
Mke wa Rais wa Uturuki aadhimisha miaka miwili ya mauaji ya halaiki Gaza, atoa wito wa umoja
Erdogan anasema kuwa katika kipindi cha miwili, Gaza imekuwa sehemu ya makaburi ambapo watu zaidi ya 67,000 wasio na hatia, ikiwemo watoto zaidi 20,000, wameuawa.