Urusi yaishambulia miundo mbinu ya nishati ya Ukraine
Urusi na Ukraine zimeendelea kushambuliana kwa droni, wizara ya nishati ya Ukraine imesema kwamba, mashambulizi ya usiku wa kuamkia leo ya Urusi yamelenga mioundo mbinu ya nishati ya nchi hiyo…
#HABARI: Baadhi ya waendesha ghala kutoka mikoa ya Mwanza na Geita, wameiomba serikali kuongeza juhudi za kutoa elimu kwa wakuli…
#HABARI: Baadhi ya waendesha ghala kutoka mikoa ya Mwanza na Geita, wameiomba serikali kuongeza juhudi za kutoa elimu kwa wakulima wa zao la dengu juu ya umuhimu na faida ya…
Watu wanane wapoteza maisha kutokana na mapigano makali DRC
Hali ya taharuki ilitanda mjini Uvira kuanzia Jumatatu mchana hadi Jumanne jioni, baada ya kundi la Wazalendo na askari wa FARDC kushambuliana. Aimedo, mkaazi wa Uvira, anasema Wazalendo waliwashutumu askari…
Araqchi: Kufunga Mlango Bahari wa Hormuz si sera rasmi ya Iran
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi, amesisitiza kuwa suala la kufunga Mlango-Bahari wa Hormuz si msimamo rasmi wa Iran, na kusisitiza kuwa sera ya Tehran ni kudumisha…
#HABARI: Watoto wawili wa familia moja Rehema Abeli miaka 3 na Said Abel mwaka 1, wamefariki dunia, baada ya nyumba yao kushika …
#HABARI: Watoto wawili wa familia moja Rehema Abeli miaka 3 na Said Abel mwaka 1, wamefariki dunia, baada ya nyumba yao kushika moto wakiwa ndani katika Kitongoji cha Zinduka, kijiji…
ACT: INEC haina mamlaka ya kuingilia mchakato wa Urais
Katika barua ambayo INEC imeiandikia ACT-Wazalendo, tume hiyo ya uchaguzi imerejea uamuzi wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa uliotolewa jioni ya jana, ambao umesema mgombea urais wa chama…
#HABARI: Mgombea Ubunge Jimbo la Mbulu Vijijini kwa tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo, Flatei Gregory, amerejesha fomu ya kugomb…
#HABARI: Mgombea Ubunge Jimbo la Mbulu Vijijini kwa tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo, Flatei Gregory, amerejesha fomu ya kugombea Ubunge katika Ofisi za Tume Huru ya Uchaguzi, huku akieleza…
🔴MEZAHURU: TIBA YA MWAFRIKA….AGOSTI 27, 2025
🔴MEZAHURU: TIBA YA MWAFRIKA….AGOSTI 27, 2025
🔴HABARI ZA SAA: SAA NANE NA DAKIKA 55, AGOSTI 27, 2025
🔴HABARI ZA SAA: SAA NANE NA DAKIKA 55, AGOSTI 27, 2025
Mjumbe wa Trump akosolewa vikali kwa kuwataka waandishi habari waache "uhayawani"
Kejeli za matusi ya ubaguzi wa rangi kutoka kwa mjumbe wa kikanda wa Marekani dhidi ya waandishi wa habari wa Lebanon zimezusha wimbi la ukosoaji miongoni mwa watu wengi wanaotembelea…
#HABARI: Mkuu wa Wilaya ya Mkinga Bw.Gilbert Kalima, ameisihi jamii kushirikiana na Serikali, kuhakikisha jitihada za pamoja zin…
#HABARI: Mkuu wa Wilaya ya Mkinga Bw.Gilbert Kalima, ameisihi jamii kushirikiana na Serikali, kuhakikisha jitihada za pamoja zinafanyika ili kudhibiti na kupambana na uingizaji wa dawa za kulevya nchini, kutoka…
Polisi ya Iran yaangamiza magaidi 8 waliohusika na shambulizi la kigaidi Sistan na Baluchestan
Polisi ya Iran imetoa kipigo kikubwa kwa magaidi wanaoungwa mkono na nchi ajinabi katika mkoa wa Sistan na Baluchestan, kusini-mashariki mwa Iran, kwa kuwaangamiza magaidi 8 waliohusika na shambulio baya…
#HABARI: Raia wa kigeni waliopo hapa nchini wamesifu umahiri wa Jeshi la Magereza Tanzania katika kuhudumia jamii, ikiwemo kusai…
#HABARI: Raia wa kigeni waliopo hapa nchini wamesifu umahiri wa Jeshi la Magereza Tanzania katika kuhudumia jamii, ikiwemo kusaidia watoto yatima kwenye maadhimisho ya miaka 64 ya Jeshi hilo nchini.…
Zelensky apendekeza mataifa mengine katika mazungumzo
Katika hotuba yake aliyoitoa kwa njia ya vidio, Zelensky alisema mazungumzo na wawakilishi wa mataifa hayo yatafanyika baadaye wiki hii. Rais huyo wa Ukraine pia ametoa wito wa Urusikuwekewa shinikizo…
Familia za mateka nchini Israel zafanya maandamano
Hapo jana, kundi linalojumuisha wanafamilia wa mateka hao pamoja na wafuasi wao, liliandaa maandamano makubwa mjini Tel Aviv, jiji kubwa la kibiashara la Israel. Kulingana na vyombo vya habari vya…
Trump atishia kuiwekea Urusi vikwazo isipoafiki amani
Trump amekuwa akishinikiza mazungumzo ya moja kwa moja kati ya Putin na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky lakini akisisitiza kuwa Zelensky si mtakatifu pia katika mzozo huo. Trump asema atakutana…
Mazungumzo ya nyuklia Geneva yamalizika bila mafanikio
Msemaji wa wizara ya mambo ya nje wa Iran, Ismail Baghaei, ameliambia shirika la habari la nchini humo kwamba, wahusika walibadilishana maoni katika mkutano huo wa Geneva. Lakini bila ya…
Morocco na Madagacar kukutana katika fainali za CHAN
Mabingwa watetezi, Senegal, walitangulia kufunga kupitia kwa mchezaji Joseph Layousse, lakini dakika saba baadaye Moroko walijibu kupitia Sabir Bougrine. Kwa kuwa mechi ilibaki sare ya 1-1 hadi mwisho wa muda…
#HABARI: Bwana Omary Marcus Msigwa maarufu kwa jina la Super Feo, amechukua rasmi fomu ya kuwania Ubunge katika Jimbo la Madaba…
#HABARI: Bwana Omary Marcus Msigwa maarufu kwa jina la Super Feo, amechukua rasmi fomu ya kuwania Ubunge katika Jimbo la Madaba mkoani Ruvuma kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi huku…
#MEZAHURU: Je, tiba za asili kwa sasa zinasaidia Ukilinganisha na ukuaji wa sayansi na teknolojia?
#MEZAHURU: Je, tiba za asili kwa sasa zinasaidia Ukilinganisha na ukuaji wa sayansi na teknolojia?
#HABARI: Mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chama cha ACT-Wazalendo Bw.Luhaga Mpiga, akiambatana na baadhi ya Viongozi wa chama hich…
#HABARI: Mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chama cha ACT-Wazalendo Bw.Luhaga Mpiga, akiambatana na baadhi ya Viongozi wa chama hicho walipofika Ofisi ya Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi INEC,…
🔴HABARI ZA SAA: SAA SABA NA DAKIKA 55, AGOSTI 27, 2025
🔴HABARI ZA SAA: SAA SABA NA DAKIKA 55, AGOSTI 27, 2025
Baraza la Mawaziri Sudan lafanya kikao cha kwanza mjini Khartoum tangu 2023
Baraza la Mawaziri la Sudan ya Sudan lilifanya mkutano wake wa kwanza katika mji mkuu, Khartoum, jana Jumanne tangu kuzuka kwa vita vya ndani nchini humo katikati ya Aprili, 2023.…
Vita vyaendelea Gaza, Wahouthi waishambulia Israel
Licha ya mashambulizi makali ya Israel kwenye maeneo yanayodhibitiwa na Wahouthi nchini Yemen siku ya Jumapili yaliyosababisha vifo vya watu 10, wanamgambo hao wanaoungwa mkono na Iran wameendelea Jumatano kuvurumisha…
#HABARI: Bw.Baraka Mwamengo aliyeteuliwa na Chama cha mapinduzi kupeperusha bendera ya chama hicho kuomba ridhaa kwa wananchi …
#HABARI: Bw.Baraka Mwamengo aliyeteuliwa na Chama cha mapinduzi kupeperusha bendera ya chama hicho kuomba ridhaa kwa wananchi ya ubunge jimbo la kyela Mkoa wa Mbeya ,amefika ofisi za msimamizi mkuu…
🔴HABARI ZA SAA: SAA SITA NA DAKIKA 55, AGOSTI 27, 2025
🔴HABARI ZA SAA: SAA SITA NA DAKIKA 55, AGOSTI 27, 2025
Araqchi: Hatua ya Australia ya kumfukuza balozi wa Iran ni kutaka kuiridhisha Israel
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amelaani uamuzi wa Australia wa kumfukuza balozi wa Tehran nchini humo kutokana na madai eti ya mashambulizi kwenye vituo vya Kiyahudi, na kueleza…
🔴HABARI ZA SAA: SAA TANO NA DAKIKA 55, AGOSTI 27, 2025
🔴HABARI ZA SAA: SAA TANO NA DAKIKA 55, AGOSTI 27, 2025
#HABARI: Jeshi la Polisi nchini, limetoa tamko kuelekea uzinduzi wa kampeni za Uchaguzi Mkuu zinazotarajiwa kuzinduliwa kuanzia …
#HABARI: Jeshi la Polisi nchini, limetoa tamko kuelekea uzinduzi wa kampeni za Uchaguzi Mkuu zinazotarajiwa kuzinduliwa kuanzia kesho Agosti 28, 2025. Jeshi hilo limewaambia wananchi na wadau wote kuwa, lipo…
#HABARI: Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) itamkabidhi kila mgombea atakayetimiza vigezo na kutangazwa kuwa mgombea Urais wa…
#HABARI: Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) itamkabidhi kila mgombea atakayetimiza vigezo na kutangazwa kuwa mgombea Urais wa chama cha siasa kitakachoshiriki Uchaguzi Mkuu 2025, gari hili aina ya…
Uganda: NRM kumuidhinisha rasmi Yoweri Museveni kama mgombea katika uchaguzi wa urais
Chama tawala nchini Uganda cha NRM kinafanya Kongamano la wajumbe wake katika ngazi ya taifa leo Jumatano, Agosti 27 na Alhamisi, Agosti 28, mjini Kampala. Tukio hilo kwa mara nyingine…
Kwa nini Iran inataka hatua kali zaidi zichukuliwe na Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu dhidi ya utawala wa Kizayuni?
Seyyed Abbas Araghchi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran karibuni hivi alifika mjini Jeddah, Saudia kwa ajili ya kushiriki katika kikao cha dharura cha Mawaziri…
#HABARI: Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan, ameambatana na mgombea mwenza wake, Dkt
#HABARI: Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan, ameambatana na mgombea mwenza wake, Dkt. Emanuel Nchimbi, kurejesha fomu za kugombea nafasi ya urais katika ofisi za…
Somalia na Marekani zimeendesha operesheni ya pamoja dhidi ya Islamic State Puntland
Operesheni hiyo ya siku 15 imefanyika katika Bonde la Baallad, ambapo ndege za Marekani zimefanya mashambulizi mengi huku wanajeshi wa Puntland wakisonga mbele. Kama Africom, Kamandi ya Marekani Afrika, na…
🔴CHAN 2024: NANI KUIBUKA MSHINDI FAINALI CHAN, MADAGASCAR KUVAANA NA MOROCCO
🔴CHAN 2024: NANI KUIBUKA MSHINDI FAINALI CHAN, MADAGASCAR KUVAANA NA MOROCCO …. AGOSTI 27, 2025
Waziri Mkuu wa India 'apuuza' simu 4 za Trump huku vita vya kibiashara vya Marekani vikiendelea
Waziri Mkuu wa India, Narendra Modi, ameripotiwa kupuuza majaribio kadhaa ya Donald Trump ya kumtafuta kwa simu huku vita vya kibiashara kati ya nchi hizo vikipamba moto, ambavyo vimechochewa na…
🔴HABARI ZA SAA: SAA NNE NA DAKIKA 55, AGOSTI 27, 2025
🔴HABARI ZA SAA: SAA NNE NA DAKIKA 55, AGOSTI 27, 2025
Uganda: Polisi wapaza sauti kuelekea kampeni ya uchaguzi wa rais wa Januari 12
Mgombea yeyote ambaye atakosa kufuata miongozo ya uchaguzi atakamatwa, vikosi vya usalama vimetangaza siku ya Jumanne, Agosti 26. Onyo hili limesababisha mara moja baadhi ya watu kushutumu kuwa ni matumizi…
Afrika Kusini yawaonya vijana wake kuhusu ofa za kazi bandia nchini Urusi
Mamlaka za Afrika Kusini zinawaonya vijana wa Afrika Kusini kuhusu ofa za kazi bandia nje ya nchi. Onyo hili linakuja baada ya video kusambaa kwenye mitandao ya kijamii: mshawishi alikuwa…
Ufaransa yarejesha mafuvu ya vichwa Madagascar miaka 127 baada ya mauaji ya kikoloni
Ufaransa jana Jumanne ilirejesha mafuvu matatu nchini Madagascar, likiwemo moja linaloaminika kuwa la mfalme aliyekatwa kichwa na wanajeshi wa Ufaransa kufuatia mauaji ya Agosti 1897. BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI
#HABARI: Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Ulanga, Salim Alaudin Hasham, amepokelewa na wananchi pamoja na wanachama wa Chama Cha Map…
#HABARI: Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Ulanga, Salim Alaudin Hasham, amepokelewa na wananchi pamoja na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa ajili ya kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya…
🔴HABARI ZA SAA: SAA TATU NA DAKIKA 55, AGOSTI 27, 2025
🔴HABARI ZA SAA: SAA TATU NA DAKIKA 55, AGOSTI 27, 2025
Tetesi za soka Jumatano: Isak awagomea mabosi Newcastle, asisistiza kuondoka
Chanzo cha picha, Getty Images Maelezo ya picha, Alexander Isak Saa 3 zilizopita Mshambuliaji wa Sweden Alexander Isak, mwenye umri wa miaka 25, ameiambia Newcastle kwamba bado anataka kuondoka na…
DRC: FARDC na wasaidizi wake wa Wazalendo wakabiliana Uvira
Jeshi la DRC, FARC linaendelea kusakamwa na wasaizi wake kutoka kutoka makundi ya Wazalendo. Makabiliano yametokea tena siku ya Jumanne, Agosti 26, huko Uvira, Kivu Kusini. Imechapishwa: 27/08/2025 – 08:50…
Mrengo wa upinzani Somalia wafikia makubaliano na serikali kuhusu uchaguzi
Mrengo uliojitenga na muungano mkuu wa upinzani nchini Somalia wa Salvation Forum umetia saini makubaliano ya uchaguzi na Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia, na hivyo kutoa pigo kubwa kwa…
Ufaransa-Senegal: Changamoto za mkutano kati ya Emmanuel Macron na Bassirou Diomaye Faye Paris
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron atampokea mwenzake wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, katika Ikulu ya Élysée leo Jumatano, Agosti 27. Ziara hii ya kiserikali inatarajiwa kufunguwa ukurasa mpya ya uhusiano…
Kuchukuliwa mateka kwa wanajeshi 34 kunathibitisha kiwango cha juu cha ghasia nchini Colombia
Nchini Colombia, mapigano na mivutano na makundi yaliyojitenga ya FARC yanaendelea. Siku ya Jumanne, Agosti 26, Waziri wa Ulinzi amethibitisha kwamba wanajeshi 34 wamechukuliwa mateka katika eneo la Guaviare, kusini…
“Kwa nini Syria ina haki ya kuzungumza na Israel?” – Magazetini
Chanzo cha picha, Reuters Maelezo ya picha, Rais wa mpito wa Syria, Ahmed al-Sharaa Saa 2 zilizopita Huku kukiwa na misukosuko ya kisiasa nchini Syria, waandishi katika magazeti ya kimataifa…
Chama cha Soka Palestina: Wanasoka 355 wameuawa shahidi na Israel
Mkuu wa Shirikisho la Soka la Palestina amekosoa uzembe wa Shirikisho la Soka Duniani FIFA na taasisi za kimataifa na kutaka kuchukuliwa hatua za haraka dhidi ya hujuma za utawala…
🔴KUMEKUCHA KISHINDO: BONGO FLEVA NJE YA MIPAKA…AGOSTI 27, 2025
🔴KUMEKUCHA KISHINDO: BONGO FLEVA NJE YA MIPAKA…AGOSTI 27, 2025