Skip to content
  • Fri. Jun 19th, 2026

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE

Latest Post

Iran na Marekani wananufaika vipi na makubaliano yaliyoafikiwa, ugumu wa kuyadumisha ni upi? Kutoka uwanja wa vita hadi meza ya mazungumzo; Je, Iran imebadilisha vipi milinganyo ya vita Trump aonya atakayekiuka makubaliano usitishaji vita Marya Prude Afichua Alivyopoteza Dili Nono Baada ya Kushangilia Kuvunjika kwa Ndoa ya Raburu na Ivy African lawmakers back push for tougher anti-LGBT laws after Ghana conference
IDHAA YA DUNIA

Iran na Marekani wananufaika vipi na makubaliano yaliyoafikiwa, ugumu wa kuyadumisha ni upi?

June 19, 2026 mjombazecoder
HABARI ZA KIPEKEE

Kutoka uwanja wa vita hadi meza ya mazungumzo; Je, Iran imebadilisha vipi milinganyo ya vita

June 19, 2026 mjombazecoder
HABARILEO

Trump aonya atakayekiuka makubaliano usitishaji vita

June 19, 2026 mjombazecoder
TUKO SWAHILI NEWS

Marya Prude Afichua Alivyopoteza Dili Nono Baada ya Kushangilia Kuvunjika kwa Ndoa ya Raburu na Ivy

June 19, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

African lawmakers back push for tougher anti-LGBT laws after Ghana conference

June 19, 2026 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
Iran na Marekani wananufaika vipi na makubaliano yaliyoafikiwa, ugumu wa kuyadumisha ni upi?
IDHAA YA DUNIA
Iran na Marekani wananufaika vipi na makubaliano yaliyoafikiwa, ugumu wa kuyadumisha ni upi?
Kutoka uwanja wa vita hadi meza ya mazungumzo; Je, Iran imebadilisha vipi milinganyo ya vita
HABARI ZA KIPEKEE
Kutoka uwanja wa vita hadi meza ya mazungumzo; Je, Iran imebadilisha vipi milinganyo ya vita
Trump aonya atakayekiuka makubaliano usitishaji vita
HABARILEO
Trump aonya atakayekiuka makubaliano usitishaji vita
Marya Prude Afichua Alivyopoteza Dili Nono Baada ya Kushangilia Kuvunjika kwa Ndoa ya Raburu na Ivy
TUKO SWAHILI NEWS
Marya Prude Afichua Alivyopoteza Dili Nono Baada ya Kushangilia Kuvunjika kwa Ndoa ya Raburu na Ivy
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
LTV ENGLISH NEWS
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
HABARILEO
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Trump anakabiliwa na chaguzi ‘mbaya’ au ‘mbaya zaidi’ kuhusu Iran: Jenerali wa IRGC
HABARI ZA KIPEKEE
Trump anakabiliwa na chaguzi ‘mbaya’ au ‘mbaya zaidi’ kuhusu Iran: Jenerali wa IRGC
Iran na Marekani wananufaika vipi na makubaliano yaliyoafikiwa, ugumu wa kuyadumisha ni upi?
IDHAA YA DUNIA
Iran na Marekani wananufaika vipi na makubaliano yaliyoafikiwa, ugumu wa kuyadumisha ni upi?
Kutoka uwanja wa vita hadi meza ya mazungumzo; Je, Iran imebadilisha vipi milinganyo ya vita
HABARI ZA KIPEKEE
Kutoka uwanja wa vita hadi meza ya mazungumzo; Je, Iran imebadilisha vipi milinganyo ya vita
Trump aonya atakayekiuka makubaliano usitishaji vita
HABARILEO
Trump aonya atakayekiuka makubaliano usitishaji vita
Marya Prude Afichua Alivyopoteza Dili Nono Baada ya Kushangilia Kuvunjika kwa Ndoa ya Raburu na Ivy
TUKO SWAHILI NEWS
Marya Prude Afichua Alivyopoteza Dili Nono Baada ya Kushangilia Kuvunjika kwa Ndoa ya Raburu na Ivy
HABARI ZA KIPEKEE

Polisi 3 wauawa na 7 watekwa nyara katika hujuma ya wanamgambo wenye silaha Nigeria

September 22, 2025 mjombazecoder

Maafisa watatu wa polisi wameuawa na wengine saba kutekwa nyara jana Jumapili katika shambulio la wanamgambo wenye silaha katika Jimbo la Benue nchini Nigeria.

HABARI ZA KIPEKEE

Maandamano makubwa ya kuunga mkono Palestina yawavutia maelfu jijini Nairobi

September 22, 2025 mjombazecoder

Maelfu ya Wakenya, wakiwemo Waislamu na Wakristo kwa pamoja wamejitokeza kwa wingi jijini Nairobi kushiriki maandamano na tamasha la mshikamano wa kuunga mkono Palestina, yaliyoandaliwa na kikundi cha 'Kenyans for…

HABARI ZA KIPEKEE

Iran yalaani shambulizi la waasi dhidi ya Msikiti nchini Sudan

September 22, 2025 mjombazecoder

Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani vikali shambulizi la droni lililotokea hivi karibuni katika msikiti wa Al-Fashir, Sudan, ambalo limesababisha vifo na majeruhi kwa makumi ya waumini wa…

HABARI ZA KIPEKEE

Hamas yaitaka jamii ya kimataifa na Umoja wa Mataifa kuitenga Israel

September 22, 2025 mjombazecoder

Harakati ya Kiislamu ya Kupigania Ukombozi wa Palestina, Hamas, imekaribisha hatua ya kutambuliwa kwa taifa la Palestina na mataifa ya Uingereza, Australia na Kanada, ikieleza kuwa ni hatua muhimu katika…

HABARI ZA KIPEKEE

Rais wa Iran atoa wito kwa China kutekeleza kwa vitendo mpango wa utawala wa kimataifa

September 22, 2025 mjombazecoder

Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amesema kuwa Iran inatarajia China kuchukua hatua madhubuti kutekeleza mpango ilioupendekesza kuhusu utawala wa kimataifa, ili kuimarisha ushirikiano wa pande nyingi…

HABARI ZA KIPEKEE

Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu awapongeza wanamieleka wa Iran kwa kutwaa ubingwa wa dunia

September 22, 2025 mjombazecoder

Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, ameipongeza kwa dhati timu ya mieleka ya mtindo wa Greco-Roman ya Iran kwa kutwaa taji la ubingwa wa dunia katika…

HABARI ZA KIPEKEE

Jeshi la Somalia laua magaidi wanne wa al-Shabaab

September 22, 2025 mjombazecoder

Jeshi la taifa la Somalia, kwa kushirikiana na washirika wa kimataifa, limeendesha operesheni iliyopangwa kwa umakini na kuwaua angalau wapiganaji wanne wa kundi la kigaidi la al-Shabaab, kwa mujibu wa…

Uncategorized

‘Haitatokea’: Benjamin Netanyahu awajibu viongozi wanaotambua taifa la Palestina

September 22, 2025 mjombazecoder

Waziri Mkuu wa Israel Benyamin Netanyahu amebainisha siku ya Jumapili, Septemba 21, kwamba hakutakuwa na taifa la Palestina, katika video iliyoelekezwa kwa viongozi wa Magharibi ambao wamelitambua taifa al Palestina…

Uncategorized

Palestina, nchi ambayo tayari inatambuliwa na nchi 52 kati ya 54 za bara la Afrika

September 22, 2025 mjombazecoder

Wakati Uingereza, Australia, na Canada zimelitambua rasmi Taifa la Palestina siku ya Jumapili, na nchi nyingine za Magharibi, ikiwa ni pamoja na Ufaransa, zitafanya hivyo Septemba 22, nchi 52 kati…

Uncategorized

Nicolas Maduro akanusha tuhuma za ulanguzi wa dawa za kulevya, amwalika Trump kwa mazungumzo

September 22, 2025 mjombazecoder

Rais wa Venezuela Nicolas Maduro amekanusha katika barua aliyomwandikia mwenzake wa Marekani Donald Trump tuhuma za ulanguzi wa dawa za kulevya dhidi yake, akimtaka mwenzake “kulinda amani kupitia mazungumzo” huku…

Uncategorized

Jong-un kufanya mazungumzo na Marekani kwa sharti la kutozungumzia mpango wake wa nyuklia

September 22, 2025 mjombazecoder

Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un amesema yuko tayari kuanza tena mawasiliano na Marekani iwapo Washington itaondoa matakwa yake ya kutaka Pyongyang kuachana na mpango wake wa silaha za…

Uncategorized

Washington yashutumu utambuzi wa taifa la Palestina kwa baadhi ya nchi

September 22, 2025 mjombazecoder

Marekani, mshirika wa karibu wa Israel, imekosoa siku ya Jumapili, Septemba 21, kutambuliwa kwa taifa la Palestina na msururu wa nchi kama “kujionyesha,” ikisema “inaweka kipaumbele kwa diplomasia ya kweli”…

Uncategorized

Utambuzi wa Gaza na taifa la Palestina kutawala Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa

September 22, 2025 mjombazecoder

Saudi Arabia na Ufaransa zinatarajia kuongoza mkutano wa kilele wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, unaoanza Jumatatu na utaangazia suluhu la mataifa mawili katika mzozo wa Israel na Palestina.…

Uncategorized

Umoja wa Mataifa kujadili suluhisho la mataifa mawili

September 22, 2025 mjombazecoder

Ufaransa na Saudi Arabia zitaongoza mkutano wa kilele wa wakuu wa nchi na serikali katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kujaribu kufufua matumaini ya suluhisho la mataifa mawili katika…

Uncategorized

Sudan Kusini: Kesi ya Riek Machar kuanza kusikilizwa Juba

September 22, 2025 mjombazecoder

Riek Machar atafikishwa mahakamani leo Jumatatu, Septemba 22, pamoja na washtakiwa wenzake saba, wanachama wa chama chake cha upinzani, SPLM-IO, akiwemo Waziri wa Mafuta, Puot Kang, ambaye pia alisimamishwa kazi.…

Uncategorized

Ufaransa na Saudi Arabia kuongoza mkutano wa kilele wa UNGA

September 22, 2025 mjombazecoder

Ufaransa na Saudi Arabia zitaongoza mkutano wa kilele wa wakuu wa nchi na serikali katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kujaribu kufufua matumaini ya suluhisho la mataifa mawili ambayo…

Uncategorized

DRC: Wabunge kupiga kura kuamua hatima ya Vital Kamerhe

September 22, 2025 mjombazecoder

Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, wabunge baadaye leo Jumatatu wanatarajiwa kupiga kura, kuamua hatima ya Spika Vital Kamerhe, baada ya siku kadhaa za vikao ambavyo vimekuwa vikifanyika kujadili utendakazi…

Uncategorized

Jeshi la Israel lapeleka divisheni ya 36 Gaza

September 22, 2025 mjombazecoder

Jeshi la Israel, IDF limepeleka divisheni yake ya 36 Gaza City, ambayo ni ya tatu, kama sehemu ya mashambulizi yake ya ardhini dhidi ya wanamgambo wa Hamas.

Uncategorized

Raia wa Guinea wasubiri matokeo ya kura ya maoni kuhusu katiba mpya

September 22, 2025 mjombazecoder

Raia wa Guinea wanasubiri matokeo ya kura ya maoni kuhusu rasimu ya katiba mpya, iliyopigiwa kura Jumapili ya wiki iliopita.

Uncategorized

Estonia: Umoja wa Mataifa kujadili uchokozi wa Urusi

September 22, 2025 mjombazecoder

Estonia imesema Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa litafanya kikao cha dharura kujadili ukiukaji wa usalama wa anga yake uliofanywa na ndege za kivita za Urusi.

Uncategorized

Malawi: Chama tawala chadai kulikuwepo na wizi wa kura

September 22, 2025 mjombazecoder

Nchini Malawi, Chama tawala cha Rais Lazarus Chakwera kinadai kuwa kulikuwa na wizi wa kura katika uchaguzi wa wiki iliyopita huku chama hicho kikidai kuwa na ushaihidi wa kutosha wa…

Uncategorized

Msalaba Mwekundu kujadili ukiukwaji wa sheria za kimataifa

September 22, 2025 mjombazecoder

Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu, ICRC imesema itaandaa mkutano wa kimataifa wa ngazi ya juu mwaka ujao, kujadili ukiukaji wa sheria za kimataifa katika vita.

Uncategorized

Chama tawala Malawi chalalamikia wizi wa kura

September 22, 2025 mjombazecoder

Chama tawala Malawi cha Rais Lazarus Chakwera cha Malawi Congress, MCP, kimedai kina ushahidi wa wizi wa kura, wakati ambapo matokeo ya awali yanaashiria kuwa kinashindwa katika uchaguzi mkuu uliofanyika…

HABARI ZA KIPEKEE

Jumatatu 22 Septemba

September 22, 2025 mjombazecoder

Leo ni Jumatatu 29 Mfunguo Sita Rabiul-Awwal 1447 Hijria Qamaria, mwafaka na tarehe 31 Shahrivar 1404 Hijria Shamsia mwafaaka na tarehe 22 Septemba 2024 Miladia.

HABARI ZA KIPEKEE

Iran na Pakistan zaja na mkakati wa pamoja wa ustawi wa kiuchumi

September 22, 2025 mjombazecoder

Kamisheni ya 22 ya Pamoja ya Uchumi (JEC) kati ya Iran na Pakistan, iliyofanya kikao chake hapa mjini Tehran imetilia mkazo suala la kurejeshwa mkakati wa kiuchumi kati ya nchi…

HABARI ZA KIPEKEE

EU yagawanyika juu ya kifurushi cha vikwazo dhidi ya Russia

September 22, 2025 mjombazecoder

NATO imepeleka ndege tatu za kivita za Ufaransa huko Poland Mashariki kwa kile kilichotajwa kuwa ni sehemu ya kukabiliana na Russia. Wachambuzi wengi wanasema kuwa, ni vitendo kama hivyo vya…

HABARI ZA KIPEKEE

Takriban magaidi 34 wauawa katika operesheni za kijeshi za Niger

September 22, 2025 mjombazecoder

Jeshi la Niger limetangaza kuwa, Vikosi vya Ulinzi na Usalama vya nchi hiyo vimeangamiza magaidi wasiopungua 34 wakati wa operesheni mbili zilizofanywa wiki iliyopita katika mikoa ya magharibi ya Dosso…

HABARI ZA KIPEKEE

Baada ya kuachiliwa huru kwa huruma za HAMAS, gaidi Mmarekani ajigamba atarejea Ghaza kufanya mauaji zaidi

September 22, 2025 mjombazecoder

Mateka wa zamani wa Israel raia wa Marekani ambaye HAMAS ilimuonea huruma na kumwachilia huru, amethibitisha kivitendo kuwa "Fadhila za punda ni mateke." Ametangaza kuwa anajiandaa kurejea Ghaza kwa sare…

HABARI ZA KIPEKEE

Afghanistan: Kambi ya Jeshi la Anga ya Bagram si kitu cha kujadiliwa

September 22, 2025 mjombazecoder

Mkuu wa Majeshi ya kundi la Taliban nchini Afghanistan amesema: "Hatukubali mashinikizo ya Rais wa Marekani kuhusu kuutwaa tena Uwanja wa Ndege wa Bagram (ambao ulikuwa umegeuzwa kuwa kituo muhimu…

Uncategorized

Wanawake wajasiriamali wa baharini Zanzibar

September 22, 2025 mjombazecoder

Najjat Omar22.09.202522 Septemba 2025 Utafiti wa Chuo Kikuu cha Sokoine (SUA) Tanzania ulibaini kuwa wanawake huchangia zaidi ya asilimia 78 ya kazi za usindikaji wa samaki, uvuvi mdogomdogo, kutembeza watalii…

Uncategorized

Teknolojia ya usalama ya kulinda mifugo dhidi ya wizi

September 22, 2025 mjombazecoder

Wakio Mbogho (HON) / MMT22.09.202522 Septemba 2025 Kufuatia eneo la Kaskazini mwa Kenya kukumbwa na matukio ya mara kwa mara ya wizi wa mifugo, wanafunzi wa eneo hilo wamebuni mfumo…

Uncategorized

22.09.2025

September 22, 2025 mjombazecoder

DIRA.BZ22.09.202522 Septemba 2025 Kikao cha viongozi wa ngazi za juu cha baraza kuu la Umoja wa Mataifa kinafunguwa milango yake leo katika makao makuu ya Umoja wa mataifa mjini New…

Uncategorized

Taarifa ya Habari Asubuhi 22.09.2025

September 22, 2025 mjombazecoder

Ufaransa na Saudi Arabia kuongoza mkutano wa kilele wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kujaribu kufufua matumaini ya suluhisho la mataifa mawili//Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa litafanya…

Uncategorized

22.09.2025 Matangazo ya Asubuhi

September 22, 2025 mjombazecoder

Katika matangazo yetu ya asubuhi hivi leo utasikia makala zetu za Makala yetu Leo, Vijana Tugutuke na Jukwaa la manufaa

Uncategorized

22.09.2025 Matangazo ya Mchana

September 22, 2025 mjombazecoder

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Baadhi ya mataifa yamepanga kuitambua Palestina kama nchi huru katika Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa utakaofanyika jijini New York / Mahakama Kuu…

Uncategorized

Uingereza, Australia na Canada zalitambua taifa la Palestina

September 21, 2025 mjombazecoder

Uingereza, Australia na Canada zimetangaza hii leo kulitambua rasmi taifa la Palestina katika mabadiliko makubwa ya miongo kadhaa ya sera za kigeni za nchi za magharibi na kuchochea hasira kutoka…

Uncategorized

Mawaziri wa Israel wataka Ukingo wa Magharibi kunyakuliwa

September 21, 2025 mjombazecoder

Mawaziri wawili wa Israel walio na siasa kali za mrengo wa kulia wametoa wito wa kunyakuliwa kwa Ukingo wa Magharibi unaokaliwa na Israel kufuatia tangazo la Uingereza, Canada na Australia…

Uncategorized

Raia wa Guinea wapiga kura ya maoni kuhusu rasimu ya katiba

September 21, 2025 mjombazecoder

Raia nchini Guinea Conakry wamepiga kura ya maoni kuhusu rasimu ya katiba ambayo inaweza kumruhusu kiongozi wa kijeshi, aliyechukua madaraka kwa nguvu miaka minne iliyopita, kuwania kiti cha urais.

Uncategorized

Netanyahu asema kuna uwezekano wa amani na Lebanon na Syria

September 21, 2025 mjombazecoder

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema vita vya Israel na kundi la wanamgambo wa Hezbollah vimetengeneza uwezekano wa kuwepo kwa amani na nchi jirani za Lebanon na Syria

Uncategorized

Wanariadha wawili wa Kenya washinda mbio za Berlin

September 21, 2025 mjombazecoder

Kenya imepata ushindi mara mbili katika mbio za 51 za Marathon mjini Berlin kwa upande wa wanaume na wanawake lakini wameshindwa kuvunja rekodi ya dunia.

Uncategorized

Chama cha upinzani Uturuki chamchagua tena Ozgur Ozel

September 21, 2025 mjombazecoder

Chama kikuu cha upinzani cha Uturuki CHP, kimemchagua tena Ozgur Ozel,kuwa kiongozi wake katika mkutano mkuu leo Jumapili huku chama hicho kikipambana na changamoto nyingi za kisheria.

Uncategorized

Uingereza,Canada na Australia zaitambua Palestina kama Taifa

September 21, 2025 mjombazecoder

Waziri mkuu wa Uingereza Keir Starmer amesema hatua yake inalenga kuleta amani mashariki ya kati na sio kuizawadia Hamas kama inavyodai Israel

HABARI ZA KIPEKEE

Amnesty International imetaka Israel iwekewe vikwazo haraka iwezekanavyo

September 21, 2025 mjombazecoder

Shirika la Amnesty International limeitaka jamii ya kimataifa kuiwekea Israel vikwazo haraka iwezekanavyo kutokana na vita na mauaji ya kimbari yanayoendelea kutekelezwa na utawala huo katika Ukanda wa Gaza.

HABARI ZA KIPEKEE

IRGC: Iran itatoa majibu madhubuti kwa chokochoko mpya za maadui

September 21, 2025 mjombazecoder

Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limewaonya maadui wa Iran hususan Israel na Marekani kwamba, watakabiliwa na majibu makali na madhubuti ya Jamhuri ya Kiislamu iwapo watafanya makosa…

HABARI ZA KIPEKEE

Yemen: Tunao uwezo na njia za kutoa vipigo vikali kwa adui Mzayuni

September 21, 2025 mjombazecoder

Waziri wa Ulinzi na Mkuu wa Majeshi ya Yemen wametahadharisha kuwa nchi hiyo ya Kiarabu ina uwezo na na njia za kutoa vipigo vikai na kuumiza sana kwa adui Mzayuni…

HABARI ZA KIPEKEE

Netanyahu aiomba US iishinikize Misri ipunguze kujiimarisha kijeshi kwenye Peninsula ya Sinai

September 21, 2025 mjombazecoder

Waziri Mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu ameiomba serikali ya Marekani iishinikize Misri ipunguze hatua za kujizatiti kijeshi katika eneo la Peninsula ya Sinai. Hayo ni kwa…

HABARI ZA KIPEKEE

Islamabad: Mkataba wa kiulinzi kati ya Pakistan na Saudia unafanana wa Muungano wa kijeshi wa NATO

September 21, 2025 mjombazecoder

Pakistan imesema, makubaliano ya hivi karibuni ya kiulinzi ambayo hayajawahi kushuhudiwa iliyosaini na Saudi Arabia yanalingana na yale yaliyopo katika Muungano wa kijeshi wa Magharibi wa nchi wanachama wa NATO.

Uncategorized

Serikali ya Marekani yasitisha sensa kuhusu njaa Marekani ikiona kuwa ni ‘hatua ya kisiasa’

September 21, 2025 mjombazecoder

Ukosefu wa usalama wa chakula hautachunguzwa tena nchini Marekani, serikali ya Marekani imetangaza siku ya Jumamosi, Septemba 20, ikiona hatua hiyo kama ya “ya kisiasa zaidi”.

Uncategorized

Uingereza na Ureno kutambua rasmi taifa la Palestina

September 21, 2025 mjombazecoder

Licha ya shinikizo kali kutoka kwa Marekani na Israel, na bila ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lenye hadhi ya juu, Uingereza na Ureno zitalitambua rasmi taifa la Palestina…

Uncategorized

Gaza: Watu wasiopungua 14 wauawa, Israel inadai kuwalenga wanachama wa Hamas

September 21, 2025 mjombazecoder

Mashambulizi ya Israel yamegharimu maisha ya watu wasiopunguwa 14 usiku wa Ijumaa kuamkia Jumamosi katika Jiji la Gaza, maafisa wa eneo hilo wameripoti. Israel imezidisha mashambulizi yake katika siku za…

Posts pagination

1 … 952 953 954 … 990

Recent Posts

  • Iran na Marekani wananufaika vipi na makubaliano yaliyoafikiwa, ugumu wa kuyadumisha ni upi?
  • Kutoka uwanja wa vita hadi meza ya mazungumzo; Je, Iran imebadilisha vipi milinganyo ya vita
  • Trump aonya atakayekiuka makubaliano usitishaji vita
  • Marya Prude Afichua Alivyopoteza Dili Nono Baada ya Kushangilia Kuvunjika kwa Ndoa ya Raburu na Ivy
  • African lawmakers back push for tougher anti-LGBT laws after Ghana conference

Recent Comments

  1. EdithUrili on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  2. Nancyurike on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  3. ChaelLah on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  4. TrickSit on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  5. Larryverse on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit

Archives

  • June 2026
  • May 2026
  • April 2026
  • March 2026
  • February 2026
  • January 2026
  • December 2025
  • November 2025
  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • June 2025
  • August 2024
  • July 2024
  • May 2023
  • June 2016

Categories

  • ASTV TANZANIA
  • CRI SWAHILI
  • DW SWAHILI
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • HABARILEO
  • IDHAA YA DUNIA
  • ITVBONGO
  • LTV ENGLISH NEWS
  • MAGAZETI
  • MWANANCHI
  • MWANASPOTI
  • RFI SWAHILI
  • TRT SWAHILI
  • TUKO SWAHILI NEWS
  • TZSPORTS
  • Uncategorized

You missed

IDHAA YA DUNIA

Iran na Marekani wananufaika vipi na makubaliano yaliyoafikiwa, ugumu wa kuyadumisha ni upi?

June 19, 2026 mjombazecoder
HABARI ZA KIPEKEE

Kutoka uwanja wa vita hadi meza ya mazungumzo; Je, Iran imebadilisha vipi milinganyo ya vita

June 19, 2026 mjombazecoder
HABARILEO

Trump aonya atakayekiuka makubaliano usitishaji vita

June 19, 2026 mjombazecoder
TUKO SWAHILI NEWS

Marya Prude Afichua Alivyopoteza Dili Nono Baada ya Kushangilia Kuvunjika kwa Ndoa ya Raburu na Ivy

June 19, 2026 mjombazecoder

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS