[ad_1]
Nchi kadhaa za Afrika pamoja na Umoja wa Afrika (AU) zimetoa taarifa kali kulaani mashambulizi ya anga yaliyofanywa na utawala wa Israel siku ya Jumanne, yaliyolenga uongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Kupigania Ukombozi wa Palestina, Hamas, nchini Qatar, wakionya kuwa kitendo hicho ni uvunjaji wa wazi wa mamlaka ya taifa hilo la Ghuba ya Uajemi.
[ad_2]
BONYEZA HAPA KUSOMA HABARI KAMILI
Nchi za Afrika zalaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Doha