Skip to content
  • Fri. Jun 19th, 2026

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE

Latest Post

US-Iran peace talks postponed, clouding prospects for lasting truce Barker: Simba must keep fighting Dar-Seoul trade gap narrows as exports surge TRA Iringa kutoa elimu, shukrani kwa Jamii Why communities are part and parcel of Vision 2050
LTV ENGLISH NEWS

US-Iran peace talks postponed, clouding prospects for lasting truce

June 19, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Barker: Simba must keep fighting

June 19, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Dar-Seoul trade gap narrows as exports surge

June 19, 2026 mjombazecoder
HABARILEO

TRA Iringa kutoa elimu, shukrani kwa Jamii

June 19, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Why communities are part and parcel of Vision 2050

June 19, 2026 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
US-Iran peace talks postponed, clouding prospects for lasting truce
LTV ENGLISH NEWS
US-Iran peace talks postponed, clouding prospects for lasting truce
Barker: Simba must keep fighting
LTV ENGLISH NEWS
Barker: Simba must keep fighting
Dar-Seoul trade gap narrows as exports surge
LTV ENGLISH NEWS
Dar-Seoul trade gap narrows as exports surge
TRA Iringa kutoa elimu, shukrani kwa Jamii
HABARILEO
TRA Iringa kutoa elimu, shukrani kwa Jamii
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
LTV ENGLISH NEWS
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
HABARILEO
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Trump anakabiliwa na chaguzi ‘mbaya’ au ‘mbaya zaidi’ kuhusu Iran: Jenerali wa IRGC
HABARI ZA KIPEKEE
Trump anakabiliwa na chaguzi ‘mbaya’ au ‘mbaya zaidi’ kuhusu Iran: Jenerali wa IRGC
US-Iran peace talks postponed, clouding prospects for lasting truce
LTV ENGLISH NEWS
US-Iran peace talks postponed, clouding prospects for lasting truce
Barker: Simba must keep fighting
LTV ENGLISH NEWS
Barker: Simba must keep fighting
Dar-Seoul trade gap narrows as exports surge
LTV ENGLISH NEWS
Dar-Seoul trade gap narrows as exports surge
TRA Iringa kutoa elimu, shukrani kwa Jamii
HABARILEO
TRA Iringa kutoa elimu, shukrani kwa Jamii
HABARI ZA KIPEKEE

Ongezeko la ghasia mashariki mwa DRC laongeza mahitaji ya vifaa vya dharura

September 21, 2025 mjombazecoder

Ghasia na machafuko yanaendelea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, suala ambalo limezidisha maafa na matatizo kwa raia wa kawaida hasa wanawake na watoto wadogo.

HABARI ZA KIPEKEE

Polisi Afrika Kusini yahimiza kupambana vilivyo na magenge ya Cape Magharibi

September 21, 2025 mjombazecoder

Kaimu Waziri wa Polisi wa Afrika Kusini, Firoz Cachalia ametoa mwito kwa wananchi kulisaidia kikamilifu jeshi hilo katika kuweka ulinzi mkali wa kipolisi na uwekezaji wa kijamii ili kuzuia kuongezeka…

HABARI ZA KIPEKEE

Ufaransa na nchi nyingine 9 kuitambua rasmi Palestina

September 20, 2025 mjombazecoder

Katika hatua ya kihistoria, Ufaransa na nchi nyingine tisa zimetangaza kuwa zitalitambua rasmi taifa huru la Palestina.

HABARI ZA KIPEKEE

Ansarullah: Silaha mpya zimeingia kwenye uwanja wa vita; Jahannam inamsubiri Waziri wa Vita wa Israel

September 20, 2025 mjombazecoder

Mjumbe wa ofisi ya kisiasa ya harakati ya Ansarullah ya Yemen huku akipuuzilia mbali vitisho vya waziri wa vita wa utawala wa Kizayuni ametangaza kuingia kwa silaha mpya katika medani…

HABARI ZA KIPEKEE

Waasi washambulia mji wa mpakani wa Nigeria, wanajeshi watimua mbio na kuingia Cameroon

September 20, 2025 mjombazecoder

Waasi wameshambulia mji mmoja wa mpakani katika jimbo la Borno, kaskazini mwa Nigeria na kuchukua silaha katika kambi ya kijeshi katika eneo hilo huku wanajeshi wakikimbilia usalama wao katika nchi…

HABARI ZA KIPEKEE

Moscow: Kurejeshwa vikwazo dhidi ya Iran sio halali kisheria

September 20, 2025 mjombazecoder

Mwakilishi wa Russia katika Umoja wa Mataifa alisema Ijumaa jioni kwamba, kurejeshwa kwa vikwazo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hakuna uhalali wowote wa kisheria na kwamba waliotia saini…

HABARI ZA KIPEKEE

Amnesty International: Kura ya turufu ya Marekani ni taa ya kijani kwa mauaji ya kimbari huko Gaza

September 20, 2025 mjombazecoder

Shirika la Msamaha Duniani, Amnesty International, limekosoa vikali kura ya turufu ya Marekani dhidi ya azimio la kusitisha mapigano katika Ukanda wa Gaza, likitaja hatua hiyo kama uungaji mkono wa…

HABARI ZA KIPEKEE

Guterres: Ulimwengu haupaswi kutishwa na vitisho vya Israel kuhusu Palestina

September 20, 2025 mjombazecoder

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameonya kwamba vitisho vya Israel havipaswi kuzuia kutambuliwa rasmni kwa taifa la Palestina.

HABARI ZA KIPEKEE

Je, upo uwezekano wa kutokea vita kati ya Uturuki na utawala wa Kizayuni?

September 20, 2025 mjombazecoder

Mashambulizi ya utawala wa Israel dhidi ya Qatar yamezidisha mivutano kati ya Uturuki na Israel na kuibua uwezekano wa kutokea makabiliano ya moja kwa moja kati ya Ankara na Tel…

HABARI ZA KIPEKEE

Iran yalaani jaribio la kichochezi la E3 la kurejesha vikwazo vya Umoja wa Mataifa

September 20, 2025 mjombazecoder

Iran imelaani vikali jaribio la mataifa matatu ya Ulaya—Uingereza, Ufaransa na Ujerumani—la kurejesha vikwazo vya Umoja wa Mataifa dhidi yake kupitia kile kinachoitwa utaratibu wa “snapback,” na kuitaja hatua hiyo…

HABARI ZA KIPEKEE

Mzozo wa kidiplomasia waendelea kutokota baina ya Mali na Ufaransa

September 20, 2025 mjombazecoder

Ufaransa imeamuru wanadiplomasia wawili wa Mali kuondoka nchini humo, kufuatia kukamatwa kwa mwanadiplomasia wake nchini Mali mwezi Agosti.

HABARI ZA KIPEKEE

UN: Zaidi ya watu 110 wafariki au kupotea katika ajali za wakimbizi pwani ya Libya

September 20, 2025 mjombazecoder

Ajali mbili za baharini karibu na pwani ya Libya zimeacha zaidi ya wakimbizi 110 wa Kisudan wakiwa wamefariki au hawajulikani walipo, kwa mujibu wa mashirika ya Umoja wa Mataifa.

HABARI ZA KIPEKEE

Watu 8 wauawa katika mapigano baina ya wafuasi wa kundi la Wazalendo mashariki mwa DRC

September 20, 2025 mjombazecoder

Makundi mawili ya wanamgambo wa Wazalendo, yanayoongozwa na majenerali wanaojiita Malaika na Nyakiliba, yamekuwa yakipambana tangu Septemba 17 katika eneo la Mwenga, mkoani Kivu Kusini, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia…

HABARI ZA KIPEKEE

Brazil yaungana rasmi na Afrika Kusini katika kesi ya mauaji ya halaiki dhidi ya Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ)

September 20, 2025 mjombazecoder

Brazil imewasilisha rasmi ombi la kujiunga katika kesi iliyowasilishwa na Afrika Kusini dhidi ya utawala wa Israel kuhusu vita vinavyoendelea tangu Oktoba 2023 ambavyo vinatambuliwa na wengi kuwa ni vya…

HABARI ZA KIPEKEE

Iran: Baraza la Usalama la UN limeihasiri diplomasia kwa kupinga vikwazo visiondolewe moja kwa moja

September 20, 2025 mjombazecoder

Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema, uamuzi wa Baraza la Usalama la umoja huo wa kutoondoa moja kwa moja vikwazo…

HABARI ZA KIPEKEE

Araqchi alitaka Baraza la Usalama la UN kuchagua diplomasia badala ya makabiliano

September 20, 2025 mjombazecoder

Abbas Araqchi Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuingilia kati na kuchagua njia ya diplomasia badala ya makabiliano.

HABARI ZA KIPEKEE

Algeria: Kuna hatari UNSC likashindwa kwa mara ya tatu kuzuia mauaji ya kimbari kufuatia kura ya veto ya US

September 20, 2025 mjombazecoder

Algeria imelitahadharisha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwamba linakabiliwa na hatari ya kukariri kushindwa kwake mtawalia katika miaka ya nyuma kuzuia mauaji ya kimbari baada ya Marekani kwa…

HABARI ZA KIPEKEE

Taasisi ya misaada Sudan: Shambulio la RSF limeua watu 75 Darfur

September 20, 2025 mjombazecoder

Vikosi vya Usaidizi wa Haraka RSF vimewaua watu 75 katika shambulio la ndege zisizo na rubani lililolenga msikiti mmoja katika kambi ya watu waliolazimika kuyahama makazi yao kwenye jimbo la…

HABARI ZA KIPEKEE

Gbagbo aapa kutomuunga mkono mgombea yeyote katika kinyang’anyiro cha urais wa Ivory Coast

September 20, 2025 mjombazecoder

Laurent Gbagbo Rais wa zamani wa Ivory Coast amesema hatomuunga mkono mgombea yeyote katika uchaguzi ujao wa rais.

HABARI ZA KIPEKEE

Sababu za kuongezeka maradufu mauzo ya Iran barani Afrika

September 20, 2025 mjombazecoder

Mauzo ya Iran barani Afrika yameongezeka maradufu.

HABARI ZA KIPEKEE

Jumamosi, 20 Septemba, 2025

September 20, 2025 mjombazecoder

Leo ni Jumamosi 27 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1447 Hijria sawa na 20 Septemba 2025 Miladia.

HABARI ZA KIPEKEE

Kuanzia kupambana na ubaguzi wa rangi hadi kushirikiana na wavamizi; Nigeria inaelekea wapi?

September 19, 2025 mjombazecoder

Nigeria imesimama na mataifa yanayodhulumiwa katika miongo kadhaa iliyopita, hasa katika mapambano dhidi ya utawala wa kibaguzi nchini Afrika Kusini, na imetetea misingi ya haki na kupinga ukoloni.

HABARI ZA KIPEKEE

Haj Ali Akbari: Hatutahadaika na mchezo wa Snapback

September 19, 2025 mjombazecoder

Khatibu wa muda wa Swala ya Ijumaa mjini Tehran amesema kuhusiana na kuhuishwa utaratibu wa "Snapback" kwamba: Inapasa kuzingatiwa kuwa baada ya kuvuka vikwazo vinavyolemaza; masuala haya kwa kiasi kikubwa…

HABARI ZA KIPEKEE

Baada ya kuangamizwa askari 6 wa kizayuni, HAMAS yaionya Israel: Ghaza itageuka ‘kaburi’ la askari wenu

September 19, 2025 mjombazecoder

Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imeuonya utawala wa kizayuni wa Israel kwamba hatua yake ya kuzidi kujiingiza ndani ya Mji wa Ghaza kutaugeuza mji huo kuwa "kaburi,"…

HABARI ZA KIPEKEE

Duru za Uturuki: Erdogan amefanya mazungumzo ya siri Istanbul na mwana wa kiume wa Trump

September 19, 2025 mjombazecoder

Mwana mkubwa wa kiume wa Rais Donald Trump wa Marekani na ujumbe alioandamana nao wiki iliyopita walikutana na Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan mjini Istanbul wiki katika ziara ambayo…

HABARI ZA KIPEKEE

Taliban yamjibu Trump: Tunaweza kuzungumza, lakini Marekani haitaruhusiwa kuwepo tena kijeshi Afghanistan

September 19, 2025 mjombazecoder

Serikali ya Afghanistan inayoongozwa na Taliban imetupilia mbali wito wa Rais wa Marekani Donald Trump wa kutaka jeshi la nchi hiyo lirejee Afghanista na kupatiwa tena kambi ya jeshi la…

HABARI ZA KIPEKEE

UNIFIL yaitaka Israel ikomeshe mashambulizi, iondoke kikamilifu katika ardhi ya Lebanon

September 19, 2025 mjombazecoder

Vikosi vya kulinda amani vya Umoja wa Mataifa kusini mwa Lebanon, UNIFIL imesema, shambulio la anga lililofanywa na jeshi la Israel jana usiku kusini mwa Lebanon ni ukiukaji wa wazi…

HABARI ZA KIPEKEE

Kampeni za Kura ya Maoni ya Katiba nchini Guinea Conakry zakamilika bila ya kuwepo upinzani

September 19, 2025 mjombazecoder

Mji mkuu wa Guinea, ulikuwa na shughuli nyingi jana Alkhamisi, ambayo ilikuwa siku ya kufunga kampeni kabla ya kufanyika kura ya maoni ambayo itaweza kumruhusu kiongozi wa mapinduzi ya kijeshi…

HABARI ZA KIPEKEE

Kiongozi wa Ansarullah akosoa misimamo dhaifu ya nchi za Kiislamu na Kiarabu kuhusu jinai za Israel

September 19, 2025 mjombazecoder

Akikosoa misimamo dhaifu ya nchi za Kiarabu na Kiislamu katika kikao cha hivi karibuni cha Doha dhidi ya hujuma ya hivi karibuni ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Qatar, kiongozi…

HABARI ZA KIPEKEE

Uchaguzi Malawi: Wagombea wawili wakuu wa urais kila mmoja ajitangazia ushindi

September 19, 2025 mjombazecoder

Vyama vya wagombea wawili wakuu katika uchaguzi wa rais nchini Malawi vimejitangazia ushindi na kuzua wasiwasi wa kuibuuka mzozo.

HABARI ZA KIPEKEE

WHO: Zaidi ya watu 30 wamekufa kwa Ebola Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

September 19, 2025 mjombazecoder

Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, maambukizi 48 ya ugonjwa wa Ebola yamethibitishwa katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo na watu 31 wamefariki dunia.

HABARI ZA KIPEKEE

UNICEF yaonya tena kuhusu utapiamlo miongoni mwa watoto wa Gaza

September 19, 2025 mjombazecoder

Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limetangaza kuwa zaidi ya watoto 26,000 katika Ukanda wa Gaza wanahitaji matibabu ya haraka kutokana na utapiamlo mkali.

HABARI ZA KIPEKEE

Riek Machar aiweka njia panda Sudan Kusini

September 19, 2025 mjombazecoder

Upinzani nchini Sudan Kusini umetoa wito wa "mabadiliko ya utawala" dhidi ya serikali ya Rais Salva Kiir baada ya miezi kadhaa ya kuvunjika kwa makubaliano ya kugawana madaraka mwaka 2018…

HABARI ZA KIPEKEE

Baghaei: Wafuasi wa utawala katili wa Israel lazima waache kushiriki mauaji ya kimbari

September 19, 2025 mjombazecoder

Ismail Baghaei, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumzia ripoti ya hivi karibuni ya Umoja wa Mataifa na kusema kuwa, ripoti ya Tume…

HABARI ZA KIPEKEE

Marekani yatumia kura ya veto kupinga azimio la kusitisha vita Gaza

September 19, 2025 mjombazecoder

Marekani imetumia kura turufu kuzuia kupasishwa azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linalotaka usitishwaji vita Gaza, kuwezesha ufikaji wa misaada ya kibinadamu na kuachiliwa kwa mateka.

HABARI ZA KIPEKEE

Saudia yaitaarifu rasmi Iran makubaliano yake ya kijeshi na Pakistan

September 19, 2025 mjombazecoder

Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia amefanya mazungumzo ya simu na Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran n kumtaarifu rasmi kuhusu makubaliano ya hivi karibuni ya ulinzi…

HABARI ZA KIPEKEE

Hamas yawataka walimwengu kushiriki siku za hasira za kimataifa dhidi ya Wazayuni

September 19, 2025 mjombazecoder

Katika jitihada zake mpya za kuungwa mkono kimataifa wananchi wa Ghaza na wananchi wa Palestina kiujumla, harakati ya Hamas imetoa mwito kwa watu wote walio huru duniani kuzitangaza siku Ijumaa,…

HABARI ZA KIPEKEE

DRC: Hukumu ya kesi ya Rais wa zamani Joseph Kabila kutolewa leo Ijumaa

September 19, 2025 mjombazecoder

Katika hali ya kushangaza, Mahakama Kuu ya Kijeshi mjini Kinshasa imepanga Ijumaa ya leo kuwa siku ya kutoa uamuzi wake wa kesi ya kihistoria ya uhalifu wa kivita inayomkabili Rais…

HABARI ZA KIPEKEE

Shambulio la Israel Doha laleta wasiwasi wa kugawika Misri vipande vipande

September 19, 2025 mjombazecoder

Baada ya utawala wa Kizayuni wa Israel kufanya shambulio la kigaidi huko Doha, mji mkuu wa Qatar, Waziri Mkuu wa Misri amesema kwamba nchi yake nayo inalengwa katika njama za…

HABARI ZA KIPEKEE

Jinai kwa kinga; je, utawala wa Kizayuni unakanyaga vipi sheria za vita

September 19, 2025 mjombazecoder

Katika taarifa, Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani vikali shambulio la jeshi la utawala ghasibu wa Israel dhidi ya raia karibu na hospitali ya Shafa, magharibi mwa…

HABARI ZA KIPEKEE

Ijumaa, 19 Septemba, 2025

September 19, 2025 mjombazecoder

Leo ni Ijumaa tarehe 26 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1447 Hijria sawa na Septemba 19, 2025 Miladia.

HABARI ZA KIPEKEE

Ushirikiano wa Iran na Saudi Arabia kwenye njia ya kusaidiana na utaratibu mpya wa kikanda

September 18, 2025 mjombazecoder

Ali Larijani, Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Mohammed bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia wamekutana mjini…

HABARI ZA KIPEKEE

Pezeshkian: Ushirikiano wa “mafanikio” wa Iran na Russia unaashiria mwisho wa zama za uchukuaji hatua za upande mmoja

September 18, 2025 mjombazecoder

Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kigezo "kilichofanikiwa" cha ushirikiano kati ya nchi huru, zikiwemo na Iran na Russia, utathibitisha kwamba zama za uchukuaji hatua za…

HABARI ZA KIPEKEE

Askari wanne wa utawala wa kizayuni waangamizwa, wanane wajeruhiwa kusini mwa Ghaza

September 18, 2025 mjombazecoder

Vyanzo vya habari vimeripoti kuwa wanajeshi wanne wa utawala wa kizayuni wa Israel wameangamizwa na wengine wanane wamejeruhiwa katika mripuko wa bomu lililotegwa ardhini kusini mwa Ukanda wa Ghaza.

HABARI ZA KIPEKEE

Mayahudi wa Othodoksi waanza kuandamana New York dhidi ya Netanyahu kabla hajaelekea UN

September 18, 2025 mjombazecoder

Mamia ya Wayahudi wa madhehebu ya Othodoksi wamefanya maandamano katika jiji la New York kupinga ushiriki wa waziri mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu katika mikutano ya…

HABARI ZA KIPEKEE

Balozi wa Marekani Israel: Israel ndiye mshirika wetu pekee wa kweli katika eneo la Mashariki ya Kati

September 18, 2025 mjombazecoder

Balozi wa Marekani katika utawala wa kizayuni wa Israel, Mike Huckabee amesema, 'pamoja na Washington kuwa na washirika na marafiki kadhaa katika eneo la Mashariki ya Kati, "Israel ndiye mshirika…

HABARI ZA KIPEKEE

Uingereza inamngojea Trump amalize ziara yake ndipo itangaze kulitambua Dola la Palestina

September 18, 2025 mjombazecoder

Uingereza itaitambua rasmi Palestina kama Dola mwishoni mwa wiki hii baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kuhitimisha ziara yake ya kiserikali nchini humo. Hayo yamefichuliwa na gazeti la The…

HABARI ZA KIPEKEE

Financial Times: EU inapanga kuzitumia yuro bilioni 170 fedha za Russia inazozishikilia

September 18, 2025 mjombazecoder

Gazeti la Financial Times limeripoti kuwa Umoja wa Ulaya (EU) umeamua kutekeleza mpango wa kuzitumia yuro bilioni 170 milki za Russia inazozishikilia kurudisha "mikopo ya fidia" kwa Ukraine.

HABARI ZA KIPEKEE

Araqchi: Nchi za Ulaya zinapasa kuonyesha nia ya dhati na ya kweli katika diplomasia

September 18, 2025 mjombazecoder

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araqchi jana amezungumza kwa simu na Mawaziri wenzake wa Mambo ya Nje wa Ufaransa, Ujerumani na Uingereza na pia na mwanadiplomasia wa…

HABARI ZA KIPEKEE

Eslami: Vitisho vya maadui vinaendelea; hali ya kuaminiana na IAEA inapasa kujengwa upya

September 18, 2025 mjombazecoder

Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran amesema vitisho kutoka kwa maadui wa Jamhuri ya Kiislamu vinaendelea tangu kujiri mashambulizi ya Israel na Marekani dhidi ya vituo vya…

Posts pagination

1 … 953 954 955 … 990

Recent Posts

  • US-Iran peace talks postponed, clouding prospects for lasting truce
  • Barker: Simba must keep fighting
  • Dar-Seoul trade gap narrows as exports surge
  • TRA Iringa kutoa elimu, shukrani kwa Jamii
  • Why communities are part and parcel of Vision 2050

Recent Comments

  1. EdithUrili on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  2. Nancyurike on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  3. ChaelLah on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  4. TrickSit on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  5. Larryverse on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit

Archives

  • June 2026
  • May 2026
  • April 2026
  • March 2026
  • February 2026
  • January 2026
  • December 2025
  • November 2025
  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • June 2025
  • August 2024
  • July 2024
  • May 2023
  • June 2016

Categories

  • ASTV TANZANIA
  • CRI SWAHILI
  • DW SWAHILI
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • HABARILEO
  • IDHAA YA DUNIA
  • ITVBONGO
  • LTV ENGLISH NEWS
  • MAGAZETI
  • MWANANCHI
  • MWANASPOTI
  • RFI SWAHILI
  • TRT SWAHILI
  • TUKO SWAHILI NEWS
  • TZSPORTS
  • Uncategorized

You missed

LTV ENGLISH NEWS

US-Iran peace talks postponed, clouding prospects for lasting truce

June 19, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Barker: Simba must keep fighting

June 19, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Dar-Seoul trade gap narrows as exports surge

June 19, 2026 mjombazecoder
HABARILEO

TRA Iringa kutoa elimu, shukrani kwa Jamii

June 19, 2026 mjombazecoder

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS