[ad_1]
Sekta mbalimbali za kiuchumi na huduma katika miji 60 ya Italia, kutoka bandari hadi usafiri wa umma, zimefungwa kwa saa 24 leo Jumatatu kutokana na mgomo wa umma ulioitishwa kwa ajili ya kuliunga mkono taifa madhlumu la Palestina hususan wananchi wa Ghaza.
[ad_2]
BONYEZA HAPA KUSOMA HABARI KAMILI
Bandari za miji 60 ya Italia zafungwa ili kuiunga mkono Ghaza