[ad_1]
Misri imefichua njama za Israel za kuwaua viongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Kupigania Ukombozi wa Palestina, Hamas, walioko ndani ya ardhi yake, na kuionya Israel kuwa shambulio lolote la aina hiyo litachukuliwa kama “tamko la vita” na litajibiwa kwa nguvu.
[ad_2]
BONYEZA HAPA KUSOMA HABARI KAMILI
Misri yaionya Israel kuhusu njama za kuwaua viongozi wa Hamas ndani ya ardhi yake