Sir Wicknell: Kutoka jela mpaka urafiki ‘tata’ na wanasiasa Afrika
Chanzo cha picha, Wicknell/BBC Maelezo kuhusu taarifa Author, Shingai Nyoka Nafasi, BBC News, Harare Dakika 26 zilizopita Wicknell Chivayo, si jina geni katika eneo hili la Afrika mashariki, amejizolea umaarufu…
Serikali ya Israel yagawanyika kuhusu mjibizo wa kutoa kwa nchi za Magharibi zilizoitambua nchi ya Palestina
Chaneli ya 12 ya televisheni ya utawala wa kizayuni wa Israel imeripoti kuwa, mizozo ndani ya baraza la mawaziri la utawala huo inazidi kuongezeka baada ya mawaziri muhimu kutojumuishwa katika…
Jeshi la DRC laanzisha mashambulizi ya anga dhidi ya ngome za M23 Kivu Kaskazini mashariki
Jeshi la DRC limeanzisha mashambulizi ya anga dhidi ya maeneo ya waasi katika maeneo ya Masisi na Walikale katika jimbo la Kivu Kaskazini mashariki. Hayo ni kwa mujibu wa redio…
Afrika yazindua mpango wa dola bilioni 3.2 kwa ajili ya uzalishaji wa dawa na chanjo
Kituo cha Kudhibiti Magonjwa cha Afrika (Africa CDC) kimetangaza mpango wa ufadhili wa dola bilioni 3.2 ili kuimarisha uzalishaji wa dawa na chanjo ndani ya bara la Afrika.
Rais wa Baraza la EU: Lengo hasa la Israel ni kuufanya uundwaji wa nchi ya Palestina usiwezekane
Rais wa Baraza la Ulaya Antonio Costa amesema hatua za kijeshi zinazochukuliwa na Israel huko Ghaza si suala tena la kujilinda na zinaonekana kuwa na lengo la kuufanya uundaji wa…
UN, AU na EU zaahidi kushirikiana kwa ajili ya amani na maendeleo barani Afrika
Viongozi wa Umoja wa Mataifa, Umoja wa Afrika AU na Umoja wa Ulaya EU, wametilia mkazo tena dhamira yao ya kuendeleza amani na maendeleo endelevu barani Afrika, kwa kuahidi ushirikiano…
Zaidi ya asilimia 90 Guinea wapiga kura ya ‘ndiyo’
Akizungumza na waandishi habari, Mkuu wa Tume ya Uchaguzi Djenabou Toure amesema kulingana na matokeo ya awali yaliyotangazwa Jumatatu usiku, asilimia 90.06 wamepiga kura ya ‘ndiyo’ na asilimia 9.04 wamepiga…
Viongozi wahimiza suluhisho la mataifa mawili
Akizungumza Jumatatu mwanzoni mwa mkutano wa viongozi wa ulimwengu katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa unaolenga kuzifufua juhudi za kuundwa kwa mataifa mawili ya Israel na Palestina, Rais wa…
Viongozi wahimiza suluhisho ya mataifa mawili
Akizungumza Jumatatu mwanzoni mwa mkutano wa viongozi wa ulimwengu katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa unaolenga kuzifufua juhudi za kuundwa kwa mataifa mawili ya Israel na Palestina, Rais wa…
Jumanne, 23 Septemba, 2025
Leo ni Jumanne tarehe 30 Rabiul Awwal 1447 Hijria Qamaria sawa na Mosi Mehr mwaka 1404 Hijria Shamsia, inayosadifiana na tarehe 23 Septemba 2025 Miladia.
Ulimwengu wa Spoti, Sep 22
Natumai u mzima wa afya mpenzi msikilizaji popote pale ulipo. Ufuatao ni mkusanyiko wa baadhi ya matukio muhimu ya spoti yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita katika pembe mbali mbali…
23.09.2025 Matangazo ya Jioni
Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Rais Donald Trump aukosoa Umoja wa Mataifa akiuita ni chombo kinachopiga maneno matupu / Mataifa matatu yanayoongozwa kijeshi ya Mali,Burkina Faso na Niger yamatangaza rasmi…
Taarifa ya Habari Asubuhi 23.09.2025
23.09.202523 Septemba 2025 Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa unaolenga kuzifufua juhudi za kuundwa kwa mataifa mawili kuendelea leo//Kongo imesema mkataba wa amani uliosainiwa kati yake na Rwanda…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Septemba 23, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
Ousmane Dembélé na Aitana Bonmati washinda tuzo ya Ballon d’Or
Mshambulizi wa Paris Saint-Germain, raia wa Ufaransa, Ousmane Dembele, ameshinda tuzo ya Ballon d’Or 2025 usiku wa Jumatatu, akimshinda Lamine Yamal wa Barcelona (Mchezaji Bora Chipukizi). Tuzo hii ya kibinafsi…
Brazili: Mtoto wa Jair Bolsonaro ashtakiwa kwa kuzuia kesi ya babake
Ofisi ya mwendesha mashtaka wa Brazil imetangaza siku ya Jumatatu, Septemba 22, kufunguliwa mashitaka kwa mmoja wa watoto wa kiume wa rais wa zamani Jair Bolsonaro kwa kuzuia kesi ya…
Ecuador: Makabiliano kati ya wafungwa yagharimu maisha ya watu 14
Makabiliano kati ya magenge hasimu katika gereza moja kusini-magharibi mwa Ecuador yamesababisha vifo vya watu 14, wakiwemo wafungwa 13 na mlinzi mmoja, polisi katika nchi hiyo ya Amerika Kusini inayokumbwa…
DRC: Vital Kamerhe, Spika wa Bunge la taifa, ajiuzulu
Spika wa Bunge la taifa nchini DRC, Vital Kamerhe, amejiuzulu. Alikuwa mada ya ombi ambalo lilipaswa kupigiwa kura wakati wa kikao cha mashauriano katika makao makuu ya Baraza la Wawakilishi…
Amka Na BBC
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki Source link
Bandari za miji 60 ya Italia zafungwa ili kuiunga mkono Ghaza
Sekta mbalimbali za kiuchumi na huduma katika miji 60 ya Italia, kutoka bandari hadi usafiri wa umma, zimefungwa kwa saa 24 leo Jumatatu kutokana na mgomo wa umma ulioitishwa kwa…
Nani ataiongoza Palestina? – BBC News Swahili
Maelezo kuhusu taarifa Uingereza, Canada na Australia, ambao wote ni washirika wenye nguvu na wa muda mrefu wa Israeli, sasa wamechukua hatua ya kulitambua taifa la Palestina. Zaidi ya nchi…
Ufaransa yatambua rasmi taifa la Palestina
Ufaransa imetambua rasmi taifa la Palestina siku ya Jumatatu, Septemba 22, 2025. Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron ametoa tangazo hili wakati wa hotuba kutoka kwenye jukwaa la Mkutano Mkuu la…
Makamu wa Rais wa Sudan Kusini apandishwa kizimbani, ashtakiwa kwa makosa kadhaa ukiwemo uhaini
Mahakama ya Sudan Kusini leo Jumatatu imeanza kusikiliza kesi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Riek Machar, ambaye amefutwa kazi na hasimu wake wa miongo kadhaa, Rais Salva Kiir, huku…
Dira Ya Dunia
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki Source link
Uchunguzi: Mtandao wa habari ghushi unaofadhiliwa na Urusi unaolenga kuvuruga uchaguzi Ulaya
Maelezo ya picha, Mratibu wa mtandao Alina Juk (kushoto), aliyenaswa na kamera yetu ya siri, akisikiliza maagizo kuhusu kampeni ya kutoa taarifa potofu. Maelezo kuhusu taarifa Author, Oana Marocico, Seamus…
Mkutano wa UNGA waanza rasmi New-York
Mataifa mengi ya Magharibi yamechukua hatua ya kulitambua rasmi taifa la Palestina licha ya upinzani mkali kutoka kwa Israel.
Fahamu nchi 5 zinazopendekezwa kuiwakilisha Afrika katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa
Chanzo cha picha, Getty Images Maelezo ya picha, Licha ya idadi ya nchi za Afrika kuwa zaidi ya robo ya mataifa ya Umoja wa Mataifa, bara hilo halijawakilishwa katika P5.…
Iran na Russia kusaini mikataba ya kujenga mitambo mipya ya nyuklia
Mkuu wa Shirika la Nishati ya Nyuklia la Iran, Mohammad Eslami, ametangaza kuwa Iran na Russia zitasaini mikataba ya ujenzi wa mitambo mipya ya nyuklia nchini Iran wakati wa ziara…
Umoja wa Mataifa kujadili kuwa nchi huru
Israel na Marekani hazitoshiriki kwenye mkutanohuo unaofanyika New York. Uingereza, Canada na Australia zimekuwa nchi za kwanza kuitambua Palestina kama taifa. Nchi nyingine kadhaa zikiwemo Ufaransa, Ubelgiji na New Zealand…
Umoja wa Ulaya warefusha muda wa vikwazo kwa Sudan
Vikwazo vilivyorefushwa ni pamoja na kutaifishwa mali za wanaohusika na mgogoro wa Sudan na kunyimwa ruhusa ya kuzitembelea nchi za Umoja wa Ulaya. Wanaohusika na vikwazo hivyo ni watu kumi…
EU na Indonesia kutia saini makubaliano ya kibiashara
Makubaliano hayo, yatakayotiwa saini katika kisiwa cha mapumziko cha Bali, yataiunganisha Indonesia yenye rasilimali na jumuiya ya Ulaya yenye wanachama 27 katika uhusiano wa karibu wa kiuchumi. Hayo yanakuwa ni…
ACT Wazalendo yazindua ilani yake ya Uchaguzi Mkuu
Chama hicho ambacho kimesimamisha wagombea wake wa ubunge kuanzia visiwani Zanzibar mpaka bara, kimeainisha vipaumbele saba vinavyomulika maeneo ya ukuzaji uchumi, maendeleo ya raia mmoja mmoja hadi katika maeneo ya…
Urusi yakanusha ndege zake kuingia katika anga ya NATO
Ijumaa, Estonia ambayo ni mwanachama wa Jumuiya ya NATO ilisema ndege tatu za kijeshi za Urusi ziliingia kwenye anga yake na kudumu kwa dakika 12 kabla ya kutolewa nje zikisindikizwa…
Kimbunga Ragasa chaitikisa Ufilipino
Zaidi ya watu 1,000 wamehamishwa kutoka kwenye nyumba zao katika Kisiwa cha Panuitan kwenyemkoa wa Kaskazini wa Cagayan, kulingana na Wizara ya mambo ya ndani na serikali za mitaa. Mamlaka…
Lissu asomewa shitaka la uhaini kwa mara ya kwanza Mahakam Kuu
Chanzo cha picha, Mwananchi 22 Septemba 2025, 15:47 EAT Imeboreshwa Saa 2 zilizopita Leo, Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Dar es Salaam imesoma shitaka linalomkabili Mwenyekiti wa chama kikuu cha…
Netanyahu awashutumu viongozi wa Magharibi kwa kuitambua Palestina
Chanzo cha picha, AFP Kesi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Sudan Kusini Dk. Riek Machar na viongozi saba waandamizi wa upinzani wa SPLM-IO imefunguliwa Jumatatu mjini Juba chini…
Papa anaweza kuwa na jukumu muhimu la kutatua migogoro
Baada ya mkutano wake wa faragha na Papa Leo, Steinmeier amesema kuna viongozi kadhaa wa dunia walio muhimu sana na walio na ushawishi kwa pande tofauti hasimu. Amesisitiza kuwa dunia…
Balozi wa Palestina Uingereza: Nchi ya Palestina ipo, imekuwepo siku zote na itaendelea kuwepo daima
Balozi wa Palestina nchini Uingereza Husam Zomlot amesema, nchi ya Palestina ipo, imekuwepo siku zote na itaendelea kuwepo daima. BONYEZA HAPA KUSOMA HABARI KAMILI
Lisu awataja Marta Karua, jaji mstaafu wa Kenya Mutunga kuwa mashahidi katika kesi yake ya uhaini.
Msikilizaji mahakama kuu kwenye jiji la Dar es Salaam nchini Tanzania, hatimaye imepanga tarehe rasmi ya kuanza kusikiliza kesi ya mashtaka ya uhaini inayomkabili mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani…
#HABARI: Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu imesogezwa mbele had…
#HABARI: Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu imesogezwa mbele hadi Oktoba 6, 2025 baada ya usikilizwaji wa awali na upande wa utetezi…
Mkataba wa ulinzi wa Pakistan na Saudi unamanisha nini?
Pakistan iliyo na silaha za nyuklia na taifa linaloongoza kwa uzalishaji wa mafuta Saudi Arabia, zimeingia kwenye mkataba wa ulinzi, ambao kila nchi itakuwa na wajibu wa kumtetea mwenzake pale…
Balozi wa Palestina Uingereza: Nchi ya Palestina ipo, imekuwepo siku zote na itaendelea kuwepo daima
Balozi wa Palestina nchini Uingereza Husam Zomlot amesema, nchi ya Palestina ipo, imekuwepo siku zote na itaendelea kuwepo daima.
Makamu wa Rais wa Sudan Kusini apandishwa kizimbani, ashtakiwa kwa makosa kadhaa ukiwemo uhaini
Mahakama ya Sudan Kusini leo Jumatatu imeanza kusikiliza kesi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Riek Machar, ambaye amefutwa kazi na hasimu wake wa miongo kadhaa, Rais Salva Kiir, huku…
Bandari za miji 60 ya Italia zafungwa ili kuiunga mkono Ghaza
Sekta mbalimbali za kiuchumi na huduma katika miji 60 ya Italia, kutoka bandari hadi usafiri wa umma, zimefungwa kwa saa 24 leo Jumatatu kutokana na mgomo wa umma ulioitishwa kwa…
Raia wakatwa vichwa Katika shambulizi jipya kwenye mji wa bandari wa Msumbiji
Waasi wanaohusishwa na kundi la Islamic State wameshambulia mji muhimu wa bandari nchini Msumbiji karibu na kituo kikuu cha kimataifa cha gesi mapema leo Jumatatu, na kuwakata vichwa raia kadhaa,…
Ulimwengu wa Spoti, Sep 22
Natumai u mzima wa afya mpenzi msikilizaji popote pale ulipo. Ufuatao ni mkusanyiko wa baadhi ya matukio muhimu ya spoti yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita katika pembe mbali mbali…
Riek Machar afikishwa mahakamani kwa tuhuma za uhaini
Kesi ya jinai inayomkabili makamu wa rais aliyesimamishwa kazi nchini Sudan Kusini ilianza Jumatatu katika mji mkuu, Juba. Riek Machar amefikishwa mahakamani pamoja na washtakiwa wenzake.
Mahakama Kuu Tanzania yatupilia mbali mapingamizi ya Lissu
Mahakama Kuu nchini Tanzania imetupilia mbali mapingamizi yaliyotolewa na Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu kuhusu makosa aliyoyabaini katika hati ya mashitaka na hitilafu katika viambatanisho vya hati ya mashitaka.
Mapigano makali yazuka upya magharibi mwa mji mkuu wa Libya
Mapigano makali yamezuka upya katika eneo la Janzour, yapata kilomita 12 magharibi mwa mji mkuu wa Libya, Tripoli, kati ya makundi hasimu yenye silaha ambayo yako chini ya Serikali ya…
M23 wauteka mji wa Nzibira baada ya mapigano makali dhidi ya FARDC
Mji wa kimkakati wa Nzibira, ulioko katika eneo la Walungu, Kivu Kusini, umeanguka chini ya udhibiti wa waasi wa M23 siku ya Jumapili, Septemba 21, kufuatia makabiliano makali na wanajeshi…