Mke wa Rais wa Uturuki aadhimisha miaka miwili ya mauaji ya halaiki Gaza, atoa wito wa umoja

Erdogan anasema kuwa katika kipindi cha miwili, Gaza imekuwa sehemu ya makaburi ambapo watu zaidi ya 67,000 wasio na hatia, ikiwemo watoto zaidi 20,000, wameuawa.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *