Skip to content
  • Sat. Jun 27th, 2026

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE

Latest Post

Okello akoleza pati la ubingwa, Diarra akibeba tuzo kipa bora Simba yaendelea kukomalia ubingwa, ikiifumua Singida Tanzania’s shipping industry raises the anchor in style Wakulima 17 wameuawa na watu wenye silaha Magharibi mwa Nigeria Venezuela: Idadi ya watu waliopoteza maisha katika tetemeko la ardhi yaongezeka
MWANASPOTI

Okello akoleza pati la ubingwa, Diarra akibeba tuzo kipa bora

June 27, 2026 mjombazecoder
MWANASPOTI

Simba yaendelea kukomalia ubingwa, ikiifumua Singida

June 27, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Tanzania’s shipping industry raises the anchor in style

June 27, 2026 mjombazecoder
IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Wakulima 17 wameuawa na watu wenye silaha Magharibi mwa Nigeria

June 27, 2026 mjombazecoder
IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Venezuela: Idadi ya watu waliopoteza maisha katika tetemeko la ardhi yaongezeka

June 27, 2026 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
Okello akoleza pati la ubingwa, Diarra akibeba tuzo kipa bora
MWANASPOTI
Okello akoleza pati la ubingwa, Diarra akibeba tuzo kipa bora
Simba yaendelea kukomalia ubingwa, ikiifumua Singida
MWANASPOTI
Simba yaendelea kukomalia ubingwa, ikiifumua Singida
Tanzania’s shipping industry raises the anchor in style
LTV ENGLISH NEWS
Tanzania’s shipping industry raises the anchor in style
Wakulima 17 wameuawa na watu wenye silaha Magharibi mwa Nigeria
IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI
Wakulima 17 wameuawa na watu wenye silaha Magharibi mwa Nigeria
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
LTV ENGLISH NEWS
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
HABARILEO
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Trump anakabiliwa na chaguzi ‘mbaya’ au ‘mbaya zaidi’ kuhusu Iran: Jenerali wa IRGC
HABARI ZA KIPEKEE
Trump anakabiliwa na chaguzi ‘mbaya’ au ‘mbaya zaidi’ kuhusu Iran: Jenerali wa IRGC
Okello akoleza pati la ubingwa, Diarra akibeba tuzo kipa bora
MWANASPOTI
Okello akoleza pati la ubingwa, Diarra akibeba tuzo kipa bora
Simba yaendelea kukomalia ubingwa, ikiifumua Singida
MWANASPOTI
Simba yaendelea kukomalia ubingwa, ikiifumua Singida
Tanzania’s shipping industry raises the anchor in style
LTV ENGLISH NEWS
Tanzania’s shipping industry raises the anchor in style
Wakulima 17 wameuawa na watu wenye silaha Magharibi mwa Nigeria
IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI
Wakulima 17 wameuawa na watu wenye silaha Magharibi mwa Nigeria

Jnim wameimarisha udhibiti wao kupitia uchumi haramu Sahel

October 21, 2025 mjombazecoder

Tangu 2022, kundi la wanajihadi linalodai kutetea Waislamu na Uislamu, Jnim, limeimarisha ushawishi wake wa kiuchumi na utawala wa ndani katika maeneo ambapo inafanya harakati zake, ikizidi kutegemea uchumi haramu.…

Côte d’Ivoire: Mwanajeshi auawa kusini mashariki mwa nchi

October 21, 2025 mjombazecoder

Serikali ya Côte d’Ivoire na makao maku ya jeshi wanaripoti kwamba mwathiriwa-afisa ambaye amekuwa akiongoza kikosi cha askari-alifariki mapema asubuhi ya Jumatatu, Oktoba 20, wakati wa operesheni kwenye barabara ya…

Uncategorized

🔴KUMEKUCHA MICHEZO: … | OKTOBA 21, 2025

October 21, 2025 mjombazecoder

🔴KUMEKUCHA MICHEZO: ... | OKTOBA 21, 2025

Zelensky kushiriki katika mkutano kati ya Putin naTrump ‘ikiwa ataalikwa’

October 21, 2025 mjombazecoder

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema yuko tayari kukutana na Vladimir Putin na Donald Trump mjini Budapest iwapo ataalikwa kwenye mkutano kati ya viongozi wa Urusi na Marekani. Mkutano huu,…

Uncategorized

Mapitio ya #MAGAZETI leo Oktoba 21, 2025 kwenye #MorningTrumpet #UTV108

October 21, 2025 mjombazecoder

Mapitio ya #MAGAZETI leo Oktoba 21, 2025 kwenye #MorningTrumpet #UTV108 #AzamTVUpdates

Trump atishia ‘kutokomeza’ Hamas ikiwa itakiuka makubaliano ya kusitisha mapigano Gaza

October 21, 2025 mjombazecoder

Rais wa Marekani Donald Trump siku ya Jumatatu ameonya kwamba Hamas “itatokomezwa” ikiwa itakiuka makubaliano ya Gaza na Israel, lakini akasema itapewa fursa ya kuheshimu makubaliano hayo. Makamu wa Rais…

Uncategorized

🔴KUMEKUCHA: UTATUZI WA CHANGAMOTO ZA WAFANYABIASHARA….OKTOBA 21, 2025

October 21, 2025 mjombazecoder

🔴KUMEKUCHA: UTATUZI WA CHANGAMOTO ZA WAFANYABIASHARA....OKTOBA 21, 2025

Rais wa zamani wa Ufaransa Sarkozy anaanza kutumikia kifungo cha miaka mitano jela

October 21, 2025 mjombazecoder

Rais wa zamani wa Ufaransa Nicolas Sarkozy atawekwa rumande leo Jumanne. Ataanza kifungo cha miaka mitano jela kwa kula njama ya kukusanya fedha za kampeni nchini Libya. Ni pigo kubwa…

Uncategorized

Wanawake wajawazito nchini huenda wakapata nafasi ya kupata elimu kuhusu afya ya uzazi na ushauri unaohusiana na malezi kwa wepe…

October 21, 2025 mjombazecoder

Wanawake wajawazito nchini huenda wakapata nafasi ya kupata elimu kuhusu afya ya uzazi na ushauri unaohusiana na malezi kwa wepesi zaidi baada ya mtaalamu wa Akili Unde, Elias Patrick kuunda…

Uncategorized

🔴#MAGAZETI: JAMHURI YALALAMA, LISSU ANAKWAMISHA KESI KWA MAKUSUDI……OKTOBA 21, 2025

October 21, 2025 mjombazecoder

🔴#MAGAZETI: JAMHURI YALALAMA, LISSU ANAKWAMISHA KESI KWA MAKUSUDI......OKTOBA 21, 2025

Uncategorized

Trump atishia kuiangamiza Hamas ikiwa itakiuka makubaliano

October 21, 2025 mjombazecoder

Rais wa Marekani Donald Trump amelionya kundi la wanamgambo wa Kipalestina la Hamas kuwa "litaangamizwa" ikiwa litakiuka mpango wa kusitisha vita huko Gaza.

Uncategorized

Marekani yazidisha juhudi za kudumisha mpango wa amani Gaza

October 21, 2025 mjombazecoder

Wajumbe wawili wa juu wa Marekani kwa Mashariki ya Kati wamekutana Jumatatu na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, wakijaribu kuunusuru mpango wa kusitisha vita kati ya Israel na Hamas.

Uncategorized

Zelensky alenga kununua mifumo ya ulinzi wa anga ya Patriot

October 21, 2025 mjombazecoder

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema nchi yake inajiandaa kununua mifumo ya ulinzi wa anga ya Patriot.

Uncategorized

Amnesty: Ukandamizaji washamiri Tanzania kabla ya uchaguzi

October 21, 2025 mjombazecoder

Shirika la Amnesty International limetoa taarifa likieleza kuwa mamlaka za Tanzania zimeongeza ukandamizaji dhidi ya wapinzani wa kisiasa, waandishi wa habari, asasi za kiraia na watetezi wa haki za binadamu.

Uncategorized

Rais wa zamani wa Ufaransa Nicolas Sarkozy kwenda jela

October 21, 2025 mjombazecoder

Rais wa zamani wa Ufaransa Nicolas Sarkozy anatarajiwa Jumanne kwenda jela ya "la Santé" iliyopo katikati mwa mji mkuu Paris kutumikia kifungo cha miaka mitano jela.

Uncategorized

Ripoti: Mapambano dhidi ya Malaria yashindwa kupiga hatua

October 21, 2025 mjombazecoder

Ripoti mpya iliyotolewa na mashirika kadhaa ya wanaharakati imetahadharisha kuwa mapambano dhidi ya malaria yamekwama licha ya miongo miwili ya mafanikio.

HABARI ZA KIPEKEE

HAMAS yaimarisha nguvu na udhibiti wake Ghaza

October 21, 2025 mjombazecoder

Vyombo vya usalama vya Israel vimetangaza kuwa Hamas imekuwa ikiimarisha udhibiti wake katika Ukanda wa Ghaza tangu dakika za mwanzo za kusitishwa mapigano na inaendelea kurejesha utulivu na usalama katika…

Uncategorized

#KIPIMAJOTO: Wanaoshawishi watu wasijitokeze kupiga kura

October 21, 2025 mjombazecoder

#KIPIMAJOTO: Wanaoshawishi watu wasijitokeze kupiga kura. Je, wanaelewa kuwa ni kosa la jinai?

HABARI ZA KIPEKEE

Mufti wa Oman aunga mkono utayarifu wa Wayemen kukabiliana na Israel

October 21, 2025 mjombazecoder

Mufti wa Oman ametangaza himaya na uungaji mkono wake kikamilifu utayarifu wa Wayemen kukabiliana na utawala haramu wa Israel.

Uncategorized

🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI …OKTOBA 21, 2025

October 21, 2025 mjombazecoder

🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI ...OKTOBA 21, 2025

HABARI ZA KIPEKEE

Ripoti: Mashambulizi ya wanamgambo yameshadidi eneo la Sahel Afrika

October 21, 2025 mjombazecoder

Mashambulizi ya wanamgambo wenye silaha yanaripotiwa kushadidi katika eneo la Sahel Afrika.

HABARI ZA KIPEKEE

Amnesty International: Serikali ya Tanzania imezidisha ukandamizaji kabla ya uchaguzi mkuu

October 21, 2025 mjombazecoder

Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International limesema kuwa, serikali ya Tanzania imezidisha ukandamizaji kwa wakosoaji wake wa kisiasa, waandishi wa habari, asasi za kiraia, na watetezi wa haki za…

HABARI ZA KIPEKEE

Kusimama shughuli za serikali ya Marekani kutakwenda hadi lini?

October 21, 2025 mjombazecoder

Serikali ya Donald Trump huko Marekani imevunja rekodi kwa kusimamisha shughuli zake kwa muda wa siku 20. Janga hilo lilianza Oktoba 1, 2025, na kulemaza shughuli muhimu za Marekani na…

Uncategorized

21.10.2025

October 21, 2025 mjombazecoder

Wajumbe wawili wa juu wa Marekani kwa Mashariki ya Kati wamekutana jana Jumatatu na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, wakijaribu kuunusuru mpango wa kusitisha vita kati ya Israel na…

Uncategorized

21.10.2025: Taarifa ya Habari ya Asubuhi

October 21, 2025 mjombazecoder

Trump atishia kuiangamiza Hamas ikiwa itakiuka mpango wa amani huko Gaza. Zelensky amesema analenga kununua mifumo ya ulinzi wa anga ya Patriot. Shirika la Amnesty limesema ukandamizaji umeshamiri Tanzania kabla…

MAGAZETI

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Oktoba 21, 2025

October 20, 2025 mjombazecoder

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa

Uncategorized

“Ajira kwenye sekta, kila eneo likikua maana yake linaleta ajira, kwa mfano miaka mi nne iliyopita tulikua na waongoza Utalii t…

October 20, 2025 mjombazecoder

"Ajira kwenye sekta, kila eneo likikua maana yake linaleta ajira, kwa mfano miaka mi nne iliyopita tulikua na waongoza Utalii takribani 700, leo kuna waongoza Utalii Elfu sita" Dkt.Hassan Abbas…

Uncategorized

“Mapato ya sekta ya Utalii yameongezeka kutoka Dola Bilioni 1.3, mwaka 2021 mpaka leo mapato ya sekta ya Utalii yamefika Dola Bi…

October 20, 2025 mjombazecoder

"Mapato ya sekta ya Utalii yameongezeka kutoka Dola Bilioni 1.3, mwaka 2021 mpaka leo mapato ya sekta ya Utalii yamefika Dola Bilioni 3.9 maana yake yameongezeka kwa asilimia miatatu na…

Uncategorized

🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 20, OKTOBA 2025

October 20, 2025 mjombazecoder

🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 20, OKTOBA 2025

Uncategorized

“Mhe.Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan ni kila kitu kwenye sekta ya Utalii, ameendeleza uhifadhi ambao ndio chanzo kikuu cha uhifadhi…

October 20, 2025 mjombazecoder

"Mhe.Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan ni kila kitu kwenye sekta ya Utalii, ameendeleza uhifadhi ambao ndio chanzo kikuu cha uhifadhi wetu" Dkt.Hassan Abbas -Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii. Powered…

Uncategorized

#HABARI: Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imesema itamtangaza mshindi wa kiti cha Urais ndani ya muda usiozidi saa 72, baa…

October 20, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imesema itamtangaza mshindi wa kiti cha Urais ndani ya muda usiozidi saa 72, baada ya zoezi la upigaji wa kura kumalizika Oktoba…

Uncategorized

Mgombea Urais wa Chama cha UMD, Mwajuma Mirambo ameahidi serikali atakayoiunda iwapo atashinda kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba it…

October 20, 2025 mjombazecoder

Mgombea Urais wa Chama cha UMD, Mwajuma Mirambo ameahidi serikali atakayoiunda iwapo atashinda kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba itatoa bure huduma za afya na elimu kwa kugharamikiwa kupitia matumizi bora…

Uncategorized

Mgombea Urais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman wa Chama cha ACT Wazalendo ameahidi kuzifanyia kazi kwa vitendo ahadi anazozitoa…

October 20, 2025 mjombazecoder

Mgombea Urais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman wa Chama cha ACT Wazalendo ameahidi kuzifanyia kazi kwa vitendo ahadi anazozitoa katika mikutano ya kampeni kwa aijli ya maendeleo ya wananchi na…

Uncategorized

Chama Cha MAKINI chini ya mgombea wake wa Urais, Ameir Hassan Ameir kimeahidi kutenga maeneo maalumu visiwani Zanzibar yatakayot…

October 20, 2025 mjombazecoder

Chama Cha MAKINI chini ya mgombea wake wa Urais, Ameir Hassan Ameir kimeahidi kutenga maeneo maalumu visiwani Zanzibar yatakayotumika kuwazika viongozi mashuhuri wa visiwa hivyo. Ameir ametoa ahadi hiyo baada…

Uncategorized

#HABARI: Mgombea wa Urais kupitia Chama cha Wakulima (AAFP) Kunje Ngombale Mwiru, amesema endapo akichaguliwa kuwa Rais atakwend…

October 20, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Mgombea wa Urais kupitia Chama cha Wakulima (AAFP) Kunje Ngombale Mwiru, amesema endapo akichaguliwa kuwa Rais atakwenda kushughulika na Mafisadi wote waliotafuna rasilimali za nchi. Powered by #MCHEZOSUPA JINSI…

Uncategorized

Salum Mwalimu anayewania Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) amewaahidi wakazi wa Morogoro kuwa akifa…

October 20, 2025 mjombazecoder

Salum Mwalimu anayewania Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) amewaahidi wakazi wa Morogoro kuwa akifanikiwa kushinda Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29 atafanya maboresha ya mchakato wa…

Uncategorized

Mgombea Urais wa Chama cha Wakulima (AAFP) Kunje Ngombale Mwiru ameahidi kuunufaisha mkoa wa Mara kupitia usimamizi mzuri wa ras…

October 20, 2025 mjombazecoder

Mgombea Urais wa Chama cha Wakulima (AAFP) Kunje Ngombale Mwiru ameahidi kuunufaisha mkoa wa Mara kupitia usimamizi mzuri wa rasilimali za mkoa huo kama anavyoeleza Augustine Mgendi. #AzamTVUpdates Mhariri |…

Uncategorized

Mjane aliyeamriwa kuondoka katika nyumba anayoisimamia akiwa masimamizi wa mirathi ya marehemu mumewe iliyopo Msasani Dar es Sal…

October 20, 2025 mjombazecoder

Mjane aliyeamriwa kuondoka katika nyumba anayoisimamia akiwa masimamizi wa mirathi ya marehemu mumewe iliyopo Msasani Dar es Salaam, Alice Haule amerejeshewa hati ya nyumba hiyo baada ya tume iliyoundwa kwa…

Uncategorized

Jukwaa la Wakurugenzi Wakuu wa Makampuni Tanzania (CEOrt) limekutana na wadau kutoka serikali, sekta ya fedha, na kilimo jijini …

October 20, 2025 mjombazecoder

Jukwaa la Wakurugenzi Wakuu wa Makampuni Tanzania (CEOrt) limekutana na wadau kutoka serikali, sekta ya fedha, na kilimo jijini Dodoma kujadili njia bora za kukabiliana na athari za mabadiliko ya…

Uncategorized

Wagombea wa nafasi za Urais, Ubunge, Uwakilishi na Udiwani nchini wamesalia na siku chache kukamilisha muda wa kuwashawishi kwa …

October 20, 2025 mjombazecoder

Wagombea wa nafasi za Urais, Ubunge, Uwakilishi na Udiwani nchini wamesalia na siku chache kukamilisha muda wa kuwashawishi kwa hoja wapiga kura kuelekea Uchaguzi mkuu, Oktoba 29. Je, wananchi ambao…

Uncategorized

🔴DAKIKA 45 NA DKT

October 20, 2025 mjombazecoder

🔴DAKIKA 45 NA DKT. HASSAN ABBAS...OKTOBA 20, 2025

Uncategorized

#HABAI: Zikiwa zimebaki siku chache kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani, Makundi Maalum ya watu wenye ulema…

October 20, 2025 mjombazecoder

#HABAI: Zikiwa zimebaki siku chache kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani, Makundi Maalum ya watu wenye ulemavu mkoani Singida, wameipongeza Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC)…

Uncategorized

Rais wa mpito wa Madagascar amemteua waziri mkuu mpya kufuatia mapinduzi ya kijeshi

October 20, 2025 mjombazecoder

Uteuzi huo unakuja baada ya siku kadhaa za maandamano ambayo yalimlazimu Rais aliyeondolewa madarakani Andry Rajoelina kutoroka nchi, huku jeshi likichukua mamlaka.

MWANANCHI

Mapya yaibuka mjane akipatiwa hati yake

October 20, 2025 mjombazecoder

Soma zaidi hapa...

Uncategorized

#HABARI: Vyombo vya ulinzi na usalama mkoani Tanga vimeanza kuimarisha operesheni ya kuimarisha ulinzi katika maeneo tofauti iki…

October 20, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Vyombo vya ulinzi na usalama mkoani Tanga vimeanza kuimarisha operesheni ya kuimarisha ulinzi katika maeneo tofauti ikiwemo mpakani mwa nchi jirani ya Kenya kufuatia jeshi la polisi kubaini kuwepo…

Uncategorized

Wajumbe wa Marekani wakutana na Netanyahu

October 20, 2025 mjombazecoder

Msemaji wa serikali ya Israel amesema wajumbe wakuu wa Marekani katika mzozo wa Mashariki ya Kati wamekutana na Waziri Mkuu wa Israel Benjamini Netanyahu kujadili utekelezaji wa makubaliano ya usitishaji…

Uncategorized

🔴TAARIFA YA HABARI YA USIKU OKTOBA 20, 2025 – MSHINDI WA URAIS KUTANGAZWA SAA 72

October 20, 2025 mjombazecoder

🔴TAARIFA YA HABARI YA USIKU OKTOBA 20, 2025 - MSHINDI WA URAIS KUTANGAZWA SAA 72

Uncategorized

Kiongozi Mkuu wa Iran, Khamenei, apinga madai kuwa Marekani imeharibu uwezo wa nyuklia wa nchi yake

October 20, 2025 mjombazecoder

Tehran na Washington zilishiriki katika duru tano za mazungumzo ya nyuklia yasiyo ya moja kwa moja ambayo yalimalizika kufuatia vita vya anga vya siku 12 mnamo Juni ambapo Israel na…

MWANANCHI

OMO: Silaha ya ushindi wetu ipo kwenye kujitokeza kupiga kura

October 20, 2025 mjombazecoder

Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT–Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema silaha...

Uncategorized

#HABARI: Wagonjwa kutoka maeneo tofauti ndani na nje ya mkoa wa Tanga wameridhishwa na maboresho yaliyofanywa na serikali katik…

October 20, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Wagonjwa kutoka maeneo tofauti ndani na nje ya mkoa wa Tanga wameridhishwa na maboresho yaliyofanywa na serikali katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Tanga bombo na kusababisha kuwapunguzia…

Posts pagination

1 … 836 837 838 … 1,013

Recent Posts

  • Okello akoleza pati la ubingwa, Diarra akibeba tuzo kipa bora
  • Simba yaendelea kukomalia ubingwa, ikiifumua Singida
  • Tanzania’s shipping industry raises the anchor in style
  • Wakulima 17 wameuawa na watu wenye silaha Magharibi mwa Nigeria
  • Venezuela: Idadi ya watu waliopoteza maisha katika tetemeko la ardhi yaongezeka

Recent Comments

  1. EdithUrili on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  2. Nancyurike on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  3. ChaelLah on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  4. TrickSit on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  5. Larryverse on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit

Archives

  • June 2026
  • May 2026
  • April 2026
  • March 2026
  • February 2026
  • January 2026
  • December 2025
  • November 2025
  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • June 2025
  • August 2024
  • July 2024
  • May 2023
  • June 2016

Categories

  • ASTV TANZANIA
  • CRI SWAHILI
  • DW SWAHILI
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • HABARILEO
  • IDHAA YA DUNIA
  • ITVBONGO
  • LTV ENGLISH NEWS
  • MAGAZETI
  • MWANANCHI
  • MWANASPOTI
  • RFI SWAHILI
  • TRT SWAHILI
  • TUKO SWAHILI NEWS
  • TZSPORTS
  • Uncategorized

You missed

MWANASPOTI

Okello akoleza pati la ubingwa, Diarra akibeba tuzo kipa bora

June 27, 2026 mjombazecoder
MWANASPOTI

Simba yaendelea kukomalia ubingwa, ikiifumua Singida

June 27, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Tanzania’s shipping industry raises the anchor in style

June 27, 2026 mjombazecoder
IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Wakulima 17 wameuawa na watu wenye silaha Magharibi mwa Nigeria

June 27, 2026 mjombazecoder

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS