Skip to content
  • Fri. Jun 19th, 2026

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE

Latest Post

Why communities are part and parcel of Vision 2050 Community seed banks are transforming food systems, farmer resilience in Northern Tanzania If Cape Verde can stun Spain, why not Taifa Stars at AFCON 2027? Msuva opens up on Samatta inspiration, life abroad Why businesses must prepare now for AFCON 2027
LTV ENGLISH NEWS

Why communities are part and parcel of Vision 2050

June 19, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Community seed banks are transforming food systems, farmer resilience in Northern Tanzania

June 19, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

If Cape Verde can stun Spain, why not Taifa Stars at AFCON 2027?

June 19, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Msuva opens up on Samatta inspiration, life abroad

June 19, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Why businesses must prepare now for AFCON 2027

June 19, 2026 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
Why communities are part and parcel of Vision 2050
LTV ENGLISH NEWS
Why communities are part and parcel of Vision 2050
Community seed banks are transforming food systems, farmer resilience in Northern Tanzania
LTV ENGLISH NEWS
Community seed banks are transforming food systems, farmer resilience in Northern Tanzania
If Cape Verde can stun Spain, why not Taifa Stars at AFCON 2027?
LTV ENGLISH NEWS
If Cape Verde can stun Spain, why not Taifa Stars at AFCON 2027?
Msuva opens up on Samatta inspiration, life abroad
LTV ENGLISH NEWS
Msuva opens up on Samatta inspiration, life abroad
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
LTV ENGLISH NEWS
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
HABARILEO
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Trump anakabiliwa na chaguzi ‘mbaya’ au ‘mbaya zaidi’ kuhusu Iran: Jenerali wa IRGC
HABARI ZA KIPEKEE
Trump anakabiliwa na chaguzi ‘mbaya’ au ‘mbaya zaidi’ kuhusu Iran: Jenerali wa IRGC
Why communities are part and parcel of Vision 2050
LTV ENGLISH NEWS
Why communities are part and parcel of Vision 2050
Community seed banks are transforming food systems, farmer resilience in Northern Tanzania
LTV ENGLISH NEWS
Community seed banks are transforming food systems, farmer resilience in Northern Tanzania
If Cape Verde can stun Spain, why not Taifa Stars at AFCON 2027?
LTV ENGLISH NEWS
If Cape Verde can stun Spain, why not Taifa Stars at AFCON 2027?
Msuva opens up on Samatta inspiration, life abroad
LTV ENGLISH NEWS
Msuva opens up on Samatta inspiration, life abroad
Uncategorized

Kwa mara ya kwanza Netanyahu akiri kwamba Israel imenasa kwenye kinamasi cha 'kutengwa' kimataifa

September 16, 2025 mjombazecoder

Waziri Mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu amekiri kwa mara ya kwanza hadharani kwamba utawala huo ghasibu unatumbukia kwenye lindi la “kutengwa,” wakati mashinikizo ya kimataifa yakiwa…

Uncategorized

Uhispania itasusia Eurovision ikiwa Israel itashiriki, RTVE yatangaza

September 16, 2025 mjombazecoder

Uhispania haitashiriki katika mashindano ya Eurovision “ikiwa Israel itaendelea kushiriki katika tamasha la muziki huku mauaji ya watu wengi huko Gaza yakiendelea,” shirika la utangazaji la RTVE limetangaza leo Jumanne,…

Uncategorized

Iran yatwaa taji la ubingwa wa dunia wa Miereka 2025, yaziacha nyuma Russia na Marekani

September 16, 2025 mjombazecoder

Timu ya taifa ya mchezo wa miereka aina ya Freestyle ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Mashindano ya Dunia ya Miereka ya mwaka 2025 yanayofanyika mjini…

Uncategorized

Israel yaanzisha operesheni ya ardhini Gaza City

September 16, 2025 mjombazecoder

Jeshi la Israel limeishambulia Gaza City kutoka ardhini usiku wa kuamkia leo huku vikosi vyake vikitanua operesheni hizo katika ngome ya wanamgambo wa Hamas katikati ya mji huo. Jeshi hilo…

Uncategorized

Wataalam wa UN: Israel inafanya mauaji ya kimbari Gaza

September 16, 2025 mjombazecoder

Ripoti hiyo, iliyotolewa Septemba 16, 2025, imesema Israel imefanya vitendo vinne kati ya vitano vinavyotambuliwa kimataifa kama mauaji ya kimbari, katika mzozo wake na Hamas ikiwemo: Kuua raia kwa makusudi,…

Uncategorized

Zelensky asema Urusi imerusha droni 3,500 mwezi Septemba

September 16, 2025 mjombazecoder

Rais Volodymyr Zelensky ameandika hayo kwenye ukurasa wake wa X na kuongeza kuwa kumekuwa pia na visa vya uchokozi wa Urusi dhidi ya washirika wa Ukraine. Zelensky ameendelea kuwatolea wito…

Uncategorized

Lissu agoma, ataka wanaCHADEMA waruhusiwe kuingia mahakamani

September 16, 2025 mjombazecoder

Vuta nikuvute imeshuhudiwa kwenye Mahakama Kuu Masijala Ndogo ya Dar es Salaam nchini Tanzania baada ya Lissu kuiomba mahakama iahirishe kesi hiyo hadi pale wafuasi wake watakaporuhusiwa. Leo Jumanne Lissu…

Uncategorized

Ghaza yaandamwa na mashambulio ya kiwendawazimu ya Wazayuni, wanakaribia kuikalia kikamilifu

September 16, 2025 mjombazecoder

Jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel limeanzisha mashambulizi makali ya anga dhidi ya Mji wa Ghaza kwa saa kadhaa, ambapo mbali na kuwaua shahidi Wapalestina kadhaa linateketeza pia majengo…

Uncategorized

UN: Viongozi wa Sudan Kusini wapora mali ya nchi

September 16, 2025 mjombazecoder

Miongoni mwa uporaji uliotajwa ni kulipa dola bilioni 1.7 kwa makampuni yanayohusishwa na Makamu wa Rais Benjamin Bol Mel kwa ujenzi wa barabara ambayo haijawahi kufanyiwa kazi yoyote. Kulingana na…

Uncategorized

Donald Trump afanya ziara rasmi Uingereza

September 16, 2025 mjombazecoder

Mkataba huo utaonesha kuwa ushirikiano wa Marekani na Uingereza unasalia kuwa imara licha ya tofauti kuhusu mizozo ya Ukraine, Mashariki ya kati na pia kuhusu mustakabali wa miungano ya nchi…

Uncategorized

Trump awasili Uingereza kwa ziara ya pili ya kifalme

September 16, 2025 mjombazecoder

Ziara ya Trump inafanyika wakati vita vinaendelea Ukraine na Mashariki ya Kati, mataifa makubwa yakikabiliana na ushuru wa Marekani, na hii leo Uingereza ina matumaini kuwa maonesho ya kifalme yaweza…

Uncategorized

Jumanne, 16 Septemba 2025

September 16, 2025 mjombazecoder

Leo ni Jumanne tarehe 23 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1447 Hijria sawa na Septemba 16, 2025. BONYEZA HAPA KUSOMA HABARI KAMILI

Uncategorized

Rushwa iliyokithiri Sudan Kusini inatishia ustawi wa taifa hilo

September 16, 2025 mjombazecoder

Tume ya haki za binadamu ya umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini, yatoa wito kwa idara za uchunguzi nchini Kenya, kuchunguza tuhuma za rushwa na utakatishaji fedha dhidi ya makamu…

Uncategorized

Rais wa Iran azitahadharisha nchi za Kiislamu Doha: Hakuna nchi itakayokuwa salama na uchokozi wa Israel

September 16, 2025 mjombazecoder

Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema mashambulizi ya Israel ya Septemba 9 dhidi ya Qatar yameonyesha kuwa hakuna nchi ya Kiarabu au ya Kiislamu iliyo salama…

Uncategorized

Gaza: Uchunguzi wa Umoja wa Mataifa unaishutumu Israel kwa ‘mauaji ya kimbari’

September 16, 2025 mjombazecoder

Tume huru ya kimataifa ya uchunguzi ya Umoja wa Mataifa imeishutumu Israel leo Jumanne, Septemba 16, kwa kufanya “mauaji ya halaiki” katika Ukanda wa Gaza tangu kuanza kwa vita mnamo…

IDHAA YA DUNIA

Simbu alivyojitabiria kutwaa dhahabu miaka 8 iliyopita

September 16, 2025 mjombazecoder

Chanzo cha picha, Getty Images 15 Septemba 2025 Mara ya kwanza aliposhika viatu vya riadha akiwa kijana mdogo huko Singida, hakuwahi kudhani kwamba baada ya miaka miwili baadaye angekuwa shujaa…

IDHAA YA DUNIA

Kwanini shida ya Man Utd sio mfumo ila ‘watu binafsi’

September 16, 2025 mjombazecoder

Chanzo cha picha, BBC Sport 15 Septemba 2025 Ninahisi kama najirudia kila ninapozungumzia matatizo ya Manchester United lakini mambo yale yale yanaendelea kutokea. Wanafanya makosa yale yale, na hata si…

Uncategorized

Ripoti: Ulanguzi wa dawa za kulevya Afrika Magharibi waambatana na matumizi yasiyodhibitiwa

September 16, 2025 mjombazecoder

Eneo la Afrika Magharibi linakabiliwa na ulanguzi mkubwa wa dawa za kulevya unaoambatana na matumizi yasiyodhibitika. BONYEZA HAPA KUSOMA HABARI KAMILI

IDHAA YA DUNIA

BBC Africa Eye: Mtandao wa biashara haramu ya ngono unaoendeshwa kutoka Dubai wafichuliwa na BBC

September 16, 2025 mjombazecoder

Maelezo ya picha, Charles Mwesigwa – anayejulikana kwa jina la Abbey – anasema wanawake wanaomfanyia kazi ni machachari sana Maelezo kuhusu taarifa Author, Runako Celina Nafasi, BBC Eye Investigations 15…

IDHAA YA DUNIA

Dira Ya Dunia

September 16, 2025 mjombazecoder

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki Source link

Uncategorized

Asasi za kiraia zatoa wito kwa makampuni ya Ulaya kuacha kufanya biashara na vitongoji vya walowezi wa Kizayuni

September 16, 2025 mjombazecoder

Zaidi ya mashirika 80 yasiyo ya kiserikali (NGOs) yamezitaka nchi na makampuni ya Ulaya kuacha kufanya biashara na vitongoji haramu vinavyojengwa na utawala ghasibu wa Israel katika Palestina inayokaliwa kwa…

Uncategorized

Marekani yashambulia tena boti ya Venezuela inayotuhumiwa kwa ‘usafirishaji wa dawa za kulevya’

September 16, 2025 mjombazecoder

Mvutano unaongezeka kati ya Washington na Caracas baada ya shambulio lingine la Marekani dhidi ya meli ya Venezuela katika Bahari ya Caribbean. Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kuwa jeshi…

IDHAA YA DUNIA

Je, vijana wako tayari kuchukuwa nafasi yao katika uongozi wa kitaifa Afrika Mashariki?

September 16, 2025 mjombazecoder

Chanzo cha picha, GP Maelezo kuhusu taarifa Author, Na Laillah Mohammed Nafasi, BBC Swahili X, @leilakhatenje Akiripoti kutoka Nairobi Kenya Dakika 20 zilizopita Ni msimu wa siasa za uchaguzi katika…

IDHAA YA DUNIA

Tetesi za soka Ulaya Jumanne 16.09.2025: Halaand, Guehi, Branthwaite, Makio, Wharton

September 16, 2025 mjombazecoder

Chanzo cha picha, Getty Images Maelezo ya picha, Erling Halaand Saa 2 zilizopita Mshambuliaji wa Manchester City Erling Haaland amekuwa kivutio kikuu kwa rais wa Barcelona Joan Laporta, ambaye ana…

Uncategorized

Wananchi wa Malawi wanapiga kura leo, uchumi wazidi kuzorota

September 16, 2025 mjombazecoder

Wananchi wa Malawi wanaelekea kwenye vituo vya kupigia kura leo Jumanne katika uchaguzi utakaomchuanisha Rais Lazarus Chakwera na mtangulizi wake Peter Mutharika, huku mfumuko wa bei uliokithiri na uhaba wa…

IDHAA YA DUNIA

Amka Na BBC

September 16, 2025 mjombazecoder

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki Source link

IDHAA YA DUNIA

Amka Na BBC

September 16, 2025 mjombazecoder

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki Source link

Uncategorized

Eslami: Shambulio dhidi ya vituo vya nyuklia vya Iran lilikuwa shambulio dhidi ya itibari ya IAEA

September 16, 2025 mjombazecoder

Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran amesisitiza katika Mkutano Mkuu wa 69 wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) kwamba: Mashambulio ya Marekani na utawala…

Uncategorized

Rwanda-DRC: Mfumo wa ushirikiano wa kiuchumi wa kikanda kuanza kufanya kazi

September 16, 2025 mjombazecoder

Tarehe 1 Agosti, DRC na Rwanda zilitia saini, chini ya mwamvuli wa Marekani, taarifa ya kanuni za mfumo wa ushirikiano wa kiuchumi wa kikanda. Mfumo huu utasimamia ushirikiano wa kiuchumi…

Uncategorized

DRC: AFC/M23 yazindua kikosi kipya cha wanajeshi 7,000 licha ya mazungumzo yanayoendelea Doha

September 16, 2025 mjombazecoder

Kundi la waasi wa AFC/M23 limezindua kikosi kipya cha zaidi ya wanajeshi 7,000 tarehe 14 Septemba Mashariki mwa DRC, wakati wa hafla iliyofanyika katika kituo chake cha mafunzo huko Rumangabo,…

Uncategorized

Sudan: Jeshi laendelea kusonga mbele Kordofan wakati RSF ikiongeza mashambulizi ya Drone

September 16, 2025 mjombazecoder

Nchini Sudan, Jimbo la Kordofan Magharibi limekuwa likikumbwa na mapigano makali kwa wiki kadhaa kati ya jeshi na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF). Katika kukabiliana na kusonga mbele kwa…

IDHAA YA DUNIA

Mauaji ya Charlie Kirk: Tunachojua kuhusu Tyler Robinson, mshukiwa aliyetajwa

September 16, 2025 mjombazecoder

Chanzo cha picha, Handout Maelezo ya picha, Tyler Robinson mwenye umri wa miaka 22 yuko kizuizini na hivi karibuni atashtakiwa, kulingana na Gavana wa Utah Spencer Cox Dakika 5 zilizopita…

Uncategorized

Chad: Wabunge waongeza muda wa rais kukaa madarakani

September 16, 2025 mjombazecoder

Wabunge nchini Chad, Jumatatu ya wiki hii walipitisha marekebisho ya katiba yanayoongeza muda wa rais kukaa madarakani kutoka miaka 5 hadi 7 na kwa kipindi kisichokuwa na ukomo. Imechapishwa: 16/09/2025…

Uncategorized

Haiti: Zaidi ya hamsini wauawa katika shambulio la magenge

September 16, 2025 mjombazecoder

Zaidi ya watu 50 waliuawa wiki iliyopita katika mfululizo wa mashambulizi ya magenge nchini Haiti, kulingana na ripoti iliyotolewa siku ya Jumatatu na Mtandao wa Kitaifa wa Kutetea Haki za…

Uncategorized

Rubio aelekea Qatar ´kutuliza joto´ msuguano na Israel

September 16, 2025 mjombazecoder

Ziara hiyo inanuwia kupunguza mvutano baada ya Israel kuushambulia mkutano wa viongozi wa kundi la Hamas uliokuwa ukifanyika kwenye mji mkuu wa taifa hilo la Ghuba Jumanne iliyopita. Ofisi ya…

Uncategorized

Nchi za kiarabu na kiislamu zataka ´kuisusa´ Israel

September 16, 2025 mjombazecoder

Mwito huo umetolewa kupitia tamko la pamoja la viongozi wa karibu mataifa 60 wanachama wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu na ile ya nchi za kiislamu baada ya kumalizika kwa…

Uncategorized

Malawi inafanya uchaguzi wa rais, wabunge na madiwani

September 16, 2025 mjombazecoder

Kadhia ya mfumuko wa bei na upungufu mkubwa wa nishati ya mafuta vinatajwa kuwa masuala muhimu yanayowashughulisha zaidi wapigakura. Wagombea wengine 15 akiwemo rais wa zamani Joyce Banda pia wanawania…

Uncategorized

WMO: Tabaka la Ozoni linarejea kwenye hali ya asili

September 16, 2025 mjombazecoder

Tabaka hilo hutoa kinga kwa uso wa dunia dhidi ya miale ya jua na kutengamaa kwake kunatokana na miongo minne ya juhudi za kimataifa za kupunguza utoaji gesi chafuzi. Ripoti…

Uncategorized

Zaidi ya watu 50 wameuawa na magenge ya wahalifu Haiti

September 16, 2025 mjombazecoder

Hayo yameelezwa na shirika moja la kiraia nchini humo ambalo limearifu kwamba mashambulizi hayo yalitokea kati ya Septemba 11 na 12 kwenye maeneo ya kaskazini mwa mji mkuu, Port-au-Prince. Shirika…

IDHAA YA DUNIA

Trump asema hakufahamishwa na Netanyahu kabla ya Israel kushambulia Qatar

September 16, 2025 mjombazecoder

Chanzo cha picha, Reuters Rais wa Marekani Donald Trump amesema siku ya Jumatatu kuwa hakujulishwa na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu mapema kuhusu shambulizi la Israel nchini Qatar wiki…

Uncategorized

Sudan Kusini: Upinzani wataka kufanyika kwa mabadiliko ya uongozi wa sasa

September 16, 2025 mjombazecoder

Upinzani nchini Sudan Kusini, umetoa wito wa uhamasishaji kwa wafuasi na vikosi vyake kujitayarisha kufanya mabadiliko ya uongozi wa serkali, ili kujibu mpango wa serikali wa kutaka kumfungulia kiongozi wake…

Uncategorized

Israel yaanza operesheni ya ardhini Gaza City

September 16, 2025 mjombazecoder

Mtandao wa habari wa Axios umeripoti taarifa hizo ukiwanukuu maafisa kadhaa wa Israeli. Serikali mjini Tel Aviv ilitangaza mpango wa kuukamata mji wa Gaza zaidi ya mwezi mmoja uliopita. Kwa…

Uncategorized

Rwanda: Bunge lapinga maazimio ya EU kuhusu kuachiwa kwa Victoire Ingabire

September 16, 2025 mjombazecoder

Wabunge wa Rwanda, Jumatatu ya wiki hii walipitisha azimio kulaani wito wa hivi karibuni wa bunge la umoja wa Ulaya lililoitaka serikali ya Kigali, kumuachia huru bila masharti, mwanasiasa Victoire…

Uncategorized

Namna Ghaza inavyowabebesha jinamizi la kiafya wanajeshi wa Israel

September 16, 2025 mjombazecoder

Makumi ya wanajeshi wa utawala wa wa Kizayuni wa Israel waliovamia Ghaza wameambukizwa magonjwa ya ngozi ya kuambukiza. BONYEZA HAPA KUSOMA HABARI KAMILI

Uncategorized

Burkina Faso: Karibia watu 50 wameuawa katika mashambulio ya kigaidi tangu Mei

September 16, 2025 mjombazecoder

Mashambulio matatu yaliyotekelezwa na makundi ya kijihadi nchini Burkina Faso, tangu mwezi Mei, yamesababisha vifo vya watu karibu 50, kwa mujibu wa ripoti za Shirika la Human Rights Watch.

Uncategorized

Matukio ya moto kuteketeza masoko na mitaji ya wafanyabiashara

September 16, 2025 mjombazecoder

Matukio ya moto kuteketeza masoko na mitaji ya wafanyabiashara. Je, wanaelimishwa ili kushiriki kuweka mazingira na mifumo ya kudhibiti majanga haya? ##Swalilakipimajoto #16Septemba2025

Uncategorized

Raia wa Malawi wanapiga kura katika uchaguzi mkuu wa urais

September 16, 2025 mjombazecoder

Raia wa Malawi, hivi leo wanapiga kura katika uchaguzi mkuu wa rais, Wabunge na madiwani, uchaguzi ambao unatarajiwa kuamua mustakabali wa taifa hilo kuhusu uchumi na vita dhidi ya rushwa.…

Uncategorized

Ripoti: Mossad yaahirisha mpango wa hujuma ya nchi kavu dhidi ya Hamas Nchini Qatar

September 16, 2025 mjombazecoder

IQNA – Shirika la ujasusi la Israel, Mossad, limeahirisha mpango wa uvamizi wa nchi kavu uliolenga kuwaua viongozi wa Hamas walioko Qatar, mpango uliokuwa ukifanyiwa kazi katika wiki za hivi…

Uncategorized

Save the Children: Zaidi ya nusu ya waathiriwa wa tetemeko la ardhi mashariki mwa Afghanistan ni watoto

September 16, 2025 mjombazecoder

Shirika la Kimataifa la Save the Children limetangaza kuwa, karibu watoto 1,200 wamepoteza maisha na maelfu ya wengine kuachwa bila makao katika tetemeko la ardhi la hivi majuzi mashariki mwa…

Uncategorized

Familia za mateka: Netanyahu ndiye kikwazo cha kuwarudisha mateka nyumbani

September 16, 2025 mjombazecoder

Familia za mateka wa Israel wanaoshikiliwa na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS kwa mara nyingine tena zimemtuhumu Benjamin Netanyahu Waziri Mkuu wa utawala ghasibu wa Israel kuwa…

Posts pagination

1 … 954 955 956 … 989

Recent Posts

  • Why communities are part and parcel of Vision 2050
  • Community seed banks are transforming food systems, farmer resilience in Northern Tanzania
  • If Cape Verde can stun Spain, why not Taifa Stars at AFCON 2027?
  • Msuva opens up on Samatta inspiration, life abroad
  • Why businesses must prepare now for AFCON 2027

Recent Comments

  1. EdithUrili on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  2. Nancyurike on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  3. ChaelLah on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  4. TrickSit on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  5. Larryverse on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit

Archives

  • June 2026
  • May 2026
  • April 2026
  • March 2026
  • February 2026
  • January 2026
  • December 2025
  • November 2025
  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • June 2025
  • August 2024
  • July 2024
  • May 2023
  • June 2016

Categories

  • ASTV TANZANIA
  • CRI SWAHILI
  • DW SWAHILI
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • HABARILEO
  • IDHAA YA DUNIA
  • ITVBONGO
  • LTV ENGLISH NEWS
  • MAGAZETI
  • MWANANCHI
  • MWANASPOTI
  • RFI SWAHILI
  • TRT SWAHILI
  • TUKO SWAHILI NEWS
  • TZSPORTS
  • Uncategorized

You missed

LTV ENGLISH NEWS

Why communities are part and parcel of Vision 2050

June 19, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Community seed banks are transforming food systems, farmer resilience in Northern Tanzania

June 19, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

If Cape Verde can stun Spain, why not Taifa Stars at AFCON 2027?

June 19, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Msuva opens up on Samatta inspiration, life abroad

June 19, 2026 mjombazecoder

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS