Josephat Charo

10 Novemba 2025

Idadi ya waliouawa Ukanda wa Gaza yafikia zaidi ya watu 69,000. Mashambulizi ya Ukraine yawakosesha umeme zaidi ya watu 20,000 Urusi. Uganda yawaachilia huru wanaharakati wawili wa Kenya.

https://p.dw.com/p/53Lxi

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *