Skip to content
  • Mon. Jun 29th, 2026

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE

Latest Post

Tanzania invests 12.6 bn/- on the Serengeti infrastructure to protect its tourism crown jewel   Mahakama yaruhusu washtakiwa wa ‘tuma pesa’ kufanya majadiliano na DPP Marekani, Iran sasa kujifungia Doha kusaka mwafaka wa amani Watendaji kada ya afya Z’bar sasa kupimwa kwa ubora wa huduma Liza Achieng Afichua Ujumbe wa Kushtua Wanawake Wakimtaka Awaambukize Waume Wasaliti HIV
LTV ENGLISH NEWS

Tanzania invests 12.6 bn/- on the Serengeti infrastructure to protect its tourism crown jewel  

June 29, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Mahakama yaruhusu washtakiwa wa ‘tuma pesa’ kufanya majadiliano na DPP

June 29, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Marekani, Iran sasa kujifungia Doha kusaka mwafaka wa amani

June 29, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Watendaji kada ya afya Z’bar sasa kupimwa kwa ubora wa huduma

June 29, 2026 mjombazecoder
TUKO SWAHILI NEWS

Liza Achieng Afichua Ujumbe wa Kushtua Wanawake Wakimtaka Awaambukize Waume Wasaliti HIV

June 29, 2026 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
Tanzania invests 12.6 bn/- on the Serengeti infrastructure to protect its tourism crown jewel  
LTV ENGLISH NEWS
Tanzania invests 12.6 bn/- on the Serengeti infrastructure to protect its tourism crown jewel  
Mahakama yaruhusu washtakiwa wa ‘tuma pesa’ kufanya majadiliano na DPP
MWANANCHI
Mahakama yaruhusu washtakiwa wa ‘tuma pesa’ kufanya majadiliano na DPP
Marekani, Iran sasa kujifungia Doha kusaka mwafaka wa amani
MWANANCHI
Marekani, Iran sasa kujifungia Doha kusaka mwafaka wa amani
Watendaji kada ya afya Z’bar sasa kupimwa kwa ubora wa huduma
MWANANCHI
Watendaji kada ya afya Z’bar sasa kupimwa kwa ubora wa huduma
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
LTV ENGLISH NEWS
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
HABARILEO
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Trump anakabiliwa na chaguzi ‘mbaya’ au ‘mbaya zaidi’ kuhusu Iran: Jenerali wa IRGC
HABARI ZA KIPEKEE
Trump anakabiliwa na chaguzi ‘mbaya’ au ‘mbaya zaidi’ kuhusu Iran: Jenerali wa IRGC
Tanzania invests 12.6 bn/- on the Serengeti infrastructure to protect its tourism crown jewel  
LTV ENGLISH NEWS
Tanzania invests 12.6 bn/- on the Serengeti infrastructure to protect its tourism crown jewel  
Mahakama yaruhusu washtakiwa wa ‘tuma pesa’ kufanya majadiliano na DPP
MWANANCHI
Mahakama yaruhusu washtakiwa wa ‘tuma pesa’ kufanya majadiliano na DPP
Marekani, Iran sasa kujifungia Doha kusaka mwafaka wa amani
MWANANCHI
Marekani, Iran sasa kujifungia Doha kusaka mwafaka wa amani
Watendaji kada ya afya Z’bar sasa kupimwa kwa ubora wa huduma
MWANANCHI
Watendaji kada ya afya Z’bar sasa kupimwa kwa ubora wa huduma
HABARI ZA KIPEKEE

Sudan: Jamii ya kimataifa ichukue hatua kusitisha utumaji silaha kwa wanamgambo wa RSF

November 5, 2025 mjombazecoder

Sudan imekariri wito wake kwa jamii ya kimataifa ikitaka kufanyika juhudi za kuzuia mtiririko wa silaha kwa wanamgambo wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) na kulitaja kundi hilo kuwa…

HABARI ZA KIPEKEE

UN: Askari usalama wa Cameroon wauwa raia 48 katika maandamano ya kupinga uchaguzi wa rais

November 5, 2025 mjombazecoder

Duru za Umoja wa Mataifa zimeripoti kuwa askari usalama vya Cameroon wameuwa raia 48 katika maandamano ya kupinga kuchaguliwa tena Rais Paul Biya, mtawala mzee zaidi duniani.

HABARI ZA KIPEKEE

Mamdani achaguliwa Meya wa kwanza Mwislamu wa Jiji la New York katika ushindi wa kihistoria

November 5, 2025 mjombazecoder

Zohran Mamdani mbunge Muislamu amechaguliwa kuwa Meya wa 111 wa jiji la New York, mtu wa kwanza mwenye asili ya Asia Kusini na wa kwanza aliyezaliwa barani Afrika kuongoza jiji…

HABARI ZA KIPEKEE

Hamas yapinga kutumwa jeshi la kigeni Gaza mbadala wa jeshi vamizi la Israel

November 5, 2025 mjombazecoder

Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas katika Ukanda wa Gaza imesema kuwa haiwezakani kutumwa kikosi chakijeshicha kigeni katika eneo hilo ambacho kitahudumu kama mbadala wa jeshi vamizi la…

MWANANCHI

Bei ya mafuta Novemba kusalia vilevile

November 5, 2025 mjombazecoder

Kwa watumiaji wa dizeli wataendelea kutumia Sh2,704 kwa lita moja ya mafuta kama ilivyokuwa...

MWANANCHI

Bei ya petroli Dar yapanda dizeli ikisalia vilevile

November 5, 2025 mjombazecoder

Kwa watumiaji wa dizeli wataendelea kutumia Sh2,704 kwa lita moja ya mafuta kama ilivyokuwa...

HABARI ZA KIPEKEE

ECOWAS yalaani madai ya Trump kuhusu mauaji ya kimbari dhidi ya Wakristo Nigeria

November 5, 2025 mjombazecoder

Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi, ECOWAS, imekanusha kama ya uongo na yenye hatari madai kwamba makundi yenye misimamo mikali katika eneo hilo yanawalenga watu wa dini fulani…

HABARI ZA KIPEKEE

Wasichotaka mkijue; Sudan, nchi ya dhahabu iliyonaswa na wafanyanjama wa kimataifa

November 5, 2025 mjombazecoder

Sudan, ambayo kwa sasa imetumbukia katika kinamasi cha vita vya wenyewe kwa wenyewe, ni nchi yenye nguvu na uwezo mwingi.

MWANANCHI

Vurugu zilivyotikisa sekta ya elimu

November 5, 2025 mjombazecoder

Ni mtikisiko kwenye sekta ya elimu, hivi ndivyo inavyoweza kuelezwa kufuatia vurugu zilizotokea...

MWANANCHI

Liverpool yavunja unyonge, Arsenal yaweka rekodi Ulaya

November 5, 2025 mjombazecoder

Liverpool imerudi katika kiwango chake baada ya kuichapa Real Madrid katika mchezo wa Ligi ya...

MWANANCHI

Shughuli za uchumi zilivyotikisika kwa siku sita

November 5, 2025 mjombazecoder

Vurugu zilizotokea kwenye baadhi ya maeneo nchini kuanzia Oktoba 29, 2025, zimeacha alama kubwa...

MWANANCHI

Siku za uchaguzi zilibaki historia kwa wakazi wa Mbeya na Dodoma

November 5, 2025 mjombazecoder

Mbeya/Dodoma. Itabaki historia. Ndivyo wanavyosema baadhi ya wananchi wa Jiji la Mbeya...

COP30 utakuwa mkutano wa kuambiana ukweli na kutoa suluhu: Rais wa Brazil

November 5, 2025 mjombazecoder

Wakati huu ripoti ya Umoja wa Mataifa ikionya kwamba uzalishaji wa kaboni duniani kote unaongezeka, rais wa Brazil Lula Inacio Da Silva ambaye nchi yake itakuwa mwenyeji wa mkutano wa…

Sudan Kusini: Rais Salva Kiir amfuta kazi Waziri wake wa fedha

November 5, 2025 mjombazecoder

Katika kile kinachotafsiriwa kuwa ni mzozo wa kisiasa, rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir, ametangaza kumfuta kazi Waziri wake wa fedha, ikiwa ni miezi miwili kupita tangu ateuliwe kwenye wadhifa…

IDHAA YA DUNIA

Diaz awaangamiza mabingwa wa Ulaya PSG

November 5, 2025 mjombazecoder

Winga wa Bayern Munich Luis Diaz alifunga mabao mawili ya kipindi cha kwanza na kuisaidia timu yake kuwalaza mabingwa watetezi Paris Saint Germain 2-1.

IDHAA YA DUNIA

Ukraine yaitaka Hungary kutoizuia kujiunga na EU

November 5, 2025 mjombazecoder

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy ametoa mwito kwa Rais Viktor Orban wa Hungary kuacha kupinga ombi la nchi yake kujiunga na Umoja wa Ulaya.

IDHAA YA DUNIA

Watanzania wasambaza video za ukatili licha ya polisi kuonya

November 5, 2025 mjombazecoder

Watanzania jana wamesambaza video mitandaoni zilizoonesha ukatili uliofanyika wakati wa maandamano ya siku kadhaa nchini humo kufuatia uchaguzi uliofanyika wiki iliyopita.

IDHAA YA DUNIA

Marekani iko katika majadiliano ya vita kusitishwa Sudan

November 5, 2025 mjombazecoder

Marekani inashirikiana na mataifa mengine kusitisha mapigano yanayoendelea nchini Sudan.

IDHAA YA DUNIA

Mdemocrat Mamdani ashinda umeya wa New York

November 5, 2025 mjombazecoder

Mgombea wa chama cha Democratic Zohran Mamdani ameshinda kiti cha meya wa jiji la New York huko Marekani.

MWANANCHI

Athari za maandamano zilivyopaisha bei za bidhaa

November 5, 2025 mjombazecoder

Shughuli za kiuchumi kusimama, maduka kufungwa na wananchi kushindwa kununua mahitaji yao licha...

DRC: Rais Tshisekedi awasifia raia wa Congo kwa utulivu licha ya vita

November 5, 2025 mjombazecoder

Rais wa DRC, Felix Tshisekedi, amewasifu raia wa nchi yake kwa uvumilivu licha ya miongo karibu mitatu ya vita, watuj kuuawa na wengine kukosa makazi, kauli anayotoa wakati huu akijaribu…

Mtoto mmoja kati ya watano wanaishi katika maeneo ya mizozo duniani

November 5, 2025 mjombazecoder

Shirika la kimataifa la Save The Children, linasema mtoto mmoja kati ya watano duniani waliishi katika maeneo yenye mizozo mwaka uliopita. Imechapishwa: 05/11/2025 – 04:33 Dakika 1 Wakati wa kusoma…

HABARI ZA KIPEKEE

Waislamu na Wakristo wa Nigeria wapinga vitisho vya Trump

November 5, 2025 mjombazecoder

Waislamu na Wakristo wa Nigeria wamesisitiza kuishi pamoja kwa amani na maelewano na kusema kuwa vitisho vya Rais wa Marekani dhidi ya nchi hiyo kuwa havikubaliki.

HABARI ZA KIPEKEE

Yemen: Tumejiandaa kwa vita vikubwa na Israel

November 5, 2025 mjombazecoder

Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, harakati za Muqawamaa zimejiandaa kwa ajili ya awamu ijayo ya mapambano na utawala wa wa Kizayuni wa Israel, kwani zinaamini kwamba…

HABARI ZA KIPEKEE

Utafiti: Vita vya mauaji ya kimbari vya Israel vimegharimu zaidi ya miaka milioni 3 ya maisha ya mwanadamu huko Gaza

November 5, 2025 mjombazecoder

Utafiti wa hivi karibuni uliochapishwa katika jarida la Lancet umefichua kuwa zaidi ya miaka milioni tatu ya maisha ya binadamu yamepotea katika Ukanda wa Gaza tangu utawala ghasibu wa Israel…

HABARI ZA KIPEKEE

Padri Mfaransa atuhumiwa kuwadhalilisha kingono wakimbizi watoto

November 5, 2025 mjombazecoder

Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki la Rabat nchini Morocco jana aliliambia shirika la habari la AFP kuwa "ameshirikiana kikamilifu" na mamlaka za Morocco na nje ya nchi baada ya kasisi…

HABARI ZA KIPEKEE

Mjumbe wa UN kuhusu elimu: Watoto milioni 14 nchini Sudan hawaendi shuleni

November 5, 2025 mjombazecoder

Nesmy Manigat, Mwakilishi Mkuu wa Ushirikiano wa Kimataifa kwa Ajili ya Elimu, amesema kwamba Sudan inakabiliwa na "mojawapo ya hali mbaya zaidi duniani," akieleza kuwa takriban watoto milioni 14 hawaendi…

HABARI ZA KIPEKEE

Mapitio ya jinai za Magharibi; jinai za Marekani nchini Somalia

November 5, 2025 mjombazecoder

Marekani imefanya mashambulizi ya anga na operesheni za kijeshi nchini Somalia, na kusababisha vifo vingi vya raia, na akthari ya hatua hizo zimekuwa zikikosolewa na makundi ya kutetea haki za…

HABARI ZA KIPEKEE

Jumatano, Novemba 5, 2025

November 5, 2025 mjombazecoder

Leo ni Jumatano tarehe 14 Mfunguo Nane Rabiul Awwal 1447 Hijria mwafaka na 5 Novemba 2025 Milaadia.

IDHAA YA DUNIA

05.11.2025 Matangazo ya Mchana

November 5, 2025 mjombazecoder

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Watanzania jana wamesambaza video mitandaoni zilizoonesha ukatili uliofanyika wakati wa maandamano ya siku kadhaa nchini humo kufuatia uchaguzi uliofanyika wiki iliyopita / Zohran Mamdani, kutoka…

IDHAA YA DUNIA

05.11.2025

November 5, 2025 mjombazecoder

Zohran Mamdani wa chama cha Democratic ashinda kura ya Meya wa New York huko Marekani//Marekani yasema iko katika majadiliano ya vita kusitishwa Sudan//Na Watanzania wasambaza video za ukatili uliofanyika nchini…

Mauritania: Mohamed Ould Abdel Aziz kufungwa miaka 15 jela, Mahakama Kuu yathibitisha

November 4, 2025 mjombazecoder

Ikiwa kesi yake imesikilizwa tangu mwezi Novemba 2024 kwa kutumia vibaya mamlaka yake kwa kujikusanyia utajiri mkubwa, Mahakama Kuu ya Mauritania imetuplia mbali rufaa ya rais wa zamani Mohamed Ould…

Iran: Raia wa Ufaransa Cécile Kohler na Jacques Paris waachiliwa

November 4, 2025 mjombazecoder

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron ametangaza kwenye mtandao wa kijamii wa X mnamo Novemba 4 kuachiliwa huru kwa raia wa Ufaransa Cécile Kohler na Jacques Paris. Rais ameelezea “furaha yake…

Gaza: Hamas yakabidhi mwili wa mateka mwingine kwa Israel

November 4, 2025 mjombazecoder

Israeli imetangaza kwamba vikosi vyake vya usalama vimepokea mwili wa mateka wa Gaza kutoka kwa hirika la Msalaba Mwekundu siku ya Jumanne jioni, na kurejeshwa kama sehemu ya makubaliano ya…

Brazili: Lula atoa wito wa uchunguzi baada ya ‘mauaji’ ya polisi Rio

November 4, 2025 mjombazecoder

Rais wa Brazil Lula ametangaza siku ya Jumanne, Novemba 4, kwamba operesheni ya polisi dhidi ya kundi la wahalifu huko Rio de Janeiro iliyowaua watu 121 wiki iliyopita ilikuwa “mauaji…

Rais wa Mexico akataa Marekani kuingilia kijeshi nchini

November 4, 2025 mjombazecoder

Rais wa Mexico Claudia Sheinbaum amekataa uwezekano wa Marekani kuingilia kijeshi nchini Mexico siku ya Jumanne, Novemba 4, kufuatia ripoti za vyombo vya habari kwamba mwenzake wa Marekani, Donald Trump,…

Côte d’Ivoire: Emmanuel Macron ampongeza Alassane Ouattara kwa kuchaguliwa tena

November 4, 2025 mjombazecoder

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron, siku ya Jumanne, Novemba 4, amempongeza mwenzake wa Côte d’Ivoire, Alassane Ouattara, kwa kuchaguliwa tena, na kutoa wito wa kuendelea kuimarishwa kwa ushirikiano kati ya…

Chuo Kikuu cha Uingereza chasalimu amri kwa shinikizo la China na Kusitisha Utafiti kuhusu Wauyghur

November 4, 2025 mjombazecoder

Chuo Kikuu cha Sheffield Hallam, kaskazini mwa Uingereza, kinakabiliwa na kashfa ya kidiplomasia na China. Uchunguzi uliofanywa na BBC na Gazeti la The Guardian unaonyesha kwamba, chini ya shinikizo kutoka…

DRC: Kuelekea ada ya mpya ya abiria kwa kufadhili usalama wa uwanja wa ndege

November 4, 2025 mjombazecoder

Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), ada mpya ya usalama wa uwanja wa ndege itaanzishwa hivi karibuni. Kiasi: dola 30 kwa kila abiria. Itatumika kwa safari zote za ndege…

Tume ya AU yamteua mjumbe wake mpya maalum nchini Madagascar

November 4, 2025 mjombazecoder

Tume ya Umoja wa Afrika imemteua mjumbe wake mpya maalum nchini Jamhuri ya Madagaska. Naye ni Balozi wa Djibouti, Mohamed Idris Farah. Imechapishwa: 05/11/2025 – 00:02 Dakika 1 Wakati wa…

IDHAA YA DUNIA

Tanzania: Chama Cha Mapinduzi (CCM) chatangaza nafasi za kuwania Uspika bara na visiwani

November 4, 2025 mjombazecoder

Hatua hiyo inakuja siku moja baada ya kuapishwa wa Samia Suluhu Hassan kama rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kufuatia ushindi wake wa kiti hicho katika uchaguzi wa Oktoba…

MWANANCHI

Siku sita za maumivu, mashaka, wasiwasi

November 4, 2025 mjombazecoder

Soma zaidi hapa...

MWANANCHI

Tumia mbinu hizi ukipata kiwewe au mshtuko

November 4, 2025 mjombazecoder

Soma zaidi hapa...

MWANANCHI

Dk Mwinyi na kiapo bila hotuba

November 4, 2025 mjombazecoder

Soma zaidi hapa...

MWANANCHI

Usafiri wa mwendokasi Dar wasitishwa kwa muda

November 4, 2025 mjombazecoder

Chalamila amewataka waliokuwa watumiaji wa usafiri huo kutafuta njia mbadala za usafiri wakati...

MWANANCHI

Uchaguzi ulivyohitimishwa Samia akiapishwa muhula wa pili

November 4, 2025 mjombazecoder

Soma zaidi hapa...

IDHAA YA DUNIA

Serikali ya Tanzania yakabiliwa na shinikizo zaidi

November 4, 2025 mjombazecoder

Serikali ya Tanzania inakabiliwa na shinikizo linaloongezeka kufuatia mauaji yaliyoshuhudiwa wakati na baada ya uchaguzi wa wiki iliyopita, huku chama cha upinzani CHADEMA kikivishutumu vikosi vya usalama.

MWANANCHI

Maisha yarejea baada ya hekaheka ya siku sita

November 4, 2025 mjombazecoder

Dar/mikoani. Baada ya hekaheka za siku za tano zilizosababisha wananchi kukosa huduma muhimu...

IDHAA YA DUNIA

Hemed Suleiman ‘Morocco’ kutoipeleka Tanzania AFCON Morocco

November 4, 2025 mjombazecoder

Nafasi ya kocha huyo kwa sasa inachukuliwa na mzawa Miguel Gamondi, raia wa Argentina ambaye alikuwa akiifundisha Singida Big Stars ya nchini Tanzania.

IDHAA YA DUNIA

Hamas kurejesha mwili wa mateka mwingine Israel

November 4, 2025 mjombazecoder

Tawi la Kijeshi la Hamas limesema kuwa limeupata mwili wa mwanajeshi mmoja wa Israel katika Ukanda wa Gaza na linafanya mpango wa kuurejesha Israel.

Posts pagination

1 … 806 807 808 … 1,018

Recent Posts

  • Tanzania invests 12.6 bn/- on the Serengeti infrastructure to protect its tourism crown jewel  
  • Mahakama yaruhusu washtakiwa wa ‘tuma pesa’ kufanya majadiliano na DPP
  • Marekani, Iran sasa kujifungia Doha kusaka mwafaka wa amani
  • Watendaji kada ya afya Z’bar sasa kupimwa kwa ubora wa huduma
  • Liza Achieng Afichua Ujumbe wa Kushtua Wanawake Wakimtaka Awaambukize Waume Wasaliti HIV

Recent Comments

  1. EdithUrili on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  2. Nancyurike on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  3. ChaelLah on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  4. TrickSit on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  5. Larryverse on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit

Archives

  • June 2026
  • May 2026
  • April 2026
  • March 2026
  • February 2026
  • January 2026
  • December 2025
  • November 2025
  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • June 2025
  • August 2024
  • July 2024
  • May 2023
  • June 2016

Categories

  • ASTV TANZANIA
  • CRI SWAHILI
  • DW SWAHILI
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • HABARILEO
  • IDHAA YA DUNIA
  • ITVBONGO
  • LTV ENGLISH NEWS
  • MAGAZETI
  • MWANANCHI
  • MWANASPOTI
  • RFI SWAHILI
  • TRT SWAHILI
  • TUKO SWAHILI NEWS
  • TZSPORTS
  • Uncategorized

You missed

LTV ENGLISH NEWS

Tanzania invests 12.6 bn/- on the Serengeti infrastructure to protect its tourism crown jewel  

June 29, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Mahakama yaruhusu washtakiwa wa ‘tuma pesa’ kufanya majadiliano na DPP

June 29, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Marekani, Iran sasa kujifungia Doha kusaka mwafaka wa amani

June 29, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Watendaji kada ya afya Z’bar sasa kupimwa kwa ubora wa huduma

June 29, 2026 mjombazecoder

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS