Nchi za Afrika Mashariki zakemea uvuvi haramu wa meli Bahari ya Hindi
Nchi za Afrika Mashariki zimeeleza wasiwasi mkubwa kuhusu kuendelea kwa uvuvi haramu unaofanywa...
Nchi za Afrika Mashariki zimeeleza wasiwasi mkubwa kuhusu kuendelea kwa uvuvi haramu unaofanywa...
Mkutano wa 39 wa Umoja wa Afrika sasa umekamilika. Kwa siku mbili, wakuu wa nchi na serikali, wanachama wa Umoja wa Afrika, walijadili migogoro mikubwa inayoathiri bara hilo. Rais wa…
#HABARI: Polisi wametumia mabomu ya machozi kuwatawanya wafuasi wa Seneta wa Nairobi na Katibu Mkuu wa Chama cha ODM Edwin Sifuna, katika eneo la Kitengela, huku Gavana huyo akiwa miongoni…
#HABARI: Polisi nchini Nigeria wamesema wamewakamata washukiwa wanne wa utekaji nyara wa watoto tisa katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu John, waliokuwa wakisali kanisani hapo, eneo la Serikali ya Mtaa ya…
#HABARI: Kiongozi wa Chama cha DCP, Rigathi Gachagua, amesema kwamba Muungano wa Upinzani kwa pamoja utarejea katika ofisi ya Inspekta Jenerali wa Polisi Douglas Kanja, kubaini hatua zilizo chukuliwa kwa…
🔴KUMEKUCHA:...FEBRUARI 16, 2026
Soma zaidi hapa...
Mataifa yaliyo kusini mwa ikweta yatashuhudia mfungo wa muda mfupi.
Mtoto wa Shah aliyeondolewa madarakani, Reza Pahlavi, ametoa wito tena kwa Donald Trump kwa kuingilia kati kijeshi “haraka” nchini Iran na akarudia pendekezo lake la kuhakikisha “mpito” wa kisiasa nchini…
Nchini Kenya, mpasuko wa kisiasa ndani ya chama cha siasa cha ODM umeendelea ambapo mwishoni mwa wiki iliyopita, pande mbili zinazovutana kuhusu kumuunga mkono rais William Ruto, ziliandaa mikutano ya…
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ametoa wito siku ya Jumapili kwa “kuvunjwa” kwa uwezo wa urutubishaji wa uranium wa Iran, wakati wa hotuba mbele ya Mkutano wa viongozi wa…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameondoka Tehran Jumapili, Februari 15, kwenda Geneva kwa ajili ya duru ya pili ya mazungumzo na Marekani, yanayosimamiwa na Oman, ili kuzuia mashambulizi…
Nchini BurkinaFaso, mji wa Titao, ambao hapo awali uliokolewa kutokana na mashambulio ya kigaidi, ulivamiwa na kundi la washambuliaji siku ya Jumamosi, Februari 14, 2026. Walishambulia na kupora kambi ya…
Netanyahu alisema ana mashaka kuhusu makubaliano lakini lazima yajumuishe kuondolewa kwa nyenzo zilizorutubishwa nchini Iran.
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imeanza utekelezaji wa maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan akiitka mamlaka hayo kuongeza wigo wa utoaji huduma. Kamishna Mkuu wa TRA, Yusuph Juma Mwenda akiwa…
Sumu, epibatidine, inaweza kupatikana kwa vyura porini Amerika Kusini au kutengenezwa katika maabara.
🔴#MAGAZETI: MASOKO YALIYOGHARIMU MABILIONI YAKOSA WATEJA / HESABU ZIMEKATAA.....FEBRUARI 16, 2026
China sambamba na kuashiria kuidhinishwa kanuni mpya na baraza la mawaziri la usalama la Israel ili kuimarisha udhibiti wa Ukingo wa Magharibi, imeonya kuhusu matokeo mabaya ya hatua hiyo.
Mkuu wa Kamandi ya Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Donald Trump anapaswa kufahamu kwamba kuingia katika mapambano ya kijeshi na Iran kutakuwa funzo lenye athari kubwa,…
Mamlaka ya Ndani ya Palestina, imetoa radiamali kwa uamuzi wa baraza la mawaziri la utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu kutaifisha ardhi za Ukingo wa Magharibi na kuitaka jamii ya…
Murillo anawaniwa na vilabu vya soka vya London, mchezaji mwenzake wa Nottingham Forest Morgan Gibbs-White huenda akaelekea Manchester City, na Everton inafukuzia Harry Wilson Fulham
#KIPIMAJOTO: Wanaofanya udanganyifu ili kujipatia mbegu nyingi za ruzuku ili kuzifanyia biashara. Je, wanyang'anywe leseni kuwadhibiti?
Leo ni Jumatatu 27 Sha'ban 1447 Hijria ambayo inasadifiana na 16 Februari 2026.
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI FEBRUARI 16, 2026
Taasisi ya Utafiti ya Royan Research ya Iran imezindua bidhaa sita mpya zilizotengenezwa ndani ya nchi katika nyanja ya tiba ya seli na uhandisi wa tishu, hatua inayoiweka Iran miongoni…
Kikao cha 39 cha kawaida cha Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika (AU) kilichofanyika Jumapili jijini Addis Ababa kimepitisha “Azimio la Algiers” kuhusu uhalifu wa kikoloni barani…
Vikosi vya Israel vimewaua angalau Wapalestina 10 katika mashambulizi mapya yaliyofanywa katika maeneo mbalimbali ya Ukanda wa Gaza, katika ukiukaji mwingine wa makubaliano ya usitishaji vita yaliyoratibiwa na Marekani na…
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa The post Habari kubwa…
MECHI ya watani wa jadi, Yanga dhidi ya Simba maarufu Kariakoo Dabi iliyopangwa kufanyika Machi 1, 2026, itachezwa Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar.
ZANZIBAR; MPIRA UNAUMIZA, lakini mpira pia unakera. Pengine ndivyo unavyoweza kuzungumzia matokeo ya mchezo wa mwisho hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga na JS Kabylie uliomalizika…
Hesabu zimekaa. Ndicho kilichotokea jana kwa wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya CAF...
AZAM FC leo imekamilisha ratiba ya meci za makundi kwa kipigo cha mabao 2-0 ugenini mbele ya Wydad AC ya Morocco na kuunganana na Singida Black Stars kung’oka katika michuano…
HESABU zimekaa. Ndicho kilichotokea jana kwa wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya CAF baada ya Yanga jana usiku kupata ushindi wa mabao 3-0 nyumbani mbele ya JS Kabylie ya Algeria,…
Bibi katoa uvivu wote, hataki kiumbe ambacho hakipo ndani ya ndoa #AzamTWO (Feed generated with FetchRSS)
Mahakama Kuu Kanda ya Arusha, imebariki adhabu ya kifungo cha maisha jela kwa mkazi wa Arusha...
Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba, amewabana mawaziri wanne na manaibu wao kujibu hoja zilizotolewa...
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeanza utekelezaji wa maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan...
Waasi wa ODM wa kundi la Edwin Sifuna walivamia mji wa Kitengela, wakipokea uungwaji mkono huku viogozi wa mrengo huo wakiukosoa uongozi wa Oburu Ogiga,
Huyu Salma hapa ndio hamna shughuli tena, Boni huyooo anapepea...Pole mwaya 💀 (Feed generated with FetchRSS)
MOROCCO; AZAM imemaliza hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika ikiwa na pointi tisa, lakini imekwama kutinga robo fainali. Azam leo imepoteza mchezo wake wa mwisho hatua ya makundi…
🔴TAARIFA YA HABARI USIKU FEBRUARI 14 , 2026 MKANDARASI ALIYETELEKEZA MRADI WA MAJI ATAKIWA KUPATIKANA
#HABARI: Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) wilayani Mtwara imepata mafanikio makubwa kupitia miradi saba ya mita za malipo ya kabla (pre-paid meters) inayohudumia vijiji 11. Mhandisi…
ZANZIBAR; NI mapumziko mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi Uwanja wa New Amaan Complex kati ya Yanga ya Dar es Salaam na JS Kabylie ya Algeria na…
KOCHA Mkuu wa Dodoma Jiji, Aman Josiah amelitaja suala la saikolojia kwa wachezaji kuwa ni eneo muhimu nje ya uwanja ambalo makocha wanapaswa kulijua ipasavyo.
#BSSNextLevelRevolution | Sikiliza ‘mastori’ tumepiga na baadhi ya washiriki ambao jana walifanikiwa kuingia mchujo wa pili (leo). Wanakuambia kwenye duara cha BSS sio poa 😅 #BongoStarSearch itaanza kuruka hewani kuanzia…