Samia aahidi upanuzi Barabara ya Kilwa hadi Mkuranga
Mgombea huyo amemtaka Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, kuangalia namna ya kupanua barabara hiyo.
Mwanafunzi afariki dunia baada ya kutumbukia kisimani
Mwanafunzi wa darasa la tano katika Shule ya Msingi Isenegeja iliyopo kata ya Mwisi, Wilaya ya...
Papa akutana na wahanga wa unyanyasaji wa kingono
Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Leo XIV, alikutana kwa mara ya kwanza na kundi la wahanga wa unyanyasahi wa kingono unaodaiwa kufanywa na makasisi wa kanisa hilo.
Mashabiki Yanga wapewa jukumu kuimaliza Silver Strikers
Yanga imewatoa wito kwa mashabiki wake kujitokeza kwa wingi katika Uwanja wa Benjamin Mkapa...
#HABARI: Mahakama ya Wilaya ya Itilima iliyopo mkoani Simiyu imemhukumu Saimon Nzumbi Magumba mwenye umri wa miaka thelethini na…
#HABARI: Mahakama ya Wilaya ya Itilima iliyopo mkoani Simiyu imemhukumu Saimon Nzumbi Magumba mwenye umri wa miaka thelethini na nane kifungo cha miaka thelathini jela kwa kosa la kumbaka mtoto…
WItkoff akutana na Netanyahu kuhusu usitishaji vita Gaza
Mjumbe maalum wa Marekani Steve Witkoff pamoja na mkwe wa Rais Donald Trump, Jared Kushner, wamekutana na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu
Merz aahidi kupambana na chama cha siasa kali AfD
Kiongozi wa chama cha kihafidhina cha CDU, Kansela Friedrich Merz, ameapa kupambana vikali na chama cha siasa kali za mrengo wa kulia AfD, kuelekea uchaguzi wa majimbo matano mwaka ujao.
Mgombea wa urais wa Tanzania kupitia CCM, Dkt
Mgombea wa urais wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema anatambua changamoto ya msongamano wa magari katika barabara ya Kilwa, hususan kipande cha Kongowe hadi Mbagala Rangitatu, na…
Nchi za EU zakubaliana kukomesha uagizaji wa gesi ya Urusi
Mawaziri wa nishati wa nchi za Umoja wa Ulaya wamekubaliana kuachana kabisa na uagizaji wa gesi kutoka Urusi ifikapo mwisho wa mwaka 2027.
Vyama vya ushirika nchini (SACCOS) vimeiomba serikali kuweka mazingira wezeshi ya uendeshaji ili kuruhusu SACCOS hizo kupokea am…
Vyama vya ushirika nchini (SACCOS) vimeiomba serikali kuweka mazingira wezeshi ya uendeshaji ili kuruhusu SACCOS hizo kupokea amana kutoka kwa watu ambao si wanachama wa SACCOS hizo. Ombi lililotolewa ni…
Papa akutana na wahanga wa manyanyaso ya kingono kanisani
Kiongozi mkuu wa kanisa Katoliki ulimwenguni Papa Leo, amekutana na wahanga wa unyanyasaji wa kingono uliofanywa na makasisi wa kanisa hilo.
Chama, Aucho waongeza mzuka Singida Black Stars wakitua Airpot, Gamondi, Massanza wafichua figisu za Burundi!
Bao la Chama lampa mzuka Gamondi BAADA ya kuambulia sare ya bao 1-1 ugenini, Kocha mkuu wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi amesema bado ana dakika 90 ngumu za kuandika…
#HABARI: Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro kwa kushirikiana na askari wa Wanyamapori limefanikiwa kukamata watuhumiwa wanne walio…
#HABARI: Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro kwa kushirikiana na askari wa Wanyamapori limefanikiwa kukamata watuhumiwa wanne waliokuwa wakijihusisha na biashara haramu ya nyara za Serikali, ambapo walikutwa na meno…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki amekutana na mwenzake wa Ufaransa, kamishna wa EU kujadili usalama
Hakan Fidan alifanya mazungumzo na maafisa wakuu pembezoni mwa mkutano wa mawaziri kuhusu usalama na uunganisho wa kanda mbalimbali, uliofanyika kama sehemu ya Baraza la Mambo ya Nje la Umoja…
🔴HAPA NA PALE KUTOKA GEITA: OKTOBA 20, 2025-
🔴HAPA NA PALE KUTOKA GEITA: OKTOBA 20, 2025-
Dk Mwinyi: Zanzibar Sukuk imeongeza imani kwa wawekezaji, kufungua milango mipya
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema kwa mara ya kwanza uwiano wa mapato ya ndani...
Rais Erdogan kufanya ziara ya Ghuba yenye lengo la kukuza uhusiano wa kiuchumi na kimkakati
Ziara ya Rais wa Uturuki ya mataifa matatu inakuja wakati Ankara inatafuta ushirikiano wa kina wa kikanda huku kukiwa na mabadiliko ya mienendo ya Mashariki ya Kati.
Bao la Chama lampa mzuka Gamondi
BAADA ya kuambulia sare ya bao 1-1 ugenini, Kocha mkuu wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi amesema bado ana dakika 90 ngumu za kuandika rekodi ya kuipeleka timu hiyo hatua…
Ruto: Raila alikuwa mzalendo aliyeitumikia nchi kwa upendo
Rais William Ruto amewaongoza Wakenya kuadhimisha siku kuu ya Mashujaa huku akimtunuku heshima ya juu Waziri Mkuu wa zamani Raila Amollo Odinga, aliyezikwa Jumapili (19.10.2025), nyumbani kwake jimbo la Siaya.
Kocha ataja kinachoitesa Mlandege Ligi Kuu Zanzibar
BINGWA mtetezi wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), Mlandege, imeonekana kuteseka katika ligi hiyo baada ya kucheza mechi nne bila ya ushindi wala kufunga bao msimu huu wa 2025-2026.
Mbeya ‘Derby’ ndani ya KMC Complex
KWA mara ya kwanza katika historia, mechi ya Watani wa Jadi wa Jiji la Mbeya, Mbeya Derby baina ya Mbeya City na Tanzania Prisons inachezwa Dar es Salaam na leo…
Hesabu za Mgunda akiiwaza tano bora
KOCHA Mkuu wa Namungo, Juma Mgunda amesema kuanza kwao vibaya msimu huu haina maana wapo kwa ajili ya kugawa pointi kwa wapinzani, bali kuna mabadiliko makubwa na anaona watakuwa bora…
Serikali imetoa zaidi ya shilingi bilioni 424.6 kwa ajili ya miradi ya maendeleo mkoani Rukwa, ikiwemo ukarabati wa uwanja wa nd…
Serikali imetoa zaidi ya shilingi bilioni 424.6 kwa ajili ya miradi ya maendeleo mkoani Rukwa, ikiwemo ukarabati wa uwanja wa ndege wa Sumbawanga, ujenzi wa barabara za lami na kazi…
Ibenge atoa neno kwa straika Kitambala
KOCHA Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge amesema licha ya mshambuliaji wa timu hiyo, Jephte Kitambala kutajwa kwa ubora kutokana na kufunga mabao na kuisaidia timu hiyo kwenye malengo ya…
#HABARI: Wasomi na wanazuoni kutoka mataifa kumi ya bara la Afrika wanakutana jijini Arusha kujadiliana na kubadilishana uzoefu …
#HABARI: Wasomi na wanazuoni kutoka mataifa kumi ya bara la Afrika wanakutana jijini Arusha kujadiliana na kubadilishana uzoefu na kuweka mikakati ya pamoja ya mbinu sahihi za kukabiliana na changamoto…
MAHOJIANO MAALUM | Rais Mstaafu Kikwete amzungumzia Hayati Raila Odinga | Tanzania imepoteza rafiki
https://youtu.be/iAMxVTZkoao?si=k6TkkZ-NJaaDl_Vm Fuatilia mahojiano maalum ya Mwandishi wa Habari wa AzamTV, Ivona Kamuntu aliyofanya na Rais Mstaafu, Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza mengi kuhusu uhusiano...
Wapinzani wa Putin, wamepotea tu lakini hawajasahaulika
Wajumbe wa Bunge la Baraza la Ulaya kwenye tawi linalohusika na kudumisha haki za binadamu, demokrasia na utawala wa sheria wameunga mkono kura ya kuanzishwa jukwaa la mazungumzo na wapinzani…
Watoto 20 waangamia India kwa kunywa dawa ya kikohozi
Zaidi ya watoto 20 walio chini ya umri wa miaka mitano wamefariki dunia katika jimbo la Madhya Pradesh, India, baada ya kutumia dawa ya kikohozi iliyogundulika kuwa na kiwango kikubwa…
RC Songwe aonya watakaovuruga uchaguzi Oktoba 29, 2025
Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Jabir Makame ametoa onyo kali kwa watu wanaodaiwa kupanga njama za...
Samia aahidi kumaliza adha ya mafuriko Bonde la Rufiji
Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia...
Lipi jukumu la Umoja wa Afrika katika utatuzi wa mizozo?
Uamuzi wa Umoja wa Afrika wa kusitisha uanachama wa Madagascar unazua maswali mengi. Maoni ya wataalamu yamegawanyika juu ya kile AU inachoweza kufanya ili kushughulikia misukosuko ya kisiasa ya nchi…
Imamu Khamenei amwambia Trump: Badala ya kuingilia mambo ya nchi zingine, tuliza maandamano ya mamilioni ya wananchi dhidi yako
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali matamshi ya hivi karibuni ya Rais Donald wa Marekani kuhusu Iran na eneo la Asia ya Magharibi na na kusema,…
Kiongozi Muadhamu amwambia Trump: Wewe ni nani hasa
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali matamshi ya hivi karibuni ya Rais Donald wa Marekani kuhusu Iran na eneo la Asia ya Magharibi na na kusema,…
Leverkusen kuchuana na miamba PSG Ligi ya Mabingwa
Bayer Leverkusen itakutana na Paris Saint-Germain katika mechi ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya itakayochezwa kwenye uwanja wa BayArena, mjini Leverkusen kuanzia saa usiku kwa saa…
Teknolojia mpya inavyookoa maisha wa watoto wachanga wa pembezoni
“Tumempoteza mtoto,” ni kauli ipenyayo kwa uchungu masikioni mwa wazazi, ambao kwa miezi tisa...
Viongozi wa dini Mwanza watoa tamko la amani kuelekea uchaguzi mkuu
Zikiwa zimesalia siku tisa kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025, viongozi wa...
Tuongee Kishkaji: Jamii isipotoshwe kuhusu Grammy
Vuta picha mnakula bata kilabu msha'teketeza pesa za kutosha kwenye pombe na vyakula, na bado...
Ibraah afunguka hali ilivyo kwenye ndoa yake
Kwa mara ya kwanza tangu amuanike katika mitandao ya kijamii mke wake anayejulikana kwa jina la...
Watumishi wa umma 34 waliofukuzwa kazi, warudishwa kazini
Tume ya Utumishi wa Umma imewarudisha kazini jumla ya watumishi 34 waliofukuzwa na waajiri wao...
MASHABIKI WAMKANA FOLZ LIVE “HATUMJUI”
MASHABIKI WAMKANA FOLZ LIVE “HATUMJUI” #HABARI: Mashabiki wa Yanga SC wamemkataa katakata aliyekuwa kocha wao Romain Folz na wamesema asingefukuzwa safari yao ingekuwa ngumu huku wakidai hawamjui kabisa, hawajawahi kumuona!…
RSF yadaiwa kuwashambulia wakaazi wa El-Fashir, Sudan
Mji wa al-Fashir katika mkoa wa Darfur, Sudan, unazidi kuwa kitovu cha maafa makubwa ya kibinadamu baada ya mashambulizi ya droni na mizinga yaliofanywa na vikosi vya kundi la RSF,…
#HABARI: Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam Oktoba 22, 2025 siku ya Jumatano saa tatu kamili asubuhi inatar…
#HABARI: Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam Oktoba 22, 2025 siku ya Jumatano saa tatu kamili asubuhi inatarajia kutoa uamuzi juu ya mapingamizi manne ya kupinga…
Jaramogi Oginga Odinga: Baba yake Raila Odinga
Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya Raila Odinga alizikwa siku ya Jumapili nyumbani kwake magharibi mwa Kenya. Wengi wamemtaja kuwa mwanasiasa hodari, mzalendo na mwanamajumui.
Wasichana 2,700 wanusurika kukeketwa Mara ndani ya miaka minane
Zaidi ya mabinti 2,700 wamenusurika kukeketwa mkoani Mara katika kipindi cha miaka minane...