[ad_1]
Ijumaa Saudi Arabia, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), Misri na pia Marekani zilitoa wito wa kusitishwa mapigano kwa muda wa miezi mitatu nchini Sudan sambamba na kufanyika mazungumzo ya makubaliano ya kudumu ya kusitisha vita.
[ad_2]
BONYEZA HAPA KUSOMA HABARI KAMILI
Pendekezo la Saudi Arabia, UAE na Misri kuhusu 'Ramani ya Amani' ya Sudan