Wakazi wa mikoa ya Dar es salaam na Pwani nchini Tanzania bado wanaendelea kushuhudia adha kubwa ya ukosefu wa huduma ya maji +++Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky na wajumbe wa rais wa Marekani Donald Trump wameendelea na mazungumzo mjini Berlin Ujerumani yanayolenga kumaliza vita na Urusi.