#HABARI: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni mgombea Ubunge wa Jimbo la Karagwe, Innocent Bashungwa, amewahakikishia…
#HABARI: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni mgombea Ubunge wa Jimbo la Karagwe, Innocent Bashungwa, amewahakikishia Watanzania wote kuwa ulinzi na usalama umeimarishwa nchi nzima, hivyo…
Mtihani wa kwanza kwa Pedro Yanga
Baada ya kusimamia kwa siku moja mazoezi ya Yanga, kocha mkuu wa timu hiyo, Pedro Goncalves leo...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amewahakikishia Watanzania kuwa serikali imeandaa mazingira salama ya mazu…
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amewahakikishia Watanzania kuwa serikali imeandaa mazingira salama ya mazuri kwa ulinzi nchi nzima katika siku ya upigaji kura wa Uchaguzi Mkuu…
#MICHEZO: Baada ya mchezo kati ya Yanga SC dhidi ya Silver Strikers ya Malawi kumalizika kwa Yanga kuibuka na ushindi wa goli 2 …
#MICHEZO: Baada ya mchezo kati ya Yanga SC dhidi ya Silver Strikers ya Malawi kumalizika kwa Yanga kuibuka na ushindi wa goli 2 -1, Afisa Habari wa Yanga Ali Kamwe,…
Salif Keita, Ben Pol, Man Fongo kupamba Sauti za Busara 2026
Mwanamuziki wa Mali, Salif Keita anatarajiwa kukiwasha katika tamasha la Sauti za Busara...
Majeraha yampa wasiwasi Arteta
Baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Crystal Palace katika mchezo uliopigwa Jumapili...
Miili ya Wapalestina 41 yazikwa katika kaburi la pamoja Deir al- Balah
Imechapishwa: 28/10/2025 – 10:22Imehaririwa: 28/10/2025 – 10:25 Dakika 1 Wakati wa kusoma Matangazo ya kibiashara Soma yanayofuata Miili ya wapalestina 41 imezikwa katika kaburi la pamoja katika eneo la Deir…
Bosi TRC azungumzia uchunguzi ajali ya SGR
Ikiwa zimepita siku kadhaa tangu treni ya Electric Multiple Unit (EMU) maarufu treni ya...
Singida Black Stars yakimbilia Uwanja wa New Amaan makundi CAF
Kutotumika kwa Uwanja wa Azam Complex katika hatua ya makundi ya mashindano ya Klabu Afrika...
Watu wenye hasira waendelea kuandamana Cameroon kupinga ushindi wa Paul Biya
Maeneo mbalimbali ya Cameroon yameendelea kushuhhudia maandamano ya watu wenye hasira wanaopinga matokeo ya uchaguzi yaliyompa ushindi rais kizee zaidi duniani yaani Paul Biya mwenye umri wa miaka 92.
Singida BS yataja sababu tatu za kuhamishia mechi zake Zanzibar
Klabu ya Singida Black Stars, imeuchagua Uwanja wa New Amaan Complex uliopo Zanzibar kuwa uwanja wake wa nyumbani kwenye mashindano ya kimataifa, huku ikitaja sababu tatu za kufanya hivyo.
Mambo 10 muhimu ya kuzingatia kabla, baada ya kupiga kura kesho
Kwa mujibu wa takwimu za INEC, vyama 17 vitashiriki katika uchaguzi wa urais na makamu wa rais,...
Siku rasmi ya kuachiwa Diddy yatajwa
Mwanamuziki na mfanyabiashara maarufu wa Marekani, Sean “Diddy” Combs, anatarajiwa kutoka...
Rodgers ang’atuka Celtic, bosi achachamaa
Brendan Rodgers amejiuzulu nafasi ya umeneja wa Celtic huku Mwanahisa Mkuu wa klabu hiyo Dermot...
Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imesema wananchi wameanza kupiga kura ya mapema leo katika vituo mbalimbali visiwani humo
Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imesema wananchi wameanza kupiga kura ya mapema leo katika vituo mbalimbali visiwani humo. Wanaotakiwa kupiga kura hiyo kwa mujibu wa sheria ni pamoja na wafanyakazi…
JKT Queens yapangwa na TP Mazembe Ligi ya Mabingwa Wanawake
Wawakilishi wa Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake 2025, JKT Queens, imepangwa Kundi B kwenye mashindano hayo baada ya leo Jumatatu Oktoba 27, 2025 kufanyika droo ya makundi…
#HABARI: Rais wa Cameroon Paul Biya, ametangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais na mahakama ya kikatiba akiwa amepata asilimia 53….
#HABARI: Rais wa Cameroon Paul Biya, ametangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais na mahakama ya kikatiba akiwa amepata asilimia 53.66 ya kura. Rais Biya ana umri wa miaka 92 na…
VIDEO: Dereva wa Raila Odinga asimulia simu ya mwisho kutoka kwa bosi wake
Ominde, amemtaja Raila alikuwa kiongozi asiyechoka na mwenye moyo wa utu, akisema...
Zanzibar : Mgombea wa ACT Wazalendo asema hatarajii uchaguzi huru
Watanzania kesho watapiga kura katika uchaguzi mkuu wa kuwachagua madiwani, wabunge na Rais, huku kampeni zikimalizika leo. Imechapishwa: 28/10/2025 – 09:05 Dakika 1 Wakati wa kusoma Matangazo ya kibiashara Soma…
Timu kutoka Ofisi ya Mthamini Mkuu wa Serikali imewasili mkoani Kigoma kuanza kazi ya tathmini ya mali za wananchi watakaoguswa …
Timu kutoka Ofisi ya Mthamini Mkuu wa Serikali imewasili mkoani Kigoma kuanza kazi ya tathmini ya mali za wananchi watakaoguswa na ujenzi wa Reli ya Kisasa – SGR kipande cha…
OHCHR: Waasi wa RSF wamefanya ukatili wa kutisha nchini Sudan
Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa OHCHR imesema imepokea taarifa za kutisha kuwa waasi wa RSF wanafanya ukatili wa kutisha nchini Sudan.
Maduro: Marekani inalenga kupora mafuta, gesi na dhahabu ya Venezuela
Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro, amesisitiza kuwa ulimwengu mzima unafahamu kuwa mabepari wanaotawala Marekani wanataka kupora mafuta, gesi na dhahabu ya nchi yake.
Uchaguzi wa mapema unafanyika Zanzibar leo
Leo, visiwa vya Zanzibar vimeingia katika hatua muhimu ya mchakato wa uchaguzi kwa kuanza rasmi zoezi la kupiga kura ya mapema, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya uchaguzi mkuu wa…
Rais wa Ivory Coast Alassane Ouattara ashinda kwa kishindo muhula wa nne wa urais
Rais wa Ivory Coast, Alassane Ouattara, ametangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais wa mwaka huu, akijihakikishia muhula wa nne madarakani kwa ushindi mkubwa wa asilimia 89.77% ya kura zote.
Iran kuvutia watalii Waislamu wanaotaka huduma ‘Halal’
Waziri wa Urithi wa Kitamaduni, Utalii na Sanaa za Mikono wa Iran, Seyyed Reza Salehi Amiri, amesema kuwa utalii 'Halal' ni jukwaa muhimu katika kukuza mwingiliano wa kitamaduni na kuwavutia…
#HABARI: Wananchi wa Kahama mkoani Shinyanga wakiwemo Maafisa Usafirishaji wanaotumia pikipiki na bajaji, mama ntilie, machinga …
#HABARI: Wananchi wa Kahama mkoani Shinyanga wakiwemo Maafisa Usafirishaji wanaotumia pikipiki na bajaji, mama ntilie, machinga na wapiga debe wamebainisha maandalizi yao katika ushiriki wa uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025,…
Mgombea ubunge Jimbo la Ileje, Mhandisi Godfrey Kasekenya amefunga kampeni za kuwania ubunge wa jimbo hilo, huku akieleza namna …
Mgombea ubunge Jimbo la Ileje, Mhandisi Godfrey Kasekenya amefunga kampeni za kuwania ubunge wa jimbo hilo, huku akieleza namna Serikali ilivyoifungua Ileje ambayo awali ilikiwa ni milima na maendeleo kwa…
🔴HABARI ZA SAA, SAA TATU NA DAKIKA 55, OKTOBA 28, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA TATU NA DAKIKA 55, OKTOBA 28, 2025
Zanzibar kuanza kupiga kura leo
Ni dhahiri safari ya siku 46 za kampeni za kuusaka urais, ubunge, uwakilishi na udiwani...
Bweni la wanafunzi katika Shule ya Sekondari Mkuu, mali ya Kanisa Katoliki Parokia ya Mkuu, wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro, l…
Bweni la wanafunzi katika Shule ya Sekondari Mkuu, mali ya Kanisa Katoliki Parokia ya Mkuu, wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro, limeteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo Oktoba 28 mwaka huu.…
#HABARI: Bweni la wanafunzi wa Sekondari ya Mkuu iliyopo Rombo mkoani Kilimanjaro limeteketea kwa moto usiku wa Oktoba 27, mwaka…
#HABARI: Bweni la wanafunzi wa Sekondari ya Mkuu iliyopo Rombo mkoani Kilimanjaro limeteketea kwa moto usiku wa Oktoba 27, mwaka huu. Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa…
Bweni Shule ya Sekondari Mkuu Rombo lateketea kwa moto
Katika tukio hilo, mali zote za wanafunzi ziliteketea kwa moto ikiwemo magodoro 91, vitanda 46,...
Makubaliano ya mpaka kati ya Iran na Afghanistan
Kikao cha maafisa wa ngazi za juu wa mpaka kati ya Iran na Afghanistan kimefanyika kwa kuhudhuriwa ya Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran.
🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55, OKTOBA 29, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55, OKTOBA 29, 2025
Idadi ya mashahidi huko Gaza imefikia 68,527
Wizara ya Afya ya Palestina imetangaza kuwa, idadi ya Wapalestina waliouawa shahidi katika mashambulizi ya jeshi la Israel Ukanda wa Gaza imefikia 68,527.
Azam, Singida BS mikononi mwa vigogo CAF
BAADA ya Azam na Singida Black Stars kufuzu hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika msimu huu, zina kibarua cha kukutana na vigogo.
DRC: Baraza la usalama na UN lawateua wataalam kuchunguza ukiukaji wa haki
Baraza la Haki za bindamu la Umoja wa Mataifa, limewateua watalaam watatu, kuchunguza madai ya ukiukwaji wa haki Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, kufuatia uhaba wa bajeti ya…
Mapitio ya #MAGAZETI leo Oktoba 28,2025 kwenye #MorningTrumpet #U#utv108
Mapitio ya #MAGAZETI leo Oktoba 28,2025 kwenye #MorningTrumpet #U#utv108 #AzamTVUpdates
Donald Trump na Sanae Takaichi wasaini makubaliano ya ‘kulinda’ vifaa vya madini adimu
Rais wa Marekani, akiwa katika awamu ya pili ya ziara yake ya wiki moja barani Asia, na waziri mkuu wa Japani wamekaribisha”enzi mpya ya dhahabu” katika uhusiano wa pande mbili.…
Hamas yaurejesha mwili wa mateka wa Israel
Mwili wa mateka aliyefariki akizuiliwa katika Ukanda wa Gaza uliwasili nchini Israel Jumatatu jioni baada ya jeshi la Israel kusema kutangaza kuwa Hamas imekabidhi mwili wa mateka kwa Shirika la…
Maktaba, usomaji vinakufa, Bohumata iamke
Hakuna jamii yoyote iliyoendelea duniani bila kuweka mkazo katika usomaji.
Kenya: ‘Mbinu zisizo za kisheria’ – Wakenya ‘washawishiwa’ kupigana vita vya Ukraine
Wizara ya Mambo ya Nje ya Kenya inalaani vitendo vya “maafisa wafisadi na wasio waaminifu” wanaendelea kuwaajiri Wakenya kupigana kwa upande wa Moscow nchini Ukraine. Imechapishwa: 28/10/2025 – 05:02 Dakika…
‘Ujio wa elimu ya amali kutoua vyuo vya Veta’
Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, imekuja na suluhisho jipya, kuingiza...
🔴#MAGAZETI: OTHAMAN: SINA IMANI NA KURA YA MAPEMA — 28 OKTOBA 2025
🔴#MAGAZETI: OTHAMAN: SINA IMANI NA KURA YA MAPEMA -- 28 OKTOBA 2025
#HABARI: Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Kamisha Msaidizi Mwandanizi wa Polisi (SACP) Marco Chilya, amewatoa hofu wananchi wa M…
#HABARI: Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Kamisha Msaidizi Mwandanizi wa Polisi (SACP) Marco Chilya, amewatoa hofu wananchi wa Mkoa Ruvuma kuwa Jeshi hilo limejipanga vizuri kuimarisha hali ya Ulinzi…
Pezeshkian: Iran na Oman zimekuwa wasaidizi wa kila mmoja katika misukosuko ya kikanda
Rais Masoud Pezeshkian amesisitiza historia ya muda mrefu na yenye upendo ya uhusiano kati ya Iran na Oman na kusema: "Mawasiliano na maingiliano kati yao yamekuwa yakiegemezwa katika misingi ya…
China: Hatutosita kuchukua hatua kali iwapo maslahi yetu yatahatarishwa na vikwazo dhidi ya Iran
Balozi wa China nchini Iran amesema kuwa nchi yake haitosita kuchukua hatua za kukabiliana na vikwazo dhidi ya Iran ikiwa vikwazo hivyo vitaathiri maslahi yake na kukwamisha shughuli na uhusiano…
UNICEF: Usitishaji vita Gaza ni fursa muhimu ya kukidhi mahitaji ya watoto
Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa, usitishaji vita katika Ukanda wa Gaza unaweza kuwa "fursa muhimu" ya kulinda maisha, utu na mahitaji muhimu ya watoto milioni…
Umoja wa Mataifa wataka njia salama kwa raia waliokwama el-Fasher, Sudan
Umoja wa Mataifa umezitolea mwito pande zinazopigana nchini Sudan kuhakikisha raia waliokwama katika mji wa el-Fasher wanapatiwa njia salama ya kuondoka, baada ya wapiganaji wa kundi la Rapid Support Forces…