Baba wa mmoja wa vijana wanne ambao miili yao iliokotwa na Jeshi la Polisi mkoani Pwani, Juma Mmombo amesimulia namna mwanaye alivyokamatwa na baadaye mwili wake kupatikana ukiwa na majeraha maeneo mbalimbali.
Msikilize hapa.
#AzamTVUpdates
Mhariri | @moseskwindi