Skip to content
  • Mon. Jun 29th, 2026

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE

Latest Post

GUNIA LILILOBADILI SAFARI YA MKULIMA Tanzania to host brain cancer conference Tanzania pushes for increased climate science investment 25 Tanzanians attain PhDs, Master’s degrees in Indonesian universities Kinyume na propaganda za adui, sekta ya ulinzi ya Iran inaendelea kupata mafanikio: Naibu Mkuu wa Jeshi
HABARILEO

GUNIA LILILOBADILI SAFARI YA MKULIMA

June 29, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Tanzania to host brain cancer conference

June 29, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Tanzania pushes for increased climate science investment

June 29, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

25 Tanzanians attain PhDs, Master’s degrees in Indonesian universities

June 29, 2026 mjombazecoder
HABARI ZA KIPEKEE

Kinyume na propaganda za adui, sekta ya ulinzi ya Iran inaendelea kupata mafanikio: Naibu Mkuu wa Jeshi

June 29, 2026 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
GUNIA LILILOBADILI SAFARI YA MKULIMA
HABARILEO
GUNIA LILILOBADILI SAFARI YA MKULIMA
Tanzania to host brain cancer conference
LTV ENGLISH NEWS
Tanzania to host brain cancer conference
Tanzania pushes for increased climate science investment
LTV ENGLISH NEWS
Tanzania pushes for increased climate science investment
25 Tanzanians attain PhDs, Master’s degrees in Indonesian universities
LTV ENGLISH NEWS
25 Tanzanians attain PhDs, Master’s degrees in Indonesian universities
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
LTV ENGLISH NEWS
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
HABARILEO
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Trump anakabiliwa na chaguzi ‘mbaya’ au ‘mbaya zaidi’ kuhusu Iran: Jenerali wa IRGC
HABARI ZA KIPEKEE
Trump anakabiliwa na chaguzi ‘mbaya’ au ‘mbaya zaidi’ kuhusu Iran: Jenerali wa IRGC
GUNIA LILILOBADILI SAFARI YA MKULIMA
HABARILEO
GUNIA LILILOBADILI SAFARI YA MKULIMA
Tanzania to host brain cancer conference
LTV ENGLISH NEWS
Tanzania to host brain cancer conference
Tanzania pushes for increased climate science investment
LTV ENGLISH NEWS
Tanzania pushes for increased climate science investment
25 Tanzanians attain PhDs, Master’s degrees in Indonesian universities
LTV ENGLISH NEWS
25 Tanzanians attain PhDs, Master’s degrees in Indonesian universities
HABARI ZA KIPEKEE

Israel yakiuka usitishaji vita, yaua Wapalestina 10 kila siku

November 1, 2025 mjombazecoder

Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Euro-Mediterania lilitangaza siku ya Ijumaa katika ripoti yake kuwa, utawala wa Kizayuni umekuwa ukiwaua shahidi Wapalestina 10 kila siku tangu kuanza kwa usitishaji…

HABARI ZA KIPEKEE

Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania: Samia ameshinda uchaguzi wa rais kwa asilimia 98 ya kura

November 1, 2025 mjombazecoder

Tume Huru ya Uchaguzi nchini Tanzania imemtangaza Samia Suluhu Hassan kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais ulifanyika Oktoba 29 kwa asilimia 98 ya kura.

HABARI ZA KIPEKEE

Naeem Qassem: Muqawama ni nembo ya nguvu ya Lebanon, unapaswa kulindwa

November 1, 2025 mjombazecoder

Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema Marekani inadai kwamba inataka kutatua matatizo ya Lebanon lakini nchi hiyo sio mpatanishi mwadilifu asiyependelea upande wowote na ni mshirika katika…

Tanzania: Rais Samia Hassan ashinda uchaguzi kwa asilimia 97.66

November 1, 2025 mjombazecoder

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameibuka mshindi katika uchaguzi mkuu wa urais uliofanyika wiki hii kulingana na matokeo rasimi ya leo Jumamosi. Imechapishwa: 01/11/2025 – 07:39Imehaririwa: 01/11/2025 – 08:01…

HABARI ZA KIPEKEE

Idara ya Habari Palestina: Kuna mabomu 20,000 ambayo hayajalipuka huko Gaza

November 1, 2025 mjombazecoder

Idara ya Vyombo vya Habari ya Serikali ya Palestina imetangaza kwamba mabomu 20,000 ambayo hayajalipuka bado yamebaki katika eneo la Ukanda wa Gaza huko Palestina.

IDHAA YA DUNIA

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan atangazwa mshindi wa uchaguzi

November 1, 2025 mjombazecoder

Tume ya uchaguzi imesema kuwa rais ameshinda kwa asilimia 98 ya kura katika uchaguzi uliokuwa na utata.

HABARI ZA KIPEKEE

Mwanamfalme wa Uingereza avuliwa vyeo vyote vya kifalme

November 1, 2025 mjombazecoder

Kasri ya Mfalme wa Uingereza, Buckingham Palace, ilitangaza jana Ijumaa kwamba Andrew, kaka wa mfalme wa Uingereza, atajulikana kama Andrew Mountbatten Windsor na si Mwanamfalme, na hatakuwa tena na haki…

HABARI ZA KIPEKEE

Kutawishwa ushirikiano wa kibiashara na kiuchumi kati ya Moscow na Beijing

November 1, 2025 mjombazecoder

Ushirikiano wa kibiashara na kiuchumi kati ya Moscow na Beijing unaendelea licha ya vikwazo vilivyowekwa na Umoja wa Ulaya.

HABARI ZA KIPEKEE

Takht-Ravanchi: Oman ni jirani wa kuaminika wa Iran na mshirika muhimu

November 1, 2025 mjombazecoder

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje ambaye pia ni Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa ameitaja ziara yake ya hivi karibuni nchini Oman kuwa yenye manufaa.

HABARI ZA KIPEKEE

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran alaani kuanza tena majaribio ya silaha za nyuklia Marekani, asema ni tishio la kimataifa

November 1, 2025 mjombazecoder

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amelitaja tangazo la Marekani la kuanza tena majaribio ya silaha za nyuklia kuwa ni kitendo kisicho cha kuwajibika na tishio kubwa kwa amani…

HABARI ZA KIPEKEE

Tanzania yakanusha madai ya kutumia nguvu dhidi ya waandamanaji

November 1, 2025 mjombazecoder

Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mahmoud Thabit Kombo, amekanusha madai ya matumizi ya nguvu kupita kiasi dhidi ya waandamanaji wanaopinga zoezi la Uchaguzi Mkuu…

HABARI ZA KIPEKEE

Erdogan amkosoa vikali Kansela wa Ujerumani: Huoni mauaji ya halaiki ya Israel huko Gaza

November 1, 2025 mjombazecoder

Rais wa Uturuki amekosoa vikali msimamo wa Ujerumani wa kuuunga mkono utawala wa Israel, akimwambia kansela wa nchi hiyo: "Je, huoni mauaji ya halaiki na njaa ya kutengeneza kwa makusudi…

HABARI ZA KIPEKEE

UN yakosoa mashambulizi ya Marekani dhidi ya meli zinazoshukiwa kubeba dawa za kulevya

November 1, 2025 mjombazecoder

Umoja wa Mataifa jana Ijumaa ulitoa wito kwa Washington kusimamisha mashambulizi yake dhidi ya meli na boti katika Bahari ya Karibi na mashariki mwa Pasifiki zinazotuhumiwa na Washington kuwa zinafanya…

HABARI ZA KIPEKEE

Mwanamfalme wa Uingereza avuliwa vyeo vyote vya kifalme na kufukuzwa nyumbani kwake

November 1, 2025 mjombazecoder

Katika matokeo ya hivi karibuni ya kashfa ya Jeffrey Epstein, Kasri ya Mfalme wa Uingereza, Buckingham Palace, ilitangaza jana Ijumaa kwamba Andrew, kaka wa mfalme wa Uingereza, atajulikana kama Andrew…

HABARI ZA KIPEKEE

Jumamosi, Mosi Novemba, 2025

November 1, 2025 mjombazecoder

Leo ni Jumamosi 10 Mfunguo Nane Jamadul-Awwal 1447 Hijria ambayo inasadifiana na Mosi Novemba 2025 Miladia.

IDHAA YA DUNIA

Uturuki kuandaa mazungumzo ya Gaza wiki ijayo kufuatia wasiwasi juu ya usitishaji mapigano

October 31, 2025 mjombazecoder

Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki, Hakan Fidan, amesema kuwa Ankara imechukua jukumu muhimu chini ya Azimio la Sharm el-Sheikh, ikishirikiana na washirika wa kimataifa kuhakikisha kuwa usitishaji wa…

IDHAA YA DUNIA

Upinzani Tanzania wasema mamia wameuawa, UN yataka uchunguzi ufanyike

October 31, 2025 mjombazecoder

Waziri wa Mambo ya Nje Mahmoud Thabit Kombo, amekanusha madai ya upinzani ya kwamba mamia wameuawa.

IDHAA YA DUNIA

Mfumo wa ulimwengu wa sasa unazingatia nguvu zaidi ya haki: Mkurugenzi wa TRT

October 31, 2025 mjombazecoder

Jukwaa la 9 la TRT World limeanza mjini Istanbul, likiunganisha viongozi, wanafikra na watunga sera kutoka sehemu mbalimbali za dunia.

IDHAA YA DUNIA

Israel imeigeuza Gaza kuwa vifusi, inawezaji kuwa haina hatia: Erdogan

October 31, 2025 mjombazecoder

Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan, pia ameikosoa mfumo wa propaganda ya Israel uliyojengwa kwa misingi ya uongo, akifichua idadi kubwa ya waandishi wa habari waliouawa Gaza.

IDHAA YA DUNIA

Uturuki yakashifu unafiki wa nchi za Magharibi kuhusu Gaza, yatoa wito wa mfumo mpya wa dunia

October 31, 2025 mjombazecoder

Kiongozi wa Mawasiliano wa Uturuki, Burhanettin Duran, amesema Ankara inachukua jukumu la usuluhishaji, ikiweka kipaumbele usalama wa binadamu na kuamini kwamba amani ya kudumu inaweza kupatikana kupitia mazungumzo, si kwa…

Marekani kudhibiti idadi ya wakimbizi wataoruhusiwa kuingia nchini humo

October 31, 2025 mjombazecoder

Serikali ya Rais Donald Trump, imesema itaenda kudhibiti idadi ya wakimbizi watakaoruhusiwa kuingia nchini humo kuanzia mwaka ujao hadi kufikia elfu 7 na 500, na kwamba nafasi hizo zitajazwa kwa…

IDHAA YA DUNIA

Umoja wa Afrika yamchagua Rais wa Uganda kuwa mpatanishi wa amani Sudan

October 31, 2025 mjombazecoder

Vita nchini Sudan vimekuwepo tangu Aprili 2023 na kusababisha maelfu kuhama makazi yao na wengine kukimbilia nchi za nje.

Sudan: Wapiganaji wa RSF wanaokiuka haki za raia wakamatwa

October 31, 2025 mjombazecoder

Nchini Sudan Wanamgambo wa RSF Wamesema kwamba wamewakamata wapiganaji kadhaa wanaotuhumiwa kutekeleza vitendo vya uhalifu na unyanyasaji wakati wa kutekwa kwa mji wa El-Fasher. Imechapishwa: 31/10/2025 – 15:03 Dakika 1…

Jeshi lasema limezima jaribio la mapinduzi Guinea-Bissau

October 31, 2025 mjombazecoder

Jeshi nchini Guinea-Bissau limethibitisha kuzima kile linasema ni jaribio la kuvuruga mpangilio wa kikatiba ambapo maofisa wa ngazi ya juu wa jeshi wamekatamatwa. Imechapishwa: 31/10/2025 – 14:51 Dakika 1 Wakati…

ICRC inalaani vurugu dhidi ya wafanyakazi wa misaada huko Gaza na Sudan

October 31, 2025 mjombazecoder

Mkurugenzi Mkuu wa Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu (ICRC) amelaani siku ya Ijumaa vurugu zinazoongezeka dhidi ya wafanyakazi wa misaada, hasa huko Gaza na Sudan, ambapo wafanyakazi watano wa…

HABARI ZA KIPEKEE

Kwa nini Iran inataka kuondolewa kwa vikwazo dhidi ya Cuba bila masharti yoyote?

October 31, 2025 mjombazecoder

Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kuondolewa kwa vikwazo vyote dhidi ya Cuba bila masharti yoyote.

Umoja wa Mataifa waguswa na mchafuko yanayotokana uchaguzi wa Tanzania

October 31, 2025 mjombazecoder

Umoja wa Mataifa Ijumaa ya wiki hii umetoa wito kwa vyombo vya usalama nchini Tanzania kuacha kutumia nguvu kupita kiasi dhidi ya waandamanaji. Imechapishwa: 31/10/2025 – 13:19 Dakika 1 Wakati…

HABARI ZA KIPEKEE

Hali bado si shwari Tanzania, matokeo yakiendelea kutangazwa

October 31, 2025 mjombazecoder

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi nchini Tanzania inaendelea kutangaza matokeo ya awali ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika 29 Oktoba, 2025.

HABARI ZA KIPEKEE

Hali bado si shwari Tanzania huku matokeo yakiendelea kutangazwa

October 31, 2025 mjombazecoder

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi nchini Tanzania inaendelea kutangaza matokeo ya awali ya urais ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika 29 Oktoba, 2025.

IDHAA YA DUNIA

UN yasema ripoti zaonyesha watu 10 wameuawa katika maandamano Tanzania

October 31, 2025 mjombazecoder

Maandamano yalizuka katika jiji la kibiashara Dar es Salaam na miji mingine wakati wa upigaji kura siku ya 29 Oktoba 2025.

Mkutano wa Paris kwa ajili ya DRC umetia matumaini – Huang

October 31, 2025 mjombazecoder

Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Maziwa Makuu Barani Afrika, Huang Xia amekaribisha kwa yaliyotokana na Mkutano wa Kuunga Mkono Amani na Ustawi katika Ukanda huo,…

WHO yatoa wito kwa zama mpya za hatua za kimkakati za afya mijini kupitia mwongozo wa kimataifa wa jamii zenye afya, ustawi na uimara

October 31, 2025 mjombazecoder

Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO), leo hii katika Siku ya Kimataifa ya Majiji, limetoa wito kwa viongozi wa kitaifa na wa miji kuchukua hatua mpya za…

Mnufaika wa mradi unaotekelezwa na UNFPA Tanzania aelezea jinsi ulivyomtoa machozi

October 31, 2025 mjombazecoder

Mpango wa “Chaguo Langu, Haki Yangu” nchini Tanzania ni jitihada thabiti zinazolenga kuwawezesha wanawake na wasichana kuishi maisha huru dhidi ya ukatili na vitendo hatarishi. Kwa ufadhili wa Serikali ya…

Utekaji nyara, mauaji ya halaiki na ubakaji Sudan: UN yatahadharisha ukatili El-Fasher

October 31, 2025 mjombazecoder

Tangu kuanguka kwa jiji la El-Fasher mikononi mwa Rapid Support Forces (RSF) ambavyo ni vikosi vya waasi vya Sudan, maelfu ya raia wamekimbia jiji hilo. Wote wameripoti ukiukwaji wa haki…

Wasichana wakifanikiwa, jamii nzima hubadilika: Kituo cha hifadhi dhidi ya ukeketaji vijijini nchini Kenya kinachotoa matumaini mapya kwa wasichana.

October 31, 2025 mjombazecoder

“Katika kaunti ya Narok nchini Kenya, ukeketaji wa wasichana hufanyika kwa siri, na katika baadhi ya vijiji vya Kaunti hiyo kiwango chake hufikia hadi asilimia 99,” amesema Patrick Ngigi, mwanzilishi…

Majiji ya kisasa pamoja na kukumbatia teknolojia izingatie watu

October 31, 2025 mjombazecoder

Dunia leo ikiadhimisha Siku ya Kimataifa ya Majiji, majiji ya kisasa pamoja na kukumbatia teknolojia yametakiwa kuhakikisha yanazingatia zaidi watu ili wengine wasiachwe nyuma au kutengwa na maendeleo hayo.

Kauli ya ofisi ya UN ya Haki za binadamu kufuatia vurugu nchini Tanzania baada ya uchaguzi mkuu

October 31, 2025 mjombazecoder

Ofisi ya Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Haki za Binadamu imeeleza wasiwasi mkubwa kufuatia vifo na majeruhi vilivyotokea katika maandamano yanayohusiana na uchaguzi mkuu uliofanyika nchini Tanzania tarehe…

IDHAA YA DUNIA

Serikali ya Tanzania yasema hali ya kawaida itarejea hivi karibuni

October 31, 2025 mjombazecoder

Kwa mara ya kwanza serikali ya Tanzania imezungumzia kuhusu machafuko yanayoendelea kwa njia ya ujumbe kutoka wizara ya mambo ya nje kwa wanadiplomasia wa nchi za nje kupitia televisheni ya…

Tanzania: Karibia watu 700 wamefariki katika kipindi cha siku tatu: Chadema

October 31, 2025 mjombazecoder

Karibia watu 700 wameuawa nchini Tanzania katika kipindi cha siku tatu kutokana na vurugu za baada ya uchaguzi kulingana na taarifa ya chama kikuu cha upinzani Chadema. Imechapishwa: 31/10/2025 –…

HABARI ZA KIPEKEE

Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Marekani na Israel zinachukiwa zaidi duniani

October 31, 2025 mjombazecoder

Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel ndizo tawala zinazochukiwa zaidi duniani.

HABARI ZA KIPEKEE

Majibu ya Ansarullah kwa Israel Katz: “Hatutamruhusu mtenda jinai atutishie”

October 31, 2025 mjombazecoder

Mohammad al-Farah, mjumbe wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Ansarullah ya Yemen amejibu matamshi ya Waziri wa Vita wa Israel kwamba utawala huo ghasibu bado haujafikia malengo yake yoyote…

HABARI ZA KIPEKEE

Mazungumzo ya Taliban na Pakistan yamalizika Istanbul huku baadhi ya mambo yakisalia bila utatuzi

October 31, 2025 mjombazecoder

Mazungumzo ya siku kadhaa kati ya wajumbe wa Taliban na Pakistan mjini Istanbul yamemalizika kwa upatanishi wa serikali ya Qatar na Uturuki.

HABARI ZA KIPEKEE

Umoja wa Mataifa waonya kuhusu ‘ukatili wa kutisha’ nchini Sudan

October 31, 2025 mjombazecoder

Maafisa wa Umoja wa Mataifa wameonya kuhusiana na 'ukatili wa kutisha' unaofanyika nchini Sudan.

HABARI ZA KIPEKEE

Marekani yahamaki vibaya kwa kushindwa kuipokonya silaha Hizbullah

October 31, 2025 mjombazecoder

Viongozi wa Marekani wameshindwa kuficha hamaki zao kutokana na kufeli njama zao zote za kuipokonya silaha harakati ya Muqawama na mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon. Wameonesha hamakii zao…

HABARI ZA KIPEKEE

Marekani yahamaki vibaya kwa kushindwa kuipokonya silaha Hezbullah

October 31, 2025 mjombazecoder

Viongozi wa Marekani wameshindwa kuficha hamaki zao kutokana na kufeli njama zao zote za kuipokonya silaha harakati ya Muqawama na mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon. Wameonesha hamakii zao…

HABARI ZA KIPEKEE

Iran na Oman zasisitiza kuimarisha zaidi uhusiano wao wa kidugu

October 31, 2025 mjombazecoder

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje ambaye pia ni Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman…

HABARI ZA KIPEKEE

Hasira za Hamas kwa uongo wa Marekani na Israel kuhusu mauaji ya wanawake na watoto wa Ghaza

October 31, 2025 mjombazecoder

Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas, amelalamikia vikali visingizio vya uongo vinavyotumiwa na utawala vamizi wa Kizayuni vya kujaribu kuhalalisha jinai zake dhidi ya raia wa…

HABARI ZA KIPEKEE

Maporomoko ya matope yaua watu 9 mashariki mwa Uganda

October 31, 2025 mjombazecoder

Kwa uchache watu tisa, wakiwemo watoto watatu wa familia moja, wamepoteza maisha katika maporomoko ya matope yaliyosababishwa na mvua kubwa mashariki mwa Uganda.

HABARI ZA KIPEKEE

UN: Wasyria 400,000 wamekimbia makazi yao katika muda huu mfupi wa uongozi wa Jolani

October 31, 2025 mjombazecoder

Umoja wa Mataifa umeitangaza kwamba zaidi ya Wasyria 400,000 wamelazimikia kukimbia makazi yao kutokana na ukandamizaji wa kidini na ulipizaji kisasi tangu Jolani alipoingia madarakani nchini Syria.

Israel imetambua miili ya mateka wawili wa Gaza waliokabidhiwa na Hamas

October 31, 2025 mjombazecoder

Israel imetambua mabaki ya mateka Amiram Kuper na Sahar Baruch, ambao miili yao ilikabidhiwa na Hamas mapema leo, taarifa kutoka ofisi ya Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu imetangaza siku ya Alhamisi,…

Posts pagination

1 … 810 811 812 … 1,018

Recent Posts

  • GUNIA LILILOBADILI SAFARI YA MKULIMA
  • Tanzania to host brain cancer conference
  • Tanzania pushes for increased climate science investment
  • 25 Tanzanians attain PhDs, Master’s degrees in Indonesian universities
  • Kinyume na propaganda za adui, sekta ya ulinzi ya Iran inaendelea kupata mafanikio: Naibu Mkuu wa Jeshi

Recent Comments

  1. EdithUrili on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  2. Nancyurike on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  3. ChaelLah on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  4. TrickSit on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  5. Larryverse on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit

Archives

  • June 2026
  • May 2026
  • April 2026
  • March 2026
  • February 2026
  • January 2026
  • December 2025
  • November 2025
  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • June 2025
  • August 2024
  • July 2024
  • May 2023
  • June 2016

Categories

  • ASTV TANZANIA
  • CRI SWAHILI
  • DW SWAHILI
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • HABARILEO
  • IDHAA YA DUNIA
  • ITVBONGO
  • LTV ENGLISH NEWS
  • MAGAZETI
  • MWANANCHI
  • MWANASPOTI
  • RFI SWAHILI
  • TRT SWAHILI
  • TUKO SWAHILI NEWS
  • TZSPORTS
  • Uncategorized

You missed

HABARILEO

GUNIA LILILOBADILI SAFARI YA MKULIMA

June 29, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Tanzania to host brain cancer conference

June 29, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Tanzania pushes for increased climate science investment

June 29, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

25 Tanzanians attain PhDs, Master’s degrees in Indonesian universities

June 29, 2026 mjombazecoder

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS