamboga, matunda hadi Sh5 trilioni
Chama cha Wakulima wa Mbogamboga na Maua Tanzania (Taha) kimetangaza mpango wa kuongeza fursa...
Raia wa Sudan Kusini kurejeshwa nyumbani kutoka US
Awali Sudan Kusini iliorodheshwa miongoni mwa mataifa ambayo yangefaidika kwa muda mnamo Oktoba 13, 2011, kulingana na mapigano nchini humo kati ya serikali ya rais Salva Kiir na makamu wake…
Wataalamu waonya watoto milioni 14 wako katik hatari ya njaa DRC
Uchambuzi wa data mpya kutoka kwa Ushirikiano wa Awamu Jumuishi ya Usalama wa Chakula (IPC) iligundua kuwa watoto wapatao milioni 14—mmoja kati ya watano – watakabiliwa na viwango vya njaa…
ICC yathibitisha mashtaka dhidi ya mbabe wa kivita Joseph Kony
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa kivita ICC imethibitisha mashtaka ya uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya binadamu dhidi ya mbabe wa kivita mtoro wa Uganda Joseph Kony bila…
Zanzibar yatoa punguzo la asilimia 80 tozo ya bidhaa za chakula, sababu yatajwa
Uamuzi huo umeidhinishwa na ZPC ikiwa ni sehemu ya jitihada za Serikali ya Mapinduzi ya...
INEC yatangaza majina wabunge Viti Maalumu
DODOMA: Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imefanya uteuzi wa Wabunge Wanawake wa Viti Maalum 115 kati ya idadi ya Wabunge 116 wanaopaswa kuteuliwa, kufuatia masharti ya Ibara ya 66…
Kimbunga Kalmaegi chaleta maafa Vietnam na Ufilipino
Kimbunga Kalmaegi kimesababisha upepo mkali na mvua kubwa huko Vietnam iliyopelekea watu watano kuuwawa, kuharibu majumba kung'oa mapaa ya majengo pamoja na miti.
Mahakama yamtaka IGP, wenzake kuwasilisha utetezi wa kumshikilia Heche
Mahakama hiyo imetoa amri hiyo leo Ijumaa, Novemba 7 , 2025 wakati shauri hilo lilipotajwa kwa...
Mabadiliko ya tabianchi, shughuli za kibinadamu vyatishia uhai wa Ziwa Jipe
Ni safari ya zaidi ya kilomita 40.96 kutoka Kifaru wilayani Mwanga, mkoani Kilimanjaro kwenda...
Simba yataka ushindi na mabao kwa JKT Tanzania
Simba imesema kuwa inahitaji kupata ushindi wa idadi nzuri ya mabao dhidi ya JKT Tanzania...
Baraza la Wawakilishi kuzinduliwa Jumatatu, Naibu Spika huyu hapa
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi anatarajiwa kuhutubia na kulizindua Baraza la 11 la...
Mbeumo mchezaji bora EPL Oktoba
KIUNGO mshambuliaji wa miamba ya soka, Manchester United, Bryan Mbeumo ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa Ligi ya Kuu England (EPL) kwa mwezi Oktoba. Sambamba na Mbeumo, kocha wa mashetani…
Mwinyi ahimiza kuendeleza maombi ya amani
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewahimiza wananchi kuendeleza utamaduni wa kuiombea nchi amani, ili mipango na miradi ya maendeleo iweze kutekelezwa kwa…
Ligi ya vijana Arumeru kuendelea kesho
ARUSHA: Mashindano ya Ligi ya Vijana wenye umri chini ya miaka 13 yanatarajiwa kuendelea kesho Novemba 8 kwa michezo minne itakayochezwa katika viwanja vya Shule ya Kimataifa Kennedy House, Usa…
Umoja wa Mataifa waguswa na uhaba wa chakula mashariki ya DRC
Idadi ya watu wanaokabiliwa na njaa mashariki ya DRC imeongezeka tangu mwaka uliopita kulingana na ripoti ya Umoja wa Mataifa. Imechapishwa: 07/11/2025 – 13:34Imehaririwa: 07/11/2025 – 13:38 Dakika 1 Wakati…
Je, Gaza itaweza kuepuka mzunguko wa kudumu wa mgogoro bila kufanyika ukarabati wa kimuundo?
UNICEF kwa mara nyingine tena imetahadharisha kuhusu kuzidi kuwa mbaya mgogoro wa kibinadamu huko Gaza na kusema kuwa zaidi ya watoto milioni moja katika ukanda huo bado wanakabiliwa na ukosefu…
Tanzania yawashtaki watu 98 kwa uhaini
Miongoni walioshikwa ni mfanyabiashara, Jenifer Bilikwiza Jovin almaarufu Niffer amefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam leo Ijumaa.
Watu 98 washtakiwa kwa uhaini nchini Tanzania
Waendesha mashtaka nchini Tanzania wamewafungulia mashtaka watu 98 kwa makosa ya uhaini, wakihusishwa na maandamano yenye vurugu yalioiibuka wakati wa uchaguzi wa wiki iliopita. Imechapishwa: 07/11/2025 – 13:10Imehaririwa: 07/11/2025 –…
Mastaa kwenye mtihani wa kupoteza wafuasi mitandaoni
Mitandao ya kijamii imeendelea kuwa sehemu muhimu kwa wasanii wa Bongo Fleva kujenga majina...
Niffer, wenzake 21 kortini wakituhumiwa uhaini
DAR ES SALAAM; MFANYABIASHARA Jeniffer Jovin, maarufu ‘Niffer’(26)na wenzake 21wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakibabiliwa na makosa matatu yakiwemo ya uhaini. Washitakiwa wengine katika kesi hiyo ni…
Macho na masikio yakielekezwa COP30 usemi wa “Maneno matupu hayavunji mfupa” washika kasi
Maelfu ya wanadiplomasia na wataalamu wa masuala ya tabianchi wanaelekea Belém, katika eneo la Amazon nchini Brazili, kwa ajili ya COP30 – mkutano wa hivi karibuni zaidi wa Umoja wa…
Guterres: Tendeni haki na fanyeni haraka wakati wa mpito kuelekea nishati safi
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, ametoa wito kwa dunia kuharakisha mpito kutoka kwenye matumizi ya mafuta ya kisukuku kuelekea nishati safi, akisisitiza hatua hiyo lazima iwe ya…
IOM yasihi suluhisho endelevu kwa wakimbizi wa ndani Sudan Kusini
Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji la IOM, SungAh Lee, ametoa wito wa kuimarisha juhudi za kushughulikia hali ya wakimbizi wa ndani na wanaorejea makwao…
RT yampigia chapuo Simbu
Zikiwa zimesalia siku mbili pekee kufungwa kwa zoezi la upigaji kura za kuwatafuta wanariadha...
UNICEF yatoa msaada wa mabegi na vifaa vya shule kwa watoto wa Tigray
Kaskazini Magharibi mwa Tigray watoto wamewezeshwa kwa kupatiwa vifaa kwa ajili ya kuanza upya shule baada ya vita ya muda mrefu shukrani kwa shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na…
Janga la njaa DRC linazidi kuwa baya kutokana na mapigano na ukosefu wa ufadhili wa misaada – WFP
Mgogoro katika mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) unaendelea kuwa mbaya huku mapigano yakizidi, na kusababisha makumi ya maelfu ya watu kukimbia makazi yao na kuzidisha njaa kali,…