Watu wasiopungua 13 wauawa, 19 wajeruhiwa katika mashambulizi ya makombora ya RSF huko Darfur Sudan

Raia wasiopungua 13 wameuawa na wengine 19 kujeruhiwa katika mashambulizi ya makombora ya wapiganaji wa RSF Kaskazini mwa Darfur, madaktari wa eneo hilo wamesema siku ya Jumatatu.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *