[ad_1]
Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa UNICEF limeonya juu ya janga kubwa la kuogofya linalowawajihi watoto walionasa mjini El-Fasher, makao makuu ya jimbo la Darfur Kaskazini, magharibi mwa Sudan.
[ad_2]
BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI
UNICEF yaonya: Watoto wamenasa kwenye janga la kutisha El Fasher, Sudan