Mpango wa siri ulioshindwa: Marekani imejaribu kuajiri rubani wa Maduro ili kumkamata kiongozi wa Venezuela
Ajenti wa Shirikisho la Marekani alijaribu kumsajili rubani binafsi wa Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro, Jenerali Bitner Villegas, katika mpango wa siri, ili kuipeleka ndege ya rais huyo huko Marekani.…
Alkhamisi tarehe 30 Oktoba 2025
Leo ni Alkhamisi tarehe 8 Mfunguo Nane Jamadil Awwal 1447 Hijria sawa na 30 Oktoba 2025.
Mkutano wa ECO mjini Tehran; Ishara ya Utulivu, Uaminifu na Fursa Mpya za Uchumi
Mkutano wa nne wa mawaziri wa nchi wanachama wa Shirika la Ushirikiano wa Kiuchumi (ECO) umefanyika mjini Tehran, ukiwahusisha mawaziri na manaibu mawaziri wa mambo ya ndani wa nchi wanachama.
Makataa ya kutembea usiku yatangazwa Dar es Salaam, Tanzania
Mkuu wa jeshi la polisi nchini Tanzania, Camilius Wambura, ametangaza makataa ya watu kutotembea usiku katika jiji la kibiashara la nchi hiyo Dar es Salaam, kufuatia maandamano ya vurugu katika…
Uchaguzi Mkuu Tanzania waendelea kwa amani licha ya machafuko ya hapa na pale
Shughuli za upigaji kura katika Uchaguzi Mkuu wa Tanaznia zimeendelea vizuri na kwa amani kwa kikasi kikubwa licha ya ghasia na machafuko madogo yanayoripotiwa huku na kule.
Israel yafanya mauaji ya kutisha Gaza; Zaidi ya Wapalestina 100, wakiwemo watoto 35, wauawa licha ya makubaliano ya amani
Mashambulizi yaliyofanywa leo na Israel katika maeneo mbalimbali ya Ukanda wa Gaza yameua Wapalestina wasiopungua 100, wakiwemo watoto 35, ukiwa ni ukiukaji wa hivi karibuni wa makubaliano ya kusitisha mapigano…
Wasiwasi wa mamilioni ya Wamarekani kuhusu upatikanaji wa chakula; Je, Marekani kweli ni nchi tajiri?
Kadri mgogoro wa kifedha unavyoendelea Marekani, watu milioni 42 wa nchi hii wanahofia kuhusu upatikanaji wa chakula chao.
Kwa mara ya 33 Baraza Kuu UN lataka Marekani iiondolee vikwazo Cuba
Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa leo Jumatano ya Oktoba 2025 kwa mwaka wa 33 mfululizo umeidhinisha azimio linalotaka kukomeshwa kwa vikwazo vya muda mrefu vya Marekani dhidi ya Cuba.
Utafiti mpya waonya kutochukua hatua dhidi ya tabianchi kunagharimu maisha ya mamilioni
Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani ( WHO) na wadau wake wa kimataifa wanatoa wito kwamba ulinzi wa afya ya watu utambuliwe kama kichocheo kikuu cha hatua dhidi…
Hali tete Sudan UNICEF ikihofia hali ya watoto huku viongozi wa WFP wakitakiwa kuondoka
Nchini Sudan hususani katika eneo la El Faher kusinimagharibi mwa nchi, hali ya kibinadamu inazidi kuwa mbaya kila siku, huku ghasia, njaa, na vizuizi vya utoaji misaada vikiendelea kuathiri mamilioni…
Mzigo mkubwa wa kesi ICJ ni ishara ya uaminifu kutoka kwa serikalini: Rais wa mahakama
Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ), inayojulikana pia kama Mahakama ya Dunia, ni chombo kikuu cha kisheria cha Umoja wa Mataifa, kinachotoa maamuzi juu ya migogoro kati ya nchi zinazohusu…
WHO yahamisha wagonjwa wa kwanza toka Gaza tangu usitishwaji mpya wa mapigano
Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya ulimwenguni, WHO, limeongoza uhamishwaji wa wagonjwa kutoka Gaza eneo la Palestina linalokaliwa kimabavu na Israeli, ikiwa ni mara ya kwanza tangu kuanza kwa…
Mkuu wa UN atoa tahadhari, pengo la mnepo dhidi ya tabianchi laongezeka kwa kasi
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, ametoa onyo kali leo kufuatia kutolewa kwa Ripoti ya Pengo la mnepo dhidi ya tabianchi 2025, akiiita ni “tahadhari kali kwa binadamu”.
Guterres: Umoja wa Mataifa uko pamoja na waathirika wa kimbunga Melissa
Katibu Mkuu wa Umoja wa MataifaAntonio Guterres ameonesha wasiwasi mkubwa wakati Kimbunga Melissa kikiwa miongoni mwa vimbunga vyenye nguvu zaidi kuwahi kurekodiwa katika Bahari ya Atlantiki kinaendelea kusababisha uharibifu mkubwa…
Uchaguzi Mkuu Tanzania: Polisi wakabiliana na waandamanaji Dar es Salaam
Rais Samia Suluhu Hassan anatazamiwa kushinda muhula wa pili katika uchaguzi unaofanyika leo, hasa baada ya wapinzani wake wakuu ama kususia uchaguzi au kuenguliwa. Zoezi la upigaji kura limeanza bila…
Brazili: Operesheni mbaya zaidi ya polisi katika historia ya Rio yawaua watu 64
Operesheni ya nguvu inaofanywa na vikosi vya usalama hufanyika mara kwa mara huko Rio de Janeiro, licha ya ufanisi wake unaopingwa. Lakini siku ya Jumanne, mitaa ya Rio de Janeiro…
CAR: Mkuu wa MINUSCA atetea idadi ya wafanyakazi wa Minusca ya UNSC
Jamhuri ya Afrika ya Kati ilikuwa kwenye ajenda ya mkutano wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa siku ya Jumanne, Oktoba 28. Miezi miwili kabla ya uchaguzi wa serikali…
Ripoti: UAE inawapa waasi wa RSF silaha kutoka Uingereza
Katika kile kinachoibua maswali mazito kuhusu usafirishaji wa silaha na ushawishi wa mataifa ya nje katika vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Sudan, ripoti mpya imefichua kuwa Umoja wa Falme…
Guardiola alia na mipira iliyokufa, ya kurusha EPL
Meneja wa Manchester City, Pep Guardiola ameonyesha kutofurahishwa na ongezeko la matumizi ya...
Linasahaulika hili, ishu ya Alikiba kimataifa
Wakati baadhi ya wadau wa muziki na wachambuzi wakidai kiwango cha msanii Alikiba kimeshuka...
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga ameshiriki zoezi la kupiga kura kumchagua diwani, mbunge na Rais wa Tanzania kwenye Kituo…
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga ameshiriki zoezi la kupiga kura kumchagua diwani, mbunge na Rais wa Tanzania kwenye Kituo kilichopo Shule ya Sekondari Kwaraa, Babati mjini. Mara baada…
Ripoti ya Umoja wa Afrika: Tanzania yaongoza uchumi wa kanda, Kenya na Rwanda zikiachwa nyuma
Uchumi wa Kenya umeendelea kusuasua ikilinganishwa na ule wa Tanzania katika eneo la Afrika Mashariki, hasa kutokana na utegemezi mkubwa wa mauzo ya bidhaa ghafi nje ya nchi jambo linalokwamisha…
Wanajeshi 279 wa Israel wajaribu kujiua katika kipindi cha miezi 18 iliyopita
Ripoti rasmi inaonyesha kuweko ongezeko la majaribio ya kujitoa mhanga miongoni mwa wanajeshi wa utawala ghasibu wa Israel katika kipindi cha miezi 18 iliyopita.
#UchaguziMkuu2025 | Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt
#UchaguziMkuu2025 | Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan amepiga kura yake ya kuchagua rais, wabunge na madiwani Mtumba, Dodoma. #AzamTVUpdates #UchaguziMkuu2025
Hekaheka za wapigakura ukimya ukitawala mitaani Dodoma, Dar
Hali ya utulivu imetawala katika Jiji la Dodoma na viunga vyake, watu ni wachache sokoni...
#UchaguziMkuu2025 | Msimamizi wa Uchaguzi Wilaya ya Kigamboni, Selemani Kateti akizungumzia maandalizi na zoezi zima la upigaji …
#UchaguziMkuu2025 | Msimamizi wa Uchaguzi Wilaya ya Kigamboni, Selemani Kateti akizungumzia maandalizi na zoezi zima la upigaji kura linavyoendelea katika wilaya hiyo. #AzamTVUpdates #UchaguziMkuu2025
#UchaguziMkuu2025 | Mgombea mwenza wa urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt
#UchaguziMkuu2025 | Mgombea mwenza wa urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel John Nchimbi ameshiriki zoezi la kupiga kura ya kumchagua Rais,mbunge na diwani katika mtaa wake, eneo la…
Sudan: Ukatili dhidi ya raia ‘waongezeka’ baada ya RSF kuchukuwa udhibiti wa El-Fasher
Nchini Sudan, kiwango cha ukatili unaofanywa na wanajeshi wa Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) kinazidi kuwa wazi. Kulingana na ripoti mbalimbali kutoka kwa mashirika ya kibinadamu, uhalifu wa kivita…
Raia Samia akabidhiwa cheti cha urais, akosoa maandamano
Samia Suluhu Hassan amekabidhiwa cheti ushindi wa Urais wa Tanzania saa kadhaa baada ya Tume Huru ya Uchaguzi nchini humo kutangaza kuwa amechaguliwa kwa kupata asilimia karibu 98 ya kura.
Francesca Albanese: Mataifa zaidi ya 60 yamehusika katika mauaji ya kimbari ya Israel
Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu amewafahamisha wajumbe wa Baraza Kuu la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuhusu namna serikali zaidi ya…
Baqaei: Naibu Waziri wa Mambo ya Nje ajadili usalama wa mipaka na haki ya maji ziarani Afghanistan
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran Esmaeil Baqaei ameeleza kuwa Kazem Gharibabadi Naibu Waziri wa Mambo ya Nje amefanya ziara nchini Afghanistan ili kujadili masuala kadhaa ambayo…
IOM: Zaidi ya raia 7,400 wamekimbia makazi yao huko El-Fasher, Sudan
Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limeeleza kuwa watu wasiopungua 7,455 wamekimbia imji wa El fasher magharibi mwa Sudan katika muda wa siku moja kufuatia mashambulizi ya wanamgambo wa Kikosi…
IOM: Zaidi ya raia 7,400 wamekimbia makazi yao huko El-Fashel, Sudan
Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limeeleza kuwa watu wasiopungua 7,455 wamekimbia imji wa El fasher magharibi mwa Sudan katika muda wa siku moja kufuatia mashambulizi ya wanamgambo wa Kikosi…
Mjumbe wa UN: Mchakato wa amani nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati ‘umepiga hatua’
Mwakilishi wa ngazi ya juu wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) ameeleza kuwa mchakato wa amani umepiga hatuua kufuatia makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyosainiwa mwezi…
Serikali ya Madagascar yatangaza baraza la mawaziri
Serikali ya Madagascar inayoongozwa na jeshi leo imetangaza baraza la mawaziri linalojumuisha idadi kubwa ya mawaziri wa kiraia.
Pakistan-Afghanistan: Mazungumzo ya kusitisha mapigano yameshindwa, yasema Islamabad
Mazungumzo kati ya Afghanistan na Pakistan kwa ajili ya usitishaji mapigano wa kudumu kufuatia mapigano yao ya hivi karibuni yaliyosababisha vifo vingi, yameshindwa, Islamabad ilmetangaza leo Jumatano, Oktoba 29, huku…
Makamu wa Rais: Maadui wanapasa kujifikiria mara mbili kabla ya kuichokoza Iran
"Tuna uhakika kwamba ikiwa maadui wana chembe ya sababu hawatathubutu kupanga shambulio jipya dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran," amesema Jumanne hii Muhammad -Reza Aref Makamu wa Rais wa…
#UchaguziMkuu2025 | Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Amos Makalla mapema leo amepiga kura katika kituo chake cha AICC Hospitali, Jijini A…
#UchaguziMkuu2025 | Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Amos Makalla mapema leo amepiga kura katika kituo chake cha AICC Hospitali, Jijini Arusha. Baada ya kupiga kura, Makalla amewahakikishia wananchi kuwa hali…
Kimbunga Melissa chapiga Jamaika, nyumba kadhaa zasombwa na maji
Kimbunga chenye nguvu cha Melissa kinaelekea Cuba baada ya kuiathiri vibaya Jamaika leo Jumatano, Oktoba 28. Mamlaka imeitangaza Jamaica kuwa “eneo la maafa.” Miundombinu kadhaa imeharibiwa na maeneo mengi amekumbwa…
#HABARI: Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha UPDP Mhe
#HABARI: Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha UPDP Mhe. Twalib Kadege, ametafuta jina lake kwenye vituo 13 vya kupigia kura, japo hakutoa ushirikiano kwa kuzungumza…
#HABARI: Mgombea ubunge wa Jimbo la Uyole kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt
#HABARI: Mgombea ubunge wa Jimbo la Uyole kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Tulia Ackson, amezungumza na wanahabari mara baada ya kupiga kura mapema hii leo Oktoba 29,…
Iran yalaani mashambulizi dhidi ya raia katika jimbo la Darfur, Sudan
Wizara ya Mambo ya Nje imeelezea wasiwasi wake mkubwa kuhusu machafuko yanayoendelea katika jimbo la Darfur Kaskazini nchini Sudan, na kulaani mauaji ya raia na uharibifu wa miundombinu katika mji…
#UchaguziMkuu2025 | Mgombea urais wa Chama Cha Kijamii (CCK), David Mwaijojele amefika na kupiga kura katika kituo cha kupigia k…
#UchaguziMkuu2025 | Mgombea urais wa Chama Cha Kijamii (CCK), David Mwaijojele amefika na kupiga kura katika kituo cha kupigia kura cha Makuti, Mbezi Malamba mawili katika Wilaya ya Kibamba, Dar…
#UchaguziMkuu2025 | Makamu wa Rais Dkt
#UchaguziMkuu2025 | Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango ameshiriki zoezi la kupiga kura ya kuchagua Rais, mbunge na diwani akiwa katika Kijiji cha Kasumo, Wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma. #AzamTVUpdates…
Gaza: Watu 50 wameuawa katika mashambulizi ya Israel
Shirika la Ulinzi wa Raia katika Ukanda wa Gaza umeliambia shirika la habari la AFP leo Jumatano kwamba angalau watu 50, wakiwemo watoto 22, wameuawa katika mashambulizi ya Israel katika…
#UchaguziMkuu2025 | Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Dalmia Mikaya akizungumzia hali ilivyo katika wilaya hiyo hususani muamko wa wat…
#UchaguziMkuu2025 | Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Dalmia Mikaya akizungumzia hali ilivyo katika wilaya hiyo hususani muamko wa watu kujitokeza kupiga kura na hali ya utulivu iliyopo hadi sasa. ✍…
Angalizo, matumizi ya mitandao ya kijamii kwa mastaa
Baadhi ya wanamuziki wakongwe wa Bongo Fleva, wameizungumzia mitandao ya kijamii namna...
#UchaguziMkuu2025 | Mgombea wa wa urais wa Tanzania kwa tiketi ya Ada Tadea, Georges Busungu mapema leo amepiga kura katika Kiji…
#UchaguziMkuu2025 | Mgombea wa wa urais wa Tanzania kwa tiketi ya Ada Tadea, Georges Busungu mapema leo amepiga kura katika Kijiji cha Ngodama, Wilaya ya Misungwi. #AzamTVUpdates #UchaguziMkuu2025
Mkutano wa APEC: Vita vya biashara vya Marekani na China, suala kuu katika mazungumzo
Mkutano wa APEC, mkutano wa kiuchumi kati ya wakuu wa nchi za eneo la Asia-Pasifiki, unaanza Jumatano, Oktoba 29 nchini Korea Kusini, na unaendelea hadi Jumamosi. Mkutano huo una umuhimu…
#UchaguziMkuu2025 | Mgombea wa urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt
#UchaguziMkuu2025 | Mgombea wa urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Hussein Ali Mwinyi amepiga kura katika kituo cha kupigia kura cha Kariakoo , Jimbo la…