Mahakama ya ICC yampata na hatia kiongozi wa kwanza wa wapiganaji Darfur

Ali Muhammad Ali Abd-Al-Rahman, ambaye pia anajulikana kwa jina la Ali Kushayb, anakabiliwa na makosa 31 ya uhalifu ikiwa ni pamoja na ubakaji, mauaji na mateso yanayodaiwa kutekelezwa huko Darfur kati ya Agosti 2003 na Aprili 2004.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *