[ad_1]
Maseneta wawili waandamizi wa Marekani wameishutumu Israel kwa kutekeleza kampeni ya maangamizi ya kizazi katika Ukanda wa Ghaza na kubainisha kwamba Marekani inashiriki katika jinai hiyo na kwamba dunia lazima ichukue hatua kukomesha jambo hilo.
[ad_2]
BONYEZA HAPA KUSOMA HABARI KAMILI
Maseneta wa US: Israel inaangamiza kizazi Ghaza na Marekani ni mshirika, dunia lazima ikomeshe