Mahakama ya ICC yampata na hatia kiongozi wa kwanza wa wapiganaji Darfur
Ali Muhammad Ali Abd-Al-Rahman, ambaye pia anajulikana kwa jina la Ali Kushayb, anakabiliwa na makosa 31 ya uhalifu ikiwa ni pamoja na ubakaji, mauaji na mateso yanayodaiwa kutekelezwa huko Darfur kati ya Agosti 2003 na Aprili 2004.