Kakama yasherehekea miaka 10 ya kukuza Kiswahili
ZANZIBAR; Kamisheni ya Kiswahili ya Afrika Mashariki (Kakama) imesherehekea mwaka wake wa 10 katika tukio kubwa lililofanyika makao makuu yake Zanzibar, ikionesha dira muhimu katika kukuza Kiswahili kama chombo cha…