“Tumefurahi sana Simba Queens wamecheza Vizuri , Wamepambana, wakiendelea Kucheza hivi tutashinda Ligi insha’allah”“Tumefurahi sana Simba Queens wamecheza Vizuri , Wamepambana, wakiendelea Kucheza hivi tutashinda Ligi insha’allah”

“Tumefurahi sana Simba Queens wamecheza Vizuri , Wamepambana, wakiendelea Kucheza hivi tutashinda Ligi insha’allah”

Mlezi wa Simba Queens @fatemagdewji akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya Mchezo wa Simba Queens dhidi ya Tausi FC kutamatika katika uwanja wa KMC Complex Mwenge , Dar es salaam.

Viwanjani @cloudstv ✅️

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *