Kumetokea shambulio la ndege zisizo na rubani katika Mji wa Goma, mkoa wa Kivu Kaskazini nchini DRC, Mji ambao kwa sasa uko chini ya udhibiti wa waasi wa AFC/M23, Shambulio lililolenga Makazi ya watu mashuhuri.

Waasi wa M23 wakiwa katika Mji wa Goma awali.
Waasi wa M23 wakiwa katika Mji wa Goma awali. © Glody Murhabazi / AFP

Matangazo ya kibiashara

Kulingana na ripoti ya awali iliyotolewa na waasi hao, watu watatu waliuawa.

Taarifa zaidi baadaye kidogo……

Kusambaza :

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *