Hofu imetanda kwa baadhi ya wakulima nchini kufuatia uhaba wa mvua katika maeneo mbalimbali hali inayotishia kustawi kwa mazao huku wataamu wa kilimo wakiwashauri wakulima hao kubadilisha mbinu za kilimo.
#AzamTVUpdates
Mhariri | @moseskwindi
Hofu imetanda kwa baadhi ya wakulima nchini kufuatia uhaba wa mvua katika maeneo mbalimbali hali inayotishia kustawi kwa mazao huku wataamu wa kilimo wakiwashauri wakulima hao kubadilisha mbinu za kilimo.
#AzamTVUpdates
Mhariri | @moseskwindi