Tanzania: Chama cha ACT-Wazalendo chalaani uchomwaji wa nyaraka za Uchaguzi wa Zanzibar
ACT-Wazalendo imesisitiza kuwa, ni kosa la jinai kuharibu ushahidi wakati kuna shauri la kisheria linaloendelea.
ACT-Wazalendo imesisitiza kuwa, ni kosa la jinai kuharibu ushahidi wakati kuna shauri la kisheria linaloendelea.
Serikali imejipanga kuhakikisha wakulima nchini wanaondokana na kilimo cha mkono kupitia mpango wa kugawa matrekta 10,000 katika halmashauri zote nchini, ambayo utawawezesha wakulima kuyakodi kwa gharama nafuu. Mhariri | John…
VIWANJANI: “Yale mahitaji amabayo Wydad wanataka kwa Aziz imekuwa ngumu sana kwake…” Mchambuzi wa soka Iddy Nonga amesema ujio wa nyota wakubwa katika soka kwenye klabu ya Wydad Casablanca kumeweka…
Uturuki inalenga kuwasaidia watu wa Sudan na mamlaka za nchini humo katika kushughulikia matatizo ya watu.
Waasi wa AFC/M23 wamedai kuhusika na shambulio la ndege zisizo na rubani kwenye Uwanja wa Ndege wa Bangoka katika jiji la Kisangani, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).…
Watumiaji wa vyombo vya moto vinavyotumia petroli wataendelea kuugulia maumivu ya ongezeko la bei kwa mwezi Februari, huku kwa watumiaji wa dizeli na mafuta ya taa hali ikiwa tofauti. Hali…
Shirika la Afya Duniani, WHO, limeomba dola bilioni moja za Marekani ili kukabiliana na majanga ya kiafya mwaka huu kwa ajili ya maeneo 36 yenye dharura zaidi duniani, huku watu…
Ahadi ya utoaji wa Sh200 bilioni ilitolewa na Rais Samia alipokuwa akiomba ridhaa ya wananchi...
Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma, Jaji Hamisa Kalombola ameliagiza Baraza la Wafanyakazi la Tume hiyo kufanya majadiliano ya kina kuhusu Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2026/2027, akisisitiza kuwa…
FOUNTAIN GATE vs NAMUNGO: Tazama vikosi vya timu zote mbili vikiwasili katika dimba la Tanzanite Kwaraa tayari kwa mchezo wa NBC Premier League. Mechi ni saa 10:00 jioni LIVE #AzamSports1HD…
Wananchi wa Kata ya Mgusu, Wilaya ya Geita, wameiomba Serikali kwa kushirikiana na wadau wa...
Watu wenye silaha wameua watu wasiopungua 35 katika kijiji cha Woro, katika Jimbo la Kwara, katikati-magharibi mwa Nigeria, kulingana na mbunge wa eneo hilo, katika shambulio lililothibitishwa na polisi na…
MASHABIKI WA SIMBA SC: “Tushapoteza matumaini ya kuendelea mbele kutokana na matokeo tuliyopata nyumbani” Mashabiki wa klabu ya Simba wamesema kuelekea mchezo wao dhidi ya Atletico De Luanda ya nchini…
ZILIZOBAMBA MITANDAONI: Tazama shangwe la KMC FC baada ya kuzinyakua alama zote tatu mbele ya Mashujaa FC, katika mchezo wa NBC Premier League uliopigwa jana katika dimba la Majaliwa Ruangwa…
Siku ya tukio ilidaiwa kulitokea ugomvi baina yake na mkewe ambaye alikuwa amembeba mtoto wao...
Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam imeanza kugawa vifaa vya kielimu na saidizi vya kidigital kwa walimu wenye ulemavu kutoka shule za awali, msingi na sekondari. Mhariri | John…
Ripoti ya mwaka ya Human Rights Watch yafichua taswira ya kutisha ya ukiukaji wa haki za binadamu duniani, ikionyesha raia kama walengwa wakuu wa vita, siasa kandamizi na mifumo dhaifu…
Akizungumza na waandishi wa habari katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani amesema amewasilisha kwa Baraza Kuu orodha ya wataalamu 40 kutoka maeneo yote ya dunia…
Miaka kumi na nne baada ya wakimbizi wa kwanza wa Syria kuvuka mpaka kuingia Jordan kusaka usalama, kambi ya wakimbizi ya Zaatari bado ni makazi ya maelfu ya watu wanaosubiri…
Kampeni za chanjo ya kinga dhidi ya kipindupindu zimeanza tena kwa mara ya kwanza baada ya zaidi ya miaka mitatu, kufuatia kuongezeka kwa kiwango chau haba wa upatikanaji wa chanjo…
Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kulinda Amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC (MONUSCO) umesema unakaribisha maendeleo yaliyotangazwa na Serikali ya Qatar katika mazungumzo yaliyoandaliwa mjini Doha kati…
Mabadiliko ya mfumo wa maisha na mazingira yanaweza kuzuia ugonjwa wa saratani kwa wagonjwa wanne katika kila wagonjwa kumi, limesema shirika la Umoja wa Mataifa la afya duniani, (WHO) na…
Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) leo Februari 4, 2026 limetangaza kusitisha shughuli zake zote katika kaunti ya Baliet, jimbo la Upper Nile, nchini Sudan…
Makondakta wamekuwa wakigoma kuwabeba wanafuzni kwa kisingizio cha kibiashara wakidai wanafunzi...
Kuelekea Siku ya Saratani Duniani inayoadhimishwa Februari 4 kila mwaka, Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa Duniani (WHO) na Shirika la Kimataifa la Utafiti Kuhusu Saratani (IARC) wamebainisha kuwa…
Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) lilitoa adhabu kali kwa Senegal na Morocco kufuatia vurugu wakati wa fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika 2025 (AFCON 2025).
VIWANJANI: “Fedha katika mpira wetu zipo ligi kuu sana...” Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), anayewakilisha Mkoa wa Mara Augustine Mgendi, amesema changamoto kubwa…
Arsenal inakaribia kutwaa taji lao la kwanza tangu mwaka 2020 baada ya kuichapa Chelsea mabao 4-2 kw aujumla katika mechi ya nusu fainali ya kombe la Carabao.
Chama cha Wasambazaji wa Bidhaa na Watoa Huduma Migodini (TAMISA), kimewataka vijana kuchangamkia mikopo inayotolewa na Serikali kwa ajili ya kuwawezesha kupata mitaji. Mwenyekiti wa TAMISA, Peter Kumalilwa amesena katika…
Jeshi la Sudan limesema limeuvunja mzingiro wa miaka mingi katika mji wa Kadugli. Hatua hii ya sasa nchini Sudan inaashiria mabadiliko katika muelekeo wa vita vinavyoikumba nchi hiyo.
Ripoti ya kila mwaka iliyotolewa leo na Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW), inaonyesha kuwa mfumo wa kimataifa wa haki za binadamu uko hatarini.
Shirika la ulinzi wa raia la Gaza limesema mashambulizi ya anga ya Israel yamewaua watu tisa katika eneo la Wapalestina, ikiwemo watoto watatu.
Balozi wa Iran nchini Russia, Kazem Jalali amepuuzilia mbali matamshi ya hivi karibuni ya Rais wa Marekani Donald Trump akidai kuwa analiunga mkono na kulisaidia taifa la Iran, akisisitiza kuwa…
Jeshi la Sudan limesema limeuvunja mzingiro wa miaka mingi katika mji wa Kadugli na kutoa matumaini kwa maelfu ya watu wanaokabaliwa na kitisho cha baa la njaa.
Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz, leo anaanza ziara yake ya kwanza katika eneo muhimu lenye utajiri na la kimkakati la Ghuba.
Wasuluhishi kutoka Ukraine, Urusi na Marekani wanatarajiwa kukutana leo mjini Abu Dhabi, wakitafuta kuendeleza mazungumzo tete ya namna ya kumaliza vita vya karibu miaka minne.
Watu wasiopungua 15 wamefariki baada ya boti ya doria ya walinzi wa pwani ya Ugiriki kugongana na boti iliyowabeba wahamiaji nje ya pwani ya kisiwa cha Chios Jumanne usiku.
Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema haki za binadamu zadorora. Marekani, Urusi, Iran na Afghanistan zatuhumihiwa, huku dhidi ya mashoga ikiongezeka.
Afrika inakabiliwa na changamoto za kipekee zinazoathiri wagonjwa wa Saratani ikiwemo ugunguzi wa kuchelewa na ukosefu wa vifaa vya kutosha vya matibabu
Edwin Sifuna amethibitisha ODM kingali mwanachama katika Azimio, pia alipuuza madai eti chama hicho kilitoka huku mabadiliko ya uongozi yakifanyika.
Mkurugenzi wa Bendi ya Tanzania One Theatre (TOT), Khadija Kopa amesema mwimbaji na mtunzi wa...
Msanii wa muziki wa taarabu na Bendi ya Tanzania One Theatre (TOT), Abdul Misambano...
Seneta Shehu Sani wa Nigeria ambaye pia ni mkuu wa Jukwaa la Haki za Kiraia la Nigeria (CRCN), amesema Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ya mwaka 1979 ni vuguvugu la…
FOUNTAIN GATE vs NAMUNGO: “Wao kwa sababu wapo nyumbani naona wanaweza kupata matokeo mazuri…” Mchambuzi wa soka @akingamkono amesema faida ya kuwa nyumbani kwa timu ya Fountain Gate FC pamoja…
Mashambulizi mapya ya kinyama ya utawala wa Kizayuni wa Israel yamewaua shahidi watu wasiopungua 20, wakiwemo watoto wadogo katika Ukanda wa Gaza.
Chama tawala cha African National Congress (ANC) kimemkosoa vikali Mfalme wa Afrika Kusini, Buyelekhaya Dalindyebo kufuatia uamuzi wake tata wa kuwaalika maafisa kutoka Ubalozi wa Israel kutembelea hospitali za umma…
Raia wasiopungua 15, wakiwemo watoto saba, wameuawa katika mashambulizi ya ndege zisizo na rubani katika mji wa Kadugli kusini mwa Sudan. Hayo yamesemwa na kundi la kujitolea la wenyeji na…
Mwigizaji wa Apocalypto Gerardo Taracena amefariki dunia. Mkali huyu alikuwa mmoja wa wachezaji...