https://p.dw.com/p/50Poc

Hatua hiyo imechukuliwa kufuatia madai kuwa utawala wa Afghanistan kuwazuia wakimbizi wa kike kufikia vituo hivyo.
Umoja wa Mataifa umesema taifa jirani la Pakistan linawarejesha kwanguvu waafghan walioko nchini humo nyumbani Afghanistan, ukionya kuwa takriban watu milioni moja huenda wakaathirika na hatua hiyo.
Wiki ya kwanza ya Septemba pekee wakimbizi 100,000 walirejeshwa Afghanistan.
