Kansela wa Ujerumani Merz aitaka Ulaya isiyumbe
Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz anaamini Umoja wa Ulaya unastahili kujifunza kutokana na mpango wa amani wa Gaza wa Rais Donald Trump ili kutoyumbishwa katika jukwaa la kimataifa.
Mwili wa kiongozi wa upinzani nchini Kenya, Raila Odinga, umewasili Nairobi kutoka India
Raila Odinga amefariki dunia alipokuwa nchini India ambapo alikuwa anatibiwa.
Kenya : Mwili wa Raila wawasili jijini Nairobi
NAIROBI – Mwili wa Waziri Mkuu wa zamani nchini Kenya, Raila Odinga, umewasili jijini Nairobi muda mfupi baada ya saa 10Am asubuhi kwa majira ya Afrika Mashariki, siku moja baada…
Watoto wa Mastaa Bongo wanaotikisha Instagram 2025
Wasanii wa Filamu na Muziki wamekuwa wakifuatiliwa na wengi katika mitandao ya kijamii hasa...
UNRWA: Watoto zaidi ya 650,000 wa Palestina wanakosa masomo kwa mwaka wa tatu sasa huko Ghaza
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limetangaza leo kuwa zaidi ya watoto 650,000 Wapalestina wanakosa elimu katika Ukanda wa Ghaza kwa mwaka wa tatu mfululizo.
Jamii mkoani Lindi imehimizwa kulinda afya kwa kunawa mikono mara kwa mara, kutumia vyoo bora, pamoja na kudumisha usafi wa mazi…
Jamii mkoani Lindi imehimizwa kulinda afya kwa kunawa mikono mara kwa mara, kutumia vyoo bora, pamoja na kudumisha usafi wa mazingira kwa ujumla, ili kujikinga dhidi ya magonjwa. Unatumia njia…
#HABARI: Mgombea Udiwani wa Kata ya Segerea kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Robert Manangwa ameongoza maombi ya kuliomb…
#HABARI: Mgombea Udiwani wa Kata ya Segerea kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Robert Manangwa ameongoza maombi ya kuliombea Taifa amani pamoja na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuelekea…
Mkurugenzi wa Uchaguzi kutoka Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ramadhan Kailima, amewakumbusha wananchi na wadau wa siasa …
Mkurugenzi wa Uchaguzi kutoka Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ramadhan Kailima, amewakumbusha wananchi na wadau wa siasa nchini umuhimu wa kuzingatia sheria wakati wa kipindi cha uchaguzi, hasa…
🔴HABARI ZA SAA, SAA TANO NA DAKIKA 55, OKTOBA 16, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA TANO NA DAKIKA 55, OKTOBA 16, 2025
#HABARI: Mamlaka ya Usafiri wa Anga Kenya (KCAA) imewatangazia wananchi kuwa shughuli za ndege katika Uwanja wa Ndege wa Kimatai…
#HABARI: Mamlaka ya Usafiri wa Anga Kenya (KCAA) imewatangazia wananchi kuwa shughuli za ndege katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta (JKIA) zimesitishwa kwa muda kufuatia tukio la…
#HABARI: Watanzania wametakiwa kuhakikisha kuwa hali ya amani na utulivu, inaimarishwa siku ya uchaguzi, kujitokeza kupiga kura …
#HABARI: Watanzania wametakiwa kuhakikisha kuwa hali ya amani na utulivu, inaimarishwa siku ya uchaguzi, kujitokeza kupiga kura kisha kurudi nyumbani, ili kuvipunguzia kazi Vyombo vya Ulinzi na Usalama, kukabiliana na…
Sam Allardyce: Liverpool itajuta kutomsajili Marc Guehi
Aliyekuwa kocha Crystal Palace, Sam Allardyce, anaamini kuwa Liverpool watakuja kujutia...
Mamia ya wananchi wamekusanyika katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, Nairobi kwa ajili ya kuupokea mwili wa Waz…
Mamia ya wananchi wamekusanyika katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, Nairobi kwa ajili ya kuupokea mwili wa Waziri Mkuu mstaafu wa Kenya, Raila Odinga aliyefariki dunia jana…
Eric Garcia afichua siri ya kubadilisha nafasi
Nyota wa Barcelona, Eric Garcia, amemwagia sifu kocha wa Girona, Miguel Sánchez, kwa kumsaidia...
Ahmed Ally atamba Airpot: Natamani Yanga na wenzake watolewe CAF, aitangazia vita Nsingizini Hotspurs
Kifo cha Raila Odinga, mechi saba Ligi Kuu ya Kenya za ahirishwa Shirikisho la Soka la Kenya (FKF), limeahirisha mechi saba zilizokuwa zimepangwa kuchezwa wikiendi hii ikiwa ni kwa heshima…
Wawili Simba kuikosa Nsingizini, meneja Pantev aleleza sababu
Meneja Mkuu wa Simba SC, Dimitar Pentev, amesema wachezaji Mohammed Bajaber na kipa Moussa...
Yanga yaifuata Silver Strikers Malawi
Kikosi cha Yanga SC, kimeondoka leo asubuhi Oktoba 16, 2025 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa...
“Nilimwambia mke wangu anishike shingoni tujitahidi kutoka…lakini ghafla mkondo mkali wa maji ulimchukua…nilijitosa kumtafuta, s…
“Nilimwambia mke wangu anishike shingoni tujitahidi kutoka…lakini ghafla mkondo mkali wa maji ulimchukua…nilijitosa kumtafuta, sikumpata.” 😢 - Hilario Reynosa Valderas akisimulia namna yeye na mkewe Elodia Reyes Azuara walivyonusurika katika…
🔴HABARI ZA SAA, SAA NNE NA DAKIKA 55, OKTOBA 16, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA NNE NA DAKIKA 55, OKTOBA 16, 2025
#HABARI: Ulinzi mkali umeimarishwa leo Oktoba 16, 2025 wakati Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu L…
#HABARI: Ulinzi mkali umeimarishwa leo Oktoba 16, 2025 wakati Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu akiwasili Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dar es Salaam kwenye kesi…
🔴HABARI ZA SAA, SAA TATU NA DAKIKA 55, OKTOBA 16, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA TATU NA DAKIKA 55, OKTOBA 16, 2025
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Bara, Mussa Peter Mwakitinya, amesema nia ya mgombea urais …
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Bara, Mussa Peter Mwakitinya, amesema nia ya mgombea urais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dkt. Samia…
Serikali ya Kenya imetangaza Ijumaa ya Oktoba 17, 2025 kuwa siku ya mapumziko ya kitaifa kwa heshima ya aliyekuwa Waziri Mkuu ms…
Serikali ya Kenya imetangaza Ijumaa ya Oktoba 17, 2025 kuwa siku ya mapumziko ya kitaifa kwa heshima ya aliyekuwa Waziri Mkuu mstaafu wa Kenya, Raila Amolo Odinga, aliyefariki dunia jana…
Camara, Bajaber kuikosa Nsingizini, meneja Pantev afichua sababu
Meneja Mkuu wa Simba SC, Dimitar Pentev, amesema wachezaji Mohammed Bajaber na kipa Moussa Camara wataikosa mechi dhidi ya Nsingizini Hotspurs kutokana na majeraha.
Kamanda Asadi: Kusitisha mapigano Ghaza kunatokana na kukata tamaa Marekani na Israel
Naibu Mkaguzi wa Kituo cha Kijeshi cha Khatam al-Anbiya amezungumzia makubaliano ya usitishaji vita kati ya HAMAS na utawala wa Kizayuni na kusisitiza kuwa, makubaliano hayo yanatokana na Marekani na…
AU yaisimamishia uanachama Madagascar kufuatia mapinduzi ya kijeshi
Umoja wa Afrika umetengaza kuisimamishia unachama Madagascar "hadi utaratibu wa kikatiba utakaporejeshwa" baada ya mapinduzi yaliyomuondoa madarakani Rais Andry Rajoelina.
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Bara, Ndg
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Bara, Ndg. Mussa Peter Mwakitinya, amesema nia ya mgombea urais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dkt.…
Simba yasepa kwa kishindo, mastaa wawili kuikosa Nsingizini, meneja Pantev azungumzia dozi alivyoiandaa!
Kifo cha Raila Odinga, mechi saba Ligi Kuu ya Kenya za ahirishwa Shirikisho la Soka la Kenya (FKF), limeahirisha mechi saba zilizokuwa zimepangwa kuchezwa wikiendi hii ikiwa ni kwa heshima…
🔴KUMEKUCHA KISHINDO: UJASIRIAMALI….OKTOBA 16, 2025
🔴KUMEKUCHA KISHINDO: UJASIRIAMALI....OKTOBA 16, 2025
#VIDEO: Mwili wa Waziri Mkuu Mstaafu wa Kenya Hayati Raila Odinga, ukiingizwa kwenye ndege tayari kurejeshwa nyumbani nchini Ken…
#VIDEO: Mwili wa Waziri Mkuu Mstaafu wa Kenya Hayati Raila Odinga, ukiingizwa kwenye ndege tayari kurejeshwa nyumbani nchini Kenya, kwa ajili ya Mazishi ya Kitaifa, mwili wa Odinga utapumzishwa Jumapili…
🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55, OKTOBA 16, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55, OKTOBA 16, 2025
Shirika la Mashad: Watu 146 wameuawa El-Fasher, Sudan
Shirika la kutetea haki za binadamu la Mashad limerekodi vifo vya raia 146, wakiwemo watoto 41 katika siku za hivi karibuni katika mji El-Fasher magharibi mwa Sudan.
Tanzania: Kampeni za uchaguzi zinafanyika katika hali ya wasiwasi wakati uchaguzi ukikaribia
Nchini Tanzania, kampeni za uchaguzi zinafanyika katika hali ya wasiwasi inayozidi kuongezeka. Wiki mbili kabla ya uchaguzi wa Oktoba 29, visa vya watu kukamatwa na kutoweka vinaongezeka. Imechapishwa: 16/10/2025 –…
Waziri: Mamilioni ya watalii wameitebelea Iran ndani ya miezi 6
Zaidi ya watalii milioni 3.5 wa kigeni wameitembelea Iran katika miezi sita ya kwanza ya mwaka huu, Waziri wa Turathi za Utamaduni, Utalii na Sanaa, Reza Salehi Amiri alisema hayo…
Malori ya misaada yasubiri ‘idhini ya Israel’ Rafah ili yaingie Gaza
Gavana wa Sinai Kaskazini nchini Misri amesema mamia ya malori ya misaada yapo tayari kuingia katika Ukanda wa Gaza kupitia kivuko cha Rafah, lakini yanasubiri kibali cha utawala wa Israel…
Yanga yaifuata Silver Strikers, Ali Kamwe azungumzia yatakayomkuta Mabedi
Kikosi cha Yanga SC, kimeondoka leo asubuhi Oktoba 16, 2025 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam kuelekea Malawi kwa ajili ya mechi…
DRC: Mazungumzo yanaendelea kati ya Kinshasa na AFC/M23 kuhusu kubadilishana wafungwa
Kufuatia kutiwa saini siku ya Jumanne, Oktoba 14, huko Doha kwa mfumo wa kusimamia usitishwaji mapigano kati ya serikali ya Kongo na kundi la waasi la AFC/M23, majadiliano yanaendelea katika…
Mapitio ya #MAGAZETI leo Oktoba 16,2025 kwenye #MorningTrumpet #utv108
Mapitio ya #MAGAZETI leo Oktoba 16,2025 kwenye #MorningTrumpet #utv108 #AzamTVUpdates
Patrick Mabedi aiongoza Yanga kuisaka Malawi | Hersi, Ngai na Ali Kamwe wafunguka mpango mzima CAF!
Kifo cha Raila Odinga, mechi saba Ligi Kuu ya Kenya za ahirishwa Shirikisho la Soka la Kenya (FKF), limeahirisha mechi saba zilizokuwa zimepangwa kuchezwa wikiendi hii ikiwa ni kwa heshima…
Madagascar: Kanali Randrianirina kuapishwa kama rais Ijumaa
Nchini Madagascar, jeshi linaimarisha mamlaka yake mpya siku mbili baada ya tangazo lake mbele ya ikulu ya rais huko Ambohitsorohitra. Kanali Randrianirina ataapishwa siku ya Ijumaa Oktoba 17 kuwa rais…
Umoja wa Afrika waisitisha Madagascar kwenye taasisi zake na shughuli zote
Umoja wa Afrika umechukua hatua haraka kufuatia hatua ya jeshi kuchukuwa madaraka nchini Madagascar. Katika taarifa iliyotolewa siku ya Jumatano, Oktoba 15, Umoja wa Afrika umeisitisha Madagascar kwenye taasisi zake…
Maarifa ya asili katika ukuzaji uchumi wa Taifa
Kila kizazi kina wazo, ndoto na azma yake ya kuweka alama mpya katika ukuaji wa taifa. Miaka...
Joseph Kabila ateuliwa kuongoza jukwaa jipya la kisiasa DRC
Mkutano mkubwa wa kisiasa na kijamii juu ya mustakabali wa nchi, ulioitishwa Nairobi, nchini Kenya, na rais wa zamani Joseph Kabila, umezindua jukwaa jipya la kisiasa siku ya Jumatano, Oktoba…
🔴KUMEKUCHA: NAFASI YA VYOMBO VYA HABARI KWENYE UCHAGUZI….OKTOBA 16, 2025
🔴KUMEKUCHA: NAFASI YA VYOMBO VYA HABARI KWENYE UCHAGUZI....OKTOBA 16, 2025
Urais wa Mpina ndio basi tena!
Ni mwisho wa safari ya Luhaga Mpina kusaka urais? Ni swali linalogonga vichwa vya wengi kwa...
Kishindo kampeni za lala salama
Safari ya kunadi sera na kuomba ridhaa kwa Watanzania ili watoe nafasi kwa mgombea mmoja kati...
Umuhimu wa bajeti katika mipango binafsi
Katika mazingira ya sasa yenye hali ya kiuchumi isiyo tulivu, kupanga bajeti na mipango ya...
Uwezekano wa kulipa nauli kidijitali kwenye daladala
Fikiria unapanda daladala bila kuhangaika kutafuta chenji, bila wasiwasi kama konda...
Hifadhi ya dhahabu yaipiku Euro ikizidi kuteteresha Dola
Mwamko mkubwa wa Benki Kuu duniani kununua dhahabu kumeyafanya madini hayo kuwa ya pili...