Mtangazaji na mwandaaji wa vipindi AzamTV, @bettyomaratz ameshinda tuzo ya Mwandishi wa Habari Bora Katika Ubunifu wa Mavazi kupitia jukwaa la Swahili Fashion Week 2025.

Akizungumza kupitia kipindi cha #AlasiriLounge, Betty amezungumza namna alivyojisikia baada ya kushinda tuzo hiyo ikiwa ni mara ya pili anashinda kwenye kipengele cha ubunifu wa mavazi.

#ubunifu #tuzo #swahilifashionweek

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *