#HABARI: Mgombea kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama cha Sauti ya Umma (SAU) Majalio Kyara…
#HABARI: Mgombea kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama cha Sauti ya Umma (SAU) Majalio Kyara, ameahidi kumaliza changamoto ya upatikanaji wa soko la…
Chama cha NLD kupitia kwa mgombea wake wa Urais, Doyo Hassan Doyo kimeahidi kutafuta masoko ya kudumu ya bidhaa za shambani zina…
Chama cha NLD kupitia kwa mgombea wake wa Urais, Doyo Hassan Doyo kimeahidi kutafuta masoko ya kudumu ya bidhaa za shambani zinazozalishwa na wakulima wa mkoa wa Njombe. Doyo ametoa…
Mgombea urais Yustas Rwamugira wa Chama cha TLP amesema serikali atakayoiunda akifanikiwa kushinda Uchaguzi Mkuu itajikita katik…
Mgombea urais Yustas Rwamugira wa Chama cha TLP amesema serikali atakayoiunda akifanikiwa kushinda Uchaguzi Mkuu itajikita katika utoaji wa mikopo kwa wafanyabiashara kote nchini ili kukuza mitaji yao na baadae…
#HABARI: Viongozi wa upinzani nchini Kenya wakiongozwa na kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka, aliyekuwa Naibu wa Rais Rigathi Gacha…
#HABARI: Viongozi wa upinzani nchini Kenya wakiongozwa na kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka, aliyekuwa Naibu wa Rais Rigathi Gachagua na Eugene Wamalwa, wameikosoa serikali kutokana na kile walichokitaja kama unyakuzi…
Mgombea Urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu ameahidi kuja na mkakati wa uchakataji na kuongeza thamani …
Mgombea Urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu ameahidi kuja na mkakati wa uchakataji na kuongeza thamani za bidhaa za ndani badala ya kupeleka malighafi nje ya…
“Ninajua mawasiliano ya simu katika baadhi ya maeneo ya Wilaya ya Hanang siyo mazuri kabisa, serikali tunalijua hilo, ila tunaji…
"Ninajua mawasiliano ya simu katika baadhi ya maeneo ya Wilaya ya Hanang siyo mazuri kabisa, serikali tunalijua hilo, ila tunajipanga kujenga minara mitano ya mawasiliano ili mawasiliano yawe sawasawa, tunajua…
@hoseamchopa amezungumza na Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba SC, @ahmedally_ ambaye amesema wao wamempa majukum…
@hoseamchopa amezungumza na Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba SC, @ahmedally_ ambaye amesema wao wamempa majukumu ya ‘kumeneji’ benchi la ufundi la Simba na kama aliweza kusimamia…
Kila Ijumaa ya kwanza ya Oktoba dunia huadhimisha ‘Siku ya Kutabasamu’ huku urafiki, udugu na ushirikiano ukitajwa kuwa muhimu k…
Kila Ijumaa ya kwanza ya Oktoba dunia huadhimisha ‘Siku ya Kutabasamu’ huku urafiki, udugu na ushirikiano ukitajwa kuwa muhimu katika kuwasaidia watu watabasamu. Je, wewe unatabasamu kwa furaha au unaficha…
Bodi ya Ligi yavuna Sh27 milioni, yatembeza rungu zito
Kamati ya Utendaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) katika kikao chake cha Oktoba 2, 2025 ilipitia mwenendo na matukio mbalimbali ya ligi na kufanya…
Idadi ya wagonjwa wa saratani nchini huenda ikaongezeka kwa takribani mara tatu ya sasa kutokana na mabadiliko ya mitindo ya mai…
Idadi ya wagonjwa wa saratani nchini huenda ikaongezeka kwa takribani mara tatu ya sasa kutokana na mabadiliko ya mitindo ya maisha. Hayo yamesemwa na Rais wa Chama cha Madaktari Bingwa…
Wajasiriamali walia ukosefu mikopo asilimia 10 wamtwisha mzigo Dk Tulia
Mgombea ubunge Uyole Dk Tulia Ackson amesema atashughulikia kero ya ukosefu wa mikopo...
Zitto aahidi ajira kwa wananchi Tanga wakimchagua…
Tanga. Kiongozi mstaafu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amewaomba wakazi wa Jiji la...
Wanaharakati waweka msukumo mabadiliko ya sheria za kimila
Mdahalo huo ni sehemu ya maandalizi ya kampeni ya kimataifa ya Siku 16 za Kupinga Ukatili wa...
#HABARI: Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), imeteketeza jumla ya kilogram 4,402.02 za Dawa za Kulevya …
#HABARI: Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), imeteketeza jumla ya kilogram 4,402.02 za Dawa za Kulevya katika kiwanda cha Saruji cha Twiga, kilichopo Wazo, jijini Dar…
🔴KIPIMAJOTO: ILANI YA CCM 2020-2025 JE,IMETEKELEZWA IPASAVYO KUJENGA IMANI KWA ILANI YA 2025-2030, OKTOBA 03, 2025
🔴KIPIMAJOTO: ILANI YA CCM 2020-2025 JE,IMETEKELEZWA IPASAVYO KUJENGA IMANI KWA ILANI YA 2025-2030, OKTOBA 03, 2025
Ewura yaonya ujenzi holela wa vituo vya mafuta
Wito huo umetolewa leo Oktoba 3, 2025 na Mhandisi wa Petroli wa EWURA Kanda ya Kati, Rose...
Utafiti kufanyika tathimini uchelewaji miradi ya ubia
Kafulila amesema utafiti huo umelenga kubaini kinachosababisha ucheleweshaji wa miradi ya ubia...
Othman aahidi kuondoa kodi, tozo za vyakula Zanzibar
Mgombea urais wa Zanzibar (ACT Wazalendo), Othman Masoud Othman amesema endapo akishika...
Jumla ya watoto 15,000 wenye mdomo sungura wafanyiwa upasuaji
Jumla ya watoto 15,000 waliozaliwa na matatizo ya mdomo wazi (mdomo sungura) nchini wamepatiwa...
Mapya yaibuka mfanyabiashara aliyejinyonga Moshi
Mwili wake uligundulika ukiwa umening’inia kwa kamba ya katani iliyokuwa imefungwa juu ya kenchi.
Tanzania na Kenya zimeondoa vikwazo vinne vya kibiashara visivyo vya kiushuru kati ya vikwazo 14 vilivyojadiliwa katika mkutano …
Tanzania na Kenya zimeondoa vikwazo vinne vya kibiashara visivyo vya kiushuru kati ya vikwazo 14 vilivyojadiliwa katika mkutano wa tisa wa Kamati ya Pamoja ya Biashara baina ya nchi hizo…
Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na taasisi ya Heart Team Afrika (HTAF) wameandaa mashindano ya uandish…
Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na taasisi ya Heart Team Afrika (HTAF) wameandaa mashindano ya uandishi wa insha kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari…
Bacca afungiwa mechi tano, aiwahi Simba
Adhabu hiyo ni kwa mujibu wa Kanuni ya 41:21 ya Ligi Kuu kuhusu Udhibiti wa Wachezaji.
EABC yaja na dawati la kidijitali kukuza biashara ya kuvuka mpakani
Baraza la Biashara Afrika Mashariki (EABC) limezindua dawati la kidijitali la utoaji taarifa...
Ramaphosa alaani mjukuu wa Mandela kukamatwa na jeshi la Israel
Gaza. Mjukuu wa Rais wa zamani wa Afrika Kusini Nelson Mandela, Nkosi Zwelivelile Mandla...
🔴TAARIFA YA HABARI SAA MBILI OKTOBA 03 , 2025 – KAMPENI ZA UCHAGUZI ZASHIKA KASI MIKOA MBALIMBALI
🔴TAARIFA YA HABARI SAA MBILI OKTOBA 03 , 2025 - KAMPENI ZA UCHAGUZI ZASHIKA KASI MIKOA MBALIMBALI
Abiria wa mwendokasi wasilimulia uzoefu mabasi mapya siku ya pili
Wafanyabiashara wa samaki kutoka Soko la Feri Kivukoni hadi Kimara wanasema kabla ya ujio wa...
#HABAI: Mgombea wa nafasi ya Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt
#HABAI: Mgombea wa nafasi ya Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuendelea kupeleka pembejeo za mbolea ya ruzuku kwa wakulima wa Wilaya ya Hanang, Mkoa…
#HABARI: Mashabiki na wanachama wa Simba kwa sasa wana hamu ya kuona klabu yao, ikimtangaza kocha mpya kabla ya wiki hii kumaliz…
#HABARI: Mashabiki na wanachama wa Simba kwa sasa wana hamu ya kuona klabu yao, ikimtangaza kocha mpya kabla ya wiki hii kumalizika, ambapo mpaka sasa Kocha Mbulgaria kutoka Gaborone United…
Tanzania 2025: Kampeni zakimbilia kwenye mitandao ya kijamii
Wakati Tanzania ikielekea uchaguzi mkuu Oktoba 29, mitandao ya kijamii imekuwa kitovu cha kampeni na mijadala ya kisiasa. Je, kura zitaamuliwa majukwaani, au kwa "like", "share" na mijadala ya mtandaoni?
#HABARI: Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPPC) kimesaini makubaliano ya ushirikiano na Taasisi ya Kuimarisha Uw…
#HABARI: Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPPC) kimesaini makubaliano ya ushirikiano na Taasisi ya Kuimarisha Uwajibikaji nchini (WAJIBU), kwa lengo la kufanya utafiti utakaobainisha changamoto…
Merz ataka mwanzo mpya kwa Ujerumani
Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz ametoa wito wa uwepo wa mwanzo mpya kwa Ujerumani katika hotuba yake aliyoitoa leo, taifa hilo linapoadhimisha miaka 35 tangu kuungana kwa Ujerumani ya Mashariki…
#HABARI: Hali ya majonzi imetanda katika Mtaa wa Kilimanjaro, Kata ya Kihonda, Manispaa ya Morogoro baada ya mwanamke mmoja mwen…
#HABARI: Hali ya majonzi imetanda katika Mtaa wa Kilimanjaro, Kata ya Kihonda, Manispaa ya Morogoro baada ya mwanamke mmoja mwenye umri wa takriban miaka 36 kufariki dunia usiku akidaiwa kuwa…
Taasisi za fedha zatakiwa kupunguza masharti
Amesema taasisi za fedha zinatakiwa kubadilika kwani zinachangia kuchelewesha maendeleo kwenye...
Hii ndiyo mwendokasi tuitakayo, kibarua kichachowasubiri watendaji wapya
Mradi wa BRT ulianzishwa kwa lengo la kuondoa kero ya msongamano wa magari jijini Dar es Salaam.
Oktoba 3: Mambo matano kuhusu siku ya Muungano wa Ujerumani
Tarehe 3 Oktoba, Ujerumani huadhimisha kuungana tena kwa pande za Mashariki na Magharibi. Lakini iliwezekanaje? Sherehe hufanyikaje? Na Wajerumani wanasemaje leo kuhusu hilo? Tunakuletea majibu.
Israel yawarejesha kwao wanaharakati wa msafara wa Gaza
Israel imewarejesha makwao wanaharakati wanne raia wa Italia ambao ni miongoni mwa mamia ya wanaharakati inaowashikilia, waliokuwa kwenye boti za misaada kuelekea katika Ukanda wa Gaza.
Rajoelina: Niko tayari kutatua changamoto za raia
Rais wa Madagascar Andry Rajoelina amesema yuko tayari kusikiliza na kutafuta suluhisho la matatizo yanayokikabili kisiwa hicho. Ameyasema hayo Ijumaa 03.10.2025 katika hotuba yake kwa raia.
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Geita imewataka viongozi wa dini nchini kuweka kipaumbele katika kuto…
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Geita imewataka viongozi wa dini nchini kuweka kipaumbele katika kutoa elimu na mahubiri yenye kukemea rushwa kwa waumini wao. Hayo yamesemwa…
Sarah Mullally ateuliwa kuwa Askofu Mkuu wa Cantebury
Uingereza imemteua Sarah Mullally kuwa Askofu Mkuu mpya wa Cantebury Ijumaa. Kuteuliwa kwake kunamfanya mwanamke wa kwanza kuwa kiongozi wa Kanisa la Anglikana nchini Uingereza katika kipindi cha miaka takriban…
ADC: Mafisadi jiandaeni kukimbia nchi tukiingia madarakani
Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) kimesisitiza kuwa endapo kitapata ridhaa ya...
CCM kurudisha serikalini mashamba ya ngano Hanang
Katesh /Liwale. Mgombea urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, ameahidi...
WFP kupunguza msaada wa Chakula kwa watu 750,000 Somalia
Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula, WFP, limetangaza kuwa lina mpango wa kupunguza msaada wa chakula kwa maelfu ya watu nchini Somalia ifikapo mwezi Novemba mwaka huu.
Israel yawafukuza wanaharakati wa msafara wa Gaza
Serikali ya Israel imewarejesha nyumbani wanaharakati wanne raia wa Italia, ikiwa ni hatua ya kwanza inayowalenga mamia ya wanaharakati waliokamatwa.
Wadau wa maendeleo kujenga shule ya Sh1 bilioni Lindi
Mhandisi Omary ameendelea kusema kuwa ujenzi wa shule hiyo utakuwa na madarasa tisa na madarasa...
Ujerumani yaadhimisha miaka 35 ya muungano
Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz amewataka Wajerumani kushikamana na kuanza upya. Ameyasema hayo wakati wa maadhimisho ya miaka 35 tangu zilizokuwa Ujerumani Mashariki na Magharibi zilipoungana na kuwa taifa moja.
Somalia: WFP yaonya kuhusu baa la njaa baada ya upungufu wa fedha
Mamilioni ya watu nchini Somalia wanakabiliwa na baa la njaa wakati huu mashirika ya Kimataifa yakipunguza fedha za msaada kuyasaidia mashirika kama WFP kuendelea kutoa msaada. Imechapishwa: 03/10/2025 – 17:44…
Madagascar: Rais Rajoelina alaani jaribio la mapinduzi dhidi ya serikali yake
Katika video ya moja kwa moja iliyotumwa siku ya Ijumaa, Andry Rajoelina alidai vijana waandamanaji ‘wametumiwa kuchochea mapinduzi. Imechapishwa: 03/10/2025 – 17:33 Dakika 1 Wakati wa kusoma Matangazo ya kibiashara…