Wananchi wa vijiji 17 wilayani Mbulu wanakabiliwa na changamoto ya muda mrefu ya upatikanaji wa maji, hali inayowalazimu kutembea umbali mrefu kufuata huduma hiyo, kama alivyoshuhudia Hellen Kawiche mkoani Manyara.

#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi

(Feed generated with FetchRSS)

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *