Kisiwa cha Taiwan kimeongeza uwekezaji katika sekta ya ulinzi ikiwa ni hatua ya tahadhari dhidi ya mazoezi ya kijeshi yaliyofanywa na China kuzunguka kisiwa hicho.

Je, bajeti hiyo mpya inalenga kukabiliana na China

Faraja Samo ameandaa undani zaidi wa taarifa hii.

#AzamTVUpdates
Mhariri | @moseskwindi

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *