DRC: Qatar yahakikisha kuhusu mazungumzo yanayoendelea Doha kati ya Kinshasa na M23
Wakati bado kuna mkanganyiko kuhusu mazungumzo kati ya serikali ya Kongo na waasi wa AFC/M23, ambayo yalianza tena mjini Doha mnamo Agosti 20, diplomasia ya Qatar imevunja ukimya wake siku…
Amka Na BBC
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki Source link
Madaktari wapandikiza mapafu ya nguruwe kwa binadamu: Nini kinafuata baadae?
Madaktari bingwa wa upasuaji nchini China wamefanya upandikizaji wa kwanza kabisa wa pafu la nguruwe lililobadilishwa vinasaba ndani ya mtu ambaye ubongo wake umepoteza uwezo wa kufanya kazi. Imechapishwa: 27/08/2025…
Mabilionea wajenga makazi ya siri ya kifahari ardhini kukwepa vita na mabadiliko ya tabianchi
Chanzo cha picha, SAFE Dakika 12 zilizopita Mabilionea ulimwenguni wanakumbatia dhana mpya katika ujenzi wa makazi yaliyoundwa mahususi ili kuwalinda mabilionea hawa dhidi ya hatari inayowezekana inayosababishwa na vita, athari…
Uchunguzi wa maoni: Wanajeshi wengi wa Israel wanapinga kuendezwa mashambulizi dhidi ya Gaza
Kwa mujibu wa matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni uuliyochapishwa Jumatatu wiki hii na Taasisi ya Utafiti ya Agam, Wazayuni walio wengi wanakubaliana kwa kauli moja katika suala la kuhitimishwa…
🔴KUMEKUCHA MICHEZO: MADAGASCAR YATINGA FAINALI CHAN….AGOSTI 27, 2025
🔴KUMEKUCHA MICHEZO: MADAGASCAR YATINGA FAINALI CHAN….AGOSTI 27, 2025
Mkuu wa UNHCR anasema DRC na Rwanda zimekubaliana kuhusu kurejea kwa wakimbizi
Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR, amesema siku ya Jumanne kwamba Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Rwanda zimekubali kuwarejesha makwao wakimbizi wawalitoroka makazi yao…
Amka Na BBC
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki Source link
#KIPIMAJOTO : Kupunguza Kodi ya Vitenge kutoka nje ya nchi
#KIPIMAJOTO : Kupunguza Kodi ya Vitenge kutoka nje ya nchi. Je, kutakomesha biashara ya magendo ya bidhaa hiyo?
CHAN 2024: Madagascar kuvaana na Morocco katika fainali
Sudan, inayofundishwa na kocha kutoka Ghana Kwesi Appiah, ilicheza nusu fainali yao ya tatu baada ya kushindwa kupenya katika hatua hiyo mwaka wa 2011 na 2018. Walijaribu kutumia faida ya…
Qatar: Mpira uko katika uwanja wa Israel; Tel Aviv haitaki kufikia mapatano
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Qatar ameeleza kuwa, hivi sasa mpira uko katika uwanja wa utawala wa Kizayuni wa Israel na inaonekana kuwa Tel Aviv haitaki kufikia…
Mkuu wa UNHCR asema Kongo, Rwanda kuwarejesha wakimbizi
Tamko hilo la Grandi akiwa mjini Kinshasa, limejiri wakati mivutano ikiendelea kati ya Kongo na Rwanda, licha ya kuwepo mpango wa amaniuliosimamiwa na Marekani ambao nchi hizo mbili jirani zilitia…
Mazungumzo ya nyuklia ya Iran yakamilika bila mafanikio
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Ismail Baghai, ameiambia televisheni ya taifa kuwa pande hizo mbili zilibadilishana maoni wakati wa mkutano wa Geneva. Bila mafanikio, mzozo juu…
Wagombea urais, ubunge, udiwani Tanzania kujulikana leo
Kwa mujibu wa Tume huru ya taifa ya uchaguzi (INEC), uteuzi wa wagombea utafanyika kati ya saa 1.30 mpaka saa 10:00 alasiri. Source link
China: Madaktari wampandikiza binadamu mapafu ya nguruwe
Wanasema hilo linaoyesha uwezekano wa mafanikio katika upasuaji huo – hata kama majaribio makubwa zaidi bado yanahitajika. Kwa mujibu wa Taasisi ya Utafiti wa magonjwa ya njia ya hewa ya…
Jumatatu, Agosti 25, 2025
Leo Jumatatu tarehe Mosi Mfunguo Sita Rabiul Awwal mwaka 1447 Hijria, sawa na Agosti 25 mwaka 2025. BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI
🔴MAGAZETI: RAIS SAMIA ATOA MAAGIZO MAZITO KWA MAKALLA / MAMBO 3 KITASA KIPYA..AGOSTI 27, 2025
🔴MAGAZETI: RAIS SAMIA ATOA MAAGIZO MAZITO KWA MAKALLA / MAMBO 3 KITASA KIPYA..AGOSTI 27, 2025
Macron akanusha madai ya kuongezeka kwa chuki dhidi ya Wayuhudi
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron, amekanusha kwa nguvu zote, madai ya Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu kuhusu kuongezeka kwa vitendo vya chuki na ubaguzi dhidi ya Wayahudi katika nchi…
Israel: Shambulizi la hospitali liliilenga kamera ya Hamas
Kwa mujibu wa taarifa ya jeshi, askari waliamua kuchukua hatua dhidi ya kamera hiyo, na kuongeza kuwa wakati sita kati ya waliouawa walikuwa “magaidi,” jeshi “linajutia” madhara yoyote yaliyosababishwa kwa…
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI – AGOSTI 2, 2025
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI – AGOSTI 2, 2025
Hamas yapongeza 'ujasiri' wa mawaziri wa Uholanzi kujiuzulu juu ya Gaza
Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas imepongeza hatua ya kujiuzulu mawaziri kadhaa wa Uholanzi, akiwemo Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo, Caspar Veldkamp, kujibu hatua ya…
OIC leo inajadili mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza na kuunganisha pamoja misimamo
Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) wanafanya mkutano wa dharura leo Jumatatu katika mji wa Jeddah nchini Saudi Arabia kujadili vita vya mauaji ya…
27.08.2025 Matangazo ya Mchana
SK2 / S02S27.08.202527 Agosti 2025 Tume huru ya uchaguzi nchini Tanzania (INEC) imekiandikia chama cha upinzani cha ACT Wazalendo kuwa hakitaweza kumteua mgombea wa urais kupitia chama hicho, Luhaga Mpina//…
27.08.2025 Matangazo ya Asubuhi
DIRA.BZ27.08.202527 Agosti 2025 Nchi za Magharibi ambazo ni washirika wakuu wa Kiev, zimekuwa zikijadili uwezekano wa kupelekwa kwa wanajeshi nchini Ukraine// Uhaba wa maji unaotokana na ongezeko la viwango vya…
27.08.2025 Taarifa ya Habari Asubuhi
DIRA.BZ27.08.202527 Agosti 2025 Jeshi la Israel lasema shambulizi la hospitali ya Nasser liliilenga kamera ya Hamas // Mazungumzo ya nyuklia yaliyofanyika Geneva yakamilika bila mafanikio // Na Morocco kuvaana na…
Wanahabari wa Afrika waunda Muungano wa Kupinga Mauaji ya Kimbari ya Israel Gaza
Waandishi wa habari kutoka bara zima la Afrika wamezindua muungano uliopewa jina la ‘African Journalists Against Genocide (AJAG)’ wenye lengo la kupinga kile wanachoeleza kuwa ni mauaji ya kimbari ya…
Je, ushirikiano wa kijeshi wa Marekani na Nigeria unaongeza hatari ya ukiukaji wa haki za binadamu?
Hivi karibuni Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani ilitangaza kuwa ili kuisaidia Nigeria katika mapambano dhidi ya makundi ya kigaidi, imekubali kuiuzia nchi hiyo silaha zenye thamani ya takriban…
Ufaransa 'yamjia juu' balozi wa US Paris kwa kuituhumu kuwa inahatarisha maisha ya Mayahudi
Ufaransa imemwita balozi wa Marekani nchini humo Charles Kushner, baada ya mwanadiplomasia huyo kumwandikia barua Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa akidai kwamba Paris imeshindwa kuchukua hatua za kutosha kukomesha vitendo…
Uganda: Upinzani wakosoa makubaliano ya kupokea wahamiaji
Maafisa wa Uganda hawajatoa maelezo ya kina kuhusu makubaliano hayo na Marekani ingawa walisema wanapendelea kupokea wahamiaji waliotoka barani Afrika na hawataki watu wenye rekodi za uhalifu. Uganda inapendekezwa kumpokea…
EU yasisitiza kuiunga mkono "kwa dhati" ICC baada ya US kuwawekea vikwazo waendesha mashtaka 2
Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amesema “amesikitishwa sana” na uamuzi wa Marekani wa kuwawekea vikwazo maafisa wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC). BONYEZA HAPA USOME…
Hali yaripotiwa kurejea ya kawaida mjini Uvira, DR Kongo
Ukiwa unapatikana kwenye kwenye mwambao wa Ziwa Tanganyika, mji wa Uvira ni mji wa pili kwa jimbo la Kivu Kusini na wenye umuhimu mkubwa wa kiuchumi si tu kwa Jamhuri…
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 26, AGOSTI 2025
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 26, AGOSTI 2025
Mawaziri wa kizayuni watoa msimamo kuhusu Ghaza: "Wazingireni, waacheni wafe kwa njaa"
Mawaziri wa utawala wa kizayuni wa Israel wenye misimamo mikali ya chuki wametetea waziwazi hatua ya kuwatesa kwa njaa Wapalestina wa Ukanda wa Ghaza. BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI
#HABARI: Wilyaya ya Singida imeweka mkakati kati ya VETA na Jeshi la Magereza, Wilaya ya Singida, ili kuhakikisha wafungwa w…
#HABARI: Wilyaya ya Singida imeweka mkakati kati ya VETA na Jeshi la Magereza, Wilaya ya Singida, ili kuhakikisha wafungwa wanapatiwa mafunzo ya muda mfupi ya ufundi stadi, ili wanapo maliza…
Botswana yatangaza dharura ya kiafya huku kukiwa na uhaba mkubwa wa dawa
Botswana imetangaza dharura ya kiafya huku nchi hiyo ikikabiliwa na upungufu mkubwa wa dawa na vifaa tiba. Uhaba huo umesababisha hospitali na zahanati nchini humo kuhangaika kutibu magonjwa kuanzia shinikizo…
Rais wa Rwanda akadhibisha ripoti zinazolihusisha jeshi na mauaji mashariki mwa Kongo
Rais Paul Kagame wa Rwanda amekadhibisha ripoti kwamba jeshi la nchi hiyo lilihusika katika mauaji mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI
🔴MCHEZO SUPA:HII NI NGUVU YA BUKU!!!
🔴MCHEZO SUPA:HII NI NGUVU YA BUKU!!! : 26, AGOSTI 2025
Taarifa ya mwisho ya mkutano wa OIC yapinga mpango wa "Israel Kubwa"
Taarifa ya mwisho ya mkutano wa kilele wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu imesisitiza upinzani dhidi ya matamshi ya kutowajibika ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu kuhusu dira ya…
#HABARI:Polisi nchini Kenya wamethibitisha kumkamata mshukiwa mkuu wa kike wa vifo vya waumini wa mafunzo potovu, ambaye anasa…
#HABARI:Polisi nchini Kenya wamethibitisha kumkamata mshukiwa mkuu wa kike wa vifo vya waumini wa mafunzo potovu, ambaye anasadikiwa kutoroka wakati wa kukamatwa kwa awamu ya kwanza ya wafuasi wa Kanisa…
Uchaguzi Tanzania 2025: Wabunge wa CCM ‘walioanguka’ kura za wajumbe
5 Agosti 2025 Katika kile kinachoonekana kama mabadiliko ya upepo wa kisiasa ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), wabunge kadhaa waliokuwa wakitetea nafasi zao wamejikuta wakitemwa na wajumbe wa chama…
Iran yaapa kulipiza kisasi baada ya Australia kumfukuza balozi wake
Iran imeapa kuchukua hatua zinazofaa za kulipiza kisasi baada ya Australia kumfukuza balozi wa Jamhuri ya Kiislamu nchini humo kwa madai ya “chuki dhidi ya Wayahudi,” na kusisitiza kwamba vitendo…
Hatma ya Mpina urais mikononi mwa Tume (INEC)
Chanzo cha picha, ACT Dakika 21 zilizopita Hatma ya mgombea urais kupitia ACT-Wazalendo, Luhaga Mpina, ipo njia panda baada ya Msajili wa Vyama vya Siasa kutangaza kuwa uteuzi wake haujakidhi…
#HABARI: Kufuatia mauaji ya Mlinzi wa Soko la Ussoke, lililopo Wilaya ya Urambo mkoani wa Tabora, Bw
#HABARI: Kufuatia mauaji ya Mlinzi wa Soko la Ussoke, lililopo Wilaya ya Urambo mkoani wa Tabora, Bw. Nasoro Mgalula, aliyeuawa na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia Agosti 18. 2025, wakati…
#HABARI: Mgombea wa Ubunge Jimbo la Mbulu Vijijini kwa tiketi ya CCM Dr.Emanuel Nuwas amechukua fomu ya kugombea nafasi hiyo ka…
#HABARI: Mgombea wa Ubunge Jimbo la Mbulu Vijijini kwa tiketi ya CCM Dr.Emanuel Nuwas amechukua fomu ya kugombea nafasi hiyo katika Ofisi za Msimamizi wa Uchaguzi wa jimbo hilo na…
Mwandishi habari ajiuzulu Reuters akilalamikia hatua ya shirika hilo kuhalalisha mauaji ya Israel dhidi ya waandishi habari
Mpiga picha wa Canada, Valerie Zink, ametangaza kujiuzulu kutoka kwenye shirika la habari la Reuters, akipinga nafasi ya shirika hilo katika kuendeleza propaganda za Israel na kuhalalisha mauaji ya waandishi…
🔴TAARIFA YA HABARI AGOSTI 26, 2025 – MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA ATENGUA UTEUZI MGOMBEA URAIS WA ACT
🔴TAARIFA YA HABARI AGOSTI 26, 2025 – MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA ATENGUA UTEUZI MGOMBEA URAIS WA ACT
Dira Ya Dunia
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki Source link
#HABARI: Bw.Lutengano Mwalwiba ambaye aliyeteuliwa na Chama cha mapinduzi kupeperusha bendera ya chama hicho kuomba ridhaa kwa …
#HABARI: Bw.Lutengano Mwalwiba ambaye aliyeteuliwa na Chama cha mapinduzi kupeperusha bendera ya chama hicho kuomba ridhaa kwa wananchi ya ubunge jimbo la Busokelo Mkoa wa Mbeya, amefika ofisi za msimamizi…
Mgombea wa chama cha Republican achoma Qur'ani ili kuunga mkono kampeni yake ya uchaguzi
Mgombea wa chama cha Republican wa kiti cha Kongresi huko Texas, anayejulikana kwa uadui wake mkubwa dhidi ya Waislamu amewakasirisha Waislamu zaidi ya bilioni mbili duniani kwa kuchoma moto nakala…
#HABARI: Kaya zaidi ya 400 katika Mtaa wa Kwa Kibosha, Kata ya Mapinga, Bagamoyo, mkoani Pwani, wameiomba Serikali kuingilia kat…
#HABARI: Kaya zaidi ya 400 katika Mtaa wa Kwa Kibosha, Kata ya Mapinga, Bagamoyo, mkoani Pwani, wameiomba Serikali kuingilia kati mgogoro wa ardhi katika eneo hilo lenye ukubwa wa takribani…